Is non theism mindless?

Is non theism mindless?

Atheism isn't a faith. You can't have faith in nothing. I do on the other hand have faith in humanity.
Non theists mindlessly BELIEVE that no God exists.

Non theists don't lack a belief. Rocks lack a belief. Do you seriously mean to tell me non theists lack a belief position in whether or not God exists?



God is a construction of our imaginations, something theists hope is true, so that their lives have purpose, so that they have something to look forward to. It's a safety blanket for those who can't face the idea of death's finality. When you die, there's nothing, your body degrades, and that's all that happens. Ishmael, that scares you, and its why you are so passionately defending a sinking ship.

I already answered this. Because God has no beginning to His existence.

Only that which BEGINS to exist requires a cause.

Your failure to distinguish belief in God (ontology) from a zillion differing views ABOUT God (epistemology) or god (mythology) is your failure, not mine.

Do multiple different views of a car accident multiply the number of car accidents?


God is a concept because, as i've said, all evidence towards him/she/it/them is circumstantial; it can all be explained by something else.
Nope, logic demands that anything that BEGINS to exist requires a cause to explain it's existence. Something cannot come from nothing.

My logic is perfect.




Just because QM is not easily explained does not mean that its because its god! QM is the one and only aspect of science and mathematics that even indirectly suggests a god. The only one! Yet you come here with your overly inflated head, simply because you watched a few youtube videos on the matter, and act like a superior! I strongly doubt that you are a physicist, yet you lord the QM topic as though you had a vital part in its conception!

Nope. Your failure to engage evidence is not a failure of the evidence.
Your non theist belief that no God exists is not justified by your intellectual laziness.

Further, you have utterly failed to demonstrate a logical flaw in any of the many arguments and evidence I have presented. Your claim is hollow - and demonstrably false.

Put yourself down a few pegs, we are clearly just as wise about the matters of the universe. Neither one of us can conclusively say the other is wrong. You don't know anything that i don't know. Therefore, don''t act like the authority on god. Learn to be a little open-minded, you learn more that way.
Unfortunately for you, science has ruled out that option. The Universe BEGAN to exist about 13.8 billion years ago. It cannot self-exist. This has been explained to you many times. Hopefully, the logic will stick this time

I understand you have great faith in your Naturalist dogma, but I'm sticking with science and reason. You have no case.

100% of the non theists claiming to have arguments and evidence (rather than being honest) have in fact failed to produce any such thing - including you.

There is a real problem with atheist intellectual foundations. I'm just providing the platform for you to expose yourselves.
 
Leo nitajibu maswali mbali mbali ya Wapinga Mungu ambayo kila siku wanayatuma hapa. Nimetoa ruhusa kwa mtu yeyote yule kuyatumia popote pale atakapo.

Nitaanza kuweka maswali 5 na majibu yake, kila siku.

1. Swali: Kwa kuwa Mungu aliumba kila kitu, je aliumba giza, uovu, na mashimo ardhini? Kama aliumba uovu, haonyeshi kuwa mzuri mkamilifu. Kama sivyo, yeyote aliyeumba anaonyesha kuwa muumbaji pia.

Jibu: Mungu aliiumba vitu vyote. Giza si kitu, bali ni kutokuwepo au upungufu wa mwanga. Uovu si kitu, bali kutokuwepo au kupotoa mambo mema. Mashimo, giza, na maovu hayakuumbwa moja kwa moja na Mungu, lakini yametokea kama marudiorudio, au "matokeo ya maisha" ya mada, mwanga na mambo mema. Hivyohivyo, kivuli si kitu kinachojitegemea, kikiwa na mada, nishati, au roho. Hata hivyo, mimea inaweza kufa kwenye kivuli.


2. Swali: Kwa kuwa Mungu aliumba kila kitu kikiwa kizuri, kwa nini radi, milipuko ya magonjwa na majanga mengine hutokea?

Jibu: Kila kitu kilikuwa kizuri mwanzoni. Lakini Warumi 8:20-22 inaonyesha kuwa tokea wakati wa anguko, dunia "ilitiishwa chini ya ubatili" pia. Ulimwengu wote upo chini ya utawala wa mwovu(1 Yohana 5:19), na mkuu wa dunia hii ni Shetani kwa mujibu wa Yohana 12:31; 14:30.

