Sasa kama hao WHO wanakuambia chanjo inawezekana kupatikana baada ya mwaka mmja
Ina maana muda wote huo watu watakuwa lockdwn
(that's bullaheet)
Kwa style hii lazima tuishi na corona kila mtu achukue tahadhari....
Kiukweli naipa kongole serikali hii kutotuweka lockdown maana sisi wengine tunaishi uswaz, nyumba mbanano Sasa lockdown si itakuwa balaaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngabu, huyu jamaa mbona hata mijadala katika kiswahili ni shida? Ndio maana lazima achanganye mambo ya hovyo kama ngono ili kulazimisha kucheka kupoteza malengo.Kwani ni lazima kila mshiriki azungumze Kiingereza?
Ipambane Vp hebu elezea!..serikali ipambane na ugonjwa.
..iache kupambana na lockdown.
Kuna zengwe tunatengenezewa lbda
Wakuu na vyombo vyetu vya usalama watakuwa wameliona, sisi hatujui
Kama takwimu wanasema tunaficha takwimu zip?
Kuna mtu anasema hapendi jinsi serikali inavyo handle issue ya Corona?
Je wanataka lockdown, lockdown wataiweza
Au wanataka kuona serikali iamrishe usipovaa barakoa utembezewe kichapo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza toa njia moja au mbili kama suluhisho ili ujue hatua zinachukuliwa?Sikubaliani na Magufuli anavyo handle corona au kutoshiriki mikutano na viongozi wenzie, hoja yangu ni mazingira ambayo aliko Magufuli yanamfanya ashindwe kujadiliana nao . Rais wa nchi hawezi fanya mikutano kwa njia skype, its not safe to national security, skype tunafanya sisi ambao hatuna impacts yeyote kwa Taifa. Zoom inategemea inategemea na system wanayotumia wote ni cloud based system which you can book voice/video conference in the system and share a link to President, hapa hatujui kama invitations ilitumwa au haukutumwa kwenda kwake, au hawana hii system ni kumlaumu bure or still organizer wa hiyo meeting angeweza to invite Magufuli through his mobile number ,so inategemea na system wanayotumia .
Hiyo lockdown siyo kipaumbele tena maana ilitakiwa ifanyike kabla ugonjwa haukusambaa kama sasa.Lakini kwa makusudi kila Mbaba akiharibu mnakimbilia kutoa mifano ya nchi ambazo hazikufanya lockdown.
Mnasahau kuwa baadhi ya hizi nchi zina mifumo bora ya afya na uwezo wa kuchunguza watu wao,tunawezaje kujilinganisha nao ilhali Sisi tunapeleka sample za papai,fenesi,mbuzi au kondoo maabara.Tunafukuza wataalam kisiasa,hapo tupo sawa?
Wote tuukatae unyonge,mtawala akikuita mnyonge mpandie jukwaani ikibidi kanusha papo hapo.Tusikubali kuambiwa kuwa tumekuwa wanyoge for about 60 years now...safi kabisa.
..sasa unatakiwa uwaambukize ujasiri wenzako.
Very poor reasoning, the post is about why and you are asking if ur president was invited!! Ok let's say he was not invited, the question still remains why was not invited if it was EAC eads meeting and the main agenda is a concern to Tz!!!Did the presidents(of Kenya, Uganda, Randwa and South Sudan) invite Dr Magufuli in the meeting? How if the meeting was made without inviting the Tanzania president.
Ni ngumu sana kumuheshimu.... Hata raila mwenyewe hawezi kumpa heshima sana rais wetu.... Kwasababu wa namuona kama bwana mdogo... Yaan junior kwenye mambo ya uongozi hususani kwenye huu ukanda wa maziwa makuu... Na maanisha.. Yeye ndio rais yuko kipindi cha kwanza.... Wengine wote ni wazoefu...Sababu kubwa ni hizi nchi majirani kuingilia mambo ya ndani ya tanzania, hilo ndio limemkasirisha magufuli, hawamuheshimu
He could serve better as a village head, sorry even village leaders convene often with leaders of neighboring villages..., I think....we faulted in 2015.I am anti-stupidity and pro-intelligence. Anti-foolishness and pro-common sense.
Having said that, I’m not here to cape for Magufuli on just about anything and everything.
I look at issues on a case by case basis.
Today, the East African Community heads of state held a virtual meeting sans President Magufuli.
Last week SADC did the same.
President Magufuli has missed several of these types of meetings a number of times now.
Is he an isolationist?
It’s hard to make sense of his absences. Like for example, what made him miss today’s virtual gathering?
Did he have an over-packed docket of things to do [wherever he is at]?
Just downright bizarre!
As trivial as it may sound, maybe there’s some truth to what some people think could be the reason for him skipping these meetings - English.
Maybe he is so self-conscious about his English speaking proficiency and he can’t handle being dragged for it afterwards.
If that’s not the case, then what is it?
To me it doesn’t make any sense why he would skip on these types of meetings especially at a critical time as now.
Can anybody make sense of this nonsense?
Sent using Jamii Forums mobile app
And why sir ?!Did the presidents(of Kenya, Uganda, Randwa and South Sudan) invite Dr Magufuli in the meeting? How if the meeting was made without inviting the Tanzania president.
Kwa kiingereza hicho ndiyo maana mnaogopa vikao vya wenye hekima.We Tanzanians that is what we want President Magufuli represents the views of the majority Tanzanians .Majority don't want want lock down they are ready to die with corona not hunger
When a disease or bandits attacks every home each one has to fight for his own !!! ItI sincerely doubt that language is an issue in this case. In any case, Swahili has been adopted by both the EAC and SADC as an official language and Heads of State can present themselves in any the official languages.
As an observer, but limited in analysis, this is my personal deduction. For a while now the GoT has been able to implement (sometimes quite well) but still get away with shortcomings in these key strategies:
1. Distract, divert, destroy/conceal
2. Limit information, control the narrative, reset the agenda
in either cases, eventually people forget and launch on new agenda.
If there's persistence, demonize it and launch mass attack on it calling for "national solidarity" or look for sacrificial lamb - and voila!
The State's absolution is never called to fault.
This time things are different - we are in a situation where our country's actions affect those beyond its borders. So are we playing ostrich with heads in the sand? Or we are we willing to compromise and accept "intrusion"?
Whatever the course of action, our State will not remain silent no matter how much time elapses: "msemakweli" ni mpenzi wa mungu philosophy will prevail. Time will tell.
Wewe mjaluo ndio maana wakebya hawataki kuwapa uraisi wajaluo Kenya sababu wakikuyu walipokuwa wakimpiga mwingereza kutafuta Uhuru Kenya kupitia may may wasiojua kiingereza wajaluo mlikuwa hamshiriki vita ya maumau mnaongea kingereza kilichonyooka na malikia mkoloniKwa kiingereza hicho ndiyo maana mnaogopa vikao vya wenye hekima.
Odhis *
Sio kwamba hajui anajua ila hana confidence nachoNaanza kushawishika huenda ni kweli aisee...
Lakini kwani hawezi kuongea Kiswahili?