Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Wickama.

Salama, nadhani hakuna anayepinga hawa mashujaa wetu sisi Waislam kupewa majina ya shule zetu na vyuo vyetu, hilo siyo tatizo letu kama anavyosema jamaa yako Nguruvi3. na wewe una mtetea hebu msome hapa chini.

Endelea kumsoma jamaa yako na unayetetea maneno yake.

Nadhani wanaukumbi pamoja na wewe wamemsoma huyu jamaa yako sijui nani alikuambia haya majina ya barabara na ya vyuo ndiyo madai ya Waislam wa Tanzania.

Sheikh Mohamed Said. amendika kitabu chake mwaka 1997 wakati Nyerere yupo hai, siyo kweli kuwa sisi Waislam tunahangaika na marehemu, hauwezi kuwazuia Wacongo wasimuongelee Leopold II, hauwezi kuwazuia Ukraine wasimjadili Jozef Stalin, hauwezi kuwazuia kuwazua Wajapan wasimjadili Hideki Tojo, hauwezi kuwazuia Cambodia watu wasimuonglee Pol Pot, kisa wameishakuwa marehemu.

Kwanza namshukuru Allah, Alhamdulilah, najiweza kujikimu kidogo na haram wewe kiniandalia mapokezi, bahati nzuri hapa Tanga ni nyumbani kuna ndugu zangu wengi wakisikia wewe ndiyo unakaribisha Tanga itakua kituko, hauwezi kufanya reference ya masula ya Waislam kwa kutembela Lushoto, mimi mwezi ujao naenda Morogoro kisha taenda Mwanza na Bukoba kwenye shule za Waislam vijana wa Kiislam wamepata Scholarships nchi za Asia, Marekani, Ulaya, kwenda kusoma Masters, PhD, Degree, Courses, pitia hizi habari za mwaka juzi kiduchu hapa chini kutoka Morogoro peke yake uone harakati zetu unadhani watu tunacheza, tatizo nyie Wakirsto chuki zenu zimepita kiasi.

Nadhani umesoma hizi bayana kiduchu ukitaka takupa maendeleo ya hizi harakati za Waislam ambao kila kukicha mnawadharau.






Soma hapa chini HARD WORK za Waislam.

Soma hapa chini HARD WORK and good plans.






Soma hapa chini HARD WORK and good plans.

Tuishie hapa habari ni nyingi sana.

Nimekusoma sana ndugu yangu Ritz. Huyo Wickama anataka kukukaribisha nyumbani kwako? Mbona viojo hivyo. Tanga ni kwako na nduguzo tupo huku anytime wewe ingia tu wala usipegehodi.
 
Last edited by a moderator:
Hapana The big, hujanisoma vizuri. Gari yangu ina indicator nzuri sana tatizo watu wanaangalia kwa macho ya kengeza tena wanaangalia full light teh teh

Nimesema mara nyingi Bakwata ilianzishwa na Nyerere kama counter attack dhidi ya makundi.
Nikasema Nyerere amenusurika mara nyingi kuondolewa uongozini kwasababu ya Ukristo.

Kwa muktadha huo mbegu ya Bakwata haikuanza mwaka 1967 bali utengnezaji wake ulifanywa na makundi hasimu kuanzia 1957 kwa mtindo ule ule analolaumiwa Nyerere. Alipotengwa ilikuwa haijambo , alipodhibiti makundi ikawa nongwa! jamani haya makengeza kwanini tusiyafanyie appointment CCBRT?

Nikasema baada ya kuundwa Bakwata, iliungwa mkono na waislam kwa kuiendesha wenyewe.
Nikasisitiza kama kulikuwa na remote control katika uendeshaji wake hilo ni jambo jingine.

Mwisho nikasema hata MoHamed Said aliwahi kuwa ndani ya Bwakata hivyo tatizo si Bakwata kama chombo ni viongozi wa Bakwata. Nikaishia kutanabaisha kuwa ulua na maslahi ndio chanzo cha kuipa nguvu Bakwata ambayo ilianzishwa kudhibiti makundi yaliyoleta vurugu za kichini chini ya akina Amir na Platan

Makundi hayo bado watoto wao wapo na wajukuu! nikasema JK na Mwinyi walipaswa kuliona hilo lakini wameikumbatia. Hii maana yake Bakwata haikuundwa kuwadhibiti waislam bali makundi na hatari hiyo wameiona waungwana.

Nimeuliza iweje Machame na Mkuranga watofautiane katika mazingira yale yale ya kudhibitiwa 'Uislam' kama hilo lilikuwa lengo?



Nguruvi,
Kama huyo Mohamed Said uliyemkusudia ni huyu Mohamed Said wa JF na Gerezani
kuwa alikuwa Bakwata napenda kukutaarifu kuwa sijapata.

Namshukuru Allah kwa neema hii na asinijalie kamwe.
 
Al habib gombesugu wallahi I love all of you my brothers for the sake of Allah!

