Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle





Ewe Kahaba wa Chadema aka Mtu mzima!

Umeshaharisha saana na kwa kifupi uharo wako ulojaa Islamophobia,stereotypes na prejudices unanuka mno!

Wenzio wastaarabu wakishamaliza kuharisha kama hivi,huinuka na kwenda kuchamba...sasa wewe watakani,au unawashwa!?

Ina maana wewe hujaona mifano/mfano wowote wa kusema zaidi ya hizo condoms,misikiti na Waislam!?...embu jisome tena upya huo uharo wako!?

Juzi ulianza vyema japo kipuuzi,ukajibiwa kwa staha,leo unaiingia kwa makhanatha!? Wewe huko kwenu Chadema/kanisani unaweza kuzungumza na yule Padri Mkunga Dr. Slaa huku ukimtolea mifano ya kikhanith namna hiyo!?

Ina maana,Josephine Mushumbusi atakapomtupa yule Mzee Slaa baada ya kukosa maelfu ya kura za Waislam hiyo 2015...utasema yakuwa Dr Slaa nae pia alikua akitumiwa kama condom na shughuli yake imekwishwa ndo katupwa!?

Pitia post/s za awali humu;utaona mimi binafsi kupitia kwa Dr Kahtaan na pia yeye Dr Kahtaan mwenyewe,soote tumekuwekea na kukuomba uongeze datas/statistics...sasa wewe unarejea hapa mikono mitupu tena kwa arrogant ya hali ya juu huku ukileta porojo nyingi na ati "kufundisha" maisha Waislam!?

Kumbuka hapa unazungumza na Scholars wa fields mbalimbali...acha mambo yako ya kwenye vikao vya mbege!

Hizo statistics,sisi tunazo zoote...najua wewe huna wala huna nia,uwezo wala dhamira ya kuzipata.

Hizo sehemu zoote ulizotaja na kujigamba nazo,sisi tuna watu tena muhimu pita kiasi na wengine ni ndugu/jamaa zetu wa karibu mno! Kwa hiyo acha utoto wa kujigamba na ati kujaribu kututisha! Kwi! Kwi! kwi!

Hata yule Nyerere wenu pia pamoja na udhalimu na hasada zake nyingi,lakini kuna watu na families alikua akiwajua na kuwastahi japo kiduchu!

Cha msingi;wewe ndo unatakiwa ulete hizo statistics zoote tulizohitaji tena kutoka hizo sehemu tulizokutajia...nina maana kwenye ile post yangu na ya Dr Kahtaan,khalaf njoo hapa uje kuzi-substantiate/defend mbele yetu...just a simple arithmetic equation!? Ok!?

Mimi nilikua nakufuatilia tangia ulipoingia humu;yaani wewe tangia mwanzo ulishaanza kudai yakuwa issues zoote ni hisia tu za Waislam!?...ina maana umeingia kwenye huu mjadala huku tayari una -conclusions zako kichwani!?

Sasa utawezaje kuwa objective na impartial!?...we don't mind any sort of criticism but it must be constructive criticism!! Ok!?

Zaidi ya hapo...inakulazim ukae kimya na kuwa msomaji muadilifu!

Ahsanta sana.
Cc;Kahtaan,Ritz,Tayeb,Boko Haram,The Big Show,Chamviga
 



Your thoughts aka uninformed opinion are totally wrong and rotten,kind of popular misconception!

Are you seriously suggesting Muslims can not think to bring any better thing or development to their communities!?

MfumoKristo
it's not the only threat,it is the likes of you...

Judgement of people who you don't know their experience and in whose shoes you have not walked...it shows lack of integrity.

The strength of MfumoKristo lies on its ability to sale illusion to its victims...so please STOP preaching your bollovks!!

Your post truly sickening. Reason is the only way of liberating one's mind,not your shit Islamophobia....yes and what saddens me even more is to see Devils and Zombies like you ,who are also part and parcel of the same MfumoKristo,spitting your arrogant remarks aka vernom each and every day!

Next time ,before making and foolish statement like this,do your home work very well...you don't have to be narrow-minded! Ok!?

Ahsanta.

Cc;Maulana Dr. kahtaan,Shariff Ritz,Ayatollah Chamviga,Al Habib Al Tayeb,Al Akhiy Boko Haram,Al Murid The Big Show,Al Kidhab Nguruvi3,Al Munafik Mag3,Al Akhiy Polite
 
Maulana gombesugu,

Kauli mbiu ni ile ile kutoka kwa Ayatollah CHAMVIGA, kuna wapuuzi wengine wanasema wanatumiwa PM teh teh teh Chadema janga la taifa.

Mimi niachieni niendelee na darsa kuwafahamisha umma unyama Nyerere aliowafanyia Masheikh/Wazee wetu atakayeona Nyerere anaonewa namkaribisha jamvini.

Huyu mpuuzi anayejiita mtu mzima ovyo, anayewatuka Waislam anawafananisha na Condom na kukuejeli Misikiti yetu sijamjibu ni maana yangu lakini safari hii tapambana naye kwa jinsi atakavyokuja.

Majibu yako yananikosha sana mie nipo hapa nakula nyama ya ngamia na asali.
 
Last edited by a moderator:
Kauli kama hizi zinanifanya nang'aa zaidi miongoni mwenu.

Mimi nina hoja wenzangu mna matusi.
Halafu unategemea mtu mwenye lugha hii aende kuwalingania wanadamu kuhusu Uislam.
Uislam ni amani na salama, akili na fikra si jina. Jihad si mapanga hata kuutangaza kwa njia njema kama kauli za ulinganifu ni jihad.

Hoja iko wapi? Mimi nauliza vipi tuwaenzi wazee kwa namna gani? Mbona wenzangu mnakimbia hoja muhimu ambayo Mohamed Said na Chamvinga wameitoa nami nawaunga mkono tu!


 
Your thoughts aka uninformed opinion are totally wrong and rotten,kind of popular misconception!Are you seriously suggesting Muslims can not think to bring any better thing or development to their communities!?
Kauli zenu hazilingani na wasomi wa dini ndio maana nashauri kila siku angalieni maana ninyi ni sehemu muihimu sana. Image yenu in impact katika society. Kwanini hauoni au hamuelewi?
Boko haram alisema kwanini watu wanaitwa majina mabaya kama alshabab, alqaeeda n.k. Ninapenda kumwambia kuwa hao si waislam bali wamechukua ajenda zao na kuzifunga kwa kitambaa cha dini. Ni kwa mtindo wa kauli za hovyo na wingi wa mitusi hawa wanaosema wanatetea dini kwa ndimi chafu wanaichafua kama wanavyofanya alqaeeda.
Kauli zenu waungwana sijibu hoja.
kahtaan kaongelea inferiority complex as a nasty disease. Soma kauli za hapo juu utaona nini maana ya inferiority complex.

Ndugu zangu, kifanyike nini wazee waliopigania uhuru waenziewe?

 
Last edited by a moderator:
I don't mind if you keep whining for another 30 years.
I don't mind if you decide to camp on Nyerere's cemetery expecting something different
I'm not bothered if you pass the story to your kids who will remain whining like their fathers
I don't mind if you choose the dark side of development.

You've to determine your final destination and no one should change ehh mmh the way eeeh you think.
 
Nimewaambia wote na mentor wao Mohamed Said wanionyeshe mahali ambapo wapigania uhuru walisema wanafanya hivyo kwa ajili ya dini. Hakuna aliyethubutu

Nimewauliza vipi maneno ya Abdul Sykes na Baba yake kuwa wanapigania kuwakomboa waafrika wameyachuliaje? Hakuna anayejibu kwasababu hawana jibu.

Nimewauliza ajitokeze mtu anithibitishie kuwa wale walisoshiriki kupigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam walikuwa waislam. Jamvi lote kimya hakuna anyethubutu kukanusha! hakuna maana kama yupo ajitokeze nimwagwe mtama hadharani.

Ndio maana nasiamama jamvini kifua mbele kwasababu nina uelewa sikukariri mambo.
Kitu kizuri ninachowapiga nacho ni kuwa nina uwezo wa kuwanyang'anya fimbo nikawachapa nayo.
Nipo kila mahali and well imformed




 

Wacha kuwajaza watu uongo!

Toa kwanza mwiba wa tak.o wewe Muchungwaji Paulo!
 
Naona fitina za yule mjivuni wa kimanyema bado zinaendelea.
 
Yaani huyu ni kiumbe wa ajabu sana!

Nilidhani hii tabia yake ya kuruka huku na kule nimeiona peke yangu!

Tehe tehe tehe!
Tumeshaona role ya islam katika harakati. Tumetajiwa wahusika.
Swali nini kifanyike kuwaenzi hao wapigania uhuru ambao wamekana si wa dini lakini wanasingiziwa walitenda hayo kwasababu ya imani. Tuwaenzi vipi.

Silaha muhimu katika majadiliano ni hoja. Matusi ni silaha rahisi na nyepesi kwa asiye na hoja.
Nitachukua fimbo uliyoshika mkononi nitakuchapa nayo!

 

Wewe ndio punda, huendi ila kwa majiti tehe tehe tehe!
 

Wewe inaonekana ufahamu nazungumza nini?

Rejea mabandiko yangu yote kuhusu wewe!

Pengine muda huu ukapata faida.

Maana kuna msemo unasema "ukitaka kumficha mswahili jambo, muwekee kwenye maandishi"

Sasa wewe nawe umekua miongoni mwao tehe tehe tehe!

Mtihani wako huo wewe muabudu masanamu
 
Where is your point dude.
This thread is not about me, it's all about the legacy of our forefathers.

Tufanye nini kuwaenzi baada ya kuona role yao na baada ya kupata wasifu,wajihi na majina yao?

Watu wameshindwa kueleza nini kifanyike, in other words walivutwa na hisia hawakuwa na ground to stand on.
Wamekimbia jamvi na waliobaki wanashusha mitusi kwenda mbele. Sisi wenye hoja tumebaki wima.

Fimbo yako nakunyang'anya halafu nakutandika nayo. Strength of well informed person
 

Matusi yao kwa waislamu na uislamu ndio kifo cha chama chao cha KADIMA(CHADEMA) wape bayana mkuu Gombesugu.
 


Teh teh teh,
Alhabib nakusoma kwa utulivu wa hali ya juu hapa na darasa zako. Wewe Shindilia kwa jinsi alivyokuja mwisho ujumbe umefika. Ila hapo kwenye AYATOLLAH!? Lol naogopa sana mpenzi.
 

Marhaba ya al akhyi.
Nakusoma huku kwa utuliiivu kabisa.
Nakuona unavyo mpaka majiti ya roho kijana huyu! Teh teh teh teh!
Wallah watu hawa ni shida kubwa kuwaelewesha!
Wape darsa kidogo maalim wangu!.
 
Yaani huyu ni kiumbe wa ajabu sana!

Nilidhani hii tabia yake ya kuruka huku na kule nimeiona peke yangu!

Tehe tehe tehe!

Teh teh teh teh!
Kama katawazia upu.pu! Au yale maji makali!
Anaruka kama kitenesi!
Teh teh teh teh
 
Teh teh teh teh!
Kama katawazia upu.pu! Au yale maji makali!
Anaruka kama kitenesi!
Teh teh teh teh
Majibu ya hoja ya Islam's role na watajwa wafanyiwe au waenziwe vipi yapo wapi?
Mbona hakuna mnachosema! au twende kwa familia ya Mshume Kiyate tukaulize! teh teh teh Daktari big gaffe! OMG

Pongezaneni kwa matusi in the end tunahitaji majibu kifanyike nini kuwaenzi. That's the bottomline
 
Naona fitina za yule mjivuni wa kimanyema bado zinaendelea.
Nanren wala si yeye ni wapiga zumari wasiojua nyimbo ina maana gani. Tumewapa nafasi waeleze hao wazee wafanyiwe nini, wote wamekimbia jamvini waliobaki wanapongezana kwa matusi! Wenye hoja wamechukua fimbo walioshika na sasa tunawatandika nazo.

Ukishakuwa well informed una power ! ukiwa half baked au unasubiri upuliziwe knowledge unatatizo kubwa sana.

Wafanyiwe nini hao wazee ili kuwaenzi? Jibu la mmoja wao tena msomi kweli kweli anasema twende tukaulize familia ya Mshume Kiyate! what! bila aibu hiyo ndio hoja mezani. Sina tatizo na msomi huyu ninawasi wasi wale wengine wanaomtegemea wapo kiwango gani! real worried kama msomi anaweza kuburuzwa hovyo ni tatizo,

Jamani mumekimbia jamvi? swali tuwafanyie nini hao wazee waliopigania uhuru!


 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Kama katawazia upu.pu! Au yale maji makali!
Anaruka kama kitenesi!
Teh teh teh teh

tehe tehe tehe!

Huyo mchungwaji ana mtihani mkubwa wallahi!

Nimemwambia atoe mwiba wa tak.o kwanza, halafu aje hapa ukumbini ndio tunaweza jadiliana nae, lakini amekua mgumu kufahamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…