Ishara kuwa ulishaukwaa ila ngwengwe ikala besela

Ishara kuwa ulishaukwaa ila ngwengwe ikala besela

Undava King

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
3,422
Reaction score
5,659
Kuna watu hawaamini mpaka leo kuwa ngoma ni ugonjwa dhaifu kama magonjwa mengine pindi unapoingia mwilini kwa mara ya kwanza.

Ikiwa mwili wako ni mwili wenye kinga imara ambayo inaweza kupambana vyema na vijidudu vya maradhi. Na ikiwa wewe ni muumini mzuri wa ngono zembe na mpaka muda huu uko salama usijione wewe ni mwamba bali tambua kuwa umeshawahi kuukwaa mara kadhaa ila shukuru kinga za mwili wako kwa kukupambania vyema.

Zifuatazo ni dalili kuwa umeukwaa tiyari ila mwili unapambana na hali kukuepusha na majanga; dalili hizi utokea siku moja baada ya tendo lisilo salama na kama ukitoboa siku 4 na ukaona zimetoweka jua kuna usalama ila ukiona siku zinayoyoma na hatimaye wiki, wiki mbili hadi mwezi, my friend jua kuna asilimia kubwa gari limeshawaka na huko tiyari kwenye hatua ya kwanza.

Dalili mojawapo inayowapata wengi ni uchovu wa mwili mzima na wakati mwingine kuisi maumivu kiasi ya viungo, mafua,kuwashwa na ngozi na kutokewa na vipele mara nyingi katika mikono au usoni na mgongoni, homa, kichwa kuuma, tezi za kwenye taya au chini ya shingo kuvimba n.k

Ukiona dalili hizo hapo hata kama ulitumia kinga, au kwenye njia yako ya mkojo waona mambo yako freshi UTI na gono hawajakutembelea, wewe jua tu kirusi kimo tiyari ila kupitia mapambano ya siku hizo 4 za moto yakiamuliwa vizuri moto unazimwa na utaendelea kudunda ila jeshi la zimamoto likizidiwa ndiyo basi tena utaendelea kuteketea hadi mwisho.

Kama una kale karoho kepesi ukishaona ulikopita sipo na ni siku ya pili au ya tatu haijatamatika tokea ulipotoka kutenda dhambi na hali yako ya kiafya uielewi-elewi chakukushauri wahi matibabu hospitalini ukapewe vidonge vya kuzuia maambukizi (PEP)kabla hayajaisha masaa 72 (siku 3), sasa zubaa uzikwe.

#tunakumbushana tu kuwa UKIMWI bado upo chezeni salama.

#...kuutibu ni gharama iweje uupate kwa bure..#Stamina.
 
Kuna hatua flani naskia ukiona ni Yesu tu ndo anasaidia. Ni pale unakojoa mkojo kama mlenda haufiki chini unanatanata hewani chini na juu.

Maamaeee ngoma!
 
Sijawahi kusoma andiko la kifala Kama wewe. Usichokijua nikuwa kadri Kinga yako inakuwa imara kupambana na ukimwi ndivyo utaathirika kwa haraka kuliko mtu mwenye Kinga dhaifu , sijui shule ulienda kufanyanini
Fafanua vyema mkuu hoja yako kiithibati na ikiwa hiyo nadharia yako ni sahihi tutaipokea, usitufokee kama sote tumesoma au lazima tufahamu unachokijua wewe.
 
Kuna watu hawaamini mpaka leo kuwa ngoma ni ugonjwa dhaifu kama magonjwa mengine pindi unapoingia mwilini kwa mara ya kwanza.

Ikiwa mwili wako ni mwili wenye kinga imara ambayo inaweza kupambana vyema na vijidudu vya maradhi. Na ikiwa wewe ni muumini mzuri wa ngono zembe na mpaka muda huu uko salama usijione wewe ni mwamba bali tambua kuwa umeshawahi kuukwaa mara kadhaa ila shukuru kinga za mwili wako kwa kukupambania vyema.

Zifuatazo ni dalili kuwa umeukwaa tiyari ila mwili unapambana na hali kukuepusha na majanga; dalili hizi utokea siku moja baada ya tendo lisilo salama na kama ukitoboa siku 4 na ukaona zimetoweka jua kuna usalama ila ukiona siku zinayoyoma na hatimaye wiki, wiki mbili hadi mwezi, my friend jua kuna asilimia kubwa gari limeshawaka na huko tiyari kwenye hatua ya kwanza.

Dalili mojawapo inayowapata wengi ni uchovu wa mwili mzima na wakati mwingine kuisi maumivu kiasi ya viungo, mafua,kuwashwa na ngozi na kutokewa na vipele mara nyingi katika mikono au usoni na mgongoni, homa, kichwa kuuma, tezi za kwenye taya au chini ya shingo kuvimba n.k

Ukiona dalili hizo hapo hata kama ulitumia kinga, au kwenye njia yako ya mkojo waona mambo yako freshi UTI na gono hawajakutembelea, wewe jua tu kirusi kimo tiyari ila kupitia mapambano ya siku hizo 4 za moto yakiamuliwa vizuri moto unazimwa na utaendelea kudunda ila jeshi la zimamoto likizidiwa ndiyo basi tena utaendelea kuteketea hadi mwisho.

