Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
Kijana jifunze kuandika kiswahili vizuri siku ingine andika kujidhalilisha sawa siyo kujidharirisha.We muislamu ukisema hivo unazidi kujidharirisha. Hapo ni sawa na kusema mkristo mmoja ni sawa na waislamu 50.... kazi kulalamika kikekike tu
Acha kutaja majina kama uwakilishi wa hasira yako,au ni utindio wa ubongo unakusumbua ?
Mwenzio anaambiwa Ukweli wewe unashabikia tu au ndio wale wale Mashabiki Maandazi huo ujusi ulianzia kwenye ukoo wenu ukaishia kwako...
Imegundulika Allah Sio Mungu Tupishe sie Tumuabudie Mungu wa mbinguni aliye hai....
Chukuwa darsa kidogo kijana.
Julius Kambarage Nyerere, kwa mara ya kwanza anakanyanga ardhi ya Mzizima Dar es Salaam ilikuwa mwaka 1952 alikuja kwenye mkutano wa TAA na kupokelewa na Dossa akitokea Tabora kama mjumbe wa tawi alikaa Dar es Salaam siku tatu na kurudi Tabora.
Mwaka 1954 alikuja rasmi Dar es Salaam na kupokelewa na Abdulwahid Sykes na wakawa wanaishi wote Kariakoo kama ndugu.
Umeona sasa kijana aliwakuta Wazee wameishanza harakati za kudai uhuru.
We hujawahi kuona hasira zangu kijana!
Mi nikikasiri huwa nawabatiza wagalatia bila maji!
Teh teh teh teh!
See! I am very happy!
THE BIG SHOW, jibu la swali lako haliwezi kuwa lYes au No!Nguruvi3,
Swali langu ni moja kwanza kwako kisha tuendelee na mjadala,
Unakubali ama unakataa ya kwamba nyerere kwa kuanzisha kwake bakwata ili kiwe chombo rasmi cha kuwaratibu na kuwabana waislam ndan ya taifa hili yeye ndie chanzo cha mvurugano wote huu??
Naomba jibu kwanza kisha tusonge mbele inshallah
NGANOza vibarazani huku mnakula vitumbua. sasa ndio umeeeleza ni nini!? hakika ujinga ni mzigo
THE BIG SHOW, jibu la swali lako haliwezi kuwa lYes au No!
Jibu lake lipo katika rationale, kama utaridhia nitalieleza kwa muktadha huo halafu tutaendelea inshallah.
Toka lini Nguchiro akaelewa kitu kazi ya Nguchiro kutoa kichwa kwenye shimo na kurudisha ndani, teh teh teh.
Cc: Dr. kahtaan.
Muslim always feel inferior, they will even track minor things to get recognized. How does it help us by knowing the faith of people who liberated Africa?
Uislam nao ni Siasa kama ndio hivyo.... Muingereza hakuweza Kuiacha nchi kwa Muslim ingekuwa ni kosa kubwa Shukrani kwa Nyerere Christian Bila yeye usingejidai dai humu na ushungu wako Joto maker ukiutoa kichwani umejaa vipele vya joto tupu kichwani
[h=3]1 Wakorintho 11:6[/h]Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
[SUP]6 [/SUP]Kama mwanamke hataki kufunika kichwa chake, nywele zake zinyolewe; na kama ni aibu kwa mwanamke kunyoa kichwa chake, au kukata nywele zake, basi afunike kichwa chake.
Kakennde,
It is through this scrutiny that we get to know about those who sat on the fence.
Masikini Maulana Dr. kahtaan, naomba nikukumbushe tu kidogo.Teh teh teh teh! Wale wagalatia waliojaa kwenye historia feki mbona hamkusema tuwaache makanisani!? Balaa nyie!!
Masikini Maulana Dr. kahtaan, naomba nikukumbushe tu kidogo.
Maulana Dr. kahtaan, historia yoyote itakayopingana na ukweli kama nilivyouorodhesha hapo juu ndiyo FEKI kwa sababu kwa uelewa wangu hakuna kiongozi yeyote alikataliwa asigombee nafasi hizo sita nilizozitaja kwa sababu yoyote ile...wote walichaguliwa kwa kupigiwa kura kulingana na uwezo na sifa zao, period.
- Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na Kiongozi Mkuu wa AA mwaka 1929 aliitwa Cecil Matola.
- Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na kiongozi Mkuu wa TAA mwaka 1950 aliitwa Dr. Vedasto Kyaruzi.
- Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na Kiongozi Mkuu wa TANU mwaka 1954 aliitwa Julius Nyerere.
- Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika baada ya kupata uhuru aliitwa Julius Nyerere.
- Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika aliitwa Julius Nyerere.
- Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanzania, aliitwa Julius Nyerere.
Tahadhari;
Abiding in the midst of ignorance,
thinking themselves wise and learned,
fools go aimlessly hither and thither,
like blind led by the blind.
Let they go, they are ye blynde leaders of ye blynde.
Wha one blinde leadeth another, they fall both i ye diche.
Dakatari kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' . Ni neno kama neno lingine katika lugha yoyote wala halina uhusiano na imani ingawa linaweza kutumiwa katika imani.
Yasemwa ulimi ni kiungo kidogo lakini thamani na gharama zake ni kubwa kutegemea matumizi yake. Imesemwa katika maandiko ya vitabu vyote vitakatifu kwa imani mbali mbali. Ni vema kuungalia ulimi kwasababu matumizi mabaya yana madhara kwa mtumiaji na jamii kwa ujumla.
Wewe ni Mtanzania na unatajwa kama Daktari. Maandishi yako yanaonyesha upo katika kiwango tofauti na Watanzania wengi wa kawaida. Jamii ya Watanzania inakuangalia kama Mtanzania pengine mwenye weledi. Jamii ya Watanzania imegawanyika katika makabila, koo na imani tofauti. Lugha yako na wenzako hazimgusi Nguruvi kwasababu yeye anaamini kuwa katika miongoni mwetu hakuna mtimilifu.
Kuna makundi matatu nitakayoyabainisha.
1. Kundi la wasiaoamini kile kinachozungumzwa iwe katika habari au propaganda
2. Kundi linaloamini kile wanachosikia katika habari na propaganda
3. Kundi lenye mashaka lisilojua ukweli au uongo upo wapi.
Makundi mawili ya mwanzo yanashachukua nafasi zao na hayawezi kubadilishwa kwa namna yoyote. Kundi la tatu linataka kuthibitisha hofu yao(doubt) kwa kuangalia makundi mawili yaliyo tangulia. Hili ndilo kundi muhimu sana kwenu ninyi mnaotumia ndimi zenu tofauti.
Nina wanasihi nyote mnaotumia lugha za karaha mkae na kujiuliza, matumizi ya lugha zenu yanakubalika katika imani na jamii. Je ndio mafunzo yanayokusudiwa ili kuwavuta wasioamini na wenye mashaka katika njia mliopo ninyi?Je, mnaitendea jamii ya Watanzania haki? Je mnazitendea jamii zinazowahusu haki?
Inshallah Dakatari kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' .kahtaan;7598778]Unafahamu maana ya INSHA ALLAH WEWE!
Mkumbatia wagalatia. Sura mbili! Nguru.. wahed!We umgejua maana yake ungebishana na waungwana hapa!?
Mnfnsssssssss!
Inshallah Dakatari [/FONT]kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' .
Ni neno kama neno lingine katika lugha yoyote wala halina uhusiano na imani ingawa linaweza kutumiwa katika imani.
Nitakusalimia kwa kauli ya amani iwe nawe. Tadhali usichuki au kukirihika kwa matumizi ya lugha ya 'kigalatia' kwasababu kwa lugha uipendayo maneno hayo ni asalam alaykum.
Ukinizuia nisitumie neno inshallah unanionea kwasababu sitatumia neno kitabu au marehemu kwavile maneno hayo kama ilivyo inshallah nayo ni kitabi na marhumu.
