Ishu ya Prince Dube na Fei Toto ni tofauti, huyu mwanasheria wa Yanga mbona sio muelewa?

Ishu ya Prince Dube na Fei Toto ni tofauti, huyu mwanasheria wa Yanga mbona sio muelewa?

1. Hio 800millions kwa PRINCE DUBE amepanga nani ? DUBE au AZAM ?
Maana hata YANGA walitaka B2.1 kwa FEI kama ambavyo AZAM wanataka M800 kwa DUBE.

2. Mkataba wa DUBE upo wapi, tuuone kwanza? na Mkataba wa FEI tuuone pia ili tulinganishe ?

3. Huenda klabu zote ziko sahihi , wenge lipo kwa wachezaji au wachezaji wapo sahihi wenge lipo kwa klabu . Hata pia huenda ikawa ni nadharia mbili tofauti.


ZINGATIA: MIKATABA TUIONE [emoji736]

Wa Feitoto uliwekwa hadharani. Yanga mlikuwa mnatakaa kukubali eti waht if wachezaji wote wakaamua kuvunja mkataba.
 
mshaanza miwasho,ngonjera,kutia huruma...injinia kamatia hapo mpaka makolouzdad wanye mavi ya njano na kijani,HIYO NDO HASARA YA KUSHADADIA YASIYOWAHUSU,MKIFUNDISHWA VITU MUELEWE MSILETEGE UJUAJI mwishowe mnaanza kutia tia huruma humu
Kichwa Cha mwendawazimu
 
Cha ajabu wanaoumia sio Azam ni Simba 😅😅
 
Nimegundua kuna wajinga wengi sana, mtu anakwambia huu ndio wakati wa Yanga kulipa kisasi kwa Azam, huku hata hajui hicho kisasi kama kuna terms za kwenye mkataba kati ya Azam na Dube kinachowaruhusu wao vyura kulipa hicho kisasi, wanaegemea tu mchezaji hana furaha.!!

Mjiulize kwanza, mapengo yaliyokuwepo kwenye mkataba kati ya Fei na Yanga, yapo kwenye mkataba kati ya Dube na Azam? Sio mnakurupuka tu kama midoli.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wewe na wewe ni walewale, Yanga walisema anayemhitaji Feisal aende wakazungumze wakubaliane. Ajabu hakuna aliyejitokeza. Ulitaka Yanga wafanye nini?
Azam hawataki mtu aje, wanataka mzigo kwenye akaunti kwa mujibu wa mkataba, nyie yanga mlikuwa mnalazimisha watu waje wakati takwa la mkataba fei alishalitimiza
 
Azam hawataki mtu aje, wanataka mzigo kwenye akaunti kwa mujibu wa mkataba, nyie yanga mlikuwa mnalazimisha watu waje wakati takwa la mkataba fei alishalitimiza
Nikiwaambia loopholes kwenye mkataba kati ya Yanga na Fei hawaelewi, hope hata watakuelewa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kama kuvunja mkataba mbona alishindwa? Na bado akaambiwa aende FIFA Akashindwa. Sawa ni ishu ya mchezaji na timu pale wanapokubaliana.
Hakushindwa Yanga ndio walikuwa hawataki kumuachia hadi Rais akawaamrisha
 
"Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma"

Umeona wapi mkataba unavunjwa na upande mmoja.......? Hamna mchezaji anakurupuka tu anaweka hela kwenye acc ya club inayo mmiliki kesho anasema anaondoka hamna kitu kama hiko.

Halafu approach ya Dube na ya Fei tofauti, Fei approach yake ilikuwa ya kihuni na mpira wetu umebariki huu uhuni.

Yanga hawa kugoma kumuachia Fei,bali walikuwa wanataka taratibu zifuatwe kwenye kumsainisha Fei. Yanga tulilalamika huu uhuni mkatuona wajinga,leo Azam kesho mjiandae 5imba ni swala la muda.
Kuvunja mkataba inahitaji tu kutimiza vigezo vya kuvunja huo mkataba wala sio mbambamba za kukaa mezani
 
Na inakuwaje mchezaji aombe kuvunja mkataba katikati ya msimu, tena wiki moja kabla ya Azam kucheza na Yanga?.

Kwa nini asisubiri ligi imalizike ndio aombe kusepa?
Hapa kuna mchezo unafanyika ili Dube asicheze game na Yanga na msimu ujao aende utopoloni.
Kuvunja mkataba hakuna muda maalum, ndiyo maana kukaitwa kuvunja mkataba
 
Hakushindwa Yanga ndio walikuwa hawataki kumuachia hadi Rais akawaamrisha
Unasemaje hakushindwa wakati alishindwa kesi mara mbili TFF. Kama alitaka kuondoka angeenda kukaa meza moja na Yanga akalipa. Yanga walimuita hataki, wakaita timu zinazimhitaji zikajificha, kwa hiyo ulitaka wafanyeje.
 
