Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

**Mkuu chabusoUmenifanya niende LIBRARY na kutafuta habari za Historia hii;

Written by Mohamed Said;

Islam's role in Tanzania's freedom struggle

What is saddening about the history of Tanganyika's struggle for independence is the fact that, more than four decades after achieving freedom, that important period of the people's resistance to foreign domination has yet to be written about.

The few attempts made so far to write that history have focused on hero worship and idolising Nyerere.

What we thus have is a one-sided official history full of distortions and even half-truths.

Meanwhile, vital documents and photographs of the times still remain in private hands and will soon be destroyed or lost for ever.

It is now 50 years since the Tanganyika African National Union made the historic decision in Tabora in 1958to take part in the first general election to the Legislative Council under extremely discriminatory conditions - an ultimately wise decision that came to be known as Uamuzi wa Busara.

In that election, seats were contested not only along racial lines but also saw the locking out of candidates who did not have a formal education or were not employed in a recognised profession.

But what incensed the people most was the condition that Africans would have to vote for a European, an Asian and an African. Mohamed Said's new book tells the story of that election.

The conditions set by the colonial government seemed on the face of it unacceptable for Tanu.

The conference deliberations in Tabora, a small town in the then Western Province, threatened to split the party into two camps -moderates in favour of participating in the elections; and radicals calling for a total boycott.

But Tanu and indeed Nyerere survived an internal crisis that swiftly took on religious and racial undertones.

Radicals like Sheikh Suleiman Takadir, chairman of the Tanu Elders, and Zuberi Mtemvu, then Tanu organising secretary, were all set to stage a coup against Nyerere and take over the party.

And they would have succeeded were it not for the ingenuity of Mwalimu and a group of Tanu members from Tanga handpicked by Nyerere to confront the onslaught.

There are no existing records to give us an insight into Nyerere's own position on the tripartite voting nor is there any indication that he even discussed the issue at the headquarters privately with Sheikh Takadir and Mtemvu, or close associates Idd Faiz, Haidar Mwinyimvua, Dossa Aziz, Bibi Titi Mohamed and the Tanu propagandist Ramadhani Mashado Plantan, owner of the radical paper Zuhra – Nyererere's mouthpiece. Indeed, it would seem Nyerere played his cards close to his chest right up to the voting.

So, what was Nyerere's strategy - the one he never revealed even privately in later life?

The book attempts to solve this mystery through interviews with Tanu veterans, fleshing out a picture of Nyerere "riding" the wave of opposition within Tanu and neutralising radicals like Mtemvu and Sheikh Takadir.


That was the first test of his capabilities as a leader of a mass party and the young Nyerere passed with flying colours.

The writer takes the reader through a labyrinth of intrigues, plots and counter plots that eventually led to Tanu and Nyerere triumphing in the tripartite voting over the Tanganyika United Party - a political grouping dominated by whites that had been cobbled together by the government to counter Tanu.

Nyerere's opponents resigned from Tanu, with Zuberi Mtemvu forming the African National Congress and Ramadhani Mashado Plantan and a group of Muslims forming the All Muslim National Union of Tanganyika - raising the spectre of racial and religious conflict.

Mtemvu's policy was Africa for Africans while Plantan's group wanted assurances about the future of Muslims in free Tanganyika.

These long forgotten players in Tanganyika politics seem to live again in the pages of this book.

What Said brings out, though, is how Nyerere and Tanzania weathered this delicate passage thanks to the many Muslims patriots who remained committed to the original vision.

Said has moving stories to tell of patriotism and sacrifice.

There is the story of Tanu stalwart Mzee Mshume Kiyate, whose contribution as party financier and close friend of Nyerere's family has never been acknowledged.

Kiyate was a prominent fishmonger at Kariakoo in Dar es Salaam when he met Nyerere in early 1950s; he was to become friend and mentor to the young leader.

Also forgotten are patriots like Said Chamwenyewe, who presented Tanu's appeal to the United Nations Visiting Missions to the Mandate Territories when it visited Tanganyika in 1955.

