Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
afadhali umesema uwe corrected! nasema Kikwete ni mpiga ngoma za mdundiko , kwa taarifa yako, naweza nikakutajia ordinary people katika jamii yetu, ambao wangeweza kujibu swali vizuri, swali kujibu ni rahisi kama ni hicho kitu concern yako ya kila siku.
Kama umeendelea kuangalia mjadala huu, kuna Bob Geldof ( angalia dakika ya 15:48-16:00 Uone wanaume) anamponda Kikwete Live kuwa anaenda bandarini ANASEMA ANAJUA MAJINA YA WEZI HAWATAJI! HUKU WANAKULA FEDHA ZA UMMA! Kikwete ni 0 , zero I mean sifuri, au kwa msisitizo yai
Kichwa cha habari kingekuwa "mdahalo wamtoa nishai mkuu".
It's funny how a simple question can make dumb dumb, dumber.
Alibakia kujilamba, sasa huo mda wote anavyokwenda nje,anawaelezaga nini?
Tena sifuri yenye masikio.
Lakini mwakani ni uchaguzi. Na tutamchagua huyu huyu kwa matumaini ya kuiboresha Tanzania, kiuchumi, kisiasa, kijamii na kadhalika.
Wabongo bwana! Hatuishiwi vituko.
Wakuu,
Kikwete amechemsha kwa sababu hakuna alofanya wala hajui afanye nini na hii yoite inategemea na ELIMU tuliyopewa.. Kila kitu tunategemea mzungu aje kutufanyia na Kikwete amedhihirisha wazi kwamba Tanzania bado kabisa inaihitaji IMF kutupangia mikakati hata kama ni ya kutumaliza...
By the way, Kipapi kimesimama!..huyu Aisha mbongo au? haaa haa haa!
Niandike lwa kiswahili kwani nimeshagundua wa-Tz Kiingereza tabu! Kwa sababu huyu JK alisema ana majina ya wauza unga na hakuwafanya kitu zaidi ya kutabasamu! Juzi akasema ana majina ya wala rushwa wa TRA akatabasamu na Bunge likasema watu aliowateua na kuchafua hali ya hewa Richmond wawajibishwe na sasa ni zaidi ya mwaka mmoja bado anatabasamu pia alijua na aliwapa kinga DAWANS ambao hata ofisi wala CEO hajulikani wakakopa pesa Stanbic na Barclays USD 75million kwa dhamana ya mitambo iliyopwekwa kwenye kiwanja walichopewa pale Ubungo na tanesco na Banks wakatoa mkopo huo akatabasamu, Dowans wakapewa amri aliyosaini yeye waondoke akatokea Idris akaenda mahakamani kuzuia wasiondoke akatabasamu; Ngeleja akakataa kununua mtambo baadae akakubali na rais akatabasamu;Idris akataka kununua mitambo mibovu huku akijua imewekwa poni akatabasamu; Sita na Mwakyembe wakakoroma akatabasamu;Idris akatishia kuleta giza ifikapo Agosti 2009 RAIS akaendelea kutabasamu na kila mwezi anachukua airtime ITV na TBC 1 Kutabasamu. Ameenda kwenye mkutano wa IMF kwenye TWIN 'towers' haramu bila kujiandaa akatabasamu na IDRIS/NGELEJA NA Baraza zima Richmond ,EPA wanamcheka. HUYU KWELI NI RAIS WA AJABU ni sawa na ile hadithi ya mfalme aliyekuwa na pembe
Hivi Raisi wetu kikwete si amezungukwa na vijana waliosoma na wenye upeo mkubwa sana na nilisoma kwa michuzi kuwa some of them wanaandaliwa kuja kuwa our next president in the future? ambao ndiyo wanamsaidia kikwete kumpa ushauri right?!...so why hao watu wasomi wasimsaidie raisi wetu jamani eeh kumuweka jikoni wamuandae vizuri kabla hajatokea hapa...my question is wanacofanya sasa ni nini haswa hao washauri wa raisi kikwete (cijana na wasomi)
Wakuu,
jamani twende mbele huku tukitazama nyuma.. Kikwete amechemsha na amechemsha sio kwa sababu ya kujua jibu la kusema isipokuwa hakuona ndani kabisa.. Na wala msijaribu kumpa sifa Mkapa kuwa angeweza kusema vizuri...
Tatizo hapa ni kwamba unafanya nini ama una mkakati gani dhidi ya hali mbaya ya Kiuchumi duniani..Bongo hatufanyi kitu, hatufahamu nini kinachotokea na wala hatuoni ndani zaidi ya kusoma
Jibu la swali la bibie Aisha ni kwamba Tanzania hatufanyi kitu na wala hatuna mkakati wowote kujiandaa na hali hii...sasa huyo Mkapa angesema vizuri kitu gani hapa..Kama kuna mtu atanimbia ingekuwa Mkapa, angekwisha andaa mkakati huu au ule kupambana na hali mbaya ya uchumi ningemsikia na pengine jibu lingekuwa rahisi..
Ni Mkapa huyu huyu aliyewafuata IMF mara ya kwanza kwa sababu hakuona ndani kabisa... Na alipingana na wachumi wengi nchini ikiwa ni pamoja na kina Dr. Mwapachu..hivyo uwezo wa kujibu swali kama huna mbinu ni Ujinga mwingne..
Kikwete amechemsha kwa sababu hakuna alofanya wala hajui afanye nini na hii yoite inategemea na ELIMU tuliyopewa.. Kila kitu tunategemea mzungu aje kutufanyia na Kikwete amedhihirisha wazi kwamba Tanzania bado kabisa inaihitaji IMF kutupangia mikakati hata kama ni ya kutumaliza...
By the way, Kipapi kimesimama!..huyu Aisha mbongo au? haaa haa haa!
There is an adage which says that 'A leader is the mirror image of the people he is leading' Coming to the topic ! The problem is tabia ya Watanzania kwenda kichwa kichwa bila kujiandaa His Exellence JK angewaachia wataalam simply angetoa key note opening remarks na sio kutoa mhadhara ukiwa na overconfidence watu wa media huwa wanakufix if they know your weakness. Ni aibu kwa taifa wala tusicheke tutafakari and mend the wounds period!
Dear Kell01 na wengine wote,NN & P53 ............SIyo kama wamjibie at least wangejaribu kumpika vizuri..si mnaona wenyewe anavyochemsha hapo ni kwamba hana clue kabisa na what is going on ndani ya nchi yake...angalia ameulizwa swali la finacial crisi...amejikanyaga kishenzi na anajibu kuwa he will continue to do the same what the hell....yaani badala ya kufikiria changes for the future...oh well!...i am just confused aisee baada ya kumsikiliza raisi wetu kwa kweli....
maybe they could just do him a favor and ask him in swahili or he could just use our mothertongue,thats it!no complications!