Is Tanzania ousting Kenya as East Africa's powerhouse?

Is Tanzania ousting Kenya as East Africa's powerhouse?

Hahahahaha tuta wapita, tuta amka, tuta tuta tuta..... Simtupite kwanza.... In 2010 Ethiopia ilitupita..... In 2013 KENYA IKAPITA ETHIOPIA toka hyo mwaka Ethiopia imekaa nyuma yetu tu!!!!..... Mtupite kwanza ndio mwanze kupanic...... Somalia itawapata hapo na iwaache already Somalia iko na 4 midsized airlines juu Bara bara zao hazipitiki wakiwa na peace hamtawaona ng'weeee!!!!!


Ethiopia iko mbele ya TZ, hata DRC itawaacha tu.....
 
Hahahahaha tuta wapita, tuta amka, tuta tuta tuta..... Simtupite kwanza.... In 2010 Ethiopia ilitupita..... In 2013 KENYA IKAPITA ETHIOPIA toka hyo mwaka Ethiopia imekaa nyuma yetu tu!!!!..... Mtupite kwanza ndio mwanze kupanic...... Somalia itawapata hapo na iwaache already Somalia iko na 4 midsized airlines juu Bara bara zao hazipitiki wakiwa na peace hamtawaona ng'weeee!!!!!


Ethiopia iko mbele ya TZ, hata DRC itawaacha tu.....


Lakini aliyesema kwamba TZ itaipita Kenya ni Mkenya na siyo MtanZania hivyo hayo maneno ulipaswa umwelekezee yeye!
 
sam999 Ethiopia that has GDP bigger than Kenya's is not at the heart of EA but the horn of Africa, aside not being a member of EAC! Kenyans should stop being that blind or deillusional!
 
So Kenya attracts that much foreign interest...
Hahahh foreign interest!! Ndio maana wanawake wa Kenya wanaolewa na wazungu sababu ya foreign interest! Nyie watu mnachekesha sana. Ni hivi sisi hatupelekwipelekwi na hawa mnawaita foreign interest, tunafanya maamuzi yetu wenyewe. Mzungu atabakia kuwa mkoloni tu hatumhitaji kwetu Tz. Mnaacha kujivunia vya kwenu kila siku foreign foreign ndio maana wanawapindua kama chapati. Leo hao hao wazungu wanataka kuwatoa kwenye michezo sababu ya doping bado mpo foreign foreign my l.,$&g. Tz ni namba nyingine bana
 
Tanzania haipangi mipango ya uchumi as reactive kwa kenya bali kwa malengo ya dira ya maendeleo ya Taifa.Miradi yote hasa kwenye sekta ya uchukuzu inalenga ku maximize our natural geographical position/comperative advantage kwa kujenga necessary transport infrastructures aiming to become a reginal transport and logistics hub,Kenya ndo iko kwenye loosing side so inatumia nguvu kubwa kujihami lakini at last watapitwa tu kama Ethiopia ilivyowapita.TZN tuna kila fursa ya kuwapita but time will tell
 
Hahahahaha tuta wapita, tuta amka, tuta tuta tuta..... Simtupite kwanza.... In 2010 Ethiopia ilitupita..... In 2013 KENYA IKAPITA ETHIOPIA toka hyo mwaka Ethiopia imekaa nyuma yetu tu!!!!..... Mtupite kwanza ndio mwanze kupanic...... Somalia itawapata hapo na iwaache already Somalia iko na 4 midsized airlines juu Bara bara zao hazipitiki wakiwa na peace hamtawaona ng'weeee!!!!!


Ethiopia iko mbele ya TZ, hata DRC itawaacha tu.....
 
