namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 744
Wengi hawajui huo mchezo wa majirani zetu.Wangelijua wasingeshadidia bali wangeipongeza Serikali kwa utekelezaji wa sheria kwa kuwekwa mipaka au kuondolewa wanaoshi hifadhini.Waarabu sii wanalipa kodi Masai wanaingiza kodi gani wakati watu Wa Kenya wamejaza huko ngombe zao usiku wanavuka mpaka wanauzwa Kenya