Ishara hizi zinaweza kukusaidia ktk maamuzi

Ishara hizi zinaweza kukusaidia ktk maamuzi

hivi kweli kuna wanaume kama hao kwenye red???????????

wanapatikana wapi??

kama wapo PM to me plzzzzzzzzzzzz!!!!!!!!!!
You come to love not by finding a perfect person, but seeing an imperfect person perfectly.
 
You come to love not by finding a perfect person, but seeing an imperfect person perfectly.

Kamata kigongeo mkuu

The Following User Says Thank You to The Finest For This Useful Post:

CPU (Today)​
 
Mkweli toka moyoni
1) Atakutafuta na kuongea na wewe mara nyingi kwa kadri atakavyoweza. Hii inawezekana kwa njia ya simu, email, barua, au hata kutuma salamu za mdomo kupitia watu wengine kama marafiki, ndugu na jamaa.

2) Atatimiza ahadi aliyokupa. Akisema atakutafuta kwa ajiri ya maongezi, kukupigia simu au ahadi nyingine yoyote atafanya hivyo kwa muda aliousema awali

3) Ataonyesha kujali kwa mambo unayoyapenda, kwa mfano kama unapenda kwenda muziki, filamu, aina fulani ya chakula, maua, au mambo mengine unayoyapenda ataungana na wewe ktk kufurahi hata kama itatokea kati ya mambo hayo sio hobi yake

4) Mwanaume wa aina hiyo atakuwa wazi kuonyesha hisia zake kwako, atakuwa wazi kwa kadri awezavyo, hii itakuwa ni pamoja na kukueleza jinsi gani anajisikia anapokuwa karibu na wewe

5) Atakufunza utamaduni wa kujenga urafiki wenye dhamira ya dhati, matumaini ya muungano imara na usiokuwa na tamati kati yenu na ukweli halisi pendo toka moyoni

Aliyekosa ukweli
1) Mwanaume asiyekuwa na nia kwanza atakuwa mgumu kutimiza ahadi alizotoa mwenyewe kwako, atakuwa na sababu nyingi na maelezo marefu yasiyolenga kukutia moyo wala nguvu

2) Wakati mwingine atakuwa mbali na wewe, hatopenda kuongea na wewe kwa kirefu, na akilazimika kuongea atafanya hivyo kwa muda mfupi tu na kukupa sababu kedekede kwanini hapaswi kuongea muda mrefu

3) Anaweza kukuambia atakuja muda fulani lakin asifanye hivyo na bado asikueleze sababu za kushindwa kuja kwake kama hutosumbuka kumuuliza

.

Asante mkuu!
 
Kinachonipa shida wapo wasio na mapenzi ya kweli na mwanzoni mwa mahusiano wanakuwa na tabia kama za wenye mapenzi ya kweli....baada ya muda na kuwa wampiga hatua fulani ndio hasa unaweza kuona rangi zao kuwa hawana mapenzi ya kweli....na wapo wenye wasioweza kufanya hayo ya wenye mapenzi mema kutokana na circumstances fulani fulani....its complicated....thanks for guidelines!!!!!!!!!!!!

Yes..lakini kuna matumaini kama utakuwa makini na kushirikisha wenye busara.. mapenzi ya kweli yanahitaji uvumilivu. don't give up
 
Yah mkuu thanx sana kwa mada nzuri
 
Back
Top Bottom