Ngoja nidadavue kiduchu mtama wa ndugu yetu
Nguruvi3.
Mimi hapa nimeishajitokeza na kukwambia Waliopigania uhuru wengi walikuwa ni Waislam na ushahidi ninayo kama ukitaka nitakupa.
Hii hoja yako ni dhaifu mno, hivi nani amekuambia sisi Waislam shida yetu ni majina? hii sijui umepata wapi kuwasemea Waislam na kuileta ukumbini na kuita hoja wakati umezuwa.
Hii santuri yako inaendelea kupiga, nani kakuambia Waislam shida yao na majina ya barabara, teh teh teh!! huu mtama wako angalia usije kuungua na jua.
Nilikujibu huko nyuma lakini jibu langu ulilipita kasi taliweka tena hapa chini kukuonyesha kazi ya Mfumo Kristo kutoka kwa Nyerere, Masheikh wetu kufanyiwa unyama wewe unaona siyo sawa, na hawa Masheik walifungwa na Waislam wenyewe,
Nguruvi3. kumtetea Nyerere kwenye dhurma dhidi ya Waislam ni sasa kiziba shimo la panya kwa mkate wa nyama.
Dhiaka na kejeri kama hizi zikijibiwa ipasavyo unakimbilia kalalamika umetukwanwa na kusema watu wanatumia lugha za matusi, siyo Uislam, wewe kwa akili yako unadhani watu hawana kazi wanashinda internet, hujui kila tunapokuwa ofisini, majumbani, barabarani, kote huko watu tuna access ya internet, labda tukuuliza kuna mtu alishawahi kukuomba umnunulie Bando.
Naona baada mtama kukuishia akaamua kutafuta ufuta, mambo ya kazi ya Sheikh
Mohamed Said. na bandari yamekujane tena, teh teh teh!!.
Teh teh teh!!! naona unazidi kumwanga mtama wako, hivi hoja gani tumeshindwa zaidi ya haya matusi yako,
Nguruvi3 yunasubiri umwage mtama wako.