Is this biological or spiritual? Nisaidie kujua kuhusu issue ya huyu dogo

Is this biological or spiritual? Nisaidie kujua kuhusu issue ya huyu dogo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kuna dogo hapa ni mkurya wa kwanza kutokula nyama ya ng'ombe (haha natania lakini)

Sasa dogo alikuwa anakula nyama ya ng'ombe alipokuwa mtoto mdogo hadi pale siku moja alikuta ng'ombe alikuwa anachinjwa then dada yake akamwambia nyama tunayokula inatoka kwa ng'ombe huyu, dogo ni akashtuka na akapata hofu.

Ilipofika jioni, chakula kilikuwa ni nyama ya ng'ombe, dada yake akaja tena kumtisha kuwa unakula nyama ya dudu, dogo agaopa na akakataa kula nyama kabisa.

Zilipopita siku kadhaa alipokuja kula nyama ya ng'ombe aliumwa na mwili kuvimba. Walijua labda ni ugonjwa wa kawaida ila aliendelea kupata dalili zile zile pale alipogusa beef 🍖.

So wataalam, kibailoojia ilikuwakuwaje hapa hadi mwili wake ukatengeneza allergy ya nyama ya ng'ombe?

Or it is spiritually?
 
Kawaida tu mbpna mm siku ya kwanza nlikula mkunga joka la baharini nikapata vipele mdomo mzima ila sikukoma saiv namla freshi tu hata tatizo sipati
Kwa hiyo unashauri mdogo wetu aendelee kufakamia nyama ya cow bila wasiwasi wowote.
 
Trauma mbaya sana. Jamii yetu imekosa elimu ya malezi kwa watoto hali inayopelekea wengi kukua na makovu makali ya utotoni. Kitu kinachoonekana ni kidogo katika jamii ila kinaweza kuwa kikubwa kwa mtoto au mtu mzima. Kwa saiv ni too late kwake kupona hicho kinachomuogopesha kwenye nyama ya ng'ombe
 
Hamna spirital hapo, mind hua inatabia ya kufanya automation kutokana na feed (taarifa). So hapo kwenye mind yake akijua tu ni beef mwili unareact sababu isha categorize kua beef sio kitu kizuri
 
Ni kawaida kabisa baiolojia hufanya kazi na mwili kwa ushirikiano mkubwa.

Akili ikitambua kitu kuwa ni hakifai, hisia zinakiweka kuwa kibaya na mwili unafata.

Mfano unaweza kufanya utafiti kaangalie watu wanaotapika sana kwenye magari. Waulize hili swali; Je kati ya safari elfu moja za magari unafikiri ni mara ngapi yanapata ajali? Halafu sikiliza majibu....

Kisha tafuta wasiotapika nao uwaulize takwimu wanazoamini/hisi. Sikiliza majibu.

Linganisha majibu ya makundi hayo mawili. Nadharia ni kwamba wanaotapika wanaamini kusafiri ni hatari kuliko watu wa kawaida. Inahitaji utafiti hiiii.
 
Kuna dogo hapa ni mkurya wa kwanza kutokula nyama ya ng'ombe (haha natania lakini)

Sasa dogo alikuwa anakula nyama ya ng'ombe alipokuwa mtoto mdogo hadi pale siku moja alikuta ng'ombe alikuwa anachinjwa then dada yake akamwambia nyama tunayokula inatoka kwa ng'ombe huyu, dogo ni akashtuka na akapata hofu.

Ilipofika jioni, chakula kilikuwa ni nyama ya ng'ombe, dada yake akaja tena kumtisha kuwa unakula nyama ya dudu, dogo agaopa na akakataa kula nyama kabisa.

Zilipopita siku kadhaa alipokuja kula nyama ya ng'ombe aliumwa na mwili kuvimba. Walijua labda ni ugonjwa wa kawaida ila aliendelea kupata dalili zile zile pale alipogusa beef 🍖.

So wataalam, kibailoojia ilikuwakuwaje hapa hadi mwili wake ukatengeneza allergy ya nyama ya ng'ombe?

Or it is spiritually?
Alitengenezewa hofu yenye ithibati na ufahamu wake utaketengeneza hofu yenye madhara yalisababisha sumu
 
Ni kawaida kabisa baiolojia hufanya kazi na mwili kwa ushirikiano mkubwa.

Akili ikitambua kitu kuwa ni hakifai, hisia zinakiweka kuwa kibaya na mwili unafata.

Mfano unaweza kufanya utafiti kaangalie watu wanaotapika sana kwenye magari. Waulize hili swali; Je kati ya safari elfu moja za magari unafikiri ni mara ngapi yanapata ajali? Halafu sikiliza majibu....

Kisha tafuta wasiotapika nao uwaulize takwimu wanazoamini/hisi. Sikiliza majibu.

Linganisha majibu ya makundi hayo mawili. Nadharia ni kwamba wanaotapika wanaamini kusafiri ni hatari kuliko watu wa kawaida. Inahitaji utafiti hiiii.
Umenikumbusha mbali sana, kuna siku nilienda Zanzibar na mzoefu wa kusafiri kwenye meli maana yeye alikua anatokea mwanza na ndiye aliye nishawishi kwenda huko na kunihakikishia meli ni salama kuliko hata bus,
In short wakati wa safari jamaa alitapika Ile mbaya huku mi namcheki tu hata dall sina.
Kumuuliza anasema bwana bahari sio kama ziwa.!!
Nilicheka sana..!
 
Back
Top Bottom