Maendeleo tu
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 347
- 107
Dimondii akimaliza huyo anahamia kwa yule mtoto wa Obama, Shasa, naona kashakua tayari yule
Malia wameshamtundika mimba, hivyo Sasha naye inawezekana. Ila Mondi akitoka Ug aende kwa Huddah area 254
me nalala....wema harudi kwa dai wewe...tupinge
Althought She's 9 years older than Diamond.
Waliokua wanasema Halima anajipendekeza kwa Daimond heheeee Wapo wote South ama kweli kaa karibu na uwarid lazima unukieeeeeeeee
kaenda kama mpishi wao na kuwavulia nguo zao za ndani ! :director: acha projekti iendeleeee
Iwe itakavokua Ila Zari mzuriii!Afu dai anajua kuwakomeshaaa!!Haa pombe zitamuua binti watu!Huruma sana aisee!Ila Zari kutoa wimbo na domo...Zari once said they were little carried away!!Ha ha ha
Waliokua wanasema Halima anajipendekeza kwa Daimond heheeee Wapo wote South ama kweli kaa karibu na uwarid lazima unukieeeeeeeee
Si kweliiii lete pichaaa
domo alimtambulisha ukumbini km mpenzi so tayari ilikuwa wazi, hata mama mzazi tayari alishajua. so hakukuwa na haja ya zari kuficha. kumbuka hii ni ishu ya after awards ambapo domo alishakiri pale ukumbini. zari hahaha mchezea wanaume ila afadhali iwe haki sawa kwan men walizoea kuchezea wadada
Hiyo hapo kamaliza kufua hapo na Mtisherti wake Mweusi !
Si kweliiii lete pichaaa
Waliokua wanasema Halima anajipendekeza kwa Daimond heheeee Wapo wote South ama kweli kaa karibu na uwarid lazima unukieeeeeeeee
Hayo sio kwa dai,Muulizeni Wema kwanini kaamua kukimbia.chezeya wanawake wewe kazi ya milioni 100 utaifanya kwa dinner moja na papuchi hehe