Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

We muislamu ukisema hivo unazidi kujidharirisha. Hapo ni sawa na kusema mkristo mmoja ni sawa na waislamu 50.... kazi kulalamika kikekike tu
Kijana jifunze kuandika kiswahili vizuri siku ingine andika kujidhalilisha sawa siyo kujidharirisha.
 
Acha kutaja majina kama uwakilishi wa hasira yako,au ni utindio wa ubongo unakusumbua ?

We hujawahi kuona hasira zangu kijana!
Mi nikikasiri huwa nawabatiza wagalatia bila maji!
Teh teh teh teh!

See! I am very happy!
 
Mwenzio anaambiwa Ukweli wewe unashabikia tu au ndio wale wale Mashabiki Maandazi huo ujusi ulianzia kwenye ukoo wenu ukaishia kwako...

Imegundulika Allah Sio Mungu Tupishe sie Tumuabudie Mungu wa mbinguni aliye hai....

kama viongozi wako wanaokuongoza wanasifa hizi si ajabu kwako kupost pumba


Isaiah 56:10-12

His watchmen are blind, 10
They are all ignorant;
They are all dumb dogs,
They cannot bark;
Sleeping, lying down, loving to slumber.
Yes, they are greedy dogs 11
Which never have enough.
And they are shepherds
Who cannot understand;
They all look to their own way,
Every one for his own gain,
From his own territory.
“Come,” one says, “I will bring wine, 12
And we will fill ourselves with intoxicating
drink;
Tomorrow will be as today,
And much more abundant.”.
 
Chukuwa darsa kidogo kijana.

Julius Kambarage Nyerere, kwa mara ya kwanza anakanyanga ardhi ya Mzizima Dar es Salaam ilikuwa mwaka 1952 alikuja kwenye mkutano wa TAA na kupokelewa na Dossa akitokea Tabora kama mjumbe wa tawi alikaa Dar es Salaam siku tatu na kurudi Tabora.

Mwaka 1954 alikuja rasmi Dar es Salaam na kupokelewa na Abdulwahid Sykes na wakawa wanaishi wote Kariakoo kama ndugu.

Umeona sasa kijana aliwakuta Wazee wameishanza harakati za kudai uhuru.

NGANOza vibarazani huku mnakula vitumbua. sasa ndio umeeeleza ni nini!? hakika ujinga ni mzigo
 
NGANOza vibarazani huku mnakula vitumbua. sasa ndio umeeeleza ni nini!? hakika ujinga ni mzigo
Toka lini Nguchiro akaelewa kitu kazi ya Nguchiro kutoa kichwa kwenye shimo na kurudisha ndani, teh teh teh.

Cc: Dr. kahtaan.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,
Swali langu ni moja kwanza kwako kisha tuendelee na mjadala,

Unakubali ama unakataa ya kwamba nyerere kwa kuanzisha kwake bakwata ili kiwe chombo rasmi cha kuwaratibu na kuwabana waislam ndan ya taifa hili yeye ndie chanzo cha mvurugano wote huu??
Naomba jibu kwanza kisha tusonge mbele inshallah
THE BIG SHOW, jibu la swali lako haliwezi kuwa lYes au No!
Jibu lake lipo katika rationale, kama utaridhia nitalieleza kwa muktadha huo halafu tutaendelea inshallah.
 
Last edited by a moderator:
NGANOza vibarazani huku mnakula vitumbua. sasa ndio umeeeleza ni nini!? hakika ujinga ni mzigo

Mjusi kafiri katoa kichwa! Lkn hakuna alilofanya ispokuwa vigeregere tu!

Anauliza eti al habib Ritz ameeleza nini!
Halafu ati yeye anahisi kasema cha maaana!

Teh teh teh teh!

Shariff Ritz mi rungu langu nalihifadhi! nasubiri mwenye mbwa!
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW, jibu la swali lako haliwezi kuwa lYes au No!
Jibu lake lipo katika rationale, kama utaridhia nitalieleza kwa muktadha huo halafu tutaendelea inshallah.

Unafahamu maana ya INSHA ALLAH WEWE!
Mkumbatia wagalatia. Sura mbili!
Nguru.. wahed!

We umgejua maana yake ungebishana na waungwana hapa!?
Mnfnsssssssss!
 
Last edited by a moderator:
Toka lini Nguchiro akaelewa kitu kazi ya Nguchiro kutoa kichwa kwenye shimo na kurudisha ndani, teh teh teh.

