Wa kwanza kulaumiwa ni Hayati Magufuli kuchagua mtu kama huyu. Haya ndio madhara ya kuchagua tu mtu yoyote kwa hisani.
In fact watu wa Pwani hawajawahi kua viongozi bora, angalia nchi zote zilizo kwenye Pwani hawajawahi kumpa mtu wa Pwani uongozi hasa hii Pwani inayopakana na Waarabu ni disaster.
Watu wa Pwani ni laissez faire, waarabu na utumwa uliwaharibu.
Wewe zero brain mafuta gani hayashikiki Duniani? Nchi jirani ambazo zinapitishia Mafuta bandari ya Dsr es Salaam mafuta yanakuaje bei chini, wao wanaiba?Ungekua wewe ndiye Rais ungefanya nini, kama mafuta hayashikiki huko duniani? Porojo tupu za mitandaoni
You nailed it👍🤣🙏since the appointment of January Makamba as the minister of energy.
Kumlaumu Raisi na mfumuko wa bei ya mafuta ni upungufu wa kitu kichwani....
Jambo la mafuta ni la dunia nzima hili..
Duh...Ni kweli Mzee, hata ule mrundikano wa kodi kwenye mafuta ni suala la kidunia. Marekani lita ya petrol ni shilingi 3400 ambapo shilingi 3000 ni kodi na shilingi 400 ndio bei halali ya mafuta. Mama ajengewe sanamu Dodoma, anaupiga mwingi unamwagikia.
She's heading there. Tatizo lake huyu Mama hajiamini....anamsikiliza sana Kikwete mtu aliyeshimdwa kuomgozahiltaiafa)1. Super/hyper inflation
2. Corruption
3. Over Taxation of the low/middle class
4. Deterioration of Security
5. Unnecessary Spendings
6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)
7. Death of Mega Projects
8. Bizarre allegations against mbowe
All this in less than two (2) years office!!!
Is there any Former President who can compete with her ?
Itakuwa unaishi masaki au sehemu za kishua unadhani kila mtu anaenda kwa school bus shuleni.mnhhh,,,,give her time mkuu..... kushindwa kufika shule sababu ya nauli kupanda, unaongelea Tanzania hii hii tunayoijua...wapi umesikia hivyo..mnhhh
Inflation is not the only factor/parameter used.Don't judge her on those parameters, most of her pimps will come and say Tanzania is not the only country affected by most of those factors.
I would say, however, that we have had three consecutive presidents who fit in your characterization of "worst president," based on their specific weaknesses making them worst leaders.
Wewe ndiye una funza kwenye kichwa, au huenda huna hata hicho kichwa.Kumlaumu Raisi na mfumuko wa bei ya mafuta ni upungufu wa kitu kichwani....
Jambo la mafuta ni la dunia nzima hili..
Endelea kuanika ubongo wako wa panzi hapaWendawazimu hao,wanadhani mafuta yanachimbwa na kusafishwa bandarini
By far and away, Tanzania's worst leader since independence1. Super/hyper inflation
2. Corruption
3. Over Taxation of the low/middle class
4. Deterioration of Security
5. Unnecessary Spendings
6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)
7. Death of Mega Projects
8. Bizarre allegations against mbowe
All this in less than two (2) years office!!!
Is there any Former President who can compete with her ?
Hawa watu ubongo wao uko kwenye makalio.Ni kweli Mzee, hata ule mrundikano wa kodi kwenye mafuta ni suala la kidunia. Marekani lita ya petrol ni shilingi 3400 ambapo shilingi 3000 ni kodi na shilingi 400 ndio bei halali ya mafuta. Mama ajengewe sanamu Dodoma, anaupiga mwingi unamwagikia.
Hewa tu wewe...unajua taratibu za kununua mafuta? Au unafananisha Tz na China au India..Wewe ndiye una funza kwenye kichwa, au huenda huna hata hicho kichwa.
Tumeona nchi nyingine wameenda kununua mafuta russia kwa bei ndogo.
Tumeona nchi nyingine wakitoa ruzuku kwenye sekta ya Nishati.
Tumeona nchi nyingine wakiondoa utitiri wa kodi kwenye mafuta.
Tanzania imefanya kitu gani zaidi ya kurudisha ile Tsh 100 waliyoitoa hapo awali ( tena katikati ya crisis).
Hivi una akili timamu kweli wewe ?
Tafuta tu kwa juhudi....kesho yashuke!!..Hawa watu ubongo wao uko kwenye makalio.
Yaani kwa vile tatizo ni la kidunia ndio tushindwe kutafuta solutions !!
Mi na wewe Nani ana ubongo wa panzi!!?Endelea kuanika ubongo wako wa panzi hapa
Yeah, I heard about that.Inflation is not the only factor/parameter used.
Remember , Tanzania had inflation before the war in Ukraine.
Have you heard about the return of Panya road...