Chamwenyewe had earlier mobilised the first Tanu members from Rufiji in 1954, visiting villages on a bicycle to campaign for Tanu, collecting funds from members and turning the money over to Tanu treasurer Idd Faiz Mafongo without asking anything for himself. Nothing is today known about the fate of these people.

The book contains a number of rare photographs collected from private hands.

There are pictures of a young Nyerere surrounded by Muslims townsmen in kanzu and other paraphernalia - people like Issa Nassir, Sheikh Haidar Mwinyimvua, Mwinjuma Mwinyikambi, Jumbe Tambaza, Sheikh Suleiman Takadir, Mshume Kiyate, Said Chamwenyewe and many others.

There is one touching photograph of Nyerere with Mzee Mshume Kiyate taken soon after the army mutiny of January 20, 1964, showing Mshume covering Mwalimu with a piece of cloth traditionally worn by people from the coast known as "kitambi" or "msuli."

The gesture was a show of support by Tanu elders in the face of the mutiny that almost overthrew Nyerere's government. Mzee Mshume died in the early 1970s, alone, poor and forgotten.


The book ventures into the uncharted terrain of Islam as an ideology of colonial resistance, depicting the central role of Muslims in the struggle against the British, a topic still considered a no-go zone in Tanzania.

The writer portrays Nyerere in a light unfamiliar even to his fervent admirers, narrates how during the tripartite voting campaigns the young leader participated in Islamic rituals specifically conducted to safeguard him and the movement against enemies.

Mohamed Said deserves kudos for documenting this important chapter in the history of nationalism in Tanganyika.

He puts meat on the skeleton of Tanu's history in a book that, once you start reading, you will not put down until you get to the end.




MSHUME+KIYATE.jpg

Hii ni picha ya Mshume Kiyate na Julius Kambarage Nyerere.
Habari za urafiki wa wapigania uhuru hawa zinaweza kujaza kitabu kizima.

Itoshe tu kusema kuwa kuanzia mwaka 1955 mpaka uhuru ulipopatikana na
baada ya hapo Mzee Mshume Kiyate alikuwa ndiye mwana TANU katika Baraza la
Wazee wa TANU ambae alijitolea kuangalia nyumba ya Mwalimu Nyerere kuanzia
chakula chake hadi mahitaji mengine.

Mzee Mshume alisema kuwa si haki kwa TANU kumpa Nyerere kazi ya kupambana na
Waingereza na kumwachia ahangaike na mambo ya chakula na nguo za mkewe na wanae.

Mzee Mshume alijitolea kuikimu famila ya Nyerere...
Yapo mengi.
 
Wao kama wana hoja waambie waje!

JF ni jukwaa huru, wacheni kusema pembeni!

Uko mtakua mnasema uongo tu hakuna lolote la maana!
Hapana wametaka kujua kwani kulikoni? Kilichowashtua ni mvua ya matusi wakauliza hoja gani inagomba? Nikawashauri wasome nyuzi vema.
Wanaogopa kuja kwasababu hawana uzoefu wa matusi wala roho ngumu ya kupokea.
 
MSHUME+KIYATE.jpg

Hii ni picha ya Mshume Kiyate na Julius Kambarage Nyerere.
Habari za urafiki wa wapigania uhuru hawa zinaweza kujaza kitabu kizima.

Itoshe tu kusema kuwa kuanzia mwaka 1955 mpaka uhuru ulipopatikana na
baada ya hapo Mzee Mshume Kiyate alikuwa ndiye mwana TANU katika Baraza la
Wazee wa TANU ambae alijitolea kuangalia nyumba ya Mwalimu Nyerere kuanzia
chakula chake hadi mahitaji mengine.

Mzee Mshume alisema kuwa si haki kwa TANU kumpa Nyerere kazi ya kupambana na
Waingereza na kumwachia ahangaike na mambo ya chakula na nguo za mkewe na wanae.

