Ishi na mwanamke kwa akili

Ishi na mwanamke kwa akili

Ukishamwamini mwanamke ujue keshebeba maisha yako mkononi, uwe macho asifinyange maisha yako kwenye mkono wake. Cheza na haya maneno, "Asante, salamu na samahani". Ujue namna ya kucheza na akili yake.
"asifinyange maisha yako kwenye mkono wake."

[emoji115][emoji115][emoji115]

Anaanzaje sasa kufinyanga maisha yangu mkononi mwake? Ahsante, salamu na samahani ina apply kote kote hata kwa mwanaume kutoka kwa mwanamke pia.

Hata mwanaume ana maisha ya mke wake mkononi mwake. Akiamua kuyafinyanga ni dk 0 tu. #MutualRespect
 
Naomba niizingatie paragrafu ya mwisho, ingawa nimeshavuka hapo kitambo,ila ndio imebeba muktadha mzima wa mada.
 
Akili za shuleni haziwezi saidia kuishi na wanawake.
Be in a position to differentiate between Intelligence and wisdom.Mwanaume unahitaji kuwa na hekima( wisdom) itakayokuwezesha kuishi na mwanamke vizuri.Elimu ya shuleni pekee haitoshi.
Una degree na yeye anadegree, una kazi na yeye anakazi Mungu akuongeze akili gani hapo sasa
 
Kuna wanawake wako very smart,,,wana-jithamini,,,wanajua-kujilinda,,nawa-appreciate sana hawa wanawake ,,trust me mwanaume mwenzangu ukipata aina hii ya zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu,,,hutaendelea kuwaweka wanawake wote kundi moja.
 
"asifinyange maisha yako kwenye mkono wake."

[emoji115][emoji115][emoji115]

Anaanzaje sasa kufinyanga maisha yangu mkononi mwake? Ahsante, salamu na samahani ina apply kote kote hata kwa mwanaume kutoka kwa mwanamke pia.

Hata mwanaume ana maisha ya mke wake mkononi mwake. Akiamua kuyafinyanga ni dk 0 tu. #MutualRespect
Kukufinyanga ni pale atakapojua anakuweza, yaani huna cha kusema juu yake
 
Kuna wanawake wako very smart,,,wana-jithamini,,,wanajua-kujilinda,,nawa-appreciate sana hawa wanawake ,,trust me mwanaume mwenzangu ukipata aina hii ya zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu,,,hutaendelea kuwaweka wanawake wote kundi moja.
Unamaanisha kuwa ukijitambua, ukiwa smart, ukijua kujilinda, usipokuwa na shobo na ukijipenda, kuwa ni zawadi?
 
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu wakijiji, Mungu ni mwema ametupa neema ya mwaka 2023 ni mwaka mwingine ya zamani yamepita acha kutembea na fikra za 2022. Nirudi kwenye mada husika......

Maandiko yametuasa wanaume tuishi na wanawake kwa akili, ndoa na mahusiano ya sasa yamekuwa na changamoto sana hata kufikia wengine kuona na kusema ndoa ni jehanamu kwasababu ya wanaume kuto tumia akili, yes namaanisha ukiona mahusiano yanakusumbua ukweli ni kwamba hautumii AKILI.

Wazee wetu walioa wanawake zaidi ya mmoja na hao wake waliishi vizuri Kwa sababu wazee wetu walitumia akili, usijesema eti wanawake wa miaka ya nyuma hawakusoma, eti hawakuwa wasumbufu hapana ni akili tuu.

Tuanzie hapa, mwanaume unajua fika na kwa mifano unaona kuwa mwanamke akikuzidi kipato atakusumbua lakini bado unataka hao hao waliokuzidi kipato kwa kuwa anakupa kupa Hela na ukajiliwaza kwamba aah huyu hana shida maisha yakisonga mbele akaanza kuonyesha rangi zake unaanza kulalamika Tena!

Mwanaume unajua na unaelewa kabisa kuwa mwanamke aliyekuzidi elimu ni changamoto huwezi ukamwambia jambo bila kubisha na kukuona huelewi mambo kitu ambacho Kwa mwanaume ni dharau lakini for the sake of mbunye unajichomeka huko, halafu unarudi kuanza kusumbua wananzengo

Mwanaume unajua kabisa na unaelewa kabisa mwanamke akikuzidi umri ni tatizo lakini mwanaume umekomaa eti age is just a number, unafikiri akikunyima mbususu utamfanyaje zaidi utakuja kulia lia, na ujue ni aibu mambo mengine kueleza kwa mashemeji eti mke wangu ananinyima au kwa pasta au sijui baba paroko, matokeo yake utatafuta mchepuko na mchepuko akuwekee dawa uwatese wanao for the sake of mbususu.

Mwanaume lazima utambue Kuna mambo kwenye ndoa unayatolea uamuzi sio kila jambo unamsikiliza mkeo, Adamu alimsikiliza Eva likawa anguko, Samson alimsikiliza Delila tunajua kilichotokea, Anania akamsikiliza Safira tunajua kilichotokea, wanawake wanapenda na kutamani kufanya kile mume alichosema, ukiona mke anafanya jambo bila kupata ruhusa kwako ujue Kuna mahali uliuza akili yako, mwanamke anapanga tu safari bila kukwambia lazima Kuna mahali umekwama, sio kila jambo unaweka democracy hayo mambo hayapo hivyo, mwanamke anabadilika kulingana na mazingira.

Mwanaume mwenzangu tambua huwezi kumbadilisha mwanamke tabia ambaye umekutana naye ukubwani ondoa hiyo dhana, tabia zingine ni malezi aliyolelewa, Sasa unakutana na Binti anamiaka 25, utambadilishaje tabia?? Wengine ni wachoyo, kiburi cha asili, wengine wana asili ya uchawi hivyo Kuna kile kiburi cha kichawi, unapokuwa umepata mchumba jitahidi basi kufuatilia historia yake ya nyuma hiyo ni kwa ajili yako mwenyewe.

Mwanaume kumbuka Director wa ndoa ni mwanaume sio mwanamke ukimpa usukani mwanamke imekula kwako, mwanaume ndio anaamua tutaishi wapi, wanangu watasoma wapi, wataishi maisha gani, hiyo itafanya mwanamke arudi kwenyw nafasi yake ya kutunza na kulea familia ndilo jukumu lake la asili.

Mwanaume lazima ujue mkeo anapenda vitu gani hii hurahisisha hata mnapokwaruzana kuyamaliza kiurahisi wenyewe Kwa wenyewe, kuliko kila jambo wewe unalipeleka Kwa wananzengo, hajakuwekea maji ya moto tu, wewe unakimbilia Kwa wananzengo

Mwanume usijekuona mkeo ni malaika kwamba hawezi kuchepuka utajidanganya bure, ni binadamu huyo Kuna mahal anaweza teleza, usiifanye kuwa big deal sana, wala usijione una haki sana ya kummiliki mmekutana ukubwani huyo, ndio maana wazee wa zamani ukikamatwa na mke wa mtu unalipishwa tu ng'ombe halafu mwenye mke anaamua kuendelea naye au kumuacha, sasa wewe unaumiaaa mpaka unataka kujitoa roho for the sake of mbususu?

Vijana mnaotaka kuoa tafuta mwanamke wa saizi Yako unayemmudu kulingana na uwezo wako, wanawake wote wanapenda pesa, usijidanganye kuwa nataka asiyependa pesa hautampata labda sema asiyeomba pesa nyingi, na asiye ombaomba, sio unataka pisi Kali maarufu wakat huna laki ya karibu utajiumiza bure niishie hapo

#TUISHI NAO KWA AKILI#
Mwanamke lazima uishi nae kitaita akicheat mmemalizana
 
Ukienda bar utakuta wanaume ni wengi kuliko wanawake hapo aliyekaribu na shetani zaidi ni nani??
Bro hiyo aimaanishi Yuko karibu na shetani wengi wao wanashinda kanisani kutafuta miujiza tu labda ya kupata mtoto , mchumba na n.k na pia ukiangalia watu wengi wanakumbaka na Majin pamojaa na mambo mengine mengi ni wanawake xo shetani utumia Zaid wanawake kuangusha wanaume coz roho ni nyepesi kiasili kuliko mwanaume.... Shetani ni rahisi kuingia kwenye nafsi ya wanamke kuliko mwanaume
 
Bro hiyo aimaanishi Yuko karibu na shetani wengi wao wanashinda kanisani kutafuta miujiza tu labda ya kupata mtoto , mchumba na n.k na pia ukiangalia watu wengi wanakumbaka na Majin pamojaa na mambo mengine mengi ni wanawake xo shetani utumia Zaid wanawake kuangusha wanaume coz roho ni nyepesi kiasili kuliko mwanaume.... Shetani ni rahisi kuingia kwenye nafsi ya wanamke kuliko mwanaume
Mungu amesema msiache kukusanyika, walipo wawili au watatu na yeye yuko katikati yao. kwa hiyo kiuhalisia unapoenda kanisani unakuwa uko karibu na Mungu na ni rahisi kutengeneza mambo yako yaani kumrudia Mungu, lakin sio rahisi kumrudia Mungu ukiwa gest
 
Back
Top Bottom