3. Swali: Kwa nini Mungu aliwaumba Adam na Hawa, kwa kuwa Munug alijua kabla kwamba hawatamtii?

Jibu: Pamoja na Mungu kujua kuwa watafanya dhambi, anatuambia vitu kadhaa kutuonyesha kuwa kwa nini aliumba watu.
Kwa utukufu wake: Mungu aliumba watoto wake kwa utukfu wake. Isaya 43:7; 61:34.
Watu wa kuwapenda: Mungu anatupenda sana. Zaburi 145:9,17; 1 Yohana 3:1.
Kuwa watoto wake: 1 Yohana 3:1-2; Wagalatia 3:28, Warumi 8:15-17.
Kuishi ndani mwetu: 1 Yohana 4:12-16; Warumi 8:9-11.
Mungu hataki mtu yoyote apotee. Ezekiel 18:23, 32; 33:11; 2 Petro 3:9. Hata hivyo, Mungu hajuti kwa kuwaumba watu ambao walipopewa nafasi walichagua kwa hiari zao wenyewe kumkataa. Mungu aliishajua kabla kuwa watafanya dhambi, na bado hakupenda kuingilia uchaguzi wao au "kutokuwaumba."
Huenda moja ya sababu ya Mungu kuwaumba viumbe ambao watakuwa na sura yake inafanana na sababu ya wazazi kuwa na watoto. Ni kweli, watoto wana gharamua: nepi, chakula, na kweli wanasababisha maumivu ya kichwa tokana na kuugua, kuumia, na kutokutii lakini pamoja na hayo yote upendo unawafanya wastahili kuwepo.


4. Swali: Kwenye Mwa 2:16, kwa nini Mungu alimuumba Adam hali alijua kuwa ataanguka dhambini?

Jibu: Mungu anaweza kufanya kitu chochote kile, lakini mantiki ya kutokuwezekana si kitu. Mungu hawezi kumuumba kiumbe ambaye anachagua kumtii kama kiumbe huyo hawezi kuchangua kumtii Mungu. Kuweza kuchagua kumtii Mungu kunamaanisha kuwa na uwezo wa kuchagua kutokumtii Mungu.

5. Je Mungu aliumba maovu?


Jibu: Mwanzo yaweza oneekana ya kwamba ikiwa Mungu aliumba vitu vyote, kwa hivyo hata uovu uliumbwa na Mungu. Ingawaje uovu siyo "kitu" kama mwamba au umeme. Huwezi kuwa na ghala la uovu. Uovu hauwezi kujitegemea; ni kutokuwa na uzuri halisi. Kwa mfano, shimo ni kitu wazi, lakini linaweza kuwa kitu kingine. Tunaita ukesefu wa ugumu shimo, lakini haiwezi tenganishwa na ugumu. Kwa hivyo wakati Mungu aliumba, ni kweli kwamba vyote alivyo viumba vilikiwa vizuri. Kati ya kitu kizuri Mungu aliumba, vilikuwa viumbe vyenye uhuru wa kuchagua lililo jema. Ili tuwe na chaguo halisi, Mungu aliweza kuruhusu kuwepo na jambo kando ya jambo jema ili kuwepo na chaguo. Kwa hivyo Mungu aliruhusu hawa Malaika huru na Wanadamu kuchagua jema ama kukataa lililo jema (uovu). Wakati uhusiano upo kati ya vitu viwili vizuri, huwa tunasema kwamba huo ni uovu, lakini hiyo haiwezi kuwa "kitu" kilicho mlazimisha Mungu kukiumba.

Hata elezo zaidi litazaidia. Ikiwa mtu ameulizwa, "Je baridi huwepo?" pengine jibu litakuwa "ndio" ingawa hii huenda isiwe kweli. Baridi haiwepo, bali huja kunapokosekana joto. Vile vile, giza haliwepo; ni kutokuwa na mwangaza. Kwa hivyo uovu ni kutokuwa na wema, ama uzuri, uovu ni kukosekana na uwepo wa Mungu. Haikumlazimu Mungu kuumba uovu, lakini kuhurusu uovu kwa kukosa kwa wema.

Mungu hakuumba uovu, lakini uruhusu uovu uwepo. Kama Mungu hangeruhusu nafasi ya uovu, wote Mwanadamu na Malaika wengemtumikia Mungu kwa lazima, bali si kwa kuchagua. Mungu hakutaka "miigizo" kwa ufupi yenye ingefanya chenye aliwataka wafanye kwa sababu ya "ratiba" yao. Mungu aliruhusu jukumu la uovu ili tuwe na nia njema ya kweli na kuchagua ikiwa ama hatukutaka kumtumikia.

