Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sisi hatuna askari wa kutosha kuzunguka mpaka. Ndio maana nikasema kila mtu ahangaikie nchi yake, hakuna haja ya kumlazimisha mwenzako afuate unachokitaka. By the way mnaweza mkaajiri vijana wakapata mafunzo mafupi ya ulinzi wa mpaka, si zile hela zimeshaingia?Ingekua rahisi kihivyo wala haungeskia neno kutoka kwenye taifa lolote, mngeachwa mjifie huko.
Tatizo hamna jinsi ya majirani kujilinda kutoka kwa Watanzania, hatua polisi wa kutosha kuuzunguka huo mpaka wote, sasa hivi Tanzania ndio kitovu cha corona kwa majirani zake EAC na SADC
The two cases in migori Are From Kehancha And Nyankore hao walikua wametoka TZ.Huko ni home na vile niliona ni mbali na hii mambo Pombe amechoma kabisa.Hatutaki hao watu kenya period. kuna mmoja alitoka tarime watu walipiga nduru kijiji mzima akakujiwa na gava.
Dogo, tulia heshimu bab kubwa, Tanzania ya Pombe inajigamba kuwa Taifa linalo uwezo sana, ningefurahia Pombe angetangaza mipaka yote imefungwa. Manake wanafiki ni wengi bongo na wataanza Kulaumu majirani kwa maafa yanayo karibia uko.Hauwezi kuwapangia wengine wafanye utakavyo. Wee funga kwako, automatically utakuwa umefunga na huku. Kwani mlango ukifungwa kwa ndani, kuna haja tena ya kuhitaji mtu akufungie na kwa nje? [emoji16]
Hata sisi hatuna askari wa kutosha kuzunguka mpaka. Ndio maana nikasema kila mtu ahangaikie nchi yake, hakuna haja ya kumlazimisha mwenzako afuate unachokitaka. By the way mnaweza mkaajiri vijana wakapata mafunzo mafupi ya ulinzi wa mpaka, si zile hela zimeshaingia?
Wataendaje kuambukiza majirani wakati hao majirani wamefunga mipaka na inalindwa? Funga ulinde, uone kama ataweza mtu kuvuka mpaka. Ulinzi na usalama wa nchi ni jukumu la nchi husika. Usitegemee Afghanstan ije ilinde mipaka ya ZimbabweSio afuate ninachokitaka, ila achukue tahadhari kama iinavyofanyika duniani kote, sio kuwacha raia wake wanaishi hovyoo bila tahadhari halafu wanakwenda kuambukiza majirani.
Wataendaje kuambukiza majirani wakati hao majirani wamefunga mipaka na inalindwa? Funga ulinde, uone kama ataweza mtu kuvuka mpaka. Ulinzi na usalama wa nchi ni jukumu la nchi husika. Usitegemee Afghanstan ije ilinde mipaka ya Zimbabwe
Kwa hiyo mnazika hospitalini?Mwenye anataka kujua zile vifo ziko Kenya, labda uigie kwa hospitali. Kwa barabara huwezi pata.
Huko TZ ni wagonjwa munapeleka wakatibiwe hospitalini ama ni watu mnapeleka hospitali wakawazike waliokufia huko ndani ya hospitali?Kwa hiyo mnazika hospitalini?
Send by APOLO 1
Do you care??I have not seen a definitive statement that the situation is under control in Tz. Seeing posts of people crying out to be evacuated from the country and taken to India almost validates the fears that the situation is getting out of control. Or is it not?
Wapi wanaficha?! Wewe unaziamini hizo video za kutengeneza?! Are you one of them (watengenezaji wa video fake)????....What do you gain by doing that? Are you worried by Tanzania's surge in socio-economic development?..Is Tanzania a threat to your country??Dunia sasa hivi kila taifa lina vifo vinavyotokana na Corona, hata sisi pia, ila hatufichi na kuacha raia wenyewe waanike kwenye mitandao kwa kutupia video nyingi nyingi.
In this pandemic,tanzania is safe place to beHii wanatishia tu raia zao, ila hakuna wagonjwa waliojaa hospitals, and that was their third announcement, their citizens hawataki kuondoka Tz.
The situation in our country is very calm! Unfortunately people from other countries may not be able to distinguish between disinformation from political opposition and genuine information from the general public! True there are some COVID 19 cases in the country as it is the case (even more worse) in other countries. But the fact is we are far better off!! Economic and life loses are at their minimum!! Life is very normal only that people are social distancing and are putting on masks!! However we are adapting to these new norms and life is at ease!! Completely no panic!!! Hapa kazi tu!!I have not seen a definitive statement that the situation is under control in Tz. Seeing posts of people crying out to be evacuated from the country and taken to India almost validates the fears that the situation is getting out of control. Or is it not?
Jitahidi kuwa mkweli, kati ya Tanzania na Kenya wapi kuna maambukizi mengi? Sasa hivi mnakimbilia 1000 wakati Tz ni chini ya 600.Mipaka unafunga maeneo rasmi, lakini kule maporini hakuna askari wa kutosha kuzuia huko, pia makabila fulani tunachangia utawaambia vipi ndugu kabisa kabila moja kwamba leo waonane kwa misingi ya mipaka ya wakoloni, uwakute Wamaasai na kuwachorea mpaka na jinsi wanavyokuwaga kimoja.