Wa kwanza kulaumiwa ni Hayati Magufuli kuchagua mtu kama huyu. Haya ndio madhara ya kuchagua tu mtu yoyote kwa hisani.
In fact watu wa Pwani hawajawahi kua viongozi bora, angalia nchi zote zilizo kwenye Pwani hawajawahi kumpa mtu wa Pwani uongozi hasa hii Pwani inayopakana na Waarabu ni disaster.
Watu wa Pwani ni laissez faire, waarabu na utumwa uliwaharibu.
Ungekua wewe ndiye Rais ungefanya nini, kama mafuta hayashikiki huko duniani? Porojo tupu za mitandaoni