Kwahiyo Waarabu ndio wenye haki? another idiot.
Soma jina lake.halafu unganisha na alichoandika..ni aibu vijana wa leo
Jidanganye mkuu kwamba huku jamii forum hukumatika,nimeshuhudia jamaa wanadaka watu wanaoandika upuuzi humu tena kirahisi sana yaani chapu wamejua hadi unapopatikana kuna mmoja yeye baada ya kumdaka wakakuta ni boya tu hana ishu yoyote walimuonea huruma baada ya mkewe kwenda kuwaangukia kilio.Ni vyema kutumia mitandao ya kijamii ipasavyo kwa lengo la kupata elimu na taarifa mbalimbali na sio sehemu ya kujifanya mjanja.Kassim majaliwa ni mwongo, waje wanikamate
Waarabu sii wanalipa kodi Masai wanaingiza kodi gani wakati watu Wa Kenya wamejaza huko ngombe zao usiku wanavuka mpaka wanauzwa KenyaKwahiyo Sii wal rabu ndio wenye haki? another idiot.
Viongozi wa ccm ni wakubwa kuliko Mungu , ndio maana tumewaita watukufu , we hujui tu .
Mtu anadanganya msikitini kwamba Rais ni mzima na anachapa kazi , huku kumbe kishakufa , unadhani ni madogo hayo ?
Ni mzima...anapiga kazi...na amenituma nije niwasalimu 🤧Kassim majaliwa ni mwongo, waje wanikamate
ki vp?
unaweza ukatueleza jinsi gani alivyo mkashifuHakuna uhuru usio na mipaka; uhuru wa maoni unaongozwa na sheria na taratibu za nchi yetu.
Kuna tofauti kati ya uhuru wa maoni na kukashifu/kutukana.
Uhuru wako usiingilie uhuru wa mwingine; kama amemkashifu/kumtukana kiongozi wa umma ni haki yake kuwajibishwa kama inavyopaswa. Kuna njia nyingi za kumkosoa kiongozi bila kulazimika kutukana/kukashifu
Kwani unaweza kunieleza ni wapi niliposema amemkashifu? Heuelewi hata neno "kama"😁unaweza ukatueleza jinsi gani alivyo mkashifu
Uonevu huo je umewalipa hao Wamasai?Kama kakamatwa hiyo ni good news. Nchi na rasilimali sio mali ya kabila fulani. Maasai wawe na utii na waondoke kwenda Handeni pazuri zaidi. Wakikataa jasho na damu vitumike. Hakuna kubembelezana kwenye hiii.
Anyee debe kama miaka 6 hivi hadi akili zimkae sawa sawa..Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia kwa sasa kutokana na mambo ya Ngorongoro , kwamba miongoni mwa wahanga wa mwanzo kukamatwa ni Ndugu Isaya , ambaye anadaiwa kukamatwa kwa kumkashifu Kasimu Majaliwa , Waziri Mkuu wa Tanzania .
Mhanga huyu anadaiwa kusikika akimkashifu Mtukufu Waziri Mkuu huko Club House .
Taarifa zaidi itawajia baadaye kidogo
Wanajengewa nyumba,pesa wanapewa,ardhi wanapewa na huduma zote juu.Uonevu huo je umewalipa hao Wamasai?
Wewe ni mpumbavu mahali popote ulipo huna ustaarabu Wamasai wamekukosea nini,je umewalipa??? Na hao Waarabu je hawana kwao?Je wewe au Mmasai ni kosa kuzaliwa Tanzania?Si kila mwekezaji ana faida kwa nchi na wananchi wengine huja kuharibu uchumi.You are Idiot number one . Mwarabu yupi huyo mnaropoka ropoka Mwarabu Mwarabu bila ushahidi na hata kama yupo mwekezaji anaeweza faida zaidi kwa Taifa na kutunza mazingira ni bora kuliko hao Masai wasio na faida wanakunya hovyo tu humo na kuua wanyama. Waondoke hakuna kukaa humo sio kwao ni kwa nature
Kama ni hivyo sawa isije ikawa kama wale waliokuwa wanabomolewa nyumba zao kipindi cha Magufuri.Wanajengewa nyumba,pesa wanapewa,ardhi wanapewa na huduma zote juu.
Serikali ya Sasa haifanyi upuuzi kama huo, huwezi ondoa watu usijue wanakoenda..Kama ni hivyo sawa isije ikawa kama wale waliokuwa wanabomolewa nyumba zao kipindi cha Magufuri.
Acha nidhamu ya woga, ni kweli Waziri mkuu mtu muongo sana, ni watu kama wewe wanapita tuu paleHaya ,ukikamatwa hutasema chochote. Endelea kuropoka hapa.
Mushaambiwa msitaje majina ya watu hapa.
mnamtia matatani maxence melo.
Hamsikii