Kama una kale karoho kepesi ukishaona ulikopita sipo na ni siku ya pili au ya tatu haijatamatika tokea ulipotoka kutenda dhambi na hali yako ya kiafya uielewi-elewi chakukushauri wahi matibabu hospitalini ukapewe vidonge vya kuzuia maambukizi (PEP)kabla hayajaisha masaa 72 (siku 3), sasa zubaa uzikwe.

#tunakumbushana tu kuwa UKIMWI bado upo chezeni salama.

#...kuutibu ni gharama iweje uupate kwa bure..#Stamina.
We lazima unazo
 
Kuna hatua flani naskia ukiona ni Yesu tu ndo anasaidia. Ni pale unakojoa mkojo kama mlenda haufiki chini unanatanata hewani chini na juu.

Maamaeee ngoma!
Duh! hii inatokea katika wakati gani? Ni mara baada ya kujamiana au katika siku za mwanzo baada ya kujamiana? Na je ni mara kwa mara ukienda kujisaidia au utokea mara moja tu? Tafadhali elezea kidogo kwa faida ya wengi.
 
Sijawahi kusoma andiko la kifala Kama wewe. Usichokijua nikuwa kadri Kinga yako inakuwa imara kupambana na ukimwi ndivyo utaathirika kwa haraka kuliko mtu mwenye Kinga dhaifu , sijui shule ulienda kufanyanini
Msaidie kufafanua jambo hili!
 
Sijawahi kusoma andiko la kifala Kama wewe. Usichokijua nikuwa kadri Kinga yako inakuwa imara kupambana na ukimwi ndivyo utaathirika kwa haraka kuliko mtu mwenye Kinga dhaifu , sijui shule ulienda kufanyanini
Na we ukawaamini waliokiambia hivyo huko shuleni kwenu!?

Hivi hebu rudia tena sentensi ulizoandika uzisikie
 
Kuna watu hawaamini mpaka leo kuwa ngoma ni ugonjwa dhaifu kama magonjwa mengine pindi unapoingia mwilini kwa mara ya kwanza.

Ikiwa mwili wako ni mwili wenye kinga imara ambayo inaweza kupambana vyema na vijidudu vya maradhi. Na ikiwa wewe ni muumini mzuri wa ngono zembe na mpaka muda huu uko salama usijione wewe ni mwamba bali tambua kuwa umeshawahi kuukwaa mara kadhaa ila shukuru kinga za mwili wako kwa kukupambania vyema.

Zifuatazo ni dalili kuwa umeukwaa tiyari ila mwili unapambana na hali kukuepusha na majanga; dalili hizi utokea siku moja baada ya tendo lisilo salama na kama ukitoboa siku 4 na ukaona zimetoweka jua kuna usalama ila ukiona siku zinayoyoma na hatimaye wiki, wiki mbili hadi mwezi, my friend jua kuna asilimia kubwa gari limeshawaka na huko tiyari kwenye hatua ya kwanza.

Dalili mojawapo inayowapata wengi ni uchovu wa mwili mzima na wakati mwingine kuisi maumivu kiasi ya viungo, mafua,kuwashwa na ngozi na kutokewa na vipele mara nyingi katika mikono au usoni na mgongoni, homa, kichwa kuuma, tezi za kwenye taya au chini ya shingo kuvimba n.k

Ukiona dalili hizo hapo hata kama ulitumia kinga, au kwenye njia yako ya mkojo waona mambo yako freshi UTI na gono hawajakutembelea, wewe jua tu kirusi kimo tiyari ila kupitia mapambano ya siku hizo 4 za moto yakiamuliwa vizuri moto unazimwa na utaendelea kudunda ila jeshi la zimamoto likizidiwa ndiyo basi tena utaendelea kuteketea hadi mwisho.

Kama una kale karoho kepesi ukishaona ulikopita sipo na ni siku ya pili au ya tatu haijatamatika tokea ulipotoka kutenda dhambi na hali yako ya kiafya uielewi-elewi chakukushauri wahi matibabu hospitalini ukapewe vidonge vya kuzuia maambukizi (PEP)kabla hayajaisha masaa 72 (siku 3), sasa zubaa uzikwe.

#tunakumbushana tu kuwa UKIMWI bado upo chezeni salama.

#...kuutibu ni gharama iweje uupate kwa bure..#Stamina.
Hlf unaweza kuambiwa huyu alieandika haya ni graduate!...my God. sijui tunaenda wapi kama nchi? mungu tunusuru na vizazi vyetu.
 
Hlf unaweza kuambiwa huyu alieandika haya ni graduate!...my God. sijui tunaenda wapi kama nchi? mungu tunusuru na vizazi vyetu.
Wewe graduate mwenye akili nyingi umetoa mchango gani katika kuisadia jamii yako si bora hata huyo kichwa maji ambaye ameikumbusha jamii kuhusiana na ngoma..halafu siku zote ukitaka kujua kinachoongelewa si mzaa subiri likukute ndo utaelewa...#leta hoja si pang'ang'a.
 
Back
Top Bottom