Cc: Dr. kahtaan.

Teh teh teh teh teh! Shariff umenivunja mbavu hapa!

Kazi ingine ya nguchiro ni kunusa uharo halafu kuusifia!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Muslim always feel inferior, they will even track minor things to get recognized. How does it help us by knowing the faith of people who liberated Africa?

Kakennde,
It is through this scrutiny that we get to know about those who sat on the fence.
 
Uislam nao ni Siasa kama ndio hivyo.... Muingereza hakuweza Kuiacha nchi kwa Muslim ingekuwa ni kosa kubwa Shukrani kwa Nyerere Christian Bila yeye usingejidai dai humu na ushungu wako Joto maker ukiutoa kichwani umejaa vipele vya joto tupu kichwani

Sasa hapo unamtukana mama'ke Yesu bi Mariam, maana sijamuona bila ushungi katika masanamu na mapicha mnayojidai ni yake. Pata darsa kidogo hapa:

[h=3]1 Wakorintho 11:6[/h]Neno: Bibilia Takatifu (SNT)

[SUP]6 [/SUP]Kama mwanamke hataki kufunika kichwa chake, nywele zake zinyolewe; na kama ni aibu kwa mwanamke kunyoa kichwa chake, au kukata nywele zake, basi afunike kichwa chake.
 
Kakennde,
It is through this scrutiny that we get to know about those who sat on the fence.

Teh teh teh teh!

Sheikh Mohamed Said haya majina mengine kuyatamka tu unaweza kuharibu udhu!

Niachie mimi sina twahara kwa sasa!
Udhu ntachukua baadae!

Kakende! teh teh teh! Kwi kwi kwi!

Lahaula walaquwata!

Utaniwia radhi hapa sheikh mohamed nimeshindwa kulivumilia hilo jina!!

Cc shariff Ritz al habiib gombesugu na maalim wangu Tayeb.
Kakende is still alive! !

Amma kweli mzazi wake hampendi huyu.
Ktk majina yoote mazuri kachagua Kakende ??
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh! Wale wagalatia waliojaa kwenye historia feki mbona hamkusema tuwaache makanisani!? Balaa nyie!!
Masikini Maulana Dr. kahtaan, naomba nikukumbushe tu kidogo.

  1. Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na Kiongozi Mkuu wa AA mwaka 1929 aliitwa Cecil Matola.
  2. Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na kiongozi Mkuu wa TAA mwaka 1950 aliitwa Dr. Vedasto Kyaruzi.
  3. Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na Kiongozi Mkuu wa TANU mwaka 1954 aliitwa Julius Nyerere.
  4. Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika baada ya kupata uhuru aliitwa Julius Nyerere.
  5. Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika aliitwa Julius Nyerere.
  6. Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanzania, aliitwa Julius Nyerere.
Maulana Dr. kahtaan, historia yoyote itakayopingana na ukweli kama nilivyouorodhesha hapo juu ndiyo FEKI kwa sababu kwa uelewa wangu hakuna kiongozi yeyote alikataliwa asigombee nafasi hizo sita nilizozitaja kwa sababu yoyote ile...wote walichaguliwa kwa kupigiwa kura kulingana na uwezo na sifa zao, period.

Tahadhari;

Abiding in the midst of ignorance,
thinking themselves wise and learned,
fools go aimlessly hither and thither,
like blind led by the blind.

Blind-leading-the-blind.jpg


Let they go, they are ye blynde leaders of ye blynde.
Wha one blinde leadeth another, they fall both i ye diche.

 
Masikini Maulana Dr. kahtaan, naomba nikukumbushe tu kidogo.

  1. Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na Kiongozi Mkuu wa AA mwaka 1929 aliitwa Cecil Matola.
  2. Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na kiongozi Mkuu wa TAA mwaka 1950 aliitwa Dr. Vedasto Kyaruzi.
  3. Raisi Mwanzilishi wa kuchaguliwa na Kiongozi Mkuu wa TANU mwaka 1954 aliitwa Julius Nyerere.
  4. Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika baada ya kupata uhuru aliitwa Julius Nyerere.
  5. Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika aliitwa Julius Nyerere.
  6. Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanzania, aliitwa Julius Nyerere.
Maulana Dr. kahtaan, historia yoyote itakayopingana na ukweli kama nilivyouorodhesha hapo juu ndiyo FEKI kwa sababu kwa uelewa wangu hakuna kiongozi yeyote alikataliwa asigombee nafasi hizo sita nilizozitaja kwa sababu yoyote ile...wote walichaguliwa kwa kupigiwa kura kulingana na uwezo na sifa zao, period.

Tahadhari;

Abiding in the midst of ignorance,
thinking themselves wise and learned,
fools go aimlessly hither and thither,
like blind led by the blind.

Blind-leading-the-blind.jpg


Let they go, they are ye blynde leaders of ye blynde.
Wha one blinde leadeth another, they fall both i ye diche.


Haya ndio matatizo ya kupenda kula viporo! Na kuandika bila kufikiri!

Sasa haitoshi wewe kula hicho kiporo cha makopa! Unatuletea viporo vya historia!

Narudia kukukumbusha kama kuku kipofu!

This thread is all about " ISLAM'S ROLE IN TANZANIA FREEDOM STRUGGLE!

Sasa ustuanzishie mnakasha mwingine juu ya huu!

Bila kuingia ndani sana!

kauli zako hapo juu! If you use you logic!( if you have one! !)
Just the names of those individuals you have quoted tells the whole story!!

Wewe na hao majaaluta walio nyuma yako wanatakiwa wapitie haya aliyo tuletea al muallim Mohamed Said halafu leteni hoja makini! Sio kubwabwaja tu km vitimoto vimetiwa bakora!

Haya mi naorodhesha tena hapa
Ushindwe mwenyewe sasa;-

1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

2. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).


3. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

4. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

5. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

6. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

7. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

8. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003).

9. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004).

10. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004).

11. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006).

12. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi (Children’s book).

13. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007 Nairobi.

14. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

15. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21[SUP]st[/SUP] Century (1[SUP]st[/SUP] - 3[SUP]rd[/SUP] August 2006), Kenyatta University Nairobi.

16. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006) University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International Durban.

17. Visiting Scholar University of Iowa, Iowa City and Northwestern University, Chicago USA and Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin 2011.

18. ''Tanzania: A Nation without Heroes'' paper presented at a seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September, 2013 Nairobi.[/QUOTE]

Na we MGALATIA Mag3 !

ANDIKO LINAKUONYA KUWA:-

Proverbs 29:20

Do you see a man who speaks in haste? There is more hope for a fool than for him.!

And this is for your mate! Just share with him, will ya!?

Proverbs 29:20-27

There is more hope for a fool than for someone who speaks without thinking.


And I say amen to both of that!!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Dakatari kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' . Ni neno kama neno lingine katika lugha yoyote wala halina uhusiano na imani ingawa linaweza kutumiwa katika imani.

Yasemwa ulimi ni kiungo kidogo lakini thamani na gharama zake ni kubwa kutegemea matumizi yake. Imesemwa katika maandiko ya vitabu vyote vitakatifu kwa imani mbali mbali. Ni vema kuungalia ulimi kwasababu matumizi mabaya yana madhara kwa mtumiaji na jamii kwa ujumla.

Wewe ni Mtanzania na unatajwa kama Daktari. Maandishi yako yanaonyesha upo katika kiwango tofauti na Watanzania wengi wa kawaida. Jamii ya Watanzania inakuangalia kama Mtanzania pengine mwenye weledi. Jamii ya Watanzania imegawanyika katika makabila, koo na imani tofauti. Lugha yako na wenzako hazimgusi Nguruvi kwasababu yeye anaamini kuwa katika miongoni mwetu hakuna mtimilifu.

Kuna makundi matatu nitakayoyabainisha.
1. Kundi la wasiaoamini kile kinachozungumzwa iwe katika habari au propaganda
2. Kundi linaloamini kile wanachosikia katika habari na propaganda
3. Kundi lenye mashaka lisilojua ukweli au uongo upo wapi.

Makundi mawili ya mwanzo yanashachukua nafasi zao na hayawezi kubadilishwa kwa namna yoyote. Kundi la tatu linataka kuthibitisha hofu yao(doubt) kwa kuangalia makundi mawili yaliyo tangulia. Hili ndilo kundi muhimu sana kwenu ninyi mnaotumia ndimi zenu tofauti.

Nina wanasihi nyote mnaotumia lugha za karaha mkae na kujiuliza, matumizi ya lugha zenu yanakubalika katika imani na jamii. Je ndio mafunzo yanayokusudiwa ili kuwavuta wasioamini na wenye mashaka katika njia mliopo ninyi?Je, mnaitendea jamii ya Watanzania haki? Je mnazitendea jamii zinazowahusu haki?

Kinacho endelea kunishangaza juu yako wewe Nguruvi3 ni kuwa! Unapeenda kutoa maneno ambayo wewe mwenyewe unayakalia!
Halafu unapenda saana kuniwekea maneno yako mdomoni kwangu!!
Ajeeb!

Mimi siko hapa kumshawishi yyt yule kuamini au kufuata ninayo amini mimi!!

Wala mimi sihubiri dini hapa!
Uzi huu sio wa mahubiri rather ni fact finding thread! Thats all.!!

Na kama hilo ni lengo lako kubatiza watu, wee endelea, hili jukwaa huru!

Labda kwa sababu we ni mpenda kutoa uchambuzi wa maneno,

Hebu tusaidie maana ya "HYPOCRITE"!

Ukiitoa maana ya haki ya neno hilo! Basi jaribu kusoma nyuzi zako huko nyuma, ulinganishe na haya uyasemayo hapo juu!!
uone je! Neno hilo haliendi sambamba na jina lako!??

Ahsanta.

And one more thing!
Did you say!

INSHA ALLAH means GOD WILLING!?

If so! Is ALLAH GOD TO YOU??

I am not preaching you! please feel free to talk!
 
Last edited by a moderator:
kahtaan;7598778]Unafahamu maana ya INSHA ALLAH WEWE!
Mkumbatia wagalatia. Sura mbili! Nguru.. wahed!We umgejua maana yake ungebishana na waungwana hapa!?
Mnfnsssssssss!
Inshallah Dakatari kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' .
Ni neno kama neno lingine katika lugha yoyote wala halina uhusiano na imani ingawa linaweza kutumiwa katika imani.

Nitakusalimia kwa kauli ya amani iwe nawe. Tadhali usichuki au kukirihika kwa matumizi ya lugha ya 'kigalatia' kwasababu kwa lugha uipendayo maneno hayo ni asalam alaykum.
Ukinizuia nisitumie neno inshallah unanionea kwasababu sitatumia neno kitabu au marehemu kwavile maneno hayo kama ilivyo inshallah nayo ni kitabi na marhumu.

Lau kana lugha ingekuwa inamiliki imani basi ningekukaribisha kanisani. Huko ndiko wanatumia kiingereza ambacho unakitumia na hakuna aliyekuuliza kama unajua maana ya maneno ya kiingereza kwasababu wewe si 'mgalatia'
Dakatari hamaki ikizidi basi huondoa hekma na busara, tafadhali muungwana huko usifike! si kwema

Yasemwa ulimi ni kiungo kidogo lakini thamani na gharama zake ni kubwa kutegemea matumizi yake.
Ipo Katika maandiko ya vitabu vyote vitakatifu vya imani mbali mbali.
Ni vema kuungalia ulimi kwasababu matumizi mabaya yana madhara kwa mtumiaji na jamii kwa ujumla.

Wewe ni Mtanzania na unatajwa kama Daktari. Maandishi yako yanaonyesha upo katika kiwango tofauti na Watanzania wengi wa kawaida. Jamii ya Watanzania inakuangalia kama Mtanzania pengine mwenye weledi.

Jamii ya Watanzania imegawanyika katika makabila, koo na imani tofauti.
Lugha yako na wenzako hazimgusi Nguruvi kwasababu yeye anaamini kuwa katika miongoni mwetu hakuna mtimilifu, lakini je jamii yote itaelewa kwa mantiki hiyo hiyo!

Kuna makundi matatu nitakayoyabainisha.
1. Kundi la wasiaoamini kile kinachozungumzwa iwe katika habari au propaganda
2. Kundi linaloamini kile wanachosikia katika habari na propaganda
3. Kundi lenye mashaka lisilojua ukweli au uongo upo wapi.

Makundi mawili ya mwanzo yameshachukua nafasi zao na hayawezi kubadilishwa.
Kundi la tatu linataka kuthibitisha hofu yao(doubt) kwa kuangalia makundi 1,2.
Hili ndilo kundi muhimu sana kwenu ninyi mnaotumia ndimi zenu tofauti.

Nina wanasihi nyote mnaotumia lugha za karaha mkae na kujiuliza, matumizi ya lugha zenu yanakubalika katika imani mnayosimamia na kuitetea au na jamii?

Je ndio mafunzo yanayokusudiwa ili kuwavuta wasioamini na wenye mashaka katika njia mliopo ninyi?
Je, mnaitendea jamii ya Watanzania haki? Je mnazitendea jamii zinazowahusu haki?
 
Inshallah Dakatari [/FONT]kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' .
Ni neno kama neno lingine katika lugha yoyote wala halina uhusiano na imani ingawa linaweza kutumiwa katika imani.

Nitakusalimia kwa kauli ya amani iwe nawe. Tadhali usichuki au kukirihika kwa matumizi ya lugha ya 'kigalatia' kwasababu kwa lugha uipendayo maneno hayo ni asalam alaykum.
Ukinizuia nisitumie neno inshallah unanionea kwasababu sitatumia neno kitabu au marehemu kwavile maneno hayo kama ilivyo inshallah nayo ni kitabi na marhumu.

Lau kana lugha ingekuwa inamiliki imani basi ningekukaribisha kanisani. Huko ndiko wanatumia kiingereza ambacho unakitumia na hakuna aliyekuuliza kama unajua maana ya maneno ya kiingereza kwasababu wewe si 'mgalatia'
Dakatari hamaki ikizidi basi huondoa hekma na busara, tafadhali muungwana huko usifike! si kwema

Yasemwa ulimi ni kiungo kidogo lakini thamani na gharama zake ni kubwa kutegemea matumizi yake.
Ipo Katika maandiko ya vitabu vyote vitakatifu vya imani mbali mbali.
Ni vema kuungalia ulimi kwasababu matumizi mabaya yana madhara kwa mtumiaji na jamii kwa ujumla.

Wewe ni Mtanzania na unatajwa kama Daktari. Maandishi yako yanaonyesha upo katika kiwango tofauti na Watanzania wengi wa kawaida. Jamii ya Watanzania inakuangalia kama Mtanzania pengine mwenye weledi.

Jamii ya Watanzania imegawanyika katika makabila, koo na imani tofauti.
Lugha yako na wenzako hazimgusi Nguruvi kwasababu yeye anaamini kuwa katika miongoni mwetu hakuna mtimilifu, lakini je jamii yote itaelewa kwa mantiki hiyo hiyo!

Kuna makundi matatu nitakayoyabainisha.
1. Kundi la wasiaoamini kile kinachozungumzwa iwe katika habari au propaganda
2. Kundi linaloamini kile wanachosikia katika habari na propaganda
3. Kundi lenye mashaka lisilojua ukweli au uongo upo wapi.

Makundi mawili ya mwanzo yameshachukua nafasi zao na hayawezi kubadilishwa.
Kundi la tatu linataka kuthibitisha hofu yao(doubt) kwa kuangalia makundi 1,2.
Hili ndilo kundi muhimu sana kwenu ninyi mnaotumia ndimi zenu tofauti.

Nina wanasihi nyote mnaotumia lugha za karaha mkae na kujiuliza, matumizi ya lugha zenu yanakubalika katika imani mnayosimamia na kuitetea au na jamii?

Je ndio mafunzo yanayokusudiwa ili kuwavuta wasioamini na wenye mashaka katika njia mliopo ninyi?
Je, mnaitendea jamii ya Watanzania haki? Je mnazitendea jamii zinazowahusu haki?

Naona unarudia maneno km sindano imenasa kwenye santuri!

Je salama?
 
Dakatari kahtaan , inshallah ni neno kwa lugha ya kiarabu likimaanisha 'na iwe hivyo kwa idhini ya mwenyezi mungu' au kwa lugha ya kiingereza 'God willing' . Ni neno kama neno lingine katika lugha yoyote wala halina uhusiano na imani ingawa linaweza kutumiwa katika imani.

Yasemwa ulimi ni kiungo kidogo lakini thamani na gharama zake ni kubwa kutegemea matumizi yake. Imesemwa katika maandiko ya vitabu vyote vitakatifu kwa imani mbali mbali. Ni vema kuungalia ulimi kwasababu matumizi mabaya yana madhara kwa mtumiaji na jamii kwa ujumla.

Wewe ni Mtanzania na unatajwa kama Daktari. Maandishi yako yanaonyesha upo katika kiwango tofauti na Watanzania wengi wa kawaida. Jamii ya Watanzania inakuangalia kama Mtanzania pengine mwenye weledi. Jamii ya Watanzania imegawanyika katika makabila, koo na imani tofauti. Lugha yako na wenzako hazimgusi Nguruvi kwasababu yeye anaamini kuwa katika miongoni mwetu hakuna mtimilifu.

Kuna makundi matatu nitakayoyabainisha.
1. Kundi la wasiaoamini kile kinachozungumzwa iwe katika habari au propaganda
2. Kundi linaloamini kile wanachosikia katika habari na propaganda
3. Kundi lenye mashaka lisilojua ukweli au uongo upo wapi.

Makundi mawili ya mwanzo yanashachukua nafasi zao na hayawezi kubadilishwa kwa namna yoyote. Kundi la tatu linataka kuthibitisha hofu yao(doubt) kwa kuangalia makundi mawili yaliyo tangulia. Hili ndilo kundi muhimu sana kwenu ninyi mnaotumia ndimi zenu tofauti.

Nina wanasihi nyote mnaotumia lugha za karaha mkae na kujiuliza, matumizi ya lugha zenu yanakubalika katika imani na jamii. Je ndio mafunzo yanayokusudiwa ili kuwavuta wasioamini na wenye mashaka katika njia mliopo ninyi?Je, mnaitendea jamii ya Watanzania haki? Je mnazitendea jamii zinazowahusu haki?
Nguruvi3.

Napenda kukumbusha tu na wewe jaribu kujiangalia upo kwenye kundi gani katika hayo makundi ulioyaweka.

Pamoja kutusihi sisi na wewe pia uhisi nafsi yako.

Ukichunguza kabisa matumizi ya lugha huwa yanabadilika kutokana na mnavyoanza mnakasha.

Nguruvi3 post yako ya kwanza umekuja na lugha za kejeli ingawa wewe unaziita ukweli. Umesema watu hawana akili wanashinda kwenye internet kulalamika.

Umeongea mengi sana mpaka watu wameamua kukujibu humu JF wote ni watu wazima hakuna mtoto wala mtu yeyote anayemshikia mwenzake akili wewe unatuambia sisi tupo hapa kumtetea Mohamed Said. ambaye kachanganyikiwa baada ya kukosa umeneja wa bandari, unadhani watu watakujibu vipi.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3.

Napenda kukumbusha tu na wewe jaribu kujiangalia upo kwenye kundi gani katika hayo makundi ulioyaweka.

Pamoja kutusihi sisi na wewe pia uhisi nafsi yako.

Ukichunguza kabisa matumizi ya lugha huwa yanabadilika kutokana na mnavyoanza mnakasha.

Nguruvi3 post yako ya kwanza umekuja na lugha za kejeli ingawa wewe unaziita ukweli. Umesema watu hawana akili wanashinda kwenye internet kulalamika. Umeongea mengi sana mpaka watu wameamua kukujibu.
Hii ndiyo post yangu ya kwanza kama sijakosea
A)Mkuu binafsi huwa nashindwa kuelewa kwa nini maelezo ya ndugu Moh huwa mara nyingi yanakuwa grossly misinterpreted whether by accident au deliberately.

B)Sioni kama Moh anataka watu wa madhebu yake walio pigania uhuru wa nchi hii walipwe ujira au pension - Moh anacho taka ni wananchi waelezwe ukweli i.e
Anataka wasipindishe historia ya kweli ya TAIFA letu kwa kuwasahau mashujaa ambao wengi wao waikuwa ni wa madhebu ya Kislaam - hilo alina ubishi, kwani tatizo liko wapi - Uislaam au upiganiaji uhuru - tusicho kipenda hapa ni nini hasa?

C)Tunashindwa nini kukubaliana na ukweli!! Ni kweli si Waislaam peke yao walio husika na harakati hizi, lakini ukifanya utafiti bila yakuwa biased, ukuzungumza na wakoloni wa Kingereza ambao wangali ahi wanakiri kwamba Waislaam walikuwa highly organised katika harakati zao na ndio walikuwa wanawapa wakati mgumu wakoloni - mimi niliwahi kupata bahati ya kuzungumza na mmoja wao ndio maana huwa namtetea ndugu Moh.

D)Tusiwe blinded na a few statements kwenye maandiko yake ambazo wakati mwingine zina onekana zina hisia kali, that is understandable kutokana na familia/Baba yake kuwa victim wa saula hili, mambo mengine ndugu Moh yuko sahihi by 98.9%.

E)Kwa nini historia ya Taifa letu baada ya uhuru baadhi ya Raia/watu majasiri walio jitolea kwa hali na mali katika kupingana na wakoloni wanafutwa kwenye historia - kuhanzia majina yao na picha zao! Na ukiangalia kwa umakini unakuta idadi ya victims wa Scheme hii ovu hiko highly Disproportionate kwa upande wa ndugu zetu Waislaam, WHY?

