Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kukataa kula kitu fulani kama hakimpi allergy inahusiana vipi na body biology? Chukulia kama wasiokula Nguruwe.Which triggered body's biology
Psychological traumaKuna dogo hapa ni mkurya wa kwanza kutokula nyama ya ng'ombe (haha natania lakini)
Sasa dogo alikuwa anakula nyama ya ng'ombe alipokuwa mtoto mdogo hadi pale siku moja alikuta ng'ombe alikuwa anachinjwa then dada yake akamwambia nyama tunayokula inatoka kwa ng'ombe huyu, dogo ni akashtuka na akapata hofu.
Ilipofika jioni, chakula kilikuwa ni nyama ya ng'ombe, dada yake akaja tena kumtisha kuwa unakula nyama ya dudu, dogo agaopa na akakataa kula nyama kabisa.
Zilipopita siku kadhaa alipokuja kula nyama ya ng'ombe aliumwa na mwili kuvimba. Walijua labda ni ugonjwa wa kawaida ila aliendelea kupata dalili zile zile pale alipogusa beef 🍖.
So wataalam, kibailoojia ilikuwakuwaje hapa hadi mwili wake ukatengeneza allergy ya nyama ya ng'ombe?
Or it is spiritually?
"Hata Anaye Rudi Nyuma Ana Mbele Anakoelekea"Huku kwetu...
Mgeni hapigi mluzi ugenini...🤨
More like a psychoneurobiological matter 😃It's not biological or spiritual, it's psychological.
🤣🤣🤣🤣Kawaida tu mbpna mm siku ya kwanza nlikula mkunga joka la baharini nikapata vipele mdomo mzima ila sikukoma saiv namla freshi tu hata tatizo sipati
HAiuiLikimpata la kumpata utakuja kutoa msaada ?
Me niliendelea kula tena nampenda japo mifupa midogomidogo mingi lakni huwa nampika supu namla na tatizo halijaendelea tena.sema yule ni nyoka wa majini sio samaki🤣🤣🤣🤣
Bana bana Niliwahi kula Mkunga 🤣🤣🤣🤣
Niliota Mapele Mwili mzima Kama Nimeugua Surua Mpaka Leo hii Naoita Kando kabisa na Mkunga Japo Mimi Mpemba Haswaaa
Wallah Simli Tena maana Nilitoka Mapele hayo Diku nakuja Kuonyeshwa Naambiwa Unajua samaki aliyekufanya Uugue ni Yupi...HAiui
Me niliendelea kula tena nampenda japo mifupa midogomidogo mingi lakni huwa nampika supu namla na tatizo halijaendelea tena.sema yule ni nyoka wa majini sio samaki







"Pyschoneurosociobiophysiospiritual " Matter 🤣🤣🤣🤣More like a psychoneurobiological matter 😃
Kwenye muvi utaskia technician anaambiwa: "c'mon bro, that is just a made up word, kwanza say it again in English 😁""Physchoneurosociobiophysiospiritual " Matter 🤣🤣🤣🤣
Au Utasikia "Ooh men, Can we Speak in English" 😂😂😂Kwenye muvi utaskia technician anaambiwa: "c'mon bro, that is just a made up word, kwanza sat us again in English 😁"
Ha ha ha sema nn bro mm sio muoga wa kula nyama ya mnyama yoyoye nshawahi pia kula nungunungu kwa babu mzaa mama nilimtembelea nikakuta kambanika nikala bibi na wajomba walikataaa nikala mm na babu.nungu ana miguu kama ya mtoto mchangaWallah Simli Tena maana Nilitoka Mapele hayo Diku nakuja Kuonyeshwa Naambiwa Unajua samaki aliyekufanya Uugue ni Yupi...
Nikaonyeshwa Picha nimeitunza mpaka Leo 🤣🤣
Yule ni nyoka..
Na nikaona Kama niliweza Kula Yule nyoka Ninashindwaje Kuwinda Sawaka na Chatu kuwala..
View attachment 3139840View attachment 3139841View attachment 3139842View attachment 3139843View attachment 3139844View attachment 3139845View attachment 3139846
View attachment 3139844
View attachment 3139845
View attachment 3139841
😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌Ha ha ha sema nn bro mm sio muoga wa kula nyama ya mnyama yoyoye nshawahi pia kula nungunungu kwa babu mzaa mama nilimtembelea nikakuta kambanika nikala bibi na wajomba walikataaa nikala mm na babu.nungu ana miguu kama ya mtoto mchanga
spiritual uongo allergy ndiyoKuna dogo hapa ni mkurya wa kwanza kutokula nyama ya ng'ombe (haha natania lakini)
Sasa dogo alikuwa anakula nyama ya ng'ombe alipokuwa mtoto mdogo hadi pale siku moja alikuta ng'ombe alikuwa anachinjwa then dada yake akamwambia nyama tunayokula inatoka kwa ng'ombe huyu, dogo ni akashtuka na akapata hofu.
Ilipofika jioni, chakula kilikuwa ni nyama ya ng'ombe, dada yake akaja tena kumtisha kuwa unakula nyama ya dudu, dogo agaopa na akakataa kula nyama kabisa.
Zilipopita siku kadhaa alipokuja kula nyama ya ng'ombe aliumwa na mwili kuvimba. Walijua labda ni ugonjwa wa kawaida ila aliendelea kupata dalili zile zile pale alipogusa beef 🍖.
So wataalam, kibailoojia ilikuwakuwaje hapa hadi mwili wake ukatengeneza allergy ya nyama ya ng'ombe?
Or it is spiritually?