Ishara kuwa ulishaukwaa ila ngwengwe ikala besela

Ishara kuwa ulishaukwaa ila ngwengwe ikala besela

Ni uongo nakataa...Ukimwi haujaribu ukinasa umenasa mkuu
Una uhakika gani kuwa kinga za mwili wako huwa hazijitetei kwanza mbele ya HIV na kuna wakati unashinda?

Je maishani mwako unahisi umeshalala na watu wangapi wenye virusi pasipo wewe kufahamu au unahisi ni kwa bahati tu we ni mzima?

Unachopaswa kujua ni kuwa vile virusi katika ile hatua yake ya mwanzo kabla havijaanza kubadilika-badilika na kuwa sugu huwa ni kama virusi vya kawaida mfano wa mafua iletayo homa na uchovu wa mwili,

na endapo kinga zikiwa imara huwa zinapewa mkong'oto ndani ya siku chache na mambo yanakuwa sawa ila ziki-resist sana ndiyo inakuwa ntolee...

Kingine virusi navyo huwa vinatofautiana nguvu au makali kulingana na aina yake na afya ya mgonjwa anayekuambukiza ikiwa ni kutoka kwa yule anayevifubaza sana kwa ARVs basi unaweza hata usiambukizwe licha ya kufanya ngono isiyo salama.

Balaa ni kwa wale wasiotumia ARVs kabisa,wanaotumia kwa kubipu, wenye aina ya virus kali na waenezaji wa makusudi au cha ngono hao ukikumbana nao chance ya kutoka salama huwa ni asilimia ndogo sana.
 
Una uhakika gani kuwa kinga za mwili wako huwa hazijitetei kwanza mbele ya HIV na kuna wakati unashinda?

Je maishani mwako unahisi umeshalala na watu wangapi wenye virusi pasipo wewe kufahamu au unahisi ni kwa bahati tu we ni mzima?

Unachopaswa kujua ni kuwa vile virusi katika ile hatua yake ya mwanzo kabla havijaanza kubadilika-badilika na kuwa sugu huwa ni kama virusi vya kawaida mfano wa mafua iletayo homa na uchovu wa mwili,

na endapo kinga zikiwa imara huwa zinapewa mkong'oto ndani ya siku chache na mambo yanakuwa sawa ila ziki-resist sana ndiyo inakuwa ntolee...

Kingine virusi navyo huwa vinatofautiana nguvu au makali kulingana na aina yake na afya ya mgonjwa anayekuambukiza ikiwa ni kutoka kwa yule anayevifubaza sana kwa ARVs basi unaweza hata usiambukizwe licha ya kufanya ngono isiyo salama.

Balaa ni kwa wale wasiotumia ARVs kabisa,wanaotumia kwa kubipu, wenye aina ya virus kali na waenezaji wa makusudi au cha ngono hao ukikumbana nao chance ya kutoka salama huwa ni asilimia ndogo sana.

Makes sense.
 
Utafanya yote hayoo ila umemla denda (mate).. umetumia kondom kama 20 hivi na hizo kanuni zako za kunywa maji lita 50 etc.. then anakuja kukupatia Hep.B

Haya mambo hayana formula.. tena ukijifanya mzee wa Safety ndio utaukoga mapema.. watu wengi sana wanaojifanya waangalifu hao ndio wanavagaa/kuyabananga.

Ni bora kufa ukiwa umepambana kujilinda kwa silaha ulizonazo kuliko kufa kikondoo (kutochukua hatua yeyote ni sawa na kuamua kujimaliza mwenyewe) unazungumzia Hep.B ambayo tiyari ina chanjo lakini wangapi wanaojali afya zao kwenda kupata tiba?
 