Lau kana lugha ingekuwa inamiliki imani basi ningekukaribisha kanisani. Huko ndiko wanatumia kiingereza ambacho unakitumia na hakuna aliyekuuliza kama unajua maana ya maneno ya kiingereza kwasababu wewe si 'mgalatia'
Dakatari hamaki ikizidi basi huondoa hekma na busara, tafadhali muungwana huko usifike! si kwema
Yasemwa ulimi ni kiungo kidogo lakini thamani na gharama zake ni kubwa kutegemea matumizi yake.
Ipo Katika maandiko ya vitabu vyote vitakatifu vya imani mbali mbali.
Ni vema kuungalia ulimi kwasababu matumizi mabaya yana madhara kwa mtumiaji na jamii kwa ujumla.
Wewe ni Mtanzania na unatajwa kama Daktari. Maandishi yako yanaonyesha upo katika kiwango tofauti na Watanzania wengi wa kawaida. Jamii ya Watanzania inakuangalia kama Mtanzania pengine mwenye weledi.
Jamii ya Watanzania imegawanyika katika makabila, koo na imani tofauti.
Lugha yako na wenzako hazimgusi Nguruvi kwasababu yeye anaamini kuwa katika miongoni mwetu hakuna mtimilifu, lakini je jamii yote itaelewa kwa mantiki hiyo hiyo!
Kuna makundi matatu nitakayoyabainisha.
1. Kundi la wasiaoamini kile kinachozungumzwa iwe katika habari au propaganda
2. Kundi linaloamini kile wanachosikia katika habari na propaganda
3. Kundi lenye mashaka lisilojua ukweli au uongo upo wapi.
Makundi mawili ya mwanzo yameshachukua nafasi zao na hayawezi kubadilishwa.
Kundi la tatu linataka kuthibitisha hofu yao(doubt) kwa kuangalia makundi 1,2.
Hili ndilo kundi muhimu sana kwenu ninyi mnaotumia ndimi zenu tofauti.
Nina wanasihi nyote mnaotumia lugha za karaha mkae na kujiuliza, matumizi ya lugha zenu yanakubalika katika imani mnayosimamia na kuitetea au na jamii?
Je ndio mafunzo yanayokusudiwa ili kuwavuta wasioamini na wenye mashaka katika njia mliopo ninyi?
Je, mnaitendea jamii ya Watanzania haki? Je mnazitendea jamii zinazowahusu haki?
Nguruvi3.Dakatari kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' . Ni neno kama neno lingine katika lugha yoyote wala halina uhusiano na imani ingawa linaweza kutumiwa katika imani.
Yasemwa ulimi ni kiungo kidogo lakini thamani na gharama zake ni kubwa kutegemea matumizi yake. Imesemwa katika maandiko ya vitabu vyote vitakatifu kwa imani mbali mbali. Ni vema kuungalia ulimi kwasababu matumizi mabaya yana madhara kwa mtumiaji na jamii kwa ujumla.
Wewe ni Mtanzania na unatajwa kama Daktari. Maandishi yako yanaonyesha upo katika kiwango tofauti na Watanzania wengi wa kawaida. Jamii ya Watanzania inakuangalia kama Mtanzania pengine mwenye weledi. Jamii ya Watanzania imegawanyika katika makabila, koo na imani tofauti. Lugha yako na wenzako hazimgusi Nguruvi kwasababu yeye anaamini kuwa katika miongoni mwetu hakuna mtimilifu.
Kuna makundi matatu nitakayoyabainisha.
1. Kundi la wasiaoamini kile kinachozungumzwa iwe katika habari au propaganda
2. Kundi linaloamini kile wanachosikia katika habari na propaganda
3. Kundi lenye mashaka lisilojua ukweli au uongo upo wapi.
Makundi mawili ya mwanzo yanashachukua nafasi zao na hayawezi kubadilishwa kwa namna yoyote. Kundi la tatu linataka kuthibitisha hofu yao(doubt) kwa kuangalia makundi mawili yaliyo tangulia. Hili ndilo kundi muhimu sana kwenu ninyi mnaotumia ndimi zenu tofauti.
Nina wanasihi nyote mnaotumia lugha za karaha mkae na kujiuliza, matumizi ya lugha zenu yanakubalika katika imani na jamii. Je ndio mafunzo yanayokusudiwa ili kuwavuta wasioamini na wenye mashaka katika njia mliopo ninyi?Je, mnaitendea jamii ya Watanzania haki? Je mnazitendea jamii zinazowahusu haki?
Hii ndiyo post yangu ya kwanza kama sijakoseaNguruvi3.
Napenda kukumbusha tu na wewe jaribu kujiangalia upo kwenye kundi gani katika hayo makundi ulioyaweka.
Pamoja kutusihi sisi na wewe pia uhisi nafsi yako.
Ukichunguza kabisa matumizi ya lugha huwa yanabadilika kutokana na mnavyoanza mnakasha.
Nguruvi3 post yako ya kwanza umekuja na lugha za kejeli ingawa wewe unaziita ukweli. Umesema watu hawana akili wanashinda kwenye internet kulalamika. Umeongea mengi sana mpaka watu wameamua kukujibu.
Bukyanagandi, nikushukuru kwa kujenga hoja bila matusi.A)Mkuu binafsi huwa nashindwa kuelewa kwa nini maelezo ya ndugu Moh huwa mara nyingi yanakuwa grossly misinterpreted whether by accident au deliberately.
B)Sioni kama Moh anataka watu wa madhebu yake walio pigania uhuru wa nchi hii walipwe ujira au pension - Moh anacho taka ni wananchi waelezwe ukweli i.e
Anataka wasipindishe historia ya kweli ya TAIFA letu kwa kuwasahau mashujaa ambao wengi wao waikuwa ni wa madhebu ya Kislaam - hilo alina ubishi, kwani tatizo liko wapi - Uislaam au upiganiaji uhuru - tusicho kipenda hapa ni nini hasa?
C)Tunashindwa nini kukubaliana na ukweli!! Ni kweli si Waislaam peke yao walio husika na harakati hizi, lakini ukifanya utafiti bila yakuwa biased, ukuzungumza na wakoloni wa Kingereza ambao wangali ahi wanakiri kwamba Waislaam walikuwa highly organised katika harakati zao na ndio walikuwa wanawapa wakati mgumu wakoloni - mimi niliwahi kupata bahati ya kuzungumza na mmoja wao ndio maana huwa namtetea ndugu Moh.
D)Tusiwe blinded na a few statements kwenye maandiko yake ambazo wakati mwingine zina onekana zina hisia kali, that is understandable kutokana na familia/Baba yake kuwa victim wa saula hili, mambo mengine ndugu Moh yuko sahihi by 98.9%.
E)Kwa nini historia ya Taifa letu baada ya uhuru baadhi ya Raia/watu majasiri walio jitolea kwa hali na mali katika kupingana na wakoloni wanafutwa kwenye historia - kuhanzia majina yao na picha zao! Na ukiangalia kwa umakini unakuta idadi ya victims wa Scheme hii ovu hiko highly Disproportionate kwa upande wa ndugu zetu Waislaam, WHY?
F)Mimi nafikiri zoezi hili la kuandika katiba upya lingekwenda sambamba na kuandika historia ya kweli kuhusu Taifa letu, wale wote walio changia katika ukombozi wa Taifa hili wajina yao yawekwe wazi na ijulikane walihusika vipi na ni kitu gani kilijiri mpaka wakasahulika, si hilo tu hata mtu aliye Engineer saula hili ajulikane - Victims wote waombwe msamaha kama wangali hai au warithi wao wapewe medali, bahati nzuri JK anaonekana kulitambua sana hili na kusema kweli anakwenda vizuri na zoezi zima ndio maana mwaka jana/juzi aliwakumbuka baadhi ya mashujaa hawa waliosahulika;
G)Taifa hili lisijiletee mikosi ya bure kwa kuwasahau watu muhimu, tusianze kusingizia/ kuendekeza mambo ya kidini kwenye vitu ambavyo ni OBVIOUS.