Kama binadamu walio na mwisho, hatuwezi kuelewa vilivyo Mungu asiye na mwisho (Warumi 11:33-34). Wakati mwingine twafikiri tunaelewa ni kwa nini Mungu anatenda jambo Fulani, kisha baadaye twagundua kwamba ilikuwa kwa dhumni tofauti mbali na lile tulilofikiri mbeleni. Mungu huvitazama vitu kwa hali ya utakatifu na mtazamo wa milele. Twavitazama vitu kutoka hali ya dhambi, kidunia au mtazamo wa muda. Ni kwa nini Mungu alimweka mwanadamu duniani akijua Adamu na Hawa watasini na kwa hivyo walete uovu, kifo, na matezo kwa mwanadamu? Ni kwa nini Hakuweza kutuumba wote na atuache tukae mbinguni kwenye tutakuwa wakamilifu na bila kuwa na matezo? Maswali haya hayawezi kujibiwa sehemu hii ya mbinguni. Chenye tunaweza kujua ni kwamba kama Mungu hutenda kazi takatifu na kamilifu na mwishowe itampa utukufu. Mungu aliruhusu jukumu la uovu ili atupe chaguo la kweli ikiambatana kama tunaweza kumwabudu. Mungu hakuumba uovu, lakini alihurusu. Kama hangeruhusu uovu tungemwabudu kwa idhini, si kwa chaguo la nia yetu.

Mungu awabariki na tuendelee kujifunza.
 
Is that all you got?
Leo naendelea kujibu maswali ya Wapinga Mungu kama nilivyo sema jana. Maswali na majibu matano ya leo. Nimetoa ruhusa kwa mtu yeyote yule kuyatumia popote pale atakapo.

6. Swali: Je, Mungu nin Mkamilifu?

Jibu: Kwanza tukubaliane kwamba Mungu aliishi katika ukamilifu kabla mwanzo wa uumbaji. Kabla ya mwangaau hewa au nyota kuwako Mungu alikuwa ametulia ndani ya ukamilifu wake (mwanzo 1:2). Kama ni ushirika hakuna wakati ambao alikuwa nafsi pekee na pweke. Mungu amekuwako katika ushirika wa utatu kabla ya hatamtu kuumbwa (Mwanzo 1:26; angalia pia Mat 3:13-17; 28:19). Hakuhitaji chochote kilichofanyika kifanyik ili kumkamilisha.

Isipokuwa ndani yake ndimo ulimokuwamo uzima kamili— uzima uliojaa tele na hata ziada yake kumwagika kama nuru inayosambaa gizani (Yohana 1:4). Kwa hiari yake mwenyewe, Mungu aliamua kuumba ili kushiriki na wengine uzima uliomjaa. Aliwatoa malaika na wanadamu toka katika giza la kutokuwepo na kuwaingiza nuruni mwa uwepo wake.


7. Swali: Kwanini Mungu alitoa Uhuru kwa Viumbe Vyake? Je, inamaana Mungu aliumba maouvu na mabaya?

Jibu: Kati ya zawadi nono ambazo Mungu amewahi kuwazawadia malaika na wanadamu ni zawadi ya uhuru wa kuchagua. Malaika wapewa uhuruwa kuabudu. Kama viumbe chini yake, Mungu aliwapa malaika uhuru kamili— uhuru wa kumwabudu au kumkufuru. Mungu alifanya kama alivyotaka kwamba viumbe vya mbinguni viwe na hiari ya kuitikia wema na uweza anaoufunua kwao au la. Kuliko wanadamu, tumeona Mungu aliwapatia malaika ukaribu wa kumfahamu. Na bado maserufi na makerubi walikuwa huru, bila shuruti, kumtambua Mungu, kumkubali, na kumtangaza kama alivyojifunua kwao. Lakini, uwepo wa uchaguzi huo unaashiria uwepo wa uwezekano wa uasi— uwezekano wa malaika kumkataa Mungu, kumpinga, au kumtukana kinyume na alivyojifunua kwao. Na ndivyo Mungu alivyotaka aabudiwe katika mazingira hayo; la sivyo, ibaada haina maana.

Kwa Mungu uhuru wa uchaguzi ni wa thamani kama ibaada yenye maana. Bora mbingu iwe kimya kuliko kujazwa na keleleza waimbaji wanaonyanyua sauti zaojuu katika sifa huku mioyoyao ikinyong'onyea chini kwa chini. Au hafadhali mbingu zikose waabudu kuliko kujazwa na viumbe-roboti vinavyoabudu kwa kukariri na si kwa ufahamu wa akilini na ushawishi wa moyoni. Mungu, kama mwanamume yeyote aliyeumbwa kwa mfano wake (mwanzo 1:26), anafurahia upendo wa hiari toka kwa viumbe vyake;
Kadhalika Mungu alipomuumba mwanadamu alimfunulia upendo wake na uhuru wa kumtii au kumwasi. Kwa juma zima kitabu cha Mwanzo kinaonyesha Mungu akiumba. Na rekodi inaonyesha Mungu hakuumba chochote isipokuwa kilicho "chema." Siku ya Kwanza aliumba nuru akaiita "njema' (1:4); ya pili aliumba anga; ya tatu akaumba nchi kavu na mimea akaona "vyema" (1:12); siku ya nne jua na mwezi na kuona "vyema" (1:18); siku ya tano akaumba ndege na samaki; siku ya sita akafanya wanyama wa nchi kavu na wanadamu nakuona alichokifanya ni "chema sana"(l:31); na siku ya saba Mungu akaumba pumziko (sabato) na kuifurahia sana. Kama mama mjamzito anavyojiandaa kwa mtoto, Mungu alimuumbia mwanadamu mema tu. Adamu alipaswa aitikiaje ukarimu wa Mungu kama sio kwa upendo?

Bila shaka Mungu alitazamia kupokea upendo wa moyoni toka kwa wanae aliowabarikia mema. Mungu mkarimu hastahili upendo nusu. Upendo uliopungukiwa na uhuru wa uchaguzi si sadaka iliyokamilika. Adamu akimpenda Mungu kwa kuwa hawezi kumchukia, hawezi kuwa mwabudu huru. Lakini Mungu hakumzungushia Adamu ushahidi wa upendo wake? Uzuri wa uumbaji wake si uzio wa kuwazuia wanadamu kutomuasi isipokuwa kumsifu siku zote? Hapana, Mungu hatendi mema kama rushwa ya kuwanunua waabudu. Hakufanya kwa Ayubu kama shetani alivyodai (Ayu 1:8-12), na hakuanzia hapo. Japo Mungu alimpa Adamu miti yote ya miti ya bustani kwa chakula, akamnyima kula matunda ya mti ulio katikati ya bustani ya Edeni (Mwa 2:16-17). Na kwa hali hiyo uhuru wa kuchagua. Kuchagua kuishi kwa kumtii Mungu, kula matunda aliyoruhusiwa, au kumuasi kwa kula matunda aliyokatazwa. Katika mazingira hayo, na si mengineyo, Mungu aliweza kufurahia utii wa hiari wa wazazi wetu wa kwanza.



8. Swali: Kuna hoja gani ya umbo na muundo wa ulimwengu kwenye Mwanzo 1?

Jibu: Kwanza, ifuatayo ni njia rahisi na yenye mantiki rahisi yenye kuelezea.
Huwezi kupata kitu bila kuwa na kitu (kingine). Kila kitu kilichoumbwa kilihitajika kuumbwa. Hata vitu vya kwanza kuumbwa vilihitajikwa kuumbwa na kitu/mtu mwingine ambaye aliisha kuwepo. Kwa hiyo, panatakiwa kuwa na kitu au mtu ambaye hajaumbwa na anaishi milele.

Yafuatayo ni maelezo makali; maana ni zangu mwenyewe.
Tunadhani kuwa kila mtu anaufahamu wa kutosha kuweza kuwa na maana inayofaa ya mantiki, kupingana na kutopingana, tukio, mchakato, "ndani ya", kitu, mkusanyiko, muda, mada, nishati, roho, chanzo, kilichosababishwa na, na matokeo.

Uwepo halisi kunafafanuliwa, katika makala hii, kuwa ni kuwepo kwenye ulimwengu huu, kuwa na uwezo wa kuathiriwa na kitu mojawapo hapa ulimwenguni, au kuwa na uwezo wa kuathiri kitu kimojawapo hapa ulimwenguni. Huu ni ufafanuzi mfinyu sana wa kuwepo/kuishi, kwani unashindwa kuhusisha mawazo, mienendo, na mambo mengine. Kwa hiyo, hebu na tuuite uwepo "halisi" na tufanye majadiliano yetu hapa yakomee kwenye uwepo halisi.

