kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
unao unao unao subiri vipimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Immediately baada ya tendo siku inayofuata ila hapa ni mpaka uwe makini na afya ya mwili wako ndipo utagundua lakini dalili haswa haswa ni wiki moja mpaka mwezi na wakati mwingine hamna dalili yeyote ile kwa hatua ya mwanzo ila ukienda katika vipimo unakuta vinasoma jumlisha. Watu wengi wenye afya njema ujigundua kuwa wanangoma baada ya kupita kipindi kisichopungua miaka 8 tokea kuambukizwa hapo ndipo magonjwa nyemelezi yanapoanza kuwa mengi kutokana na kinga kuanza kushuka (CD4) ndiyo maana twapaswa kupima mara kwa mara hata kama twajiona wazima.Ina chukua mda gani mdudu kuanza kushow impacts