F)Mimi nafikiri zoezi hili la kuandika katiba upya lingekwenda sambamba na kuandika historia ya kweli kuhusu Taifa letu, wale wote walio changia katika ukombozi wa Taifa hili wajina yao yawekwe wazi na ijulikane walihusika vipi na ni kitu gani kilijiri mpaka wakasahulika, si hilo tu hata mtu aliye Engineer saula hili ajulikane - Victims wote waombwe msamaha kama wangali hai au warithi wao wapewe medali, bahati nzuri JK anaonekana kulitambua sana hili na kusema kweli anakwenda vizuri na zoezi zima ndio maana mwaka jana/juzi aliwakumbuka baadhi ya mashujaa hawa waliosahulika;

G)Taifa hili lisijiletee mikosi ya bure kwa kuwasahau watu muhimu, tusianze kusingizia/ kuendekeza mambo ya kidini kwenye vitu ambavyo ni OBVIOUS.
Bukyanagandi, nikushukuru kwa kujenga hoja bila matusi.
Ni bahati mbaya nyuzi zinazomhusu Mohamed Said zimekuwa dimbwi la matusi kama ya karibuni na kupoteza maana iliyokusudiwa. Nimeweka hoja zako kwa makundi naomba uvumilivu kwa nyuzi ndefu.
Mambo mazito tuyazungumze kwa uzito, mabingwa wa matusi tuwatake radhi,eneo hilo hatuna ujuzi nalo.

Nyuzi za MS hazitafsiriwi vibaya au kupotoshwa(Kifungu A) bali zenyewe zina hisia (sensational) kama ulivyoeleza katika kifungu (D). Mwanahistoria hatakiwi achanganye matatizo yake na historia, hilo ni kosa la kwanza nashukuru umeliona na ncdicho chanzo cha `
grossly misinterpreted whether by accident au deliberately`Kama ulivyobainisha.

Kifungu (B), unapodai MS anaandika historia ya madhehebu yake(imani nadhani) tayari inakuwa si historia.Historia ni mtiririko wa matukio kwa nyakati kama yalivyotokea na si kama yanavyoumbwa.

Unaweza kuandika historia ya kabila fulani, huwezi kuandika historia ya Tanganyika kwa kundi fulani.
Kufanya hivyo ni kupotosha ukweli.

Kusema K.Sykes na AA ukamwacha Cecil Matola, au Ramadhani Ali kama utakavyomuacha Kyaruzi na TAA ni upotoshaji wa historia si kuandika ukweli.

Watu wengi sana hapa jamvini wengine wakiwa wameyaona kwa macho kama akina Mag3 wanasema historia ilikuwa na mapungufu tena kwa kuonyesha wazi. Wanachokataa ni masahihisho ya historia kwa upotofu zaidi.

Nani asiyekubali kuwa Nyerere kaja Dar tena mtu mzima! bila mshirika au ndugu.
Nani kakataa kuwa wazee hawakuwepo Dar. Kinachokataliwa ni madai ya MS kuwa Nyerere alianza siasa mwaka 1952 kwa mara ya kwanza alipokuja Dar. Kuna tatizo gani tukisema MS amepotosha.

Kifungu G: Taifa lisiendekeze mambo ya udini katika mambo obvious! Nashangaa kwanini useme hivyo wakati umeshasema waislam ndio walipigania uhuru(C) na kuwa ni victim(E) na kuhoji tatizo ni nini MS akiandika historia ya madhehebu yake. Anayefanya mambo haya yachukue sura ya udini ni MS na kwa malengo mahususi

Ndugu yangu, historia ya MS haina ukweli kama unavyotaka kutuamisha.
Kungekuwa na ukweli ambao unataka vizazi vijavyo vielewe, MS asingeficha Usaliti wa familia ya Sykes kwenda kupigana na wazalendo. Ni mkosi kama ulivyosema (G).
Hivi ikiandikwa historia kuna sababu gani za kuomba radhi familia ya Sykes iliyokuwa mamluki wa kwenda kumpiga Mkwawa. Tuombe radhi wasaliti na wahaini! Tafadhalini.

Baada ya kumaliza kuandika historia ya waislam waliopigania Uhuru, MS ameandika kuhusu kuonewa kama raia wa daraja la pili, akaenda mbali na kutoa takwimu za viroja kuhusu mitihani.

Anachokifanya ni kujenga hoja kwa kutumia historia, hoja ambazo hawezi kuzitetea kwa mantiki bila chembe ya udini. Nitakupa mfano.

MS ameandika paper kuhusu `Taifa lisilo na mashujaa` ya hivi karibuni.
Ukisoma anamshambulia Nyerere na kuacha ukweli ulioko chumbani mwake.
Analalamika mashujaa hawatambuliwi hata kwa mitaa na majina.

Asichokijua MS ni baraza la madiwani lililokaa kufuta jina la bibi Titi Mohamed au kumpa Y.Makamba mtaa lililongozwa na wazee wa Dar waislam. Hawaulizi wenzake anatafuta mahali pa kutokea na lawama.

MS anasahau au hajui aliyetoa jina la Mwai Kibaki na kufuta Bagamoyo Road miaka miwili iliyopita si Nyerere aliyekaburini miaka 14 leo, ni JK aliye Ikulu.

MS anajitia ujuha wa kutojua kuwa Ocean Road imeitwa Barak Obama na JK na baraza la madiwani wa Jiji tena wa Ilala na diwani wa Karikoo akiwemo.

Katika mifano hiyo hatujamsikia MS akilalamika sasa inakuwaje akalalimikie Nairobi tena kwa kulaumu Marehemu. Haya ndiyo mnaita Ukweli! Wapi Unafiki unaweza unawekwa kwenye mizani na Ukweli.

Lakini pia MS hana sababu za kulalamika kuhusu majina ya mashujaa wake.
Kwa mtu mwenye akili kama hamthamini baba yake au mama yake anategemea jirani awathamini huyoo ni mjinga.

Kwanini MS adhani kuwa kuna umuhimu wa kutoa jina la barabara ya Abdul.Sykes wakati kuna maeneo kama Shule yana majina yasiyomaanisha lolote au chochote kijamii au kidini bali utumwa wa akili tu!
Natoa mifano.

MS alipaswa kubadili :
Al Haramaini kuwa Abdul Sykes college of education.
Masjid Quba kuwa Mshume Kiate secondary School
Thaqafa iwe Mwapachu secondary School
Jabal Hilal iwe Mwafongo secondary School
Morogoro University iwe K.Kleist Univesity
Ubungo Islami iwe Jamiaya fil Islam Tanganyika
Al Farook iitwe EAMWS secondary kama kumbu kumbu
n.k.

Baada ya hapo MS arudi Ilala na kuwashawishi madiwani ambao wengi ni wa imani yake wabadili majina ya mitaa. Mtaa wa Twiga uitwe Tatu Said Avenue, Mtaa wa Muheza uitwe Binti Farijala Boulevard, Lumumba iitwe Yusuf Cahember street n.k.

Endapo watu wa Buguruni wametambua umuhimi wa kumwita mzee wao Madenge nini kinamshinda MS kuhamasisha watu wa Karikoo wafute majina ya Makamba na kuweka ya wazee wake.

MS anaweza, hataki kwasababu lengo lake si kutoa majina. Lengo ni kuamsha hisia za uonevu na kupata platform ya kuungwa mkono hata kaienda wasikojua Sykes ni nani alitoka wapi na alifanya usaliti gani kwa taifa hili.

Wanajamvi, Abdul Syke na Baba yake wote kwa maandishi yao yaliyonukuliwa na MS wamesema lengo la uhuru lilikuwa kumkomboa Mwafrika(Shahidi ni MS kwa maandishi yake).

Hakuna mahali ambapo MS amennukuu mpigania uhuru yoyote wa imani yoyote akisema kuwa lengo la uhuru lilikuwa la kidini! hakuna! Hili la kuandika historia ya dini ni la MS kwa sababu zake za kuchochea hisia, halikuwa agenda ya wapigania Uhuru.

Kwa msioujua, MS ameandika historia ya Tanganyika baada ya kufuzu mafunzo ya Profesa wa Hisabati kutoka Pakistan ambaye sina shaka anaielewa Tanganyika vema kuliko MS. Leo tunashawishiwa kwa bidii kabisa tumsikilize mwanafunzi wa prof wa Pakistan atueleze ukweli kuhusu Cecil Matola, Caurembo na Mwafongo!

Na mwisho, naomba yoyote awaye ananifahmishe kwa uhakika kuwa wote waliokuwa na majina ya kiislam walikuwa Waislam.

Kama swali hili halitakuwa na jibu basi kuna tatizo, watu wakae kimya maana wanacheza ngoma wasioijua!









 
Back
Top Bottom