pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,229
Naomba kwanza nianze kwa kudeclare interest, Mimi ni fan wa Diamond!
Ni fan wa Diamond si kwa sababu huwa napenda mziki wake at first place, Big NOOOOO! Nimejikuta nakuwa fan wa huyu jamaa kwa sababu mimi ni muumini wa Uzalendo ,ambao unanifanya niwe na shauku kubwa ya kuona jina la Tanzania linang'aaa zaid na zaid katika anga la kimataifa.
Napenda nyimbo zake ndiyo lakin si kwa uwingi na level ya kulinganisha navyo penda nyimbo za TID,Ben Paul,Marlow,Belle, Jux,Barnaba, Ibrah, Mangwair (RIP),MB Dog,Christian Bella na wengine wengi
Lakini mwisho wa siku najikuta tu nakubali kuwa He is the best, na ndo King wa hii industry na hii industry haikuwah pata mtu kama yeye (Mr Nice records considered well)
At the same time, Najisikia vibaya pale ambapo Wajasiriamali wabunifu wa Mfano Kenya na Rwanda, wanang'aa zaid katika international spot light kuliko vijana wetu wabunifu wa kitanzania ambao nao wana products nzuri tu, na start ups zao zinakick zaid kuliko hata hao ( Tembelea KINU na BUNI uone vijana hawa)
Najisikia vibaya napoona These big NGOs na other international firms vyeo vingi vya juu ,vinashikiliwa na watu kuitoka nje, same kwa big hotels na chochote kile chenye harufu ya ukimataifa basi sura ya Mbongo huwa ni ya kutafta sana, ukiipata inakuwa bado ina binywa, wakati tuna wasomi wetu wengi sana ambao wanauwezo mzuri sana.
Huku kujisikia vibaya hakuishii hapo tu, kunaenda kwenye michezo,Movie,had kwenye kuuza utalii wetu wa ndani. Na ndo hapo napopata conclusion kuwa pengine tatizo letu wabongo si ubora wa bidhaa, au ubora wa kazi, au Kujituma katika kutengenza kazi nzuri,au Elimu na Maarifa au uzuri wa vipaji, HAPANA, Hivyo vyote tunavyo vingi, na tumejaliwa sana . Tatizo Pengine ni kuwa WATANZANIA SIYO WAZURI SANA KATIKA KUUZA KAZI ZETU,KATIKA KUJIBRAND NA KATIKA KUTANGAZA UBORA WETU.
Ndo maana Marehem Kanumba, japo siyo kwamba alikuwa ni bora kuliko JB na Richie Richie ( According to my sister & My wife ) ambao ni wadau wakubwa wa Bongo Movie lakin aliweza kuanza kupenya na akafanikiwa kuiweka industry ya movie mahali fulani.
Swali ni kuwa is Diamond platnumz really that good??, Kwa sasa yeye ndo msanii bora Africa( MTV Emma),Akitoa wimbo hauwi tena topic ya kujadiliwa Jamii forums tu,tena kwa thread moja kama wasanii wengine, au XXL au FNL tu, inakuwa topic duniani huku mitandao top ya Naigeria,SA,na Kenya. (Watu wenye viburi barani Afrika) ikiongoza kumjadili, huku Vituo kama MTV base,Trace etc vikiback up huku Instagram na Youtube vikisimama kwa muda kidogo kwa views na comments.
Mfano:- ametoa wimbo tar 11 December kwa channel mbili tofaut you tube, moja ina view laki tano na kitu, na ningine yenye English subtitle ina viewers laki nne kasoro (had muda huu napoandika hii post) wakati huo huo Belle 9 alietoa wimbo wiki moja kabla yake, viewers hawajafika hata elf arobain, huku Jux alietoa siku moja kabla yake akiwa na viewers elfu therathin na kitu, Kaka angu Kala jeremiah pia nae kaachia kichupa chake bora kabisa tangu aanze mziki siku hyo hyo lakin viewrs bado hata elfu therathin ( Had muda huu napoandika hii post)
Swali je , kuna mbinu gani nyingine ambazo Diamond anatumia kutangaza mziki wake, ili na wasanii wengine waige? maana kazi zao ni nzuri tu, na wengi wanafanya vyema sana (Hongera kwa Navy Kenzo,Weusi na Vannesa,jIDE na The legend himself AY-Pioneer wa kupeleka mzik wa Tz Nje.
