Is this culture of impunity? Kwani kuna tofauti gani na uvaaji wa mke wa "Mamadou Sakho"?

Is this culture of impunity? Kwani kuna tofauti gani na uvaaji wa mke wa "Mamadou Sakho"?

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana.
 
Pamoja na kuvaa headscarf bado kichwa kipo wazi, lakini angekuwa mzawa wa Uturuki yangemkukuta ya kumkuta.

Alichokosea ni kuchukua kauli ya mtu mwingine bila kujidhihirisha pia alikuwa na nafasi ya kumpa onyo ikiwa nguo zake zilikuwa mbaya .
Kwani hii ni mara ya kwanza mbunge kifukuzwa kwa kuzingatia itifaki ya uvaaji wa kibunge?

Bunge lina itifaki yake ya uvaaji. Spika husimamia utaratibu huu,na wabunge wengi tu walikwisha fukuzwa bungeni kutokana na uvaaji wa hovyo.
 
Good afternoon JamiiForums

Kwani kuna tofauti gani kati ya uvaaji wa mke wa "Mamadou Sakho" na mbunge "Condester Michael"?

View attachment 1804885

Mimi binafsi ninafikiri spika Job Ndugai alikuwa sahihi sana kumtoa dada yangu mbunge Condester Michael kwa maana yeye amefanya maamuzi kwa kufuata muongozo wa sheria za kibunge kuhusiana na mavazi na siyo utashi wake binafsi.

View attachment 1804886

Kama wabunge/wafuasi wa vyama vya siasa wanatafuta wa kumshambulia basi wazishambulie ama waombe mabadiliko ya sheria za bunge zinazohusiana na mavazi na sio kumlalamikia mzee Job Ndugai personally.

Ina maana watu wanataka kusema kwamba bungeni ni pahala patukufu sana kuzidi Ikulu? Mbona mke wa mchezaji Mamadou Sakho alivaa nguo zinazofanana na mbunge Condester Michael na bado maofisa wa Ikulu wakamruhusu kuingi pahala pale patukufu na watu hawakupiga kelele?

Ifike wakati watanzania tujifunze kusimami kanuni/sheria tulizozianzisha sisi wenyewe na sio kufanya "witchhunting" wakati wachawi ni sisi wenyewe tuliopitisha kanuni hizo. TII SHERIA BILA SHURTI.

View attachment 1804970

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Huyo dada ashukuru hilo zogo limesaidia kumpaisha na kumtambulisha. sizani kama watu walimjua hapo kabla. Mi mwenyew ndo kwanza nimemskia leo.
 
swali -Mke wa Sakho ni Mtanzania ?
Halafu katika mavazi ya mke wa Sakho ni ya kawaida katika halfa, hajavaa nguo ya kubana matako

Huyo Mbunge wa Viti maalimu nguo yake sio kitambaa ni kama jeans fulani hivi, yaani imebana matako.

mke wa Sakho huyu hapa bungeni leo Zanzibar.

pembeni haya ni mavazi yanayoruhusiwa ,zoom hiyo nguo ya huyo mbunge vizuri utaona kwenye miguu ni kama ameibana tena kwenye cherehani halafu ni kama jeans.

View attachment 1804973

View attachment 1804976
Huyo muke wa sako mashalaah....daah kuna binadam wanakojoa sehem salama sana😋😋😋
 
Mkuu iyo suruali ya mke wa mwanasoka. Mbona ipo safi tu, tena dada mrembo na amefurahi haswaaa it seems ameipenda kweli Tz
 
Mbunge wa jimbo la nywang'wale alikuwaaa anataka nini huyu hapiti tena uchaguz ujao mack my word
 
Wanaingia tu kaangalie secretary of state alukuwa anatinga tu hapo, na ndio maana nchi kama dubai hawana huu ushamba wa mavazi yenu ya kuletewa na waraabu wavaa vipedo na wafia dini , suruali ni moja ya mavaz mazuri kwa mwanamke na yamasitiri , huyo mzee mzinzi tu apigwe chini2025
Waislam wanadhani Mavazi ndio utakatifu utakaowapeleka Akhera
 
Huyu Hussein Nassor Amar aliyemchongea huyu Dada ni mpuuuzi. Kwanza alikua anaangalia nini hadi kaona hilo. Pili nguo ya kawaida kabisa hiyo huyu mzee ana matatizo aseme kama katoswa sio kusingizia mavazi ya kubana.
Huyo Hussein ana Uislam wa kinafiki sana, role model wake ni Sheikh Kipozeo
 
Good afternoon JamiiForums

Kwani kuna tofauti gani kati ya uvaaji wa mke wa "Mamadou Sakho" na mbunge "Condester Michael"?

View attachment 1804885

Mimi binafsi ninafikiri spika Job Ndugai alikuwa sahihi sana kumtoa dada yangu mbunge Condester Michael kwa maana yeye amefanya maamuzi kwa kufuata muongozo wa sheria za kibunge kuhusiana na mavazi na siyo utashi wake binafsi.

View attachment 1804886

Kama wabunge/wafuasi wa vyama vya siasa wanatafuta wa kumshambulia basi wazishambulie ama waombe mabadiliko ya sheria za bunge zinazohusiana na mavazi na sio kumlalamikia mzee Job Ndugai personally.

Ina maana watu wanataka kusema kwamba bungeni ni pahala patukufu sana kuzidi Ikulu? Mbona mke wa mchezaji Mamadou Sakho alivaa nguo zinazofanana na mbunge Condester Michael na bado maofisa wa Ikulu wakamruhusu kuingi pahala pale patukufu na watu hawakupiga kelele?

Ifike wakati watanzania tujifunze kusimami kanuni/sheria tulizozianzisha sisi wenyewe na sio kufanya "witchhunting" wakati wachawi ni sisi wenyewe tuliopitisha kanuni hizo. TII SHERIA BILA SHURTI.

View attachment 1805316

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wavae hata hijabu mi sijali, la msingi watumie akili bungeni

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu soldier, kwa utamaduni wake wa asili binti au mwanamke mweusi mavazi yake hayakuwahi kumsitiri mwili mzima, bali sehemu kama matiti mara nyingi zilikuwa zinaonekana wazi na hata tumbo, mgongo, na mapaja hadi miguuni......yaani mambo yalikuwa hadharani. Hizi nguo na suti ni utamaduni wa kigeni ambao ulikuja na wazungu. Sasa utaona huyo mama nguo zake zimefunika kila eneo la mwili wake kiasi kwamba mabaharia watashuhudia uumbaji kwa kutumia fikra zaidi kuliko kushuhudia mambo kwa mwonekano wake hasa.....je, ni busara kuanza kushadidia mambo ambayo hatukuyaasisi na kuacha tamaduni zetu za asili kuhusu mavazi kwa binti mwanamwali wa kiafrika?
 
je, ni busara kuanza kushadidia mambo ambayo hatukuyaasisi na kuacha tamaduni zetu za asili kuhusu mavazi kwa binti mwanamwali wa kiafrika?
Ukeketaji kwa mabinti pia ni mila lakini zipo kwenye kundi la zile potofu. The same applies to dressing codes. Some might be right, and others be wrong.
 
Ukeketaji kwa mabinti pia ni mila lakini zipo kwenye kundi la zile potofu. The same applies to dressing codes. Some might be right, and others be wrong.
Sasa to be right or wrong ni kwa mtazamo wa mzungu au mtu mweusi? maana hata hii misamiati ya dressing code ilikuja na meli....
 
Sasa to be right or wrong ni kwa mtazamo wa mzungu au mtu mweusi?
To be right or wrong ni kwa hitaji la jamii husika kwa wakati huo. Binadamu aliumbwa kuwa mnyama kama vile kuku na ng'ombe lakini je anajisaidia au kufanya mapenzi hadharani kama wanyama wengine wafanyavyo?
 
Back
Top Bottom