Na pia sipendi kuingiza maneno wakati maulamaa mnapotoa elimu kwetu na kuwakumbusha wale summun bukmun!

Lkn nashindwa vumilia mtu akileta makhanatha ktkt ya mnakasha!

Jitu zima linaingia hapa kwa mbweembwe! Ohh shemeji Ritz ohh al akhyi CHAMVIGA ohhh ndugu yangu gombesugu

Kumbe unafiki mtupu!

Wanamtusi ulamaa Mohamed Said halafu wanatulaumu sisi eti tuna watusi!!
Ajeeb!

Na mimi nishawambia hawa wagalatia ya kuwa mimi si msemaji wa Mohamed Said na wallahi wala huyu maalim hata hanijui!

Ispokuwa MIMI NA WAGALATIA NI MAADUI WA WAZI KABISA!

sasa yale mambo yao ya kinafiki siwezi yapuuza hata siku moja!

Tutafyatuana mpaka kiama!

Teh teh teh teh!

Mtaniwia radhi wakati mwingine mashekhe wangu! Manake nimesomea hizi shule za kigalatia! Kwa hiyo wakati mwingine ya makhnatha ya kigalatia na mimi ninayo!
Teh teh teh teh!

Jazakallahu kheiran fee daarain!

Kwi kwi kwi dr. kahtaan nyundo tumekupa wewe gongea tu misumali.
 
Last edited by a moderator:
Remote na Wickama mnaweza kusaidia kidogo naona jamvi limeingia baridi.

Mimi nilijizuia kabisa nikasema busara zinaniongoza nisimwage mtama.
Sijui yametokea wapi mungu akaleta neema zake watu wakafungulia njiwa kabla ya mtama.
Nimekuwa sina budi sasa, maana njiwa wanalia nje mimi nina mtama kwanini niufiche tena?

Niliahidi kuwa nikiumwaga mtama ni ule wa Dodoma una vumbi watu watakung'uta jamvi, hapatakalika!!

Ayatoola chamvinga unaweza kutusaidia kidogo

Kwi kwi kwi. Kwahiyo huko kuchinjiwa ndio mtama uliokuwa unashindwa kuumwaga kipindi chote hicho mpaka njiwa Ritz na kuku wangu wanapungukiwa na chakula? We unavioja si kidogo. Hivi unajua kuwa nyerere alikuwa mshirikina?
 
Last edited by a moderator:
Remote na Wickama mnaweza kusaidia kidogo naona jamvi limeingia baridi.

Mimi nilijizuia kabisa nikasema busara zinaniongoza nisimwage mtama.
Sijui yametokea wapi mungu akaleta neema zake watu wakafungulia njiwa kabla ya mtama.
Nimekuwa sina budi sasa, maana njiwa wanalia nje mimi nina mtama kwanini niufiche tena?

Niliahidi kuwa nikiumwaga mtama ni ule wa Dodoma una vumbi watu watakung'uta jamvi, hapatakalika!!
Teh teh teh! Nguruvi3. haushi vituko acha mkwara mbuzi, vipi umeishakubali TANU iliundwa Barma?

Eti jamvi alikaliki hivi kuna mtu humu unaweza kumkimbiza teh teh teh!

Mwaga basi huo mtama wako njiwa wanataka kula, kila siku nakuambia dini yetu imetukataza kuwakimbia maadui ni haram.
 
Last edited by a moderator:
Jambo jema sana. Kuna mahali alisomewa kisomo akasema Nyerere akasema 'walichinja...mimi mkorofi korofi na mambo hayo' ilikuwa ni mambo gani? Hapa kidogo sikumpata Nyerere. Ilikuwa wapi na nini kilipeleka Nyerere akasema hayo?
Kumbu kumbu zangu zipo dhaifu kidogo naomba msaada.

Mohamed Said Ritz kahtaan THE BIG SHOW

ngoja nikuitie ayatollah mzeee MS unaumbwa ujibu hoja hapo juu
 
Kwi kwi kwi. Kwahiyo huko kuchinjiwa ndio mtama uliokuwa unashindwa kuumwaga kipindi chote hicho mpaka njiwa Ritz na kuku wangu wanapungukiwa na chakula? We unavioja si kidogo. Hivi unajua kuwa nyerere alikuwa mshirikina?
Teh teh teh! Nguruvi3. haushi vituko acha mkwara mbuzi, vipi umeishakubali TANU iliundwa Barma?

Eti jamvi alikaliki hivi kuna mtu humu unaweza kumkimbiza teh teh teh!

Mwaga basi huo mtama wako njiwa wanataka kula, kila siku nakuambia dini yetu imetukataza kuwakimbia maadui ni haram.
Nguruvi3:Jambo jema sana. Kuna mahali alisomewa kisomo akasema Nyerere akasema 'walichinja...mimi mkorofi korofi na mambo hayo' ilikuwa ni mambo gani? Hapa kidogo sikumpata Nyerere. Ilