Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho anakitaka yeye au babake?
Kabisa Mkuu. Na kuna Watu hapa JamiiForums wanadhani kuwa Members wote hapa ni Wapumbavu kama walivyo Wao.Anatupiga kamba kuwa dogo ana nyota 🤣 wakati wanatumia mpunga kumtangaza
Ungeandika: Nyota ya Mwigulu L. Nchemba inazidi kung'aa ingeleta maana zaidi.Nyota ya Isack Mwigulu inazidi kung’aa, safari awa mgeni rasmi kwenye semina ya utendaji wa UVCCM kwa mkoa wa Singida.View attachment 3121864
Ndio ndio labda mtoto ajiongeze kumzidi Mzee wake akataka aendeshe bodaboda ya mkatabaNa wa muendesha mkokoteni atamiliki mkokoteni.
Sawa juma lokole unaonyesha uzoefu wako wa kupanuliwa nankubanduliwa kama huna D mbili huwezi elewaYaani nguvu ya Fedha za Baba anazowaibia Kutwa tu Watanzania hapo Wizarani alipo anazitumia Kumpromoti huyu Mwanae ili kumjengea Umaarufu Wewe Chawa Gegedu unakuja hapa kutudanganya kuwa Nyota ya Mwanae inakua.
Acheni huku Kujipendekeza na Kujikomba hovyo kwa Wakubwa Serikakini na Chamani kwani ipo Siku mtakuja 'Kupipidiwa' au 'Kumanuliwa' nao bure....!!
Hovyo kabisa Wewe.
Ila watz kuridhishana biashara hakuna mwisho wa kurithi ni kuuwana tuSawa sawa Baba akimiliki Mgahawa atamilikisha mtoto Mgahawa hivyo hivyo akimiliki Shamba la kijiji
Mlampa NtuluIngependeza ingekuwa Nyota ya Baba yake Lameck Madelu.
Watotot wa wanyonge watapata hizo nafasi lini kama viongozi wanakaba mapema?Vizuri Sana
Mtoto aandaliwe kuwa kile anachotaka
Wehu ni wengi sana, wahuni, wezi, mafisadi. Wabakaji, walawiti na wote wanaofanana na hao! Baba yake huyo sisemi!!!!!!!!ANAFANYA KAZI Gani?
Mbona wanaotuongoza hawaoni aibu?
Mna hakika hakuna wehu walio na nyazifa serikalini?
Wazazi wake hawaoni aibu hata!Watotot wa wanyonge watapata hizo nafasi lini kama viongozi wanakaba mapema?
ccm ni mambumbumbu hayana kazi wanasubiri hela ya uchawa wapate mlo wa ckuNatafakari tu hiyo mibaba na mimama mijitu mizima kupoteza muda kwenda kukupokea hicho kitoto..