Sitaki kuamin kwamba ni msanii bora kuliko wote wali wahi tokea ndo maana amekuwa na record ambazo hazijawahi tokea, sitaki kuamin kwamba ni bahati, kwamba sijui ananyota kali kuliko wengine, sitaki kuamini , sitaki kuamini, Nachodhani ni mbinu fulani ya kibiashara ambayo wengine hawajaijua, au hawaujui, na hata wafanyabiashara na wafanyakazi wengi sisi tunaojaribu kupenya katika masoko ya kimataifa ni wakati sasa wa walau kujifunza vitu vichache vilivyowork kwa huyu jamaa na kuangalia namna ya kuviapply katika field zetu, iwe ni katika Employment,Business,Entertainment etc etc.
So Thread hii itumike kwa wadau mbalimbali kutoa mawazo yao, unadhani ni mbinu gani, au ni njia zipi zimemfanya Diamond kupenya katika international markets, ili Wasanii wengine na hata watu wa field nyingine waweze kucopy ili tuzid kupenya kimataifa zaid na zaid.
Wasanii wengi wanatoa video kali sasa hiv, na video nyingi zinapata access kwenye international media, lakin bado hawajapenya, so ina maana kuna kitu zaid ya kuwa na video kali, Collabo ??? wasanii wengi tu washafanya collabo za kimataifa lakin still hawakufika alipo fika Diamond, so Ni kitu gan kingine ambacho hatukijui?? Ni kama kwenye soko la ajira mtu akwambie uwe na PHd au Masters ya kitu fulani ndo upate kazi mahali fulani lakin still unakuta bado wabongo wenye hizo qualification wanapuliza, ina maana kuna code fulan bado hawajaibinya sawa sawa, so ni code gani hiyo???
Karibuni!!!
Ni fan wa Diamond si kwa sababu huwa napenda mziki wake at first place, Big NOOOOO! Nimejikuta nakuwa fan wa huyu jamaa kwa sababu mimi ni muumini wa Uzalendo ,ambao unanifanya niwe na shauku kubwa ya kuona jina la Tanzania linang'aaa zaid na zaid katika anga la kimataifa.
Napenda nyimbo zake ndiyo lakin si kwa uwingi na level ya kulinganisha navyo penda nyimbo za TID,Ben Paul,Marlow,Belle, Jux,Barnaba, Ibrah, Mangwair (RIP),MB Dog,Christian Bella na wengine wengi
Lakini mwisho wa siku najikuta tu nakubali kuwa He is the best, na ndo King wa hii industry na hii industry haikuwah pata mtu kama yeye (Mr Nice records considered well)
At the same time, Najisikia vibaya pale ambapo Wajasiriamali wabunifu wa Mfano Kenya na Rwanda, wanang'aa zaid katika international spot light kuliko vijana wetu wabunifu wa kitanzania ambao nao wana products nzuri tu, na start ups zao zinakick zaid kuliko hata hao ( Tembelea KINU na BUNI uone vijana hawa)
Najisikia vibaya napoona These big NGOs na other international firms vyeo vingi vya juu ,vinashikiliwa na watu kuitoka nje, same kwa big hotels na chochote kile chenye harufu ya ukimataifa basi sura ya Mbongo huwa ni ya kutafta sana, ukiipata inakuwa bado ina binywa, wakati tuna wasomi wetu wengi sana ambao wanauwezo mzuri sana.
