Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Umeona ehh lulu ana akili sana ila ni hivyo hakuzingatia shule. Lulu angeenda mbali Sana. Ingekuwa ni level za ajira za kiinternational. Ila kuuza papuchi ndo life alochagua. Ni nzuri ila mbaya sana

Kwani ujasikia umbea binamu? Lulu yupo magogoni siku izi, naona anachukua sijui public services kama sikosei au public relation, sina uhakika between the two, kanajitahid nasikia kichwan zipo na kiingereza chake cha U know kama lemutuz
 
Mmh!! Usikute shoga yake Mrembo by Nature kakeketwa yule, sio umalaya aisehh!!, wanaume wote hao bado anapiga punyeto?? Ila ni kawaida tu, maana hata mimi mademu ninao ila siku nikizidiwa sana lazima ujipooze inahuu?? Mwacheni ajipe raha, ishaandikwa raha jipe mwenyewe

Ile ilikuwa wanado kiskype. Alafu nshawaambia yule bibi ana ge..nye mshindo huwa haziishi. Yule akiona suruali tu imejazia kwa mbele ni tayari sehemu flani zinatepeta
 
Last edited by a moderator:
Ila uzuri zarina ana life lake, hategemei wanaume, yani ni kahaba anayejituma, sasa shoga yenu ye kutwa kubadilisha hotel mara sea cliff, mara serena, kesho holiday in, kesho kutwa sunrise leo double tree, hotel zote nyota tano wema anafahamika kwa kugawa uroda ila bado mpaka leo life gumu, yani mtu huendi china hadi upigwe pumbu, wakat zari kahudumia familia nzima uko south africa, sijui mama ubaya angeweza, diamond kakimbia mengi aiseh wema ni golikipa sana

Zari anajituma wapi? Hela ni ya Ivan. So Kama kuchuna hata zari ni mchunaji tu. Okay alichuna akafungua duka ila duka halina wateja hata yani hauzi kabisa ( chuki waganda waliyonayo kwake na pia sababu zingine hazieleweki why) which means Hana source clear ya income. So zari nae hana life la kwake. Ni mchunaji km wengine
 
Ile ilikuwa wanado kiskype. Alafu nshawaambia yule bibi ana ge..nye mshindo huwa haziishi. Yule akiona suruali tu imejazia kwa mbele ni tayari sehemu flani zinatepeta

Mama yanguuu, wewe mutu ni chibokooo, weka mbali na watoto...Nitarudi baadae

Tutarudi baadae kidogo, ngoja tupate break kwa udhamini wa matangazo
 
Ukiona wanajiamini hivyo jua washafanya makubwa sana hiyo ni cha mtoto. Ila kwenye public lazima mtu ajidai ila moyoni km binadam mwenye damu unaumia.
Alafu caption zake hasa ya leo anajitahidi kujisafisha so still kimemuuma.
Kuna mganda anasema ile caption ya sex leak hajaandika yeye ameandikiwa na mtu.

Ni fedheha hakika, maana sio kitu kidogo, familia na ndugu kushuhudia utupu wako live, bora sie mashabiki maandazi haihuu, maana tumuone malaya au lah haijalishi, ila tatizo kazaliwa yule, ana baba,mama,kaka,dada na wajomba atii, hii ni ngumu kumesaaa
 
Hahahaha atakwambia kufa ni kufa tu. Hahaha mjini sihami na ninazidi kumpenda Wema wangu. Hata wamchafue vipi ila hata wanaomchafua wana yao na huenda ni chuki binfsi tu

Hahaha Wema lazima warudiane na Diamond!
 
Chezeya wambea tulioenda shule? Kiswazi kinapanda , ngeli ndo Nyumbani kwake, inshort tumejipanga kuboresha UMBEA east africa nzima, tunataka kuipeleka fani yetu kimataifa zaidi, hapana chezeya sie. We are unstoppable n untouchable forever, lets goo swry , tumekuja kuwashikaaaa.....

Uzuri tuko na data sio tararira tupu
 
Halafu bosslady na hela yote aliyonayo kashindwa kununua wembe tu wa gillete kunyoa vuzi????

Hata wax kashindwa fanya??

Hahahaha chezeya uwitchlady wewe... Boss avae nguo haijanyooshwa? Boss tumbo kitambi kwenye red carpet corset zimeisha? Boss zivu limechina? Boss weusi kwenye mapaja hamuoni director Joan ampatie Dawa? Ila waganda huwa ni washamba na wachafu Sana japo wanatudharau watz...
 
Binamu umesikia michambo ya mganda kwa wabongo? Anasema eti wabongo ma ignorant n illiteracy. Ngoja nikakariri ID nikuletee tumfuate uko uko IG, tumuonyeshe u ignorant wetu pamoja na sifa nyingine kubwa alizozisahaua za umbea na ujobless, ataomba poo manina

Leta ID tukamle nyama mbichi
 
Kwani ujasikia umbea binamu? Lulu yupo magogoni siku izi, naona anachukua sijui public services kama sikosei au public relation, sina uhakika between the two, kanajitahid nasikia kichwan zipo na kiingereza chake cha U know kama lemutuz

Najua ila ni cheti ndugu. Lulu namjua in and out hakuwa mtu wa kuishia pale kwenye certificate. Lulu yuko bright Sana (ingekuwa enzi za ticha anheenda vipaji maalumu). Dogo kichwa kinachanga sana
 
Ni fedheha hakika, maana sio kitu kidogo, familia na ndugu kushuhudia utupu wako live, bora sie mashabiki maandazi haihuu, maana tumuone malaya au lah haijalishi, ila tatizo kazaliwa yule, ana baba,mama,kaka,dada na wajomba atii, hii ni ngumu kumesaaa

Umeonaeeeh plus age yake, watoto wake alafu ni wakiume. Pia bisandra na Esma wifie na utandale ule watamchukuliaje. Mhh haya bana
 
Najua ila ni cheti ndugu. Lulu namjua in and out hakuwa mtu wa kuishia pale kwenye certificate. Lulu yuko bright Sana (ingekuwa enzi za ticha anheenda vipaji maalumu). Dogo kichwa kinachanga sana

Yap nasikia zimo kichwani..Tatizo umaarufu tu ndo ulimponda, ila bora binamu, cheti sio mbaya taratibu atafika tu, maana kuna akina mwantumu kandamil na kina maimuna wenzio hata chet hawana, akijitahid mwakan diploma, mwak kesho kutwa anamaliza, sio mbaya, cha muhimu ni kama kwel anasoma
 
Yap nakubaliana na weee

Waganda walugaluga ila wananyoooodoooooooooo

Boss minyama imemtepeta...


Hahahaha chezeya uwitchlady wewe... Boss avae nguo haijanyooshwa? Boss tumbo kitambi kwenye red carpet corset zimeisha? Boss zivu limechina? Boss weusi kwenye mapaja hamuoni director Joan ampatie Dawa? Ila waganda huwa ni washamba na wachafu Sana japo wanatudharau watz...
 
Mpaka kwa jiran kule sintah.com wanajua habari yetu, sio muchezo kabisa, weka mbali na watoto

Hahahahaha kwa sintah sisomi tena yule chibibi mnafiki anachuki binafsi na watu. Alafu unajua mange Ana picha za chiu wa sintah ikiwa na mapele ya topaz meusiii so yeye na zari ndo zao kusafisha nyuso alafu chiu nyeusi eeehh?
 
Back
Top Bottom