It is still very early days but it is good competition. Kwa maoni yangu, Tanzania has a strong general (Magufuli) and a weak army (Tanzania private sector, smaller tertiary educated class). Kenya nayo has a weak general (Uhuru) and a strong army (Kenya private sector, larger tertiary educated class). Time will tell.
aiseeee una akili sana dogo
 
It is still very early days but it is good competition. Kwa maoni yangu, Tanzania has a strong general (Magufuli) and a weak army (Tanzania private sector, smaller tertiary educated class). Kenya nayo has a weak general (Uhuru) and a strong army (Kenya private sector, larger tertiary educated class). Time will tell.
aiseeee una akili sana dogo
 
Sentry hebu niambie if Kenya literacy is say 90% and Tanzania is 80% or even 75% can u tell us how can that affects Tanzania's chances to attain her prospects? When u hear Kenyans brag about larger educated class one might think may be the ratio is 2:1! Muache upumbavu...
 
Hahahh foreign interest!! Ndio maana wanawake wa Kenya wanaolewa na wazungu sababu ya foreign interest! Nyie watu mnachekesha sana. Ni hivi sisi hatupelekwipelekwi na hawa mnawaita foreign interest, tunafanya maamuzi yetu wenyewe. Mzungu atabakia kuwa mkoloni tu hatumhitaji kwetu Tz. Mnaacha kujivunia vya kwenu kila siku foreign foreign ndio maana wanawapindua kama chapati. Leo hao hao wazungu wanataka kuwatoa kwenye michezo sababu ya doping bado mpo foreign foreign my l.,$&g. Tz ni namba nyingine bana
Are you not the one who always brags that your country has the highest FDI..stop this petty talk..time yako ndio sina.
 
Are you not the one who always brags that your country has the highest FDI..stop this petty talk..time yako ndio sina.
Rubbish, who has got time to talk to you? Sina time na wewe mbu&&@iii!
 
daaa jamaa wata andika sana habari zetu, maana wanasikia mabas ya mwendo kasi tz yameanza kazi, huku wanasikia tena daraja kubwa la kigamboni limekamilika na limeanza tumika, hapo bado hajasikia bomba la ges toka mtwara, mala dangote kajenga kiwanda kikubwa cha uzalishaji wa saruj. watatusdika sana ngoja tuone hadi 2025, kama hawatakuw wanakuja kujifunza jinsi ya kutekeleza mirad ya maendeleo. waziii !!
 
Are you not the one who always brags that your country has the highest FDI..stop this petty talk..time yako ndio sina.
Wengine ni wa kupotezea huyo hata sidhani kama anajua maana ya FDI.
 
Wengine ni wa kupotezea huyo hata sidhani kama anajua maana ya FDI.
Wanasema kitu kama hakikutishi huwa huna haja ya kukishikia fimbo... ila waKenya mmeamua kutushikia gongo kabisa.. kuanzia pale tulipowanyang'anya bomba la mafuta..

Halafu.. hivi lile bomba lenu mmeshaanza kulijenga.. au bado mnajipitisha kutafuta wawekezaji??
Hata mimi naona hivyo.
 
Wanasema kitu kama hakikutishi huwa huna haja ya kukishikia fimbo... ila waKenya mmeamua kutushikia gongo kabisa.. kuanzia pale tulipowanyang'anya bomba la mafuta..

Halafu.. hivi lile bomba lenu mmeshaanza kulijenga.. au bado mnajipitisha kutafuta wawekezaji??
the deadline was over bro,and nothing has been done to date.

they were trying to throw their punches on the air to intimidate us.
 
Wanasema kitu kama hakikutishi huwa huna haja ya kukishikia fimbo... ila waKenya mmeamua kutushikia gongo kabisa.. kuanzia pale tulipowanyang'anya bomba la mafuta..

Halafu.. hivi lile bomba lenu mmeshaanza kulijenga.. au bado mnajipitisha kutafuta wawekezaji??
My friend,there is no bad blood between Kenya and Ug. If you keenly follow EA affairs,you will remember there was a time Kenya restricted import of sugar from Ug and life went on. The same with the pipeline.
And yeah,there is a new pipeline under construction in Kenya..if thats the one you are asking about.
 
Back
Top Bottom