Ishu ya Manara, Injinia Hersi Said umeyataka mwenyewe ipo siku yatakufika!

Ishu ya Manara, Injinia Hersi Said umeyataka mwenyewe ipo siku yatakufika!

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Kwa mwelekeo ulivyo na akili ya Manara ya kunyea kambi kawanyea mpaka tff.... bado kwako yatakukuta muda utaongea.

Akili ya Manara ni ya hovyo tena ya kishetani na mpaka hapa mtaungana namie!
1) Kamtukana Mo Dewji na kusema anamwonea wivu kwa umaarufu wake.
2) Kagombana na Babra na kumtolea maneno machafu kisa et anamwonea wivu yeye
kujulikana kuliko wao
3) Kagombana nq waandishi wa habar wasio na idadi tena kwa lugha chafu
4) Analugha chafu mpaka kwa viongozi wa serikali aisee daa
5) Kagombana na Antonio Nugaz kisa anamwonea wivu kwa gari lake
6) Na ukiangalia kwa jicho latatu kuna kitu hakiko sawa na Mwakalebela....
7)....... and so on naye kagombna nae daaa

Tunajifunza nini kwa Manara!

1) Ni mtu mwenye kiburi, na kiburi huleta majivuno.
2) Ni mtu asiyeshaurika
3) Ni mtu anayependa kujikweza, yeye ndio yeye
4) Ni mtu asiyeheshimu wakubwa wake hivyo oneday Injia jiandae pamojq na Urais wako
5) Huyu ni Mr. misifa...... anadai Nila yeye Simba haiendi wala Yanga haiendi hajui Simba na Yanga alizikuta
6) Behind the scene mtoto umleavyo ndivyo akuavyo hivyo hata wazazi wake nina doubt na tabia zao
8) Tff imemlea vibaya Manara ndo mana anawashika mpaka sharubu halaf hakuna mnachofanya
9) Ukimwangaliq Manara hana utofauti na Mange Kimambi ushawishi wa kisenge
10) Baadhi ya wandishi wa habar wanashindwa kueleza ukweli kwamba Manara kakosea sababu wanaogopa Manara akiishinda Tff watasemwa sana mbele ya kameraz
11) Tff mkishindwa na mkabalance hili swala la Manara kukosea kwa namna vyovyote ndio mtakuwa mmempa Nafasi ya kuwaweka chini ya Sheria rasmi
12) Hasira hasara.... Yanga fc chachu ndogo huchachua donge zima
13) Manara qnastahili adhabu nyingine tena, yaani iongezwe.... Hakuna mtu aliye juu
NB:

#KAMA HUO UMAARUFU UNAUTAFUTA KWA KWENDA KUCOMMENT MANENO YA KIPUUZ KWA BILIONEA MO DEWJI, MTU ANAYELIPA MAMILIONI YA KODI SERIKALINI na SERIKALI HAIKUSEMA LOLOTE..... HALAFU UNAVAMIA POST ZAKE NAKUANDIKA UTUMBO NIBINADAMU WEWE KWELI- HALAFU ANAKUNYAMAZIA KIMYA USHUKURU!
#LEO UNATAFUTA SYMPATH KWA SERIKALI! HUNA HAYA?
#YOTE UNAYAFANYA KUMFURAHISHA INJINIA...

NINGEKUWA MIMI WE MBWA UNGEJUTA!
 
Ukimtizama kwa umakini na kusikiliza clips zake bila shaka si mtu wa kuaminika. Anaweza kufanya chochote cha hovyo mbele ya pesa.

Ukitoa JK na baba yake, Yanga waliobaki hawako timamu, just a year later yeye analipwa na Yanga! Wataalam wa tautology hawapati tabu kuja na majibu.
 
Ukimtizama kwa umakini na kuisikiliza clips zake bila si mtu wa kuaminika. Anaweza kufanya chochote cha hovyo mbele ya pesa. Ukitoa JK na baba yake, Yanga waliobaki hawako timamu, just a year later yeye analipwa Yanga! Wataalam wa tautology hawapati tabu kuja na majibu.😀😀
 
Hawezi kutulia kama unavuta ile kitu..
Bangi na shisha haijawahi kumuacha mtu salama
JamiiForums-157563313.jpg
 
Simba iliona mbali kufurusha hii takataka ... Cha ajabu utopologist imekumbatia na kuchukua reject zote za simba....
Simba washamsahau Manara kitambo sana! na wanmpotezea

Ingawa yeye anajitahidi kucomment kwa Billionea ili afufue chuki lakini wap!
 
Back
Top Bottom