cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Cha kujiuliza ni kwamba kwanini wananchi wakatae chanjo ya coronavirus lakini chanjo zingine wazikubaliAre you sure kwamba siyo wananchi wenyewe wasiopenda jambo hilo la chanjo ndio wanaotengeneza movie hii kisha wanaisingizia serikali yao!??? Where is the evidence!???