Kitu halisi kinafafanuliwa hapa kuwa ni kitu au mkusanyiko au mada, nishati, roho, au mchanganyiko wenye kuwa na uwepo halisi. Ukweli wa kimantiki, ukinzani wa kimantiki, na ushahidi wa kihesabu havichukuliwa kuwa vitu hapa.

Uwepo wa kimelea, kama kitu cha ndani, unfafanuliwa kuwa ni uwepo halisi wa vitu ambavyo si vitu halisi. Mashimo, giza, upungufu, kutokuwa sahihi, na maovu si mada, nishati, au roho, lakini kama ambavyo kivuli kinaweza kuua mimea ambayo inahitaji jua, au upungufu ea chakula unavyoweza kuua mtu, vivuli na upungufu wa chakula vina uwepo halisi licha ya kutokuwa vitu halisi.

Ulimwengu unafafanuliwa hapa kuwa ni mkusanyiko wa vitu halisi ambavyo vipo kiuhalisi. Tazama kuwa katika ufafanuzi huu, ulimwengu unajitisheleza, na Mungu (tuchulie kuwa Mungu yupo, ni roho na anaweza akaathiri vitu) yupo ulimwenguni.

Kutokwepo (nothing) kunafafanuliwa kuwa ni kitu ambacho hakijawahi kabisa kuwepo, au ambacho hakijawahi kuwa na uwepo wa kweli/kihalisi wakati wowote ule. Kwa maneno mengine, kabla hakijaumbwa [au baaday ya kuharibiwa], kitu halisi hakipo ulimwenguni, hakiuathiri ulimwengu, na hakiathiriki na ulimwengu.

Uumbaji unafafanuliwa hapa kuwa ni tukio au mchakato wa kufanya kitu halisi kipya. Kuumba kunatofautishwa na "kubadilisha", ambako hakuhitaji chanzo chochote mbali ya kitu chenyewe. Kuumba kitu halisi kipya kunaweza kuhusisha kubadilisha au kuharibu kitu halisi kilichowahi kuwepo, lakini hakulazimiki kufanya hivyo. Hata hivyo, angalia sehemu inayofuata.

Hakuna kitu kinachoweza kuwepo kutokana na kitu kisichokwepo. Kitu chochote halisi kilichoumbwa kinahitaji chanzo cha kuumbwa kwake. Kwa maneno mengine, hakuna kitu kinachoweza kuumbwa isipokuwa kitu/vitu vinginie vimekiumba.

Hakuna kitu kinachoweza kujiumba chenyewe. Hakuna kitu kinachoweza kujiumba chenyewe. Ingawa vitu halisi vinaweza kujibadilisha wakati mwingine, au kujiharibu vyenyewe, hakuna kitu kinachoweza kuwa chanzo cha kuumbwa kwake.

Chanzo cha kwanza. Ingawa vitu halisi vilivyoumbwa vinaweza kuumba vitu vingine halisi vilivyombwa, mwisho wa siku patahitajika kuwa na chanzo cha kwanza. Kwa maneno mengine, kwenye mlolongo wa vyanzo, chanzo walau kimoja kinatakiwa kuvitangulia vyanzo vingine vyote.

Kisichoumbwa. Kwa vile chanzo walau kimoja hakitakiwa kuwa na chanzo kilichokitangulia, na kila kiumbe kinahitaji chanzo, kuna kitu halisi walau kimoja ambacho hakijaumbwa na kimekuwepo toka milele iliyopita, kwa sababu kuna kitu halisi walau kimoja ambacho hakijaumbwa.

Mhutasari: Kila kitu halisi ambacho kinaishi ama kina wakati au kipindi fulana=i ambacho kiliwahikuishi, vinginevyo hakijawahi kuishi. Kama kimewahi kuishi, basi kuna kitu halisi ambacho ni chanzo cha kuwepo kwake.

Mipaka: Hoja hii haithibitishi kwamba chanzo cha kwanza ni kitu chenye uhai, au kwamba kuna chanzo kimoja tu ambacho hakijaumbwa, au kwamba vyanzo vyovyote ambavyo havijaumbwa bado vinaishi. Kitu ambacho hoja hii inasema ni kwamba kuna walau kitu kimoja halisi (nafsi iliyo hai au kitu kisichokuwa nafsi) ambacho kimekuwepo milele bila kuumbwa.

Moja ya waandishi wa kwanza aliyeiona hoja ya muundo na umbo la ulimwengu na kusema kuwa Mungu ni chanzo cha kwanza alikuwa Philo, Myahudi aliyeishi Alexandria, Misri, toka mwaka 15/20 KK hadi mwaka 50BK. R. C. Sproul na Norm Geisler wameandika kazi nyingi na nzuri kuhusiana na hoja ya muundo na umbo la ulimwengu.


9. Swali: Hoja kuwa "kushindwa kuelezeka kirahisi kwa ulimwengu kunaonyesha kuwa ni lazima kuwe na muumba" inaonekana nzuri, hadi inapochukuliwa kwenye hitimisho lake la kimantiki. Vipi kuhusu ugumu wa Mungu kueleweka? Kama kitu chenye utatanishi kinahitaji muumba basi Mungu lazima ahitaji muumba mkubwa zaidi, na kwa jinsi hiyohiyo na kuendelea. Je hoja hii inaishia wapi? Hoja hii inaishia na "kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo," na hakuna jibu kwa hili? Ama je lipo?

Jibu: Kabla ya kuijibu hoja hii, hebu nilikuze "tatizo hili" kwanza. Licha ya ugumu wa kuelezeka, suala hil pia ni aina iliyopotoka ya hoja ya muundo na umbo la ulimwengu. Kama kila kitu kina chanzo, basi Mungu naye pia ana chanzo.

Kwa kuwa kila kitu ni lazima kiwe na mwisho, vinginevyo hakitakuwa na mwisho, kuna majibu mawili tu yanayoweza kutolewa:



  1. hakuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo
  2. hakuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho, chanzo ambacho hakijasababishwa na kitu kingine chochote.

Kama a), kusingekuwa na mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo, basi si kila kitu kingekuwa na chanzo kwa sababu kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho kwenyewe hakuna chanzo. Kwa hiyo, kwa vyovyote vile kuna mtu/kitu ambacho hakina chanzo.

Kama b), kuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho, basi ni lazima kuwe na chanzo cha kwanza, cha ugumu fulani wa kufahamika. Kwa ajili hiyo, jambo hili linamaanisha kuwa Mungu si nafsi iliyotokana na kitu kingine, si matunda ya uumbaji.

Hata hivyo nashangaa, kama Mungu angeiona hoja hii yote kuwa nyepesi namna hii, kw asababu tunafikiri kuhusu vyanzo ndani ya muda. Kama mungu anaishi nje ya muda na pia ndani yake, na kama muda ni kitu kimojawapo kilichoumbwa na Mungu, basi kusema kuwa hali ilikuwaje kabla ya kuwepo kwa Mungu ni kujipinga.



10. Swali: Kwenye Mwanzo 2:16, kwa nini Mungu alimuumba Adam hali alijua kuwa ataanguka dhambini?

Jibu: Mungu anaweza kufanya kitu chochote kile, lakini mantiki ya kutokuwezekana si kitu. Mungu hawezi kumuumba kiumbe ambaye anachagua kumtii kama kiumbe huyo hawezi kuchangua kumtii Mungu. Kuweza kuchagua kumtii Mungu kunamaanisha kuwa na uwezo wa kuchagua kutokumtii Mungu.
 
That's the quote from the Bible. The premise of this thread isn't whether I believe in God or not. It's whether non-theists are mindless or not.
When you deny something without evidence is mindless
 
Can non theists defend their belief position that No God exists - or is non theism a mindless belief held without evidence or arguments?

I have never heard an non theist offer arguments or evidence to justify their non theist belief position. I've heard hundreds of temper tantrums, lies, dodging questions, 'sky fairy' straw men, really lame excuses for why non theism has no intellectual burden....but never any intellectual justification. Normally, when I finish exposing the non theist, he /she blocks me to stop the humiliation.

What arguments and evidence do non theists offer to justify their belief?
Free ideas will never post in this thread, don't ask me why
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Wapinga Mungu wangekuwa na akili si wangetuletea ushahidi wao, lakini wamebakia kupinga tu, ndio maana waiatwa mindless
 
Hmm, what is it about belief or unbelief in God that can produce such anger and cruel comments among believers and unbelievers?
 
Hmm, what is it about belief or unbelief in God that can produce such anger and cruel comments among believers and unbelievers?

The malice is on the group of people who says things without evidence, in contrast, it's merely evidence that God permits free-willed evil.
 
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom