Is She The Worst President Ever(Tz)?

Is She The Worst President Ever(Tz)?

Wa kwanza kulaumiwa ni Hayati Magufuli kuchagua mtu kama huyu. Haya ndio madhara ya kuchagua tu mtu yoyote kwa hisani.

In fact watu wa Pwani hawajawahi kua viongozi bora, angalia nchi zote zilizo kwenye Pwani hawajawahi kumpa mtu wa Pwani uongozi hasa hii Pwani inayopakana na Waarabu ni disaster.

Watu wa Pwani ni laissez faire, waarabu na utumwa uliwaharibu.

Ungekua wewe ndiye Rais ungefanya nini, kama mafuta hayashikiki huko duniani? Porojo tupu za mitandaoni
 
Ungekua wewe ndiye Rais ungefanya nini, kama mafuta hayashikiki huko duniani? Porojo tupu za mitandaoni
Wewe zero brain mafuta gani hayashikiki Duniani? Nchi jirani ambazo zinapitishia Mafuta bandari ya Dsr es Salaam mafuta yanakuaje bei chini, wao wanaiba?

Ona nchi nyingine wanachokifanya
Screenshot_20220504-080240_Chrome.jpg


Jitahidi kutumia akili ndogo ulizonazo kufikiri hata kidogo tu.
 
Kumlaumu Raisi na mfumuko wa bei ya mafuta ni upungufu wa kitu kichwani....
Jambo la mafuta ni la dunia nzima hili..

Ni kweli Mzee, hata ule mrundikano wa kodi kwenye mafuta ni suala la kidunia. Marekani lita ya petrol ni shilingi 3400 ambapo shilingi 3000 ni kodi na shilingi 400 ndio bei halali ya mafuta. Mama ajengewe sanamu Dodoma, anaupiga mwingi unamwagikia.
 
Ni kweli Mzee, hata ule mrundikano wa kodi kwenye mafuta ni suala la kidunia. Marekani lita ya petrol ni shilingi 3400 ambapo shilingi 3000 ni kodi na shilingi 400 ndio bei halali ya mafuta. Mama ajengewe sanamu Dodoma, anaupiga mwingi unamwagikia.
Duh...
 
1. Super/hyper inflation

2. Corruption

3. Over Taxation of the low/middle class

4. Deterioration of Security

5. Unnecessary Spendings

6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)

7. Death of Mega Projects

8. Bizarre allegations against mbowe



All this in less than two (2) years office!!!

Is there any Former President who can compete with her ?
She's heading there. Tatizo lake huyu Mama hajiamini....anamsikiliza sana Kikwete mtu aliyeshimdwa kuomgozahiltaiafa)
 
mnhhh,,,,give her time mkuu..... kushindwa kufika shule sababu ya nauli kupanda, unaongelea Tanzania hii hii tunayoijua...wapi umesikia hivyo..mnhhh
Itakuwa unaishi masaki au sehemu za kishua unadhani kila mtu anaenda kwa school bus shuleni.

Tanzania hii tunayojengewa vyoo kwa misaada unashangaa nini mtu kukosa nauli ya kwenda shule ?
 
Don't judge her on those parameters, most of her pimps will come and say Tanzania is not the only country affected by most of those factors.

I would say, however, that we have had three consecutive presidents who fit in your characterization of "worst president," based on their specific weaknesses making them worst leaders.
Inflation is not the only factor/parameter used.

Remember , Tanzania had inflation before the war in Ukraine.

Have you heard about the return of Panya road...
 
Kumlaumu Raisi na mfumuko wa bei ya mafuta ni upungufu wa kitu kichwani....
Jambo la mafuta ni la dunia nzima hili..
Wewe ndiye una funza kwenye kichwa, au huenda huna hata hicho kichwa.

Tumeona nchi nyingine wameenda kununua mafuta russia kwa bei ndogo.

Tumeona nchi nyingine wakitoa ruzuku kwenye sekta ya Nishati.



Tumeona nchi nyingine wakiondoa utitiri wa kodi kwenye mafuta.



Tanzania imefanya kitu gani zaidi ya kurudisha ile Tsh 100 waliyoitoa hapo awali ( tena katikati ya crisis).

Hivi una akili timamu kweli wewe ?
 
1. Super/hyper inflation

2. Corruption

3. Over Taxation of the low/middle class

4. Deterioration of Security

5. Unnecessary Spendings

6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)

7. Death of Mega Projects

8. Bizarre allegations against mbowe



All this in less than two (2) years office!!!

Is there any Former President who can compete with her ?
By far and away, Tanzania's worst leader since independence
 
Ni kweli Mzee, hata ule mrundikano wa kodi kwenye mafuta ni suala la kidunia. Marekani lita ya petrol ni shilingi 3400 ambapo shilingi 3000 ni kodi na shilingi 400 ndio bei halali ya mafuta. Mama ajengewe sanamu Dodoma, anaupiga mwingi unamwagikia.
Hawa watu ubongo wao uko kwenye makalio.

Yaani kwa vile tatizo ni la kidunia ndio tushindwe kutafuta solutions !!
 
Wewe ndiye una funza kwenye kichwa, au huenda huna hata hicho kichwa.

Tumeona nchi nyingine wameenda kununua mafuta russia kwa bei ndogo.

Tumeona nchi nyingine wakitoa ruzuku kwenye sekta ya Nishati.



Tumeona nchi nyingine wakiondoa utitiri wa kodi kwenye mafuta.



Tanzania imefanya kitu gani zaidi ya kurudisha ile Tsh 100 waliyoitoa hapo awali ( tena katikati ya crisis).

Hivi una akili timamu kweli wewe ?
Hewa tu wewe...unajua taratibu za kununua mafuta? Au unafananisha Tz na China au India..
 
Ukiangalia kwa ujumla maraisi wote kutoka dini hii ni ovyo kabisa.
 
Hata kama kuna Vita ya Ukraine na corona , lkn yeye kama Rais anatusaidiaje? Wao kama serikali wanatusaidiaje?
 
Huyu mama hatoshi kabisa kwenye hiyo nafasi. Hotoba zake ni hovyo, mama wa mipasho sijui washauri wake wanafanya kazi gani .
 
Back
Top Bottom