Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
Kuna watu hawaamini mpaka leo kuwa ngoma ni ugonjwa dhaifu kama magonjwa mengine pindi unapoingia mwilini kwa mara ya kwanza.
Ikiwa mwili wako ni mwili wenye kinga imara ambayo inaweza kupambana vyema na vijidudu vya maradhi. Na ikiwa wewe ni muumini mzuri wa ngono zembe na mpaka muda huu uko salama usijione wewe ni mwamba bali tambua kuwa umeshawahi kuukwaa mara kadhaa ila shukuru kinga za mwili wako kwa kukupambania vyema.
Zifuatazo ni dalili kuwa umeukwaa tiyari ila mwili unapambana na hali kukuepusha na majanga; dalili hizi utokea siku moja baada ya tendo lisilo salama na kama ukitoboa siku 4 na ukaona zimetoweka jua kuna usalama ila ukiona siku zinayoyoma na hatimaye wiki, wiki mbili hadi mwezi, my friend jua kuna asilimia kubwa gari limeshawaka na huko tiyari kwenye hatua ya kwanza.
Dalili mojawapo inayowapata wengi ni uchovu wa mwili mzima na wakati mwingine kuisi maumivu kiasi ya viungo, mafua,kuwashwa na ngozi na kutokewa na vipele mara nyingi katika mikono au usoni na mgongoni, homa, kichwa kuuma, tezi za kwenye taya au chini ya shingo kuvimba n.k
Ukiona dalili hizo hapo hata kama ulitumia kinga, au kwenye njia yako ya mkojo waona mambo yako freshi UTI na gono hawajakutembelea, wewe jua tu kirusi kimo tiyari ila kupitia mapambano ya siku hizo 4 za moto yakiamuliwa vizuri moto unazimwa na utaendelea kudunda ila jeshi la zimamoto likizidiwa ndiyo basi tena utaendelea kuteketea hadi mwisho.
Kama una kale karoho kepesi ukishaona ulikopita sipo na ni siku ya pili au ya tatu haijatamatika tokea ulipotoka kutenda dhambi na hali yako ya kiafya uielewi-elewi chakukushauri wahi matibabu hospitalini ukapewe vidonge vya kuzuia maambukizi (PEP)kabla hayajaisha masaa 72 (siku 3), sasa zubaa uzikwe.
#tunakumbushana tu kuwa UKIMWI bado upo chezeni salama.
#...kuutibu ni gharama iweje uupate kwa bure..#Stamina.
Ikiwa mwili wako ni mwili wenye kinga imara ambayo inaweza kupambana vyema na vijidudu vya maradhi. Na ikiwa wewe ni muumini mzuri wa ngono zembe na mpaka muda huu uko salama usijione wewe ni mwamba bali tambua kuwa umeshawahi kuukwaa mara kadhaa ila shukuru kinga za mwili wako kwa kukupambania vyema.
Zifuatazo ni dalili kuwa umeukwaa tiyari ila mwili unapambana na hali kukuepusha na majanga; dalili hizi utokea siku moja baada ya tendo lisilo salama na kama ukitoboa siku 4 na ukaona zimetoweka jua kuna usalama ila ukiona siku zinayoyoma na hatimaye wiki, wiki mbili hadi mwezi, my friend jua kuna asilimia kubwa gari limeshawaka na huko tiyari kwenye hatua ya kwanza.
Dalili mojawapo inayowapata wengi ni uchovu wa mwili mzima na wakati mwingine kuisi maumivu kiasi ya viungo, mafua,kuwashwa na ngozi na kutokewa na vipele mara nyingi katika mikono au usoni na mgongoni, homa, kichwa kuuma, tezi za kwenye taya au chini ya shingo kuvimba n.k
Ukiona dalili hizo hapo hata kama ulitumia kinga, au kwenye njia yako ya mkojo waona mambo yako freshi UTI na gono hawajakutembelea, wewe jua tu kirusi kimo tiyari ila kupitia mapambano ya siku hizo 4 za moto yakiamuliwa vizuri moto unazimwa na utaendelea kudunda ila jeshi la zimamoto likizidiwa ndiyo basi tena utaendelea kuteketea hadi mwisho.
Kama una kale karoho kepesi ukishaona ulikopita sipo na ni siku ya pili au ya tatu haijatamatika tokea ulipotoka kutenda dhambi na hali yako ya kiafya uielewi-elewi chakukushauri wahi matibabu hospitalini ukapewe vidonge vya kuzuia maambukizi (PEP)kabla hayajaisha masaa 72 (siku 3), sasa zubaa uzikwe.
#tunakumbushana tu kuwa UKIMWI bado upo chezeni salama.
#...kuutibu ni gharama iweje uupate kwa bure..#Stamina.