Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,655
Hampati kwa uzuri, pesa wala ukahaba, wema anajifanyaga malaya ila zari ni malaya first class, inshort wema kapigwa bao
Diamond is 25... hivi unamshauri nini wakati mwenyewe ana akili timamu? Unfortunately, mie nadhani sio mfano mzuri kabisa wa kuigwa manake haya mambo ambayo purely ni binafsi, huwa hayanisumbui hata kidogo unless yawe yamefanywa na mtu wangu wa karibu sana; mathalani ndugu wa damu, otherwise hao wengine wakitaka wasagane hata barabarani wala hainisumbui!!
Sijakuelewa binamu atiiii??
Sasa kahaba first class anashindwa kufyeka nyasi kule chini? As if that's something to be proud of
Uko chini ni hiyar ya mtu anyoe au asinyoe, may be kapenda, its her life n its her choice
Hahaha ngoja nicheki upepo nisijepata life ban. Bado celebrity forum ninaitaka
Do your homework ... Shoo ya ghali ni ya Jose chameleone ambayo ni 1M, first lady wa ug amethibitisha kuattend. Inaitwa hela ya waarabu hela ya mafuta hela isiyo na mawazommm. Shoo ya zari ndo affordable as per ug reputable sources. Hakuna ughali wowote. Next time no research no right to throw whatever u have for this forum. Yes ni umbea ila lazima tuwe na data.
Je zari anauza maku au hauzi.... Malaya mchafu yule hata kufyeka ameshindwa eti boss lady khaaa
Zinafanana kila kitu........., mambo ya kujilaveda inahuuu
Do your homework ... Shoo ya ghali ni ya Jose chameleone ambayo ni 1M, first lady wa ug amethibitisha kuattend. Inaitwa hela ya waarabu hela ya mafuta hela isiyo na mawazommm. Shoo ya zari ndo affordable as per ug reputable sources. Hakuna ughali wowote. Next time no research no right to throw whatever u have for this forum. Yes ni umbea ila lazima tuwe na data.
Hampati kwa uzuri, pesa wala ukahaba, wema anajifanyaga malaya ila zari ni malaya first class, inshort wema kapigwa bao
Lulu riz one si ndo aliyempangia nyumba kule tegeta? Ila nasikia alimmwaga maana jamaa alizid ubahili, kila akiombwa pesa anadai uchaguz umemaliza pesa nyingi, lulu ikabid amuache na uchaguzi wake
Lulu anatoka na watu wenye hadhi zao na pesa zao na ni msiri mno hanaga ulimbukeni yule dogo kusema sijui ajitangaze kalala na nani kama DIVA, maana diva angepata bahati ya kutoka na wanaume anaotoka nao lulu, naona dunia nzima ingejua, katoka na mbunge tu makerere kibao wakat lulu yupo na waheshimiwa na mabolozi wenye hadhi zao ila kapiga kimya
Bhana eh, hii dunia ukiwa mtu wa -----mind vitu wanavyofanya hata wasio ndugu zako unaweza kuugua ugonjwa wa moyo wa kujitakia manake kila siku utasikia jipya na la kuudhi vile vile... sasa yote hayo ukiyageuza na kuyafanya yawe yako au yanakuhusu kisa tu yanafanywa na mtu unayemuonaga kwenye TV... trust me, ni kujitafutia ugonjwa wa moyo wa kujitakia!Patamu apo, nani tena akisagana? Ubuyu mtamuuuuu, wacha movie iendeleee, sagana mama ubaya jipe raha na aunty ezekiel wako mpak mpeane mimba
Kupigwa bao kwenye kupigwa pumbu bora ampige tu
Mboo hazijamtosha kaamua kutafuta dildo........ hahahaiya
Kudadadekriiii ubuyu huu ulinipita...
Diva achana nae kabisa.....
Akigongwa tu dunia lazima ijue
hahahaha let seee mwisho wa hii project! Kwakweli Diamond anatakiwa kucheza salama tena kwa tahadhari!
Pengine chamillion anaweza kuvunja record afrika Tsh600,000+ per show ni hela nyingi sana kwa nchi zetu za afrika ukisikia na ukitaka kupata mfano halisi wa kutake risk basi ni show hii ya chamillion!
Lulu riz one si ndo aliyempangia nyumba kule tegeta? Ila nasikia alimmwaga maana jamaa alizid ubahili, kila akiombwa pesa anadai uchaguz umemaliza pesa nyingi, lulu ikabid amuache na uchaguzi wake
Lulu anatoka na watu wenye hadhi zao na pesa zao na ni msiri mno hanaga ulimbukeni yule dogo kusema sijui ajitangaze kalala na nani kama DIVA, maana diva angepata bahati ya kutoka na wanaume anaotoka nao lulu, naona dunia nzima ingejua, katoka na mbunge tu makerere kibao wakat lulu yupo na waheshimiwa na mabolozi wenye hadhi zao ila kapiga kimya
Mhhhhhhh shoga huu mtirirko....... ungesubiri stori kamili
aliekua ana jilaveda ni boss Zarina sio Wema
Zari hakukana kuhusu ile video, kasema ni yake na wala haikuwa intended kuzisambaza, ilikuwa ni kwa ajili ya mambo yake privacy, yani anajiamini vibaya, sijui hawa mastaa wana nini maana rio nae baada ya video ku leak, kakimbilia insta na kusema ni kweli ni video yake ilikuwa kwenye simu yake iliyoibiwa, na yale ni mambo yake private, yani hadi mtu unaishiwa pozi