Kuvunja mkataba ingekuwa rahisi wachezaji wa Ulaya wangekuwa wana vunja mikataba kila kukicha, mfano mbappe yeye kwanini haja weka pesa kwenye Account ya Psg ili kuvunja mkataba

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
Mikataba ya Ulaya inaandikwa kumbana mchezaji kiasi kuwa kuuuvunja sio rahisi....Mfano Mbape ameitumikia PSG hadi mkataba wake ukaisha, sababu kwenye kuivunja ingekuwa gharama kubwa sana
 
"Lakini kwa Feisal Salum , Feisal baada ya kuweka hela ya kuvunja mkataba, Yanga waligoma kumuachia, Azam wao hawajawekewa hiyi hela kama Yanga walivyowekewa wakagoma"

Umeona wapi mkataba unavunjwa na upande mmoja.......? Hamna mchezaji anakurupuka tu anaweka hela kwenye acc ya club inayo mmiliki kesho anasema anaondoka hamna kitu kama hiko.

Halafu approach ya Dube na ya Fei tofauti, Fei approach yake ilikuwa ya kihuni na mpira wetu umebariki huu uhuni.

Yanga hawa kugoma kumuachia Fei,bali walikuwa wanataka taratibu zifuatwe kwenye kumsainisha Fei. Yanga tulilalamika huu uhuni mkatuona wajinga,leo Azam kesho mjiandae 5imba ni swala la muda.
5-0 utopolo bado mnaweweseka mume wenu mnyama aliwakanda
 
Unasemaje hakushindwa wakati alishindwa kesi mara mbili TFF. Kama alitaka kuondoka angeenda kukaa meza moja na Yanga akalipa. Yanga walimuita hataki, wakaita timu zinazimhitaji zikajificha, kwa hiyo ulitaka wafanyeje.
Ukishalipa kama mkataba unavyotaka haina haja ya kukaa mezani tena mzee, ni kama Azama wamemuambia Dube lipa, uondoke hatuhitaji blah blah za mezani
 
Nimegundua kuna wajinga wengi sana, mtu anakwambia huu ndio wakati wa Yanga kulipa kisasi kwa Azam, huku hata hajui hicho kisasi kama kuna terms za kwenye mkataba kati ya Azam na Dube kinachowaruhusu wao vyura kulipa hicho kisasi, wanaegemea tu mchezaji hana furaha.!!

Mjiulize kwanza, mapengo yaliyokuwepo kwenye mkataba kati ya Fei na Yanga, yapo kwenye mkataba kati ya Dube na Azam? Sio mnakurupuka tu kama midoli.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Utopolo ni mburukenge hamna mwenye akili
 
5-0 utopolo bado mnaweweseka mume wenu mnyama aliwakanda
Nyie si juzi mmetimua mpaka kocha baada ya kula tono na kuwas imamisha wachezaji. Na mda huu Moro uwanja wa Jamuhuri mshainamishwa viwili....... na bado mwanaume anakupelekea moto.
 
Hiyo 800M walipanga pande zote mbili Azam FC na Dube kupitia mkataba, na Azam hawajaongeza lolote nje ya mkataba. Ile 2.1B ya Yanga haikuwa katika mkataba wa Yanga na Feisal, ilitamkwa tu nje ya maandishi ili kumzuia. Kwa Yanga na Feisal mkataba ulikuwa ni sh. 112M, yaani hela ya usajili 100M na mishahara ya miezi mitatu 12M. Hizo zote 112M kijana alikuwa ameshadeposit kwenye akaunti ya Yanga, lakini Yanga wakakataa na kuzirudisha kwenye akaunti ya Feisal
MIKATABA TUIONE,!?

Vinginevyo sina cha kuhukumu.
 
MIKATABA TUIONE,!?
Vinginevyo sina cha kuhukumu.
Wewe kama nani hadi uione? Waliokubaliana ni Azam FC na Dube, wala ulikuwa humjui. Halafu leo eti unataka uuone mkataba! dube mwenyewe hana tatizo na Azam ndio maana kila wanachomtaka anakifanya maana anajua Azam wanastahili
 
1. Hio 800millions kwa PRINCE DUBE amepanga nani ? DUBE au AZAM ?
Maana hata YANGA walitaka B2.1 kwa FEI kama ambavyo AZAM wanataka M800 kwa DUBE.

2. Mkataba wa DUBE upo wapi, tuuone kwanza? na Mkataba wa FEI tuuone pia ili tulinganishe ?

3. Huenda klabu zote ziko sahihi , wenge lipo kwa wachezaji au wachezaji wapo sahihi wenge lipo kwa klabu . Hata pia huenda ikawa ni nadharia mbili tofauti.


ZINGATIA: MIKATABA TUIONE [emoji736]
Issue sio mikataba. Issue ushambiwa mchezaji ameamua kuachana na klabu. Hesabu zinapigwa kitita cha kuvunja kinatolewa mambo yanaisha. Hii ipo dunia nziima. Sasa unataka kusema nini tena. Huna haja ya mkataba. Mkataba wwte lazma ustate iwapo utavunjwa lazma hela flani ilipwe.
 
Back
Top Bottom