Isack Mwigulu awa mgeni rasmi kwenye mafunzo ya watendaji wa UVCCM Singida

Sawa juma lokole unaonyesha uzoefu wako wa kupanuliwa nankubanduliwa kama huna D mbili huwezi elewa
 
Sawa sawa Baba akimiliki Mgahawa atamilikisha mtoto Mgahawa hivyo hivyo akimiliki Shamba la kijiji
Ila watz kuridhishana biashara hakuna mwisho wa kurithi ni kuuwana tu
Ila siasa sawa
Hivi na wizi kuna kuruthishana pia nimewaza tu
 
ANAFANYA KAZI Gani?

Mbona wanaotuongoza hawaoni aibu?

Mna hakika hakuna wehu walio na nyazifa serikalini?
Wehu ni wengi sana, wahuni, wezi, mafisadi. Wabakaji, walawiti na wote wanaofanana na hao! Baba yake huyo sisemi!!!!!!!!
 
Huyo bod gadi wake ana afya duni .......mwili mdogo daaa maisha hayaaaaa
 
Natafakari tu hiyo mibaba na mimama mijitu mizima kupoteza muda kwenda kukupokea hicho kitoto..
 
Safi sana kiongozi shujaa huyo tupo nyuma yake anapambana sana kuleta maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…