Huku kujisikia vibaya hakuishii hapo tu, kunaenda kwenye michezo,Movie,had kwenye kuuza utalii wetu wa ndani. Na ndo hapo napopata conclusion kuwa pengine tatizo letu wabongo si ubora wa bidhaa, au ubora wa kazi, au Kujituma katika kutengenza kazi nzuri,au Elimu na Maarifa au uzuri wa vipaji, HAPANA, Hivyo vyote tunavyo vingi, na tumejaliwa sana . Tatizo Pengine ni kuwa WATANZANIA SIYO WAZURI SANA KATIKA KUUZA KAZI ZETU,KATIKA KUJIBRAND NA KATIKA KUTANGAZA UBORA WETU.
Ndo maana Marehem Kanumba, japo siyo kwamba alikuwa ni bora kuliko JB na Richie Richie ( According to my sister & My wife ) ambao ni wadau wakubwa wa Bongo Movie lakin aliweza kuanza kupenya na akafanikiwa kuiweka industry ya movie mahali fulani.
Swali ni kuwa is Diamond platnumz really that good??, Kwa sasa yeye ndo msanii bora Africa( MTV Emma),Akitoa wimbo hauwi tena topic ya kujadiliwa Jamii forums tu,tena kwa thread moja kama wasanii wengine, au XXL au FNL tu, inakuwa topic duniani huku mitandao top ya Naigeria,SA,na Kenya. (Watu wenye viburi barani Afrika) ikiongoza kumjadili, huku Vituo kama MTV base,Trace etc vikiback up huku Instagram na Youtube vikisimama kwa muda kidogo kwa views na comments.
Mfano:- ametoa wimbo tar 11 December kwa channel mbili tofaut you tube, moja ina view laki tano na kitu, na ningine yenye English subtitle ina viewers laki nne kasoro (had muda huu napoandika hii post) wakati huo huo Belle 9 alietoa wimbo wiki moja kabla yake, viewers hawajafika hata elf arobain, huku Jux alietoa siku moja kabla yake akiwa na viewers elfu therathin na kitu, Kaka angu Kala jeremiah pia nae kaachia kichupa chake bora kabisa tangu aanze mziki siku hyo hyo lakin viewrs bado hata elfu therathin ( Had muda huu napoandika hii post)
Swali je , kuna mbinu gani nyingine ambazo Diamond anatumia kutangaza mziki wake, ili na wasanii wengine waige? maana kazi zao ni nzuri tu, na wengi wanafanya vyema sana (Hongera kwa Navy Kenzo,Weusi na Vannesa,jIDE na The legend himself AY-Pioneer wa kupeleka mzik wa Tz Nje.
Sitaki kuamin kwamba ni msanii bora kuliko wote wali wahi tokea ndo maana amekuwa na record ambazo hazijawahi tokea, sitaki kuamin kwamba ni bahati, kwamba sijui ananyota kali kuliko wengine, sitaki kuamini , sitaki kuamini, Nachodhani ni mbinu fulani ya kibiashara ambayo wengine hawajaijua, au hawaujui, na hata wafanyabiashara na wafanyakazi wengi sisi tunaojaribu kupenya katika masoko ya kimataifa ni wakati sasa wa walau kujifunza vitu vichache vilivyowork kwa huyu jamaa na kuangalia namna ya kuviapply katika field zetu, iwe ni katika Employment,Business,Entertainment etc etc.
So Thread hii itumike kwa wadau mbalimbali kutoa mawazo yao, unadhani ni mbinu gani, au ni njia zipi zimemfanya Diamond kupenya katika international markets, ili Wasanii wengine na hata watu wa field nyingine waweze kucopy ili tuzid kupenya kimataifa zaid na zaid.
Wasanii wengi wanatoa video kali sasa hiv, na video nyingi zinapata access kwenye international media, lakin bado hawajapenya, so ina maana kuna kitu zaid ya kuwa na video kali, Collabo ??? wasanii wengi tu washafanya collabo za kimataifa lakin still hawakufika alipo fika Diamond, so Ni kitu gan kingine ambacho hatukijui?? Ni kama kwenye soko la ajira mtu akwambie uwe na PHd au Masters ya kitu fulani ndo upate kazi mahali fulani lakin still unakuta bado wabongo wenye hizo qualification wanapuliza, ina maana kuna code fulan bado hawajaibinya sawa sawa, so ni code gani hiyo???
Karibuni!!!