Mzee Mshume alijitolea kuikimu famila ya Nyerere... Yapo mengi.
Tunashukuru sana kwa huduma na mchango wake kwa jamii. Sote tunauthamini sana.
Sidhani kama angelikuwa hai angeweza kusimama mahali na kusema hayo maneno.
Si kwa kuwa hakufanya bali alifanya kwa hisani na nia njema.
Tena alifanya hivyo kwa mkono wa ''kulia na kuficha wa kushoto usione''

Sijui wanajamvi wanasemaje, tumuenzi vipi mzee Kiyate? Maana shukurani haikidhi ndio maana kuna kurudia rudia sana hili suala. Hebu tuweke mambo wazi nini hasa tumfanyie mzee wetu ambaye ni mzee wa Tanganyika
 
Hapana wametaka kujua kwani kulikoni? Kilichowashtua ni mvua ya matusi wakauliza hoja gani inagomba? Nikawashauri wasome nyuzi vema.
Wanaogopa kuja kwasababu hawana uzoefu wa matusi wala roho ngumu ya kupokea.
Vumilia tu ni haina ya mjadala ulioutaka.
 
Teh teh teh! Nimecheka sana JF kuna vituko sana Mag3, amekua msemaji wa BAKWATA.
Ukiona adui yako analipenda jambo lako basi achana nalo mara moja.
Ukiona adui yako alipendi jambo lako basi shikamana nalo usiliache.
Mag3, na Nguruvi3, ni Bakwata, teh teh teh!
Al Akhiy Ritz, kwanza mambo ya BAKWATA yaliletwa humu na ma Al Akhiy wenzako... naomba nianze kwa kunukuu baadhi ya madai ya Al habib gombesugu katika post yake namba 199 kuhusu BAKWATA;
Al habib gombesugu said:
  1. MfumoKristo created,organise,finance and insist aggresively on corrupt Bakwata despite significant opposition from Muslims themselves!?...
  2. Basically,Bakwata with the help of MfumoKristo,it feels a terrible,overpowering need to prove to Muslims and others that it is "revelant"! Kwi! Kwi! Kwi!
  3. Bakwata is just another tool within MfumoKristo to further its interests and undermine Muslims in almost every sphere of social-economic existence.
  4. Bakwata,never been a true/legitimate body to defend or represent Muslims and their interest.
Kiongozi Mkuu wa BAKWATA na Mufti wa Tanzania Sheikh Issah Bin Shaaban Simba, je unamtambua au humtambui?
ShekheMkuu.jpg


Al Akhiy Ritz, unajisikiake anapotokea mtu na kuanza kuwabeza, kuwadharau na kuwadhalilisha vingozi wa BAKWATA na Waislaam wanaokitambua BAKWATA kama chombo chao hapa nchini kama anavyofanya Al habib gombesugu. Je ni kwa vipi unamtetea Mohamed Said anayehoji Uislaam wa wote wale wanaoutambua na kushirikiana na uongozi wa BAKWATA kama hawa hapa chini;


3+%281%29.jpg
1.jpg


au hawa hapa.


th
th


 
Last edited by a moderator:
MSHUME+KIYATE.jpg

Hii ni picha ya Mshume Kiyate na Julius Kambarage Nyerere.
Habari za urafiki wa wapigania uhuru hawa zinaweza kujaza kitabu kizima.

Itoshe tu kusema kuwa kuanzia mwaka 1955 mpaka uhuru ulipopatikana na
baada ya hapo Mzee Mshume Kiyate alikuwa ndiye mwana TANU katika Baraza la
Wazee wa TANU ambae alijitolea kuangalia nyumba ya Mwalimu Nyerere kuanzia
chakula chake hadi mahitaji mengine.

Mzee Mshume alisema kuwa si haki kwa TANU kumpa Nyerere kazi ya kupambana na
Waingereza na kumwachia ahangaike na mambo ya chakula na nguo za mkewe na wanae.

Mzee Mshume alijitolea kuikimu famila ya Nyerere...
Yapo mengi.

Hivi hawa wazee wetu kitaifa wanakumbukwaje?
 
Teh teh teh! Nimecheka sana JF kuna vituko sana Mag3, amekua msemaji wa BAKWATA.

Ukiona adui yako analipenda jambo lako basi achana nalo mara moja.

Ukiona adui yako alipendi jambo lako basi shikamana nalo usiliache.

Mag3, na Nguruvi3, ni Bakwata, teh teh teh!
Mtaacha kuzua! Juzi nilikuwa NCCR, Chadema, CCM D, mara Pro-Muungano, Mara nachukia ZNZ, sasa Bakwata ili mradi tu. Lakini bakwata ina maana si ndiko mnawaita makafir kama sikosei! Mi nshaitwa kafir tena daraja la nguruwe, sina lalam kwasababu darja bora ni zake mwenyezi.

''Ukisimama na ukweli utakuwa na maadui wengi kuliko marafiki, lakini marafiki wachache watakuwa bora kuliko maadui-babu yangu''
 
Tunashukuru sana kwa huduma na mchango wake kwa jamii. Sote tunauthamini sana.
Sidhani kama angelikuwa hai angeweza kusimama mahali na kusema hayo maneno.
Si kwa kuwa hakufanya bali alifanya kwa hisani na nia njema.
Tena alifanya hivyo kwa mkono wa ''kulia na kuficha wa kushoto usione''

Sijui wanajamvi wanasemaje, tumuenzi vipi mzee Kiyate? Maana shukurani haikidhi ndio maana kuna kurudia rudia sana hili suala. Hebu tuweke mambo wazi nini hasa tumfanyie mzee wetu ambaye ni mzee wa Tanganyika
Wnajamvi mzee Mshume Kiyate huyo kaletwa na Mohamed Said, je nini wafanyiwe ili kuwaenzi? Mbona hili swali mnalikimbia? chamvinga vipi unashauri tuwaenzi vipi kitaifa.

Hadi hapa ninyi waumini na sisi nguruwe tupo njia moja, sasa tupeana majibu ili tusijepata tabu kuanzisha thread nyingine kwa jambo hili. Linajirudia kila siku hebu tushaurini jamani nini kifanyike.
 
Last edited by a moderator:
Vumilia tu ni haina ya mjadala ulioutaka.
Wala sihitaji uvumilivu, ninatembea kifua mbele kwasababu nimetanguliza ngao ya ukweli.
Kila tusi ni ushahidi hoja imepiga mfupa. Katika simu inaitwa'status report' message delivered
 
Wala sihitaji uvumilivu, ninatembea kifua mbele kwasababu nimetanguliza ngao ya ukweli.
Kila tusi ni ushahidi hoja imepiga mfupa. Katika simu inaitwa'status report' message delivered
Acha kulialia unawapangia watu vitu vya kuandika, wewe leo utaongea yote wewe tembea kifua mbele nyuma pembeni wala haituhusu.
 
Mtaacha kuzua! Juzi nilikuwa NCCR, Chadema, CCM D, mara Pro-Muungano, Mara nachukia ZNZ, sasa Bakwata ili mradi tu. Lakini bakwata ina maana si ndiko mnawaita makafir kama sikosei! Mi nshaitwa kafir tena daraja la nguruwe, sina lalam kwasababu darja bora ni zake mwenyezi.

''Ukisimama na ukweli utakuwa na maadui wengi kuliko marafiki, lakini marafiki wachache watakuwa bora kuliko maadui-babu yangu''
Acha porojo bana wewe ni Chadema wala hakuna anayezua unataka niweke ushahidi?
 
Wnajamvi mzee Mshume Kiyate huyo kaletwa na Mohamed Said, je nini wafanyiwe ili kuwaenzi? Mbona hili swali mnalikimbia? chamvinga vipi unashauri tuwaenzi vipi kitaifa.

Hadi hapa ninyi waumini na sisi nguruwe tupo njia moja, sasa tupeana majibu ili tusijepata tabu kuanzisha thread nyingine kwa jambo hili. Linajirudia kila siku hebu tushaurini jamani nini kifanyike.
Vuta subira utajibiwa tu, maswali ya kipuuzi yatajibiwa kipuuzi wala usiwe na shaka.

Hivi unaamini kweli kuna mtu anaweza kukukimbia wewe teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Al Akhiy Ritz, kwanza mambo ya BAKWATA yaliletwa humu na ma Al Akhiy wenzako... naomba nianze kwa kunukuu baadhi ya madai ya Al habib gombesugu katika post yake namba 199 kuhusu BAKWATA;Kiongozi Mkuu wa BAKWATA na Mufti wa Tanzania Sheikh Issah Bin Shaaban Simba, je unamtambua au humtambui?
ShekheMkuu.jpg


Al Akhiy Ritz, unajisikiake anapotokea mtu na kuanza kuwabeza, kuwadharau na kuwadhalilisha vingozi wa BAKWATA na Waislaam wanaokitambua BAKWATA kama chombo chao hapa nchini kama anavyofanya Al habib gombesugu. Je ni kwa vipi unamtetea Mohamed Said anayehoji Uislaam wa wote wale wanaoutambua na kushirikiana na uongozi wa BAKWATA kama hawa hapa chini;


3+%281%29.jpg
1.jpg


au hawa hapa.


th
th


Simtambui, hivi mie naweza kuongozwa na Bakwata?
 
Last edited by a moderator:
Acha kulialia unawapangia watu vitu vya kuandika, wewe leo utaongea yote wewe tembea kifua mbele nyuma pembeni wala haituhusu.
Hoja ni kuwa Mohamed Said kamleta Mshume Kiyate. Chamvinga kauliza hivi hawa watu taifa linawaenzi vipi? Nguruvi3 kasema hapa ndipo pa kuanzia ili tujue tungependa hawa wazee wetu waenziwe vipi. Sasa hapo kuna swali gani la kijinga kutoka kwa Mohamed Said, chamvinga na Nguruvi3?

Wenzangu hamtaki hoja mnataka kulalama. Hapa ndipo namwalika ndugu yangu The big show kwasababu amesema watu hawalalmiki , sasa kama maswali hayajibiki tunasubiri wiki mbili nyuzi nyingine hamuoni lipo jambo.

Kwanini watu wanasita kusema mzee Kiyate na wengine wafanyiwe nini cha ziada. Medali wameshapewa lakini bado kuna manung'uniko, sasa kipi kifanyike ili tukidhi haja ya heshima kwa wazee wetu!
 
Last edited by a moderator:
Wnajamvi mzee Mshume Kiyate huyo kaletwa na Mohamed Said, je nini wafanyiwe ili kuwaenzi? Mbona hili swali mnalikimbia? chamviga vipi unashauri tuwaenzi vipi kitaifa.

Hadi hapa ninyi waumini na sisi nguruwe tupo njia moja, sasa tupeana majibu ili tusijepata tabu kuanzisha thread nyingine kwa jambo hili. Linajirudia kila siku hebu tushaurini jamani nini kifanyike.

Sijui nikujibuje mzee wangu Nguruvi3? Labda tuulizane wote mashujaa wetu waliopigania uhuru serikali inawakumbukaje? Mbona kila kukicha nyerere, karume na hawa wengine hatuwasikii? Wazee wetu ndio waliomwaga damu zao kutafuta uhuru wa nchi hii ila wamesahaulika, hii ni dhihaka kubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Hoja ni kuwa Mohamed Said kamleta Mshume Kiyate. Chamvinga kauliza hivi hawa watu taifa linawaenzi vipi? Nguruvi3 kasema hapa ndipo pa kuanzia ili tujue tungependa hawa wazee wetu waenziwe vipi. Sasa hapo kuna swali gani la kijinga kutoka kwa Mohamed Said, chamvinga na Nguruvi3?

Wenzangu hamtaki hoja mnataka kulalama. Hapa ndipo namwalika ndugu yangu The big show kwasababu amesema watu hawalalmiki , sasa kama maswali hayajibiki tunasubiri wiki mbili nyuzi nyingine hamuoni lipo jambo.

Kwanini watu wanasita kusema mzee Kiyate na wengine wafanyiwe nini cha ziada. Medali wameshapewa lakini bado kuna manung'uniko, sasa kipi kifanyike ili tukidhi haja ya heshima kwa wazee wetu!
Wewe si umekuja na hoja humu kuwa Waislam wanataka majina ya mitaa uliitoa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Acha kulialia unawapangia watu vitu vya kuandika, wewe leo utaongea yote wewe tembea kifua mbele nyuma pembeni wala haituhusu.

