In Uganda, people of Kasese almost killed health officials following their illicit move of burying an empty coffin which they claimed to be carrying the Covid-19 dead body.
This came after the long lived and widespread rumours in Uganda, that the government is creating the artificial atmosphere of covid-19 fear in the country by burying coffins of phony Covid-19 dead bodies.
When the health officials well dressed in PPEs arrived at Kasese with a coffin ready for burial rituals, the angry crowd demanded the coffin to be opened first.
When was opened, the coffin had nothing inside but some old dirty clothes. This left everyone at that crowd in unspeakable disbelief.
Kila siku tunawaambia COVID ni michongo ya watu nyie mnashupaza shingo. Njia ya kuwatishia watu wa Africa mashariki ilikuwa ni kupitia Uganda kwa mpenda shilingi Museveni.
Na mama Samia alivyo mwepesi kashaingia Kingi kwa uoga, mara barakoa mara chanjo. Mi nilishaapa hata uniwekee bunduki shingoni sichanjwi sababu nina information za kutosha. Nyie mnaowaamini wazungu endeleeni kuwaamini Ila muda ni mwalimu mzuri sana.
My goodness!!! And you believe this to be such a great comment, right!??? Why in the world would you even think they are really commoners, or better yet, that the so-called commoners are so common as to lack those seemingly expensive and not-easily-accessible supplies!???
I don't have to do anything at all, let alone counter your guesswork. A person who asserts a proposition has full responsibility to prove it's validity, veracity, truthfulness, accuracy, and even relevance. Do you understand, now!???
Kila siku tunawaambia COVID ni michongo ya watu nyie mnashupaza shingo. Njia ya kuwatishia watu wa Africa mashariki ilikuwa ni kupitia Uganda kwa mpenda shilingi Museveni. Na mama Samia alivyo mwepesi kashaingia Kingi kwa uoga, mara barakoa mara chanjo. Mi nilishaapa hata uniwekee bunduki shingoni sichanjwi sababu nina information za kutosha. Nyie mnaowaamini wazungu endeleeni kuwaamini Ila muda ni mwalimu mzuri sana.
Mkuu articles zipo nyingi sana hadi za videos hàta za madaktari mabingwa wa US na European Union wanaelezea uzushi wa COVID na madhara ya chanjo ndani ya miezi 24 hadi 36. Ila kama haupo tayari kuelewa huwezi kuelewa mfano ni huyo jamaa hapo juu anayekubishia akileta idea kwamba pengine hao raia wa Uganda wanaigiza.
Ukamuuliza wamepata wapi PPE's bado anabisha.. hao ndo watanzania ninaotamani waletewe chanjo wazikimbilie, baadae ziwanyonge figo na side effects kibao ndo wapate akili. Nakuhakikishia hakuna Raisi wa nchi yoyote duniani aliyepigwa chanjo,wote wanazuga tu mbele ya camera.
Also see: Anti-Vaccine Warrior Brandy Vaughan of “Learn The Risk” Found Dead: Brandy Vaughan was a sales representative for Merck Pharmaceuticals that figured out the danger and risk of that indust…
Also see: Anti-Vaccine Warrior Brandy Vaughan of “Learn The Risk” Found Dead: Brandy Vaughan was a sales representative for Merck Pharmaceuticals that figured out the danger and risk of that indust…
Yaani wewe unaamini hao vichaa? Inaonesha jinsi gani bongo yako ni primitive. Ndiyo maana nikakuambia unasikiliza habari za vijiweni, vijiwe siyo tu huko Namtumbo ulipo, hata hao ambao unawahusudu kwa kiingereza chao kwao kuna vijiwe.
Yaani wewe unaamini hao vichaa? Inaonesha jinsi gani bongo yako ni primitive. Ndiyo maana nikakuambia unasikiliza habari za vijiweni, vijiwe siyo tu huko Namtumbo ulipo, hata hao ambao unawahusudu kwa kiingereza chao kwao kuna vijiwe.
Sawa sawa, yawezekana pia unayejiona mjanja ukawa ndo fala wa mwisho. Kama umechanjwa au ndugu yako yoyote kapigwa huo u.senge unaoitwa chanjo nakuhakikishia ndani ya miezi 24 lazima utaanza kupata matatizo kwenye mwili wako, hilo sio ombi ni lazima tu.
Sawa sawa, yawezekana pia unayejiona mjanja ukawa ndo fala wa mwisho. Kama umechanjwa au ndugu yako yoyote kapigwa huo u.senge unaoitwa chanjo nakuhakikishia ndani ya miezi 24 lazima utaanza kupata matatizo kwenye mwili wako, hilo sio ombi ni lazima tu.
Nipo kamili gado kaka, nitakutafuta baada ya hiyo miezi 24. Ila hata hicho ulichoandika hapa kimewezeshwa na huo usenge wa wazungu, labda kama smartphone yako unayotumia imetengenezwa kwa uwezo wa kinjeketile
Twende pamoja.
Corona ilipoanza kushika kasi barani Afrika, baadhi ya nchi zilijiwekea utaratibu ili kuthibiti kuenea na kupelekea maafa kwa raia wake.
Hapa Afrika mashariki tunafahamu kila taifa lilikuwa na msimamo wake ili kujikinga na janga hilo la corona, although huko London uingereza wananchi wamegoma kulishwa matango poli kuhusu hilo gonjwa.
Mpaka sasa bado hatujaona au kusikia hisia zenye kuleta neema ya kuepuka ugonjwa huu, pamoja na kuwepo kwa inayosemwa kuwa kinga na ambayo inasambazwa kwa baadhi ya nchi duniani.
Kuna kituko hapo nchi jirani ya Uganda, Wananchi wanadai serikali yao inazika majeneza tupu ili kuaminisha watoa misaada kuongezeka kwa covid ili serikali ipate mikopo.
Wananchi wameanza kuhisi harufu ya udanganyifu, toka Museveni kutangaza aina ya tatu ya kirusi hatari cha corona na kuzuia baadhi ya shughuli kuendelea, inasemekana kuna sinema inachezwa hapo
Are you sure kwamba siyo wananchi wenyewe wasiopenda jambo hilo la chanjo ndio wanaotengeneza movie hii na kuichezesha wao wenyewe kisha wanaisingizia serikali yao!??? Where is the evidence!???