Tetesi: Isaya Olepose Laizer adaiwa kukamatwa na Polisi kwa kumkashifu Waziri Mkuu huko Club House

Waarabu sii wanalipa kodi Masai wanaingiza kodi gani wakati watu Wa Kenya wamejaza huko ngombe zao usiku wanavuka mpaka wanauzwa Kenya
Acha dharau wewe hata miji inawategemea hao Wamasai kwa kitoweo kizuri please acha dharau,
 
 
Acha ujinga wewe
 
Kuna umuhimu wa raia kumiliki bunduki, serikali inaweza kugeuka jambazi wakati wowote
 
Ndio yule jamaa Diwani wa CCM?

Badi wacha ugomvi wa ndugu sisi tuchukue jembe tukalime.
 
Keyboard worriers, keep fight mkiingia 18 mnaanza kulia lia, kiongozi hatukanwi...USIMTUKANE KIONGOZI yoyote mkosoe kwa shaha
Enzi za Dr Slaa CHADEMA Arusha sijui mimi muda huu pangekuweje narudia tena sijui!
 
Lazima Maasai waondoke Ngorongoro. Kama hawataki wapigwe tu
 
Ni nani Hasa alietakiwa kukamatwa hapo?
 
Ila sio sawa kukashifu mtu kama majaliwa heshima iwepo nikiongozi
 
Wanajidanganya kwa kuwa keyboard warriors.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…