Is sex overrated?

Is sex overrated?

Umbali wote huo kumfata demu ukute akakupa na zawadi ya UTI sugu 🙌😜

Vijana oeni, waifu material bado wapo wengi kitaa ambao unaweza kumpatia shilingi elfu 10 akaifanyia Bajeti ya kula Siku 3
Elfu kumi ni pesa ambayo napambania kwa siku...
Usishauri niowe wakati siwezi kumudu mahitaji ya mwenzangu financial mkuu
 
Kama bado unajifunza kupitia makosa, bado una mengi ya kujifinza
Jf imekua sehemu muhimu sana kwangu ni vile kuna wenzangu bado hawajastuka ...

Kuna mambo huwa najifunza huku..
Ila all in all vijana wanaendekeza sana ngono zembe mkuu
 

Tujikumbushe. 😀😀
Ice huko nishatoka sasa nipo safe mimi ila kuna watu nawaonea huruma sana
 
The groundwork for happiness is health,
It's not how much we have but how much we enjoy ,that makes happiness,
Take care of yourself be healthy and always believe you can be successful in anything you truly want,

For the time being Appreciate your current situation and enjoy each day,Don't forget to live your life,
Don't be too busy and forgot to live.
 
Kuoa -ikiwa moyo wako unawaka tamaa Sana just get married.

Maana Sex can shake ur pocket and health.
Well said mkuu...
Yaani hizi kauli hunipa nguvu sana...
Mpaka naona niachane na mashangazi haya
 
Back
Top Bottom