Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Diamond is 25... hivi unamshauri nini wakati mwenyewe ana akili timamu? Unfortunately, mie nadhani sio mfano mzuri kabisa wa kuigwa manake haya mambo ambayo purely ni binafsi, huwa hayanisumbui hata kidogo unless yawe yamefanywa na mtu wangu wa karibu sana; mathalani ndugu wa damu, otherwise hao wengine wakitaka wasagane hata barabarani wala hainisumbui!!

Patamu apo, nani tena akisagana? Ubuyu mtamuuuuu, wacha movie iendeleee, sagana mama ubaya jipe raha na aunty ezekiel wako mpak mpeane mimba
 
Do your homework ... Shoo ya ghali ni ya Jose chameleone ambayo ni 1M, first lady wa ug amethibitisha kuattend. Inaitwa hela ya waarabu hela ya mafuta hela isiyo na mawazommm. Shoo ya zari ndo affordable as per ug reputable sources. Hakuna ughali wowote. Next time no research no right to throw whatever u have for this forum. Yes ni umbea ila lazima tuwe na data.

Chezeya wambea tulioenda shule? Kiswazi kinapanda , ngeli ndo Nyumbani kwake, inshort tumejipanga kuboresha UMBEA east africa nzima, tunataka kuipeleka fani yetu kimataifa zaidi, hapana chezeya sie. We are unstoppable n untouchable forever, lets goo swry , tumekuja kuwashikaaaa.....
 
Do your homework ... Shoo ya ghali ni ya Jose chameleone ambayo ni 1M, first lady wa ug amethibitisha kuattend. Inaitwa hela ya waarabu hela ya mafuta hela isiyo na mawazommm. Shoo ya zari ndo affordable as per ug reputable sources. Hakuna ughali wowote. Next time no research no right to throw whatever u have for this forum. Yes ni umbea ila lazima tuwe na data.

Binamu umesikia michambo ya mganda kwa wabongo? Anasema eti wabongo ma ignorant n illiteracy. Ngoja nikakariri ID nikuletee tumfuate uko uko IG, tumuonyeshe u ignorant wetu pamoja na sifa nyingine kubwa alizozisahaua za umbea na ujobless, ataomba poo manina
 
Binamu,

Malaya malaya tu

Class ni mbwembwe tu

Sema zari alichomshinda wema ni un summit tu wakati wema ni tz summit


Hampati kwa uzuri, pesa wala ukahaba, wema anajifanyaga malaya ila zari ni malaya first class, inshort wema kapigwa bao
 
Kudadadekriiii ubuyu huu ulinipita...

Lulu riz one si ndo aliyempangia nyumba kule tegeta? Ila nasikia alimmwaga maana jamaa alizid ubahili, kila akiombwa pesa anadai uchaguz umemaliza pesa nyingi, lulu ikabid amuache na uchaguzi wake

Lulu anatoka na watu wenye hadhi zao na pesa zao na ni msiri mno hanaga ulimbukeni yule dogo kusema sijui ajitangaze kalala na nani kama DIVA, maana diva angepata bahati ya kutoka na wanaume anaotoka nao lulu, naona dunia nzima ingejua, katoka na mbunge tu makerere kibao wakat lulu yupo na waheshimiwa na mabolozi wenye hadhi zao ila kapiga kimya

Diva achana nae kabisa.....
Akigongwa tu dunia lazima ijue
 
Patamu apo, nani tena akisagana? Ubuyu mtamuuuuu, wacha movie iendeleee, sagana mama ubaya jipe raha na aunty ezekiel wako mpak mpeane mimba
Bhana eh, hii dunia ukiwa mtu wa -----mind vitu wanavyofanya hata wasio ndugu zako unaweza kuugua ugonjwa wa moyo wa kujitakia manake kila siku utasikia jipya na la kuudhi vile vile... sasa yote hayo ukiyageuza na kuyafanya yawe yako au yanakuhusu kisa tu yanafanywa na mtu unayemuonaga kwenye TV... trust me, ni kujitafutia ugonjwa wa moyo wa kujitakia!
 
Kudadadekriiii ubuyu huu ulinipita...



Diva achana nae kabisa.....
Akigongwa tu dunia lazima ijue

Na anajisifia kabisa, yule hamnazo, atatembelea gar lake la viwete mpaka akome, na mkopo sijui kamalizia
 
Pengine chamillion anaweza kuvunja record afrika Tsh600,000+ per show ni hela nyingi sana kwa nchi zetu za afrika ukisikia na ukitaka kupata mfano halisi wa kutake risk basi ni show hii ya chamillion!

Yap kwa Africa Jose ameamua kujiongeza... Ila Uganda Jose yuko juu Sana nadhani atapata watu wa kutosha
 
Lulu riz one si ndo aliyempangia nyumba kule tegeta? Ila nasikia alimmwaga maana jamaa alizid ubahili, kila akiombwa pesa anadai uchaguz umemaliza pesa nyingi, lulu ikabid amuache na uchaguzi wake

Lulu anatoka na watu wenye hadhi zao na pesa zao na ni msiri mno hanaga ulimbukeni yule dogo kusema sijui ajitangaze kalala na nani kama DIVA, maana diva angepata bahati ya kutoka na wanaume anaotoka nao lulu, naona dunia nzima ingejua, katoka na mbunge tu makerere kibao wakat lulu yupo na waheshimiwa na mabolozi wenye hadhi zao ila kapiga kimya

Umeona ehh lulu ana akili sana ila ni hivyo hakuzingatia shule. Lulu angeenda mbali Sana. Ingekuwa ni level za ajira za kiinternational. Ila kuuza papuchi ndo life alochagua. Ni nzuri ila mbaya sana
 
Mwanamke usimpomkanyaga vizuri,hata umpeleke sayari ya mars,atarudi tu duniani hata bila rocket ili apate anachostahili.
 
Mhhhhhhh shoga huu mtirirko....... ungesubiri stori kamili

aliekua ana jilaveda ni boss Zarina sio Wema

Tatizo wambea tunakuwag na uvumilivu zero, tukipata kichwa cha habar tu, story tunatunga wenyewe, inabidi tuite kikao tujadili hili suala, naona limekuwa ni changamoto kwetu, linaweza kukwamisha maendeleo ya ubuyu nchini
 
Zari hakukana kuhusu ile video, kasema ni yake na wala haikuwa intended kuzisambaza, ilikuwa ni kwa ajili ya mambo yake privacy, yani anajiamini vibaya, sijui hawa mastaa wana nini maana rio nae baada ya video ku leak, kakimbilia insta na kusema ni kweli ni video yake ilikuwa kwenye simu yake iliyoibiwa, na yale ni mambo yake private, yani hadi mtu unaishiwa pozi

Ukiona wanajiamini hivyo jua washafanya makubwa sana hiyo ni cha mtoto. Ila kwenye public lazima mtu ajidai ila moyoni km binadam mwenye damu unaumia.
Alafu caption zake hasa ya leo anajitahidi kujisafisha so still kimemuuma.
Kuna mganda anasema ile caption ya sex leak hajaandika yeye ameandikiwa na mtu.
 
Back
Top Bottom