Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naibu Waziri wa Fedha ajaye 2025.Nyota ya Isack Mwigulu inazidi kung’aa, safari awa mgeni rasmi kwenye semina ya utendaji wa UVCCM kwa mkoa wa Singida.View attachment 3121864
Yaani nguvu ya Fedha za Baba anazowaibia Kutwa tu Watanzania hapo Wizarani alipo anazitumia Kumpromoti huyu Mwanae ili kumjengea Umaarufu Wewe Chawa Gegedu unakuja hapa kutudanganya kuwa Nyota ya Mwanae inakua.Nyota ya Isack Mwigulu inazidi kung’aa, safari awa mgeni rasmi kwenye semina ya utendaji wa UVCCM kwa mkoa wa Singida.View attachment 3121864
Ngoja tukuletee makaa ya mawe uchochee zaidi MchocheziNyota ya Isack Mwigulu inazidi kung’aa, safari awa mgeni rasmi kwenye semina ya utendaji wa UVCCM kwa mkoa wa Singida.View attachment 3121864
Na wa muendesha mkokoteni atamiliki mkokoteni.Sawa sawa Baba akimiliki Mgahawa atamilikisha mtoto Mgahawa hivyo hivyo akimiliki Shamba la kijiji
Pia ana LC 300 na ma bodyguards wanne.naskia huyo chibonge anazaidi ya b 4 benki
Ametoa photocopy machine kwa hela zipi alizonazo au Feza Schools wanalipa wanafunzi mishahara?🤣View attachment 3121938
Akawapa na photocopy machine
Dogo sio kwamba anataka baba ndo anataka mwanaye aweVizuri Sana
Mtoto aandaliwe kuwa kile anachotaka
Ni bora kurithishwa ujinga pamoja na billion 4 kwenye account kuliko ujinga tuliorithishwa na maneno matupu "Soma mwanangu upate kazi nzuri" na blaa blaa zingine.Kizazi hicho ndio kitakutana na anguko la ccm namuonea huruma bad timing anarithishwa ujinga.
Dogo haelewi uzito wa anachokifanya baba yake kwa sasa ila akifika umri wa miaka 26-30 atakuja kumshukuru sana baba yake kwa alichokuwa anamtengenezea.Dogo sio kwamba anataka baba ndo anataka mwanaye awe
Anatupiga kamba kuwa dogo ana nyota 🤣 wakati wanatumia mpunga kumtangazaYaani nguvu ya Fedha za Baba anazowaibia Kutwa tu Watanzania hapo Wizarani alipo anazitumia Kumpromoti huyu Mwanae ili kumjengea Umaarufu Wewe Chawa Gegedu unakuja hapa kutudanganya kuwa Nyota ya Mwanae inakua.
Acheni huku Kujipendekeza na Kujikomba hovyo kwa Wakubwa Serikakini na Chamani kwani ipo Siku mtakuja 'Kupipidiwa' au 'Kumanuliwa' nao bure....!!
Hovyo kabisa Wewe.
Niliwahi kusikia hili Tlaatlaah kwamba huwa ni taahira? Sijui pana ukweli hapo?
Aaahaaamshambwa lazma atokwe na yale machozi yake yanayobubujikaka kifala
Kaz gan ngumu? Au ya kumuinua na kumwabudu dogo mgeni rasmi? Yaan watu wote hao nahis hata dogo hakuwapa shikamoo ila wao ndo walimsalia na kuimba nyimbo za sifa na kuabudu IsakaHii Kazi ngumu Sana NI vile ninyi hamjui
Hicho anakitaka yeye au babake?Vizuri Sana
Mtoto aandaliwe kuwa kile anachotaka
Ni Mungu tuu asimame tupate kizaz Cha Gen.z kisichojua kuabudu ujinga kakama sisi ila Kwa kwel Sion naona dalili,,na nahis aliye nyuma ya Mhe.Isaki ni mtot wa mwijaku maana kila mtu anaridhi Kaz ya wazaz wakeDogo haelewi uzito wa anachokifanya baba yake kwa sasa ila akifika umri wa miaka 26-30 atakuja kumshukuru sana baba yake kwa alichokuwa anamtengenezea.