Habari zenu wapendwa
Tukisoma kitabu Cha mwanzo biblia inatuambia Isaka akiwa katika nchi ya wafilisti gerari huko alipanda mbegu kila kilo moja ya mbegu aliyoipanda alipata kilo mia za mavuno
Biblia inamzungumzia Isaka ndiye Aliyestawi zaidi katika nchi Ile kuliko wote
Mwanzo 26:12
Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki.
Akawa na mali ya kondoo, na mali ya ng’ombe, na watumwa wengi. Hao Wafilisti wakamhusudu.
Nini alifanya Isaka ?
Mungu akambariki ndani ya mwaka mmoja akawa na mali nyingi
Jibu ni hili Isaka alitoa sadaka ya kupanda mbegu kabla ya kuingia shambani wakulima wengine hawakufanya hivyo
Hili jambo lipo kiasili ni lazima utoe ili upate Mungu atakupa maelekezo Nini ufanye kuanzia mwanzo wa kazi yako ardhi ipi Ulime? ili upate mazao mengi
Nini tunajifunza kwa baraka ambazo Mungu anatoa ni kwamba ukitoa sadaka ya kupanda mbegu ni haki yako kupata mavuno makubwa
Faida ya Sadaka hii Mungu anaanza kukubariki kwa baraka za rohoni tayari unakuwa unajua Nini unachoenda kukifanya
2 Wakorintho 9:6-7
Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.
ila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu.
Isaka alitumia rasilimali ardhi kupata mavuno makubwa kwa kila kilo moja ya mbegu alipata mavuno kilo mia 1×100
Tumia rasilimali watu kupata utajiri ndani ya mwaka huu mmoja ni haki yako kutajirika ni jambo rahisi zingatia mali iwe kwenye daftari andika mpango wa biashara Nini unachotaka kukipata mwaka huu
Ukitaka kujua faida utayopata kwenye biashara kila mali uliyoiweka dukani kwako piga hesabu kwamba hiyo bidhaa moja au katoni utauza kwa watu mia
Chukulia mfano dukani kwako unabidhaa 100 kwa watu 100 utakuwa umeshajua utauza katoni ngapi utauza bei gani faida utazipata kiasi gani mwaka mzima
Jifunze pia hii
www.jamiiforums.com
Tukisoma kitabu Cha mwanzo biblia inatuambia Isaka akiwa katika nchi ya wafilisti gerari huko alipanda mbegu kila kilo moja ya mbegu aliyoipanda alipata kilo mia za mavuno
Biblia inamzungumzia Isaka ndiye Aliyestawi zaidi katika nchi Ile kuliko wote
Mwanzo 26:12
Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki.
Akawa na mali ya kondoo, na mali ya ng’ombe, na watumwa wengi. Hao Wafilisti wakamhusudu.
Nini alifanya Isaka ?
Mungu akambariki ndani ya mwaka mmoja akawa na mali nyingi
Jibu ni hili Isaka alitoa sadaka ya kupanda mbegu kabla ya kuingia shambani wakulima wengine hawakufanya hivyo
Hili jambo lipo kiasili ni lazima utoe ili upate Mungu atakupa maelekezo Nini ufanye kuanzia mwanzo wa kazi yako ardhi ipi Ulime? ili upate mazao mengi
Nini tunajifunza kwa baraka ambazo Mungu anatoa ni kwamba ukitoa sadaka ya kupanda mbegu ni haki yako kupata mavuno makubwa
Faida ya Sadaka hii Mungu anaanza kukubariki kwa baraka za rohoni tayari unakuwa unajua Nini unachoenda kukifanya
2 Wakorintho 9:6-7
Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.
ila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu.
Isaka alitumia rasilimali ardhi kupata mavuno makubwa kwa kila kilo moja ya mbegu alipata mavuno kilo mia 1×100
Tumia rasilimali watu kupata utajiri ndani ya mwaka huu mmoja ni haki yako kutajirika ni jambo rahisi zingatia mali iwe kwenye daftari andika mpango wa biashara Nini unachotaka kukipata mwaka huu
Ukitaka kujua faida utayopata kwenye biashara kila mali uliyoiweka dukani kwako piga hesabu kwamba hiyo bidhaa moja au katoni utauza kwa watu mia
Chukulia mfano dukani kwako unabidhaa 100 kwa watu 100 utakuwa umeshajua utauza katoni ngapi utauza bei gani faida utazipata kiasi gani mwaka mzima
Jifunze pia hii
Ukitumia hii mbinu ya Yesu utafanikiwa sana kwenye mradi na biashara yako
Kwenye maandiko ya biblia tunasoma kwamba Yesu aliibariki mikate mitano kulisha watu elfu tano wakala na wakashiba iliwezekana vipi? Mathayo 14:19-20 Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akaimega ile...