Is this biological or spiritual? Nisaidie kujua kuhusu issue ya huyu dogo

Mtu kukataa kula kitu fulani kama hakimpi allergy inahusiana vipi na body biology? Chukulia kama wasiokula Nguruwe.
Soma uzi kwanza mkuu then utajijubu vizuri.
 
Akila Kitimoto inatosha, huwez kula vyote hii wanaiweza warafi tu.
 
Psychological trauma
 
Kawaida tu mbpna mm siku ya kwanza nlikula mkunga joka la baharini nikapata vipele mdomo mzima ila sikukoma saiv namla freshi tu hata tatizo sipati
🀣🀣🀣🀣
Bana bana Niliwahi kula Mkunga 🀣🀣🀣🀣
Niliota Mapele Mwili mzima Kama Nimeugua Surua Mpaka Leo hii Naoita Kando kabisa na Mkunga Japo Mimi Mpemba Haswaaa
 
Likimpata la kumpata utakuja kutoa msaada ?
HAiui
🀣🀣🀣🀣
Bana bana Niliwahi kula Mkunga 🀣🀣🀣🀣
Niliota Mapele Mwili mzima Kama Nimeugua Surua Mpaka Leo hii Naoita Kando kabisa na Mkunga Japo Mimi Mpemba Haswaaa
Me niliendelea kula tena nampenda japo mifupa midogomidogo mingi lakni huwa nampika supu namla na tatizo halijaendelea tena.sema yule ni nyoka wa majini sio samaki
 
HAiui

Me niliendelea kula tena nampenda japo mifupa midogomidogo mingi lakni huwa nampika supu namla na tatizo halijaendelea tena.sema yule ni nyoka wa majini sio samaki
Wallah Simli Tena maana Nilitoka Mapele hayo Diku nakuja Kuonyeshwa Naambiwa Unajua samaki aliyekufanya Uugue ni Yupi...

Nikaonyeshwa Picha nimeitunza mpaka Leo 🀣🀣
Yule ni nyoka..
Na nikaona Kama niliweza Kula Yule nyoka Ninashindwaje Kuwinda Sawaka na Chatu kuwala..




 
"Physchoneurosociobiophysiospiritual " Matter 🀣🀣🀣🀣
Kwenye muvi utaskia technician anaambiwa: "c'mon bro, that is just a made up word, kwanza say it again in English 😁"
 
Ha ha ha sema nn bro mm sio muoga wa kula nyama ya mnyama yoyoye nshawahi pia kula nungunungu kwa babu mzaa mama nilimtembelea nikakuta kambanika nikala bibi na wajomba walikataaa nikala mm na babu.nungu ana miguu kama ya mtoto mchanga
 
Ha ha ha sema nn bro mm sio muoga wa kula nyama ya mnyama yoyoye nshawahi pia kula nungunungu kwa babu mzaa mama nilimtembelea nikakuta kambanika nikala bibi na wajomba walikataaa nikala mm na babu.nungu ana miguu kama ya mtoto mchanga
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
spiritual uongo allergy ndiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…