Ishara kuwa ulishaukwaa ila ngwengwe ikala besela

Last month nilipima ngoma kimasihara, nikakuta nipo sawa. Nikakaa kikao na kichwa changu tukakubaliana kupiga chini mademu wote na kubaki na mmoja tu mwenye malengo. Naye akapimwa
 
Ukipata ngoma jua kabisa wew kinga zako ni babakasa
Umeme ukishaingia mwilini haunaga cha bingwa chamsingi tutumie kinga kwa usahihi kwa kila tendo lakini la muhimu zaidi ni usafi usikubali hata siku moja kufanya ngono katika chumba cha guest bubu isiyo na choo na bafu humo humo ndani.

Tena kwa mwanaume geuza utaratibu huu uwe kwako ni wajibu kila baada ya kupizi wahi bafuni nawa kwa sabuni na maji mengi lakini usisahau kunywa maji mengi kila wakati kuruhusu kupata haja ndogo itakayokusaidia kila mara kuondosha vimelea vya magonjwa katika njia ya mkojo unapoenda kukojoa.

(Siyo unabugia bia za 20k afu unaona hasara kujinunulia walahu kopo 2 za lita 1.5 zitakazousaidia mwili pakubwa kuliko hata hizo pakiti zako tatu za Zana ulizouziwa buku na mama ghetto)[emoji23]

Pili jifutie nguo kavu na safi kila mara na usishee na mwezi wako taulo kwa kisingizio cha nafanya naye hivyo haina shida (ni vyema kujijengea kasumba ya kutembea na kibegi kidogo kwa ajili ya kujibebea nguo za ziada)

na wakati mmelala pamoja usiruhusu mgusano wenye unyevunyevu au mazingira hatarishi ni bora kuvaa boksa safi na ukamkumbatia mkalala kwani zikikupanda kuvua hiyo boxer inakuchukua muda gani..hivyo tuwe makini na afya zetu hakuna atakayekuja kutukumbusha juu ya hilo zaidi yetu.
 
'kumbuka mpira usije ukaleta drama hapa hakuna demu wa kwenda nae nyama kwa nyama'.....hii vesi sijui ipo kwenye ngoma gani ya bongo fleva!
 
Mwishoni ungeandika -TUACHE UZINZI
Hii ni ngumu kumeza licha ya kuandikiwa mpaka kwenye amri kuu za agano lile la kale tumeshindwa kuacha na tunazidi kuteketea ni vyema kupeana mbinu za kivita kuepuka walahu majanga kidogo maana kwa hali iliyopo tunaelekea kupoteza taifa kwa maana kasi ya maambukizi ni kubwa mno.
 
π”πŠπˆπŒπ–πˆ 𝐬𝐒𝐲𝐨 𝐊𝐒𝐬𝐨𝐧𝐨𝐧𝐨 𝐰𝐚π₯𝐚 𝐊𝐚𝐬𝐰𝐞𝐧𝐝𝐞.
 
Utafanya yote hayoo ila umemla denda (mate).. umetumia kondom kama 20 hivi na hizo kanuni zako za kunywa maji lita 50 etc.. then anakuja kukupatia Hep.B

Haya mambo hayana formula.. tena ukijifanya mzee wa Safety ndio utaukoga mapema.. watu wengi sana wanaojifanya waangalifu hao ndio wanavagaa/kuyabananga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…