Juzi tu hapo nimetembelea rim af leo nakutana na huu uzi! Hapa naombea tu nisiyatimbe!!! Maana sijui nitakuwa mgeni wa nani mimi! 😭
 
Ni bora kufa ukiwa umepambana kujilinda kwa silaha ulizonazo kuliko kufa kikondoo (kutochukua hatua yeyote ni sawa na kuamua kujimaliza mwenyewe) unazungumzia Hep.B ambayo tiyari ina chanjo lakini wangapi wanaojali afya zao kwenda kupata tiba?
Ni sahihi ku take precautions but sio serious kihivyo... take it easy Man..
 
Acha Joh alitisha mule ,Mademu mnawapitia makwao hamuwangojei CD za show mnakuja kuwauliza ma-DJ ,ukisia Sound nzuri .........

Jua ni wa hapahapa..tunawapoteza na maiki kama mbio za vijiti...[emoji119][emoji91]
 
Ni sahihi ku take precautions but sio serious kihivyo... take it easy Man..
Yap! wanasema wasiwasi ni akili lakini katika haya mambo wasiwasi ukizidi unaweza kufanya mambo yawe magumu zaidi kikubwa ni kujali kwa kiasi na siyo kuwa too serious nayo.
 
Nina jamaa angu Dr lukumay ametomba Hadi muadhirika was kuzalwia na ukimwi ila hajawai kuupataana watoto kumi na tano kondomu kwake haipo ktk matumis

Mm huo ugonjwa nimeshindwaa kuelewaa
 
Ngumu ngumu,vilainishi vyote vilivyopo unachubuliwaje uambukizwe sasa,[emoji38]
Kwani njia ya kuambukizwa ni moja tu hiyo ya michubuko vipi kuhusiana na maji maji yanayotoka mwilini ikiwemo shahawa au maji ya ukeni?
 
Nina jamaa angu Dr lukumay ametomba Hadi muadhirika was kuzalwia na ukimwi ila hajawai kuupataana watoto kumi na tano kondomu kwake haipo ktk matumis

Mm huo ugonjwa nimeshindwaa kuelewaa
Hapo ndipo utambue kuwa kinga zetu za miili zinatofautiana toka kwa mtu na mtu, kuna watu damu zao hazipokei kabisa virusi japo ni wachache,kuna watu ni HIV carrier yaani hawa huwa ni wagonjwa lakini hawajifahamu na uambukiza wengine ila wao hawadhuriwi na virusi hivyo,

Halafu kuna wale wenye kinga ya ku-supress virusi kiasi hawa wenyewe uishi miaka mingi wakifata kanuni za kiafya na matibabu lakini kuna kundi la mwisho wenye kinga dhaifu hawa ndiyo wahanga zaidi unajikuta ndani ya mwezi tu mwili umeshakongoroka tiyari kila wiki homa, kuharisha na magonjwa nyemelezi yasiyokoma.
 
Una uhakika gani kuwa kinga za mwili wako huwa hazijitetei kwanza mbele ya HIV na kuna wakati unashinda?

Je maishani mwako unahisi umeshalala na watu wangapi wenye virusi pasipo wewe kufahamu au unahisi ni kwa bahati tu we ni mzima?

Unachopaswa kujua ni kuwa vile virusi katika ile hatua yake ya mwanzo kabla havijaanza kubadilika-badilika na kuwa sugu huwa ni kama virusi vya kawaida mfano wa mafua iletayo homa na uchovu wa mwili,

na endapo kinga zikiwa imara huwa zinapewa mkong'oto ndani ya siku chache na mambo yanakuwa sawa ila ziki-resist sana ndiyo inakuwa ntolee...

Kingine virusi navyo huwa vinatofautiana nguvu au makali kulingana na aina yake na afya ya mgonjwa anayekuambukiza ikiwa ni kutoka kwa yule anayevifubaza sana kwa ARVs basi unaweza hata usiambukizwe licha ya kufanya ngono isiyo salama.

Balaa ni kwa wale wasiotumia ARVs kabisa,wanaotumia kwa kubipu, wenye aina ya virus kali na waenezaji wa makusudi au cha ngono hao ukikumbana nao chance ya kutoka salama huwa ni asilimia ndogo sana.
Okay Sawa
 
Back
Top Bottom