Cha kujiuliza ni kwamba kwanini wananchi wakatae chanjo ya coronavirus lakini chanjo zingine wazikubaliAre you sure kwamba siyo wananchi wenyewe wasiopenda jambo hilo la chanjo ndio wanaotengeneza movie hii kisha wanaisingizia serikali yao!??? Where is the evidence!???
Wala hili halishangazi hata kidogo. What if chanjo hii ya Kovidi-19, tofauti na chanjo zingine, yenyewe ina madhara na kwamba ni suala la kimkakati!??? Are you sure, even!???Cha kujiuliza ni kwamba kwanini wananchi wakatae chanjo ya coronavirus lakini chanjo zingine wazikubali
Shida yetu waafrika kusoma hatutaki, tunataka kucheza ngoma na kutunzwa tu.Yule tapeli Museven yuko bize anazika maboksi.
Kawafungia watu wake ndani wanataabika, anawachapa mijeledi kwa kutumia mapolisi wake katili — kumbe issue ni pesa tu!
Na huyu Bibi Kidude wetu ameanza na naona anakuja kwa kasi, sijui kapewa mapesa kiasi gani!
Na anasema ataanza kuchanja kwanza wanajeshi.... whaaaat!!!
View attachment 1822095
Angalia vizuri mwishoni. Maiti imo na marehemu alifariki kwa kisukari huku akiwa na corona vilevile. Link hiyo hapo:Tapeli Museven at work!
Anamdanganya nani?
Kuwatesa kote kule watu wake kumbe yeye lengo lake ni kuvuna mapesa ya wazungu!
Zee chenga sana hili!
Wasikilize na utajua nchi gani hiyo. Search hiyo post facebook kwa maelezo ya kina!!1. Je una hakika ni Uganda!???
2. Una ushahidi kwamba hili si suala la kutengeneza ili kuichafua serikali!???
mtakufa kwa kung'ang'ania ujingaOk, kadungwe chanjo.
Kinachohitajika kama waafrika wataungana vizuri waambiwe chanzo cha coronavirus.Yawezekana wazungu wametengeneza virusi ili kuongeza utegemezi kwa mataifa mengine ili wao waendelee kuwa juu kiuchumiWala hili halishangazi hata kidogo. What if chanjo hii ya Kovidi-19, tofauti na chanjo zingine, yenyewe ina madhara na kwamba ni suala la kimkakati!??? Are you sure, even!???
Ujinga ni pale unapopinga kitu akisha huna elimu nacho, umechanjwa tangu utotoni hukujua zinatoka wapi, aidha wazee wako walikuwa wajinga na wewe kama una mtoto utakuwa mjinga. Unajua dawa za Hospital zimetoka wapi?Kuna ujinga zaidi ya kubugia machanjo bila kujua yametoka wapi?
Actually, siwalaumu sana the so-called Wazungu; matatizo mengi yanayolisibu Bara zuri la Afrika ni ya kujitakia na kujitafutia. The people of Africa plus their leaders are the ones to blame.Kinachohitajika kama waafrika wataungana vizuri waambiwe chanzo cha coronavirus.Yawezekana wazungu wametengeneza virusi ili kuongeza utegemezi kwa mataifa mengine ili wao waendelee kuwa juu kiuchumiView attachment 1822101
Ujinga ni kudhani kuwa kama jirani yako tangu utotoni amekuwa akikuleteeni mkate wa msaada, basi na leo, kwa vile tu amebeba mfuko uleule, na amekuja majira yaleyale, na anatumia maneno yaleyale ya ufadhili na huruma na hisani, basi lazima pia, by default, ameleta mkate uleule.Ujinga ni pale unapopinga kitu akisha huna elimu nacho, umechanjwa tangu utotoni hukujua zinatoka wapi, aidha wazee wako walikuwa wajinga na wewe kama una mtoto utakuwa mjinga. Unajua dawa za Hospital zimetoka wapi?
Afu Kuna wajinga wanasema waafrika tuna akili, nimskie tena mtuAmani kwako mdau.
Twende pamoja.
Corona ilipoanza kushika kasi barani Afrika, baadhi ya nchi zilijiwekea utaratibu ili kuthibiti kuenea na kupelekea maafa kwa raia wake.
Hapa Afrika mashariki tunafahamu kila taifa lilikuwa na msimamo wake ili kujikinga na janga hilo la corona, although huko London uingereza wananchi wamegoma kulishwa matango poli kuhusu hilo gonjwa.
Mpaka sasa bado hatujaona au kusikia hisia zenye kuleta neema ya kuepuka ugonjwa huu, pamoja na kuwepo kwa inayosemwa kuwa kinga na ambayo inasambazwa kwa baadhi ya nchi duniani.
Kuna kituko hapo nchi jirani ya Uganda, Wananchi wanadai serikali yao inazika majeneza tupu ili kuaminisha watoa misaada kuongezeka kwa covid ili serikali ipate mikopo.
Wananchi wameanza kuhisi harufu ya udanganyifu, toka Museveni kutangaza aina ya tatu ya kirusi hatari cha corona na kuzuia baadhi ya shughuli kuendelea, inasemekana kuna sinema inachezwa hapo
View attachment 1822079