Al muallim shariff Ritz maneno haya mujarrab! Kijana Nguruvi3 anapayuka ovyo akijipa moyo kwa ulaghai anaosema humu jukwaani.

Maneno yasio na mantiki zilizo wazi.

Huyu kijana namfananisha na wale waimba mchiriku! Hutoa maneno mabovu halafu wakajipongeza wenyewe!

Teh teh teh teh!
Ahsant.
 
Last edited by a moderator:
Wewe si umekuja na hoja humu kuwa Waislam wanataka majina ya mitaa uliitoa wapi?
Kwahiyo unakubali hoja yangu? Baada ya mashambulizi ya mvua za matusi nimedhani wenzangu mna jinsi nyingine.

Nawasikiliza, hivi hawa wazee wetu kama akina Mshume amabaye Mohamed Said kamleta na kipande cha ushahidi tuwaenzi vipi. Hawa ni wazee wetu sote jamani tuangalie namna ya kuwaenzi badala ya kuanzisha nyuzi kila uchao tukifika mahali pazuri tunakimbia.

Waungwana mnasemaje hawa wazee akina Mshume tuwape heshima gani.
Kumbeukeni sisi ndio taifa kama hutusemi nani atasema. Tusimwachie Mohamed Said mwenyewe.

Nimefarijika akina chamvinga wanatupa changamoto nzuri sana, hawa wazee tuwaenzi vipi.

Eti waungwana mnalo neno! Mimi nimesema wenzangu mkaniona Abunuwasi, wengine lah astaghafir wakaniita mnyama haram sasa nauliza wenzangu ninyi jicho na kauli zenu zipo wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo unakubali hoja yangu? Baada ya mashambulizi ya mvua za matusi nimedhani wenzangu mna jinsi nyingine.

Nawasikiliza, hivi hawa wazee wetu kama akina Mshume amabaye Mohamed Said kamleta na kipande cha ushahidi tuwaenzi vipi. Hawa ni wazee wetu sote jamani tuangalie namna ya kuwaenzi badala ya kuanzisha nyuzi kila uchao tukifika mahali pazuri tunakimbia.

Waungwana mnasemaje hawa wazee akina Mshume tuwape heshima gani.
Kumbeukeni sisi ndio taifa kama hutusemi nani atasema. Tusimwachie Mohamed Said mwenyewe.

Nimefarijika akina chamvinga wanatupa changamoto nzuri sana, hawa wazee tuwaenzi vipi.

Eti waungwana mnalo neno! Mimi nimesema wenzangu mkaniona Abunuwasi, wengine lah astaghafir wakaniita mnyama haram sasa nauliza wenzangu ninyi jicho na kauli zenu zipo wapi?
Kumbe ilikuwa hoja yako mbona ulikuwa anawasingizia Waislam hawana akili wanajadili barabara wakati wenye akili wanadali maendeleo.
 
Last edited by a moderator:
Al muallim shariff Ritz maneno haya mujarrab! Kijana Nguruvi3 anapayuka ovyo akijipa moyo kwa ulaghai anaosema humu jukwaani.

Maneno yasio na mantiki zilizo wazi.

Huyu kijana namfananisha na wale waimba mchiriku! Hutoa maneno mabovu halafu wakajipongeza wenyewe!

Teh teh teh teh! Ahsant.
Daktari kahtaan kuntu maneno yako dhidi yangu nami nasema radhiyaatan.

Hoja iliyoo mbele yetu ni moja. MS kamleta mzee Mshume Kiyate akimvisha Nyerere kitambi.
Kiyate ni mmoja wa wazee wetu waliosahahulika. Vipi tuwaenzi vipi zaidi ya kusoma vipande vya magazeti.
Nini kifanyike ili tusijerudi jamvini kujadili jambo hili bali twende mbele zaidi kupendekeza nini wafanyiwe.

Tukivurumisha matusi, aa! haifa si katika hekma si katika uungwana na wala adabu za mnakasha haziruhusu. Muulize maarufu Mohamed Said. Tusiangaliane kama Nguruwe na muumini, tuangalie hoja zinasema nini.
Hoja ndio hiyo,tafadhali unusuru ulimi maana umezungumziwa huo na adha zake.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom