Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Wewe ni ktk wale fisi waliovaa ngozi ya mbuzi!
Unashusha thamani yako kwa bei ndoogo kabisa! Huna aibu kutetea dhulma wewe?
Halafu tuseme wewe na huyo nyerere ni tumbo moja! Iweje wewe unatumia maneno kama " inshallah" Mwenyezi Mungu" na mengi yatumiwayo na waungwana bila hata HAYA KIDOGO??
Hata yule maluun wa taifa hakufikia kusema inshallah!! We umepitiliza!

Unasingizia kuwa eti sisi tunataka mitaa ibadilishwe hali ukisisitiza tujenge hoja!
Mtu mzima huna aibu? Wapi ktk jukwaa hili umeskia mimi au shariff Ritz au maulana gombesugu au al akhiy Tayeb au maalim CHAMVIGA na ustaadh Boko haram na waungwana wengi tumesema hayo unayo tutilia midomoni kwetu??
Hebu onyesha hapa kama wewe si ktk wale majahill wanao tetea dhulma!
Halafu ukiambiwa wewe ni munafiq unasema unatukanwa!
Sasa labd tukae kimya! Manake kukwambia uyatayo wewe haiwezekani!!

Dr kahtaan unakubidi umzoee huyu nguruvi3 yeye anajua anachokifanya na anajua maslahi gani anayapa kwa kutetea dhulma na ukandamizaji wa Marehemu Nyerere enzi za uhai wake kama Raisi. Sina imani kama atafika sehemu na kukubali kumkosoa nyerere. Kuna wakati alishawahi kufanya mjadala na ndugu yetu zinedine na virungu vya akhy wetu vilikuwa ni vikali sana mwishoni hoja za zinedine nikawa sizioni jukwaani.
 
Last edited by a moderator:
Haya maswali unatakiwa uwatatfute ukoo wa mzee Kiyate uwaulize wao!
Mzee Mohamed Said alichofanya ni kukuwekea wewe na hao wenzako chakula juu ya meza!
Wewe unataka bado akulishe?? Ajabu! Hio Ndio tunaiita ihsani ya punda! Ni teke la utupu!
Well, finally mnakiri kuwa mumeweka maandishi kama malalamiko bila solution.
THE BIG SHOW hapo nyuma umesema hakuna malalamiko, namwalika mkuu aje hapa tusikilize malalamiko.

Ukitoa malalamiko bila suluhu ni njia mbovu sana ya kutatua tatizo.
Kibaya zaidi wengine wakileta suluhu hukubaliani nayo tena hukubaliani kwa matusi si kwa hoja.
Ndugu Daktari hapo huisadii jamii unazidi kuiponza. Kama wewe Daktari huna suluhu sijui yule wa mtaani atakuwa na nini. Swali zito.

Kumbe kelele zote na matusi ni kukwepa ukweli.
Kwanini basi msijadili kile nilichokisema hata kama kina maumivu?
Nimesema hivi
1. Kwanza kabisa hawa wazee ambao ni wetu na ambao wanaondolewa ile 'nationalism kwa dini' waanze kuenziwa na makundi yao ili iwe changamoto kwa taifa.

Hili linawezekana kwasababu 'mbaya' wenu Nyerere hayupo madarakani miaka 28 na yupo kaburini miaka 14.

a) Madiwani wa Jiji wakae na kuanza kubadili mitaa ili kuleta taswira ya kitaifa na utaifa hasa kwa wazalendo.
b) Tuna mtaa wa Dossa, Mtaa wa Takadiri, Shule ya Tambaza, Mtaa wa Mshume Kiyate n.k Tuongeze waliobaki.
Hili linaweza kufanywa na madiwani kama walivyofanya kwa Mwai Kibaki na Obama chini ya Kikwete na akina !@Mohamed Said wakiwa kimya kama maji ya mtungi.

2) Waislam waanze kuwaenzi wazalendo ili ku set tone kwa taifa kufuata kwani ndio wenye hoja kama si malalmiko
a) Chuo cha elimu Alharamaini kiitwe Kleist Sykes college of Education
b) Chuo cha Morogoro kiitwe Abdul Sykes memorial university
c) Sekondari ya Ubungo iitwe Mshume Kiyate Islamic centre
Orodha iendelee hadi kwa wengine.

Nadhani juhudi hizi mbili za upande wa utawala na upande wa dini zitasaidia sana katika kuwaenzi ili wasitoweke katika historia.

Kuanzisha nyuzi za malalamiko huku watu wakiwa hawana suluhu ni kuendeleza utamaduni wa kulalamika bila kuwa na majibu. Hatuwezi kuendelea kurithisha vizazi malalamiko.
Tunapaswa kusonga mblee na kurithisha vizazi mambo mengine., Haya yapo katika uwezo wa kizazi chetu.

Ahalan wahsalan, nakaribisha hoja, kama hakuna japo matusi kidogo.
Tafadhalini msiniache nipite tu eti mkisema Nguruwe pita leo sina mkuki, hamtanitendea haki.

 
Last edited by a moderator:
Wrong! dear Daktari.
Please read the following synopsis on same thread. Katika habari iliyopo Mzee Mshume Kiyate ametajwa mara 6 na ndiye aliyetajwa mara nyingi kuliko watu wote katika thread.
kahtaan, si mimi ninaye mtaja ni thread inamtaja na kumpa hadhi.
Mohaemd Said ameleta picha na maelezo ya Mshume Kiyate kuthibitisha umuhimu wake katika nyuzi.

U
muhimu zaidi ni pale alipotajwa kama mentor wa Nyerere the young leader ambaye hukuwa acknowledged.
Kiyate ametajwa miongoni mwa watu wasiojulikana leo hii(maandishi mekundu)
Mzee mshume ametajwa kufariki akiwa mwenyewe na masikini.

Kwa mantiki hiyo mimi kumtaja mzee Kiyate si kejeli kama ni kejeli basi aliyeanzisha ni Mohamed Said kama nilivyomnukuu hapo juu na mara ngapi amemtaja.

Hoja ya pili, nina sababu za msingi kuhoji kuwa ni vipi tuwaenzi wazee hawa.
Swali hilo kauliza chamvinga na Mohamed Said. Ukisoma nukuu hapo juu Mohamed Said amesema maneno yanayohitaji watu hawa kuenziwa.

Kama unadhani mimi kuuliza ni karaha basi Mohamed Said akane maneno yake na chamvinga aombe radhi nami nitakuwa wa mwisho kwasababu ni wa mwisho kutumia na kuuliza swali yale yale yalioulizwa na wenzenu.

Kwa muktadha huo SWALI LA NI KWA NJIA GANI ninyi mnapendekeza wazee hao waenziwe linabaki na umuhimu wake. Hoja ya kusema title ni Islam's role ni njia ya kukwepa msumari mzito unaowakabili.

Tatu, hata unaposema title ni Islam's role in Tanzania's freedom struggle bado kuna utata.
Mohamed Said mwenye maandiko amesema hapo mwisho '....history of nationalism in Tanzania' akimaanisha historia ya utaifaTanzania.

Ukinisoma vizuri nimeepuka sana kusema historia ya imani fulani kwasababu ninasoma between the lines, ninaelewa ninasoma nini na kina maana gani kwasababu zipi.

Swali langu limekuwa vipi tuwaenzi wazee hawa. Sijasema tuwaenzi wazee hawa wa imani fulani.
Nafahamu mwisho wa maadishi Mwandishi Mohamed alikusudia nini.

Utaweza kuelewa kama mimi ukiacha jazba, ushabiki. Ukitanguliza fikra zaidi ya mitusi.
Hili ndugu Daktari ninaona aibu lakini sinabudi kukuambia off point you have no ground to stand.

Mwisho sipo hapa kumpendeza mtu, sipo hapa kupongezana nipo hapa kueleza maoni yangu kama mtu huru.

Uzi umekuja na tunautendea haki, kama kukupa facts ni kuharibu uzi, guess what I'm here to stay.
I will stand toe to toe with contender not pretender. If you can take the heat get out kitchen.

Daktari mjulie hali ahli na familia, hakika sisi hatujambo.

Maslaam
Nguruvi3 twisting words from its core source would do you any favor!
Kama wewe unajiita kuwa unautendea haki uzi huu basi usiseme ya uongo, huo sio uungwana wala si busara!
Kama utarejea mwanzo wa uzi huu baada ya muanzisha uzi kujenga hoja zake na sisi kutoa hoja zetu! Walitokea majaaluta wengi wachafuzi wa minakasha wakihoji ya kuwa"je! Ni kwanini watambuliwe hao waislamu?? Kwani wana nini cha ziada"

Bila kutaka kumuongelea maalim Mohamed Said ! Nadhani kwa fikra za haraka haraka ni kuwaonyesha hao waliougeuza uzi huu kuwa ni wa kidini kwa kuwaambia kuwa SI WAISLAMU TU WALIO SAHAULIWA BALI KUNA WENGINE PIA! na AKATOA MFANO WA HUYO MZEE MSHUME!

LKN HILO SIO DHUMUNI LA UZI HUU!!

Narudia tena! Uzi huu title yake ni
ISLAM'S ROLE.........."
NOT ANY BODY'S ROLE......."

Kwa kiswahili chepesi! HAPA TUNAONGELEA WAISLAMU TU! waliosahauliwa kwa makusudi ktk historia yetu!
Lkn kama issue ya mzee mshume imekukera sana mpaka ukawasahau wahusika wa uzi huu basi hakuna anaekukataza kuanzisha uzi wako.
Ahsant
 
Last edited by a moderator:
Dr kahtaan unakubidi umzoee huyu nguruvi3 yeye anajua anachokifanya na anajua maslahi gani anayapa kwa kutetea dhulma na ukandamizaji wa Marehemu Nyerere enzi za uhai wake kama Raisi. Sina imani kama atafika sehemu na kukubali kumkosoa nyerere. Kuna wakati alishawahi kufanya mjadala na ndugu yetu zinedine na virungu vya akhy wetu vilikuwa ni vikali sana mwishoni hoja za zinedine nikawa sizioni jukwaani.
chamvinga, kuna kitu kinaitwa prejudice. Ni kitu kibaya kwasababu kuna nyakati unaweza kumhukumu mtu kwa hisia tu.

Nipo katika rekodi za JF kueleza mapungufu ya Nyerere. Niliwahi kusema sikukubaliana naye na machache ni haya
a) Kuanzisha elimu ya UPE na nilitoa sababu zangu kwanini sikukubaliana naye.
b) Kuua vyama vya ushirika kama Nyanza, KNCU |(Kilimanjaro) n.k. kwa kupunguza nguvu za upinzani.
c) Kujenga utamaduni wa kuhamisha viongozi walioharibu kwenda kuharibu kwingine.

Nyerere ni mwadamu hawezi kuwa perfect kama mwanadamu mwingine alivyo.
Tumeeleza kila jambo kwa upana wake.

Tofauti na watu wengine sina sababu za kuzusha uongo ili nionekane namkosoa Nyerere.
Sina sababu za kutetea mapungufu ya jamii fulani kwa kumnanga Nyerere.
Mfano, nipo katika rekodi za JF nikisema wakati umefika waislam waachwe waunde chombo chao.
Nikauliza kwanini sheikh mkuu ahudumiwe na serikali na si waislam.

Lakini pia nika balance equation kwa kusema waislam waliokubali Bakwata mwaka 1967 ni waislam na wameikubali hadi leo. Sasa Nyerere kama alifanya hivyo kwa makusudi yake na watu kwa kuelewa au kutoelewa wakaingia katika mkenge kwanini alaumiwe yeye na si watetezi.

Leo viongozi wengi wa taasisi za kiislam walikuwa sehemu ya Bakwata.
Sasa nani ni tatizo hapo. Mapungufu hayo yakubaliwe halafu sukuhu itafutwe.

Kinyume chake kinachoonekana sasa hivi ni hadithi na ngano za Nyerere aliye kaburini.
Hakuna suluhu kama unavyoona wenzako wakiulizwa nini kifanyike wanasem 'tafuteni familia ya Kiyate' lakini malalamiko ndiko kisimani.

Hivi watu wataendelee na hadithi za Nyerere hadi lini, kwamba ni mbio za vijiti.

There should be a cut point, the vicious circle of innuendos, family feud, finger pointing, whining and name calling come to rest.
 
Wrong! dear Daktari.
Please read the following synopsis on same thread. Katika habari iliyopo Mzee Mshume Kiyate ametajwa mara 6 na ndiye aliyetajwa mara nyingi kuliko watu wote katika thread.
kahtaan, si mimi ninaye mtaja ni thread inamtaja na kumpa hadhi.
Mohaemd Said ameleta picha na maelezo ya Mshume Kiyate kuthibitisha umuhimu wake katika nyuzi.

U
muhimu zaidi ni pale alipotajwa kama mentor wa Nyerere the young leader ambaye hukuwa acknowledged.
Kiyate ametajwa miongoni mwa watu wasiojulikana leo hii(maandishi mekundu)
Mzee mshume ametajwa kufariki akiwa mwenyewe na masikini.

Kwa mantiki hiyo mimi kumtaja mzee Kiyate si kejeli kama ni kejeli basi aliyeanzisha ni Mohamed Said kama nilivyomnukuu hapo juu na mara ngapi amemtaja.

Hoja ya pili, nina sababu za msingi kuhoji kuwa ni vipi tuwaenzi wazee hawa.
Swali hilo kauliza chamvinga na Mohamed Said. Ukisoma nukuu hapo juu Mohamed Said amesema maneno yanayohitaji watu hawa kuenziwa.

Kama unadhani mimi kuuliza ni karaha basi Mohamed Said akane maneno yake na chamvinga aombe radhi nami nitakuwa wa mwisho kwasababu ni wa mwisho kutumia na kuuliza swali yale yale yalioulizwa na wenzenu.

Kwa muktadha huo SWALI LA NI KWA NJIA GANI ninyi mnapendekeza wazee hao waenziwe linabaki na umuhimu wake. Hoja ya kusema title ni Islam's role ni njia ya kukwepa msumari mzito unaowakabili.

Tatu, hata unaposema title ni Islam's role in Tanzania's freedom struggle bado kuna utata.
Mohamed Said mwenye maandiko amesema hapo mwisho '....history of nationalism in Tanzania' akimaanisha historia ya utaifaTanzania.

Ukinisoma vizuri nimeepuka sana kusema historia ya imani fulani kwasababu ninasoma between the lines, ninaelewa ninasoma nini na kina maana gani kwasababu zipi.

Swali langu limekuwa vipi tuwaenzi wazee hawa. Sijasema tuwaenzi wazee hawa wa imani fulani.
Nafahamu mwisho wa maadishi Mwandishi Mohamed alikusudia nini.

Utaweza kuelewa kama mimi ukiacha jazba, ushabiki. Ukitanguliza fikra zaidi ya mitusi.
Hili ndugu Daktari ninaona aibu lakini sinabudi kukuambia off point you have no ground to stand.

Mwisho sipo hapa kumpendeza mtu, sipo hapa kupongezana nipo hapa kueleza maoni yangu kama mtu huru.

Uzi umekuja na tunautendea haki, kama kukupa facts ni kuharibu uzi, guess what I'm here to stay.
I will stand toe to toe with contender not pretender. If you can take the heat get out kitchen.

Daktari mjulie hali ahli na familia, hakika sisi hatujambo.

Maslaam

Wewe jamaa hata sijui nikuite nani?! unaruka ruka tu, mara hapa mara pale kama umechambia upu.pu!

Au tukuite Mtume Paulo tehe tehe tehe!

Tafadhali rejea kauli yangu ya awali kisha ifanyie kazi!
 
Last edited by a moderator:
Wewe jamaa hata sijui nikuite nani?! unaruka ruka tu, mara hapa mara pale kama umechambia upu.pu!

Au tukuite Mtume Paulo tehe tehe tehe!

Tafadhali rejea kauli yangu ya awali kisha ifanyie kazi!

Swahiba Tayeb umeamka na mipini ya ajabu hii! Teh teh teh teh!
Umemuona eee! Sisi tunajadili mashariki yeye anatupeleka magharibi!
Tukijaribu kumfuata huko magaharibi anakirukia kusini!!
Lahaula walaquwata! Yaani mpaka unashindwa kushangaa!
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3 twisting words from its core source would do you any favor!
Kama wewe unajiita kuwa unautendea haki uzi huu basi usiseme ya uongo, huo sio uungwana wala si busara!
Kama utarejea mwanzo wa uzi huu baada ya muanzisha uzi kujenga hoja zake na sisi kutoa hoja zetu! Walitokea majaaluta wengi wachafuzi wa minakasha wakihoji ya kuwa"je! Ni kwanini watambuliwe hao waislamu?? Kwani wana nini cha ziada"

Bila kutaka kumuongelea maalim Mohamed Said ! Nadhani kwa fikra za haraka haraka ni kuwaonyesha hao waliougeuza uzi huu kuwa ni wa kidini kwa kuwaambia kuwa SI WAISLAMU TU WALIO SAHAULIWA BALI KUNA WENGINE PIA! na AKATOA MFANO WA HUYO MZEE MSHUME!

LKN HILO SIO DHUMUNI LA UZI HUU!!

Narudia tena! Uzi huu title yake ni
ISLAM'S ROLE.........."
NOT ANY BODY'S ROLE......."

Kwa kiswahili chepesi! HAPA TUNAONGELEA WAISLAMU TU! waliosahauliwa kwa makusudi ktk historia yetu!
Lkn kama issue ya mzee mshume imekukera sana mpaka ukawasahau wahusika wa uzi huu basi hakuna anaekukataza kuanzisha uzi wako.
Ahsant
Hapana unakosea kabisa kahtaan. Mshume Kiyate hajanikera nimemtumia kama 'main character' kwasababu ya umuhimu wake katika uzi.

Ametajwa mara 6 zaidi ya mtu mwingine.Ni mshume aliyetajwa na kuvuta hisia kuliko mtu mwingine na hivyo ninachokifanya ni muendelezo wa hisia na kutafuta suluhu ya kudumu.

Kama uli note mara yakwanza nilikaa kimya nikiuangalia uzi kama ulivyoeltwa.
Kilichonigusa zaidi ni uzi kugeuka na kuwa sehemu ya uongo na uzushi.

Mathalan, gombesugu ameongelea sana mfumokristo nje ya uzi.
Akiina Ritz wakitoka katika mstari kila uchao na kupewa pass mark.
All in all kuna upotoshaji wa hali ya juu na ndipo nikasema nami nitupe senti sumuni.

Napenda nikuhakikishie kuwa kama uzi huu unawataja wazee wa kiislam hilo halina tatizo.
Shida ni kuwa katika kupigania Uhuru Ukishataja kundi unaliondolea haki ya 'nationalism na Patriotism'
Kwahiyo kuadika mada za makundi ya kidini zina advantage kwa muuza kitabu au gazeti na sio kwa wahusika halisi.

Ungeniuliza mimi ningekuwambia historia ya wapigania uhuru iwe kama ilivyo vinginevyo ni hao hao waislam wanawaondoa katika historia bila kujua.

Ukizungumzia umahiri wa Sheikh Chamwenyewe kuvuka misitu kwenda kukusanya michango kama Mwislam unaondoa hamasa kwa mtu mwingine asiye mwislam. Hiyo ni nature. Ukimuongelea kama shujaa wa uhuru kila mtu anavutika kujua huyu ni nani.

Kwa wale wa 47 akina Mohamed Said, Mag3, Jasusi, JokaKuu mtawakumbuka watu wawili maarufu sana Osale Otango na shemeji yake Hamisi. Navutia kamba nyumbani Bondei ati, si kila mtu na shujaa wa nyumbani kwakwe!

Hawa kwakweli walikuwa wahalifu lakini uhalifu wao ulikuwa kwa wakoloni si mwafrika.
Umaarufu wao ni mkubwa pengine kuliko hao wapigania uhuru kwa majina ya dini. Nieleweke kwanini nasema hivyo tafadhali

Lakini kitu kimoja muhimu sana ambacho watu wanakikwepa.
Katika orodha ya watu waliotajwa na Mohamed Said katika uzi huo hapo juu wengine hawakuwa waislam. Walikuwa na majina ya kiislam lakini hawakuwa waislam.
Nina proof! na kwa stara ya mnakasha naomba nisiulizwe kuiweka hapa maana 'jengo litaanguka watu '
 
Last edited by a moderator:
Wewe jamaa hata sijui nikuite nani?! unaruka ruka tu, mara hapa mara pale kama umechambia upu.pu!Au tukuite Mtume Paulo tehe tehe tehe!Tafadhali rejea kauli yangu ya awali kisha ifanyie kazi!
Nitaridhia jina lolote ili mradi nafsi yako iridhike. Hakika natamani sana utukufu lakini sikupewa karama hiyo.
Kuniita Paulo utanivika viatu vikubwa sana. Je, waonaje ukiniita Nguruwe kama alivyopenekeza kahtaan.
Tena linakaribiana na Nguruvi sitapata taabu kulizoea.

Je, salama huko nyumbani? kule bonde tunase haya ni vihi, nghakijambo!
 
Last edited by a moderator:
@Ritz hebu onyesha kwa dhati matusi na kashfa dhidi ya imani. Siku zote msimamo wangu ni kuheshimu kile mtu anachokiamini na wala si kubambikia mtu au kushinikiza kwa namna yoyote. Nasema thibitisha maneno yako kuwa ninachuki na Uislam.

Kama hutaweza kuonyesha tafuta spinning nyingine.

Hoja zinapiga mfupa, nasikitika lakini ndio mnakasha
Umebadilika tena si ulitaka nikuletee bandiko lako kuhusu kauli zako matusi na kejeli dhidi ya Waislam nimekuletea unanitaka nithibitishe teh teh teh!

Maneno yako yapo humu jamvini wala hayaitaji uthibitisho hata jamaa zako wale waliokutumia PM wanakusoma unaweza kuwauliza, wewe ni adui mkubwa wa Uislam na Waislam wadanganye wasiyo kujua umejawa na chuki sijui kwa nini.

Hivi nyie Chadema Waislam waliwakosea nini?
 
Swahiba Tayeb umeamka na mipini ya ajabu hii! Teh teh teh teh!
Umemuona eee! Sisi tunajadili mashariki yeye anatupeleka magharibi!
Tukijaribu kumfuata huko magaharibi anakirukia kusini!!
Lahaula walaquwata! Yaani mpaka unashindwa kushangaa!
Hapana nipo nanyi tatizo siwapongezi ma alkyi, ukhti, habib n.k. Sitegemei nionekane ninaelekea upande mmoja na waumini wakati nawaambia huko mnakokwenda kuna miba.
Kwani kafir anajua tofauti ya mwiba na kijiti?

Nilichosema ni kuwa tumefika pazuri, tukae kitako tupate funda tatu za maji. Mwenye juisi ya ndimu haijambo pia.
Kisha tujiulize wazee tumeshwatambua sasa tuwaenzi kwa njia gani ili makosa yasijirudie?
Nikiuliza swali hili wenzangu mnabeba vibuyu vya maji na kutimka! aka! haiendi hivyo. Lipo neno na tuliseme

Ukienda mjasani saa hizi tunasema uramkaze!
 
chamvinga, kuna kitu kinaitwa prejudice. Ni kitu kibaya kwasababu kuna nyakati unaweza kumhukumu mtu kwa hisia tu.

Nipo katika rekodi za JF kueleza mapungufu ya Nyerere. Niliwahi kusema sikukubaliana naye na machache ni haya
a) Kuanzisha elimu ya UPE na nilitoa sababu zangu kwanini sikukubaliana naye.
b) Kuua vyama vya ushirika kama Nyanza, KNCU |(Kilimanjaro) n.k. kwa kupunguza nguvu za upinzani.
c) Kujenga utamaduni wa kuhamisha viongozi walioharibu kwenda kuharibu kwingine.

Nyerere ni mwadamu hawezi kuwa perfect kama mwanadamu mwingine alivyo.
Tumeeleza kila jambo kwa upana wake.

Tofauti na watu wengine sina sababu za kuzusha uongo ili nionekane namkosoa Nyerere.
Sina sababu za kutetea mapungufu ya jamii fulani kwa kumnanga Nyerere.
Mfano, nipo katika rekodi za JF nikisema wakati umefika waislam waachwe waunde chombo chao.
Nikauliza kwanini sheikh mkuu ahudumiwe na serikali na si waislam.

Lakini pia nika balance equation kwa kusema waislam waliokubali Bakwata mwaka 1967 ni waislam na wameikubali hadi leo. Sasa Nyerere kama alifanya hivyo kwa makusudi yake na watu kwa kuelewa au kutoelewa wakaingia katika mkenge kwanini alaumiwe yeye na si watetezi.

Leo viongozi wengi wa taasisi za kiislam walikuwa sehemu ya Bakwata.
Sasa nani ni tatizo hapo. Mapungufu hayo yakubaliwe halafu sukuhu itafutwe.

Kinyume chake kinachoonekana sasa hivi ni hadithi na ngano za Nyerere aliye kaburini.
Hakuna suluhu kama unavyoona wenzako wakiulizwa nini kifanyike wanasem 'tafuteni familia ya Kiyate' lakini malalamiko ndiko kisimani.

Hivi watu wataendelee na hadithi za Nyerere hadi lini, kwamba ni mbio za vijiti.

There should be a cut point, the vicious circle of innuendos, family feud, finger pointing, whining and name calling come to rest.

See! Now you are moving again! The whole issue here is not to pin point individuals!
Tunamfahamu mchawi wetu! Tatizo ni watu km wewe ambao wana yale matatizo yaitwayo "selective hearing"
Au "selective understanding"

You choose what to hear! Or what to understand! Kama wewe ni msema haki!
Kwa nini usiupokee mzigo wote kama ulivyo? Unachukua nusunusu??

Unasema "they should be a cut point" and for once I agree with you BUT if only you could accept that the source of all this chaos was your very humble friend MWALIMU NYERERE!
Hapo ndipo tutakapo kwenda mbele!!
 
Vipi unashauri ukoo wa Mshume Kiyate ulipwe kwa kumsaidia Julius Nyerere?

Unadhani Mshume Kiyate angekuwa hai angedai malipo?

Au angesimama na kutangaza haya kama ufanyavyo?

Je watanzania tumfanyaje Mshume Kiyate?

Wakati wa uhai wa Mzee Kiyate aliwahi kusimama-hadharani ama mafichoni na kudai fidia/malipo ya kumsaidi Nyerere wakati wa ukombozi?

Unapokuwa mzee halafu ukawa mnafiki na mzandiki unakosa thamani hata kwa Mungu wako

Haaa rastafari umekuja eehh na matusi yako ya reja reja mnafki na mzandiki unamjua na Kikwete alishamuweka hadharani na jana alienda kunywa juice ikulu.

Kuhusu mzee Mshume Kiyate nani aliye kwambia familia yake wanataka fidia lakini sio makosa yako ni bangi unazovuta.
 
chamviga, kuna kitu kinaitwa prejudice. Ni kitu kibaya kwasababu kuna nyakati unaweza kumhukumu mtu kwa hisia tu.

Nipo katika rekodi za JF kueleza mapungufu ya Nyerere. Niliwahi kusema sikukubaliana naye na machache ni haya
a) Kuanzisha elimu ya UPE na nilitoa sababu zangu kwanini sikukubaliana naye.
b) Kuua vyama vya ushirika kama Nyanza, KNCU |(Kilimanjaro) n.k. kwa kupunguza nguvu za upinzani.
c) Kujenga utamaduni wa kuhamisha viongozi walioharibu kwenda kuharibu kwingine.

Nyerere ni mwadamu hawezi kuwa perfect kama mwanadamu mwingine alivyo.
Tumeeleza kila jambo kwa upana wake.

Tofauti na watu wengine sina sababu za kuzusha uongo ili nionekane namkosoa Nyerere.
Sina sababu za kutetea mapungufu ya jamii fulani kwa kumnanga Nyerere.
Mfano, nipo katika rekodi za JF nikisema wakati umefika waislam waachwe waunde chombo chao.
Nikauliza kwanini sheikh mkuu ahudumiwe na serikali na si waislam.

Lakini pia nika balance equation kwa kusema waislam waliokubali Bakwata mwaka 1967 ni waislam na wameikubali hadi leo. Sasa Nyerere kama alifanya hivyo kwa makusudi yake na watu kwa kuelewa au kutoelewa wakaingia katika mkenge kwanini alaumiwe yeye na si watetezi.

Leo viongozi wengi wa taasisi za kiislam walikuwa sehemu ya Bakwata.
Sasa nani ni tatizo hapo. Mapungufu hayo yakubaliwe halafu sukuhu itafutwe.

Kinyume chake kinachoonekana sasa hivi ni hadithi na ngano za Nyerere aliye kaburini.
Hakuna suluhu kama unavyoona wenzako wakiulizwa nini kifanyike wanasem 'tafuteni familia ya Kiyate' lakini malalamiko ndiko kisimani.

Hivi watu wataendelee na hadithi za Nyerere hadi lini, kwamba ni mbio za vijiti.

There should be a cut point, the vicious circle of innuendos, family feud, finger pointing, whining and name calling come to rest.

Wewe nguruvi3 hizo ni scapgot zako tu, kama wewe umeyaona hayo kama ndio madhaifu pekee ya nyerere wenzako wanazaidi ya hayo, suala ni kwanini linapotajwa suala la waislamu na uislamu, masuala ya historia za ukombozi, muungano, n.k wewe unarukaruka na kurudi upande wa nyerere. Mara waislamu waruhusiwe waunde chombo chao, mara kwanini waislamu waliikubali bakwata, nani anaihudumia bakwata, sijui kubalance equation. Matatizo ya BAKWATA yanajulikana kwa kila mtanzania na solution zinatolewa mara kwa mara lakini kwakuwa BAKWATA ipo kwa kazi maalumu serikali inailinda na kuitetea. Madai ya waislamu yanatolewa na kusemwa kila kukicha na watu kama kina Ponda lakini wewe umekuwa mstari wa mbele kuyaponda na kuwa upande wa Bakwata. Kwasasa sisi waislamu pamoja na mengine tunayopaswa kuyafanya na hili la kuisema historia sahihi iliyofunikwa na dhalimu nyerere nila msingi. Tutaendelea kuyasema maovu yake ili vizazi na vizazi vimjue nyerere alikuwa nani hasa katika taifa hili. Hata kama tutadhaulika na kuitwa walalamikaji lakini njia bora ndio hii. Shukrani kwa wanahistoria wetu akiwemo mzee mohamedi said kwakuhifadhi kumbukumbu vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Umebadilika tena si ulitaka nikuletee bandiko lako kuhusu kauli zako matusi na kejeli dhidi ya Waislam nimekuletea unanitaka nithibitishe teh teh teh!

Maneno yako yapo humu jamvini wala hayaitaji uthibitisho hata jamaa zako wale waliokutumia PM wanakusoma unaweza kuwauliza, wewe ni adui mkubwa wa Uislam na Waislam wadanganye wasiyo kujua umejawa na chuki sijui kwa nini.

Hivi nyie Chadema Waislam waliwakosea nini?
Hao Chadema wameingiaje huku. kahtaan tumesema tunajadili Islam;s role ......

Rekodi yangu inajieleza.

Al akhyi Ritz Tufanye nini kuwaenzi wazee wetu! mbona uliahidi kutakucha watakuja, je hawajaamka!
Hili ndilo swali linaloleta utata. Tumeshaona role ya wazee sasa tufanye nini.
 
Last edited by a moderator:
Nitaridhia jina lolote ili mradi nafsi yako iridhike. Hakika natamani sana utukufu lakini sikupewa karama hiyo.
Kuniita Paulo utanivika viatu vikubwa sana. Je, waonaje ukiniita Nguruwe kama alivyopenekeza kahtaan.
Tena linakaribiana na Nguruvi sitapata taabu kulizoea.

Je, salama huko nyumbani? kule bonde tunase haya ni vihi, nghakijambo!

Usilalamike Nguruvi3 kwa kunyeshewa na mvua na adhabu ya virungu vya Tayeb. Nishakuambia huko juu ukipanda upepo tegemea kuvuna kimbunga.
 
Last edited by a moderator:
Hapana unakosea kabisa kahtaan. Mshume Kiyate hajanikera nimemtumia kama 'main character' kwasababu ya umuhimu wake katika uzi.

Ametajwa mara 6 zaidi ya mtu mwingine.Ni mshume aliyetajwa na kuvuta hisia kuliko mtu mwingine na hivyo ninachokifanya ni muendelezo wa hisia na kutafuta suluhu ya kudumu.

Kama uli note mara yakwanza nilikaa kimya nikiuangalia uzi kama ulivyoeltwa.
Kilichonigusa zaidi ni uzi kugeuka na kuwa sehemu ya uongo na uzushi.

Mathalan, gombesugu ameongelea sana mfumokristo nje ya uzi.
Akiina Ritz wakitoka katika mstari kila uchao na kupewa pass mark.
All in all kuna upotoshaji wa hali ya juu na ndipo nikasema nami nitupe senti sumuni.

Napenda nikuhakikishie kuwa kama uzi huu unawataja wazee wa kiislam hilo halina tatizo.
Shida ni kuwa katika kupigania Uhuru Ukishataja kundi unaliondolea haki ya 'nationalism na Patriotism'
Kwahiyo kuadika mada za makundi ya kidini zina advantage kwa muuza kitabu au gazeti na sio kwa wahusika halisi.

Ungeniuliza mimi ningekuwambia historia ya wapigania uhuru iwe kama ilivyo vinginevyo ni hao hao waislam wanawaondoa katika historia bila kujua.

Ukizungumzia umahiri wa Sheikh Chamwenyewe kuvuka misitu kwenda kukusanya michango kama Mwislam unaondoa hamasa kwa mtu mwingine asiye mwislam. Hiyo ni nature. Ukimuongelea kama shujaa wa uhuru kila mtu anavutika kujua huyu ni nani.

Kwa wale wa 47 akina Mohamed Said, Mag3, Jasusi, JokaKuu mtawakumbuka watu wawili maarufu sana Osale Otango na shemeji yake Hamisi. Navutia kamba nyumbani Bondei ati, si kila mtu na shujaa wa nyumbani kwakwe!

Hawa kwakweli walikuwa wahalifu lakini uhalifu wao ulikuwa kwa wakoloni si mwafrika.
Umaarufu wao ni mkubwa pengine kuliko hao wapigania uhuru kwa majina ya dini. Nieleweke kwanini nasema hivyo tafadhali

Lakini kitu kimoja muhimu sana ambacho watu wanakikwepa.
Katika orodha ya watu waliotajwa na Mohamed Said katika uzi huo hapo juu wengine hawakuwa waislam. Walikuwa na majina ya kiislam lakini hawakuwa waislam.
Nina proof! na kwa stara ya mnakasha naomba nisiulizwe kuiweka hapa maana 'jengo litaanguka watu '
Waislam wefanyiwa dhuruma nyingi sana wewe hauwezi kuziona wala kuzikubali sababu ya chuki zako dhidi ya Uislama. Hapa watu hawapo kwa ajili ya kumuongelea Mshume Kiyate peke yake ngoja tupanue mjadala kabla haujatumiwa PM.

Nyerere alishawakatama na kuwakeka vizuizini Masheikh wetu wengi watu tukijadili unasema tunalalamika hivi nyie Chadema mnalalamika kwa CCM kila siku.

Hawa ndiyo Masheikh walioteswa na Nyerere ambae wewe hautaki watu wamuongelee.

Abdillah Schneider Plantan, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Sheikh Suleiman Masudi Mnonji, Ali Migeyo, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Shariff Husseim Badawiy, Shariff Mwinyibaba, Shariff Adnan, Bilali Rehani Waikela, Sheikh Jumanne Bias, Maalim Matar, Abdallah Mwamba, Sheikh Hashim Haji, Sheikh Nurdin Hussein, Sheikh Salum Abdalla Popo, Sheikh Mzee Ali Comoriam, Sheikh Al Amin Mafta, Rajab Kiguu, na wengine wengi.

Sasa nadhani unaona mfumo kristo ulivyoanza ilikuwa baada ya uhuru.

Wewe endelea kuamini kwa Waislama wanalalamika tu.
 
Last edited by a moderator:
Wewe nguruvi3 hizo ni scapgot zako tu, kama wewe umeyaona hayo kama ndio madhaifu pekee ya nyerere wenzako wanazaidi ya hayo, suala ni kwanini linapotajwa suala la waislamu na uislamu, masuala ya historia za ukombozi, muungano, n.k wewe unarukaruka na kurudi upande wa nyerere. Mara waislamu waruhusiwe waunde chombo chao, mara kwanini waislamu waliikubali bakwata, nani anaihudumia bakwata, sijui kubalance equation. Matatizo ya BAKWATA yanajulikana kwa kila mtanzania na solution zinatolewa mara kwa mara lakini kwakuwa BAKWATA ipo kwa kazi maalumu serikali inailinda na kuitetea. Madai ya waislamu yanatolewa na kusemwa kila kukicha na watu kama kina Ponda lakini wewe umekuwa mstari wa mbele kuyaponda na kuwa upande wa Bakwata. Kwasasa sisi waislamu pamoja na mengine tunayopaswa kuyafanya na hili la kuisema historia sahihi iliyofunikwa na dhalimu nyerere nila msingi. Tutaendelea kuyasema maovu yake ili vizazi na vizazi vimjue nyerere alikuwa nani hasa katika taifa hili. Hata kama tutadhaulika na kuitwa walalamikaji lakini njia bora ndio hii. Shukrani kwa wanahistoria wetu akiwemo mzee mohamedi said kwakuhifadhi kumbukumbu vizuri.
Nimesema wazi kuwa siwezi kumsingizia Nyerere au kukaa kimya akisingiziwa au kupotoshwa kwa ukweli eti kwasababu nikisema nitakuwa upande wa Nyerere.

Tofauti yangu pengine na wengi ni matumizi ya akili. Mimi hawezi kutokea mpuuzi akaja kuniambia kuwa Nyerere aliingia siasa siku aliyopewa kadi na Ally Sykes.

Wajinga watakubali wenye akili watasema wait a minute kwani alianza siasa lini.
Hawezi kutokea mganga njaa akanidanganya kuwa Nyerere alianza siasa alipokutana na Abdul nitamwambia no way Nyerere alikuwa katika siasa mwaka 1945 kabla hajakutana Abdul

Kuhusu niliyosema sikubaliani na mwalimu hiyo ni mifano tu, lakini pia ipo mingi nakubaliana naye.Tofauti kubwa sana ni kuwa wapo watu wamefundishwa kumchukia Nyerere kwasababu wamefunzwa tu na hawana nafasi katika vichwa vyao kufikiria zaidi.

Nimekuatana na mzanzibar akanieleze jinsi Nyerere alivyosema anatamani kuvitupa visiwa hivyo baharini. Nikamuuliza anipe nukuu hiyo ilitolewa lini na nani alinukuu. Hana jibu anasema imesemwa na mzee so and so. Ukisikiliza mikutano yao akitajwa Nyerere wanatukana tu hawajui hata wanatukana nini.

Hapa bara ugonjwa huo umeingia watu hawatumii hata chembe ya akili kuhoji. Tena wapuuzi wanaofunza ushenzi huo wanatumia chuki zao kwa kufungaminisha na dini.

Wanaaminisha watu kuwa ukikubaliana na jambo la Nyerere wewe ni kafir. Kwavile baadhi ya watu wamekariri dini hao huwaambii kitu hata kama baba zao wamekulia kwa Nyerere.

Chamvinga kuwa na ufahamu ni jambo moja na kutumia ufahamu ni jambo jingine.
Mimi siburuzwi kwasababu ninaufahamu na mambo mengine nimeyafanya kama si kushuhudia sasa atatokea mpuuzi aniburuze kama mbuzi! never on my watch
 
Waislam wefanyiwa dhuruma nyingi sana wewe hauwezi kuziona wala kuzikubali sababu ya chuki zako dhidi ya Uislama. Hapa watu hawapo kwa ajili ya kumuongelea Mshume Kiyate peke yake ngoja tupanue mjadala kabla haujatumiwa PM.

Nyerere alishawakatama na kuwakeka vizuizini Masheikh wetu wengi watu tukijadili unasema tunalalamika hivi nyie Chadema mnalalamika kwa CCM kila siku.

Hawa ndiyo Masheikh walioteswa na Nyerere ambae wewe hautaki watu wamuongelee.

Abdillah Schneider Plantan, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Sheikh Suleiman Masudi Mnonji, Ali Migeyo, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Shariff Husseim Badawiy, Shariff Mwinyibaba, Shariff Adnan, Bilali Rehani Waikela, Sheikh Jumanne Bias, Maalim Matar, Abdallah Mwamba, Sheikh Hashim Haji, Sheikh Nurdin Hussein.
Hakuna rekodi ya mimi kuzuia mtu asiseme jambo. Ninashukuru kwa kunifahamisha mashehe hao na adha walizopata.

Sasa tufanye nini kuwaenzi wazee wetu hawa?

Tutulizane kwa 'utuvu' tusiwe viruka njia wakukimbia misumari. Sindano inauma lakini ni dawa shariff Ritz
 
Last edited by a moderator:
Usilalamike Nguruvi3 kwa kunyeshewa na mvua na adhabu ya virungu vya Tayeb. Nishakuambia huko juu ukipanda upepo tegemea kuvuna kimbunga.
Mashallah mvua ya matusi inaniimarisha sana.
Hakika ninapata wasaa mzuri sana huwezi kuamini. \Nipo hapa na tutaendelea kulisha dozi hadi vichwa vitengemae.
Elimu ya umma si jambo la mchezo. Niliwahi kupata semina kidoogo sana ya ku deal na public hasa ikiwa na confusion kwahiyo hapa nahudumia jamii kwanini nione adha.

Ninasema kuwa watu wasifundishwe chuki, watwachukia baba zao.
Watu watumie vichwa si kumeza kila wanachotupiwa.


Jamani wanjamvi mbona tunakimbia kimbia hovyo tukisikia namna ya kuwaenzi wazee wetu.
Mimi nimekuja na suluhu pengine ni mbovu lakini ndiyo yangu wenzangu vipi? Matusi si sehemu ya mfumo mzima wa maisha kama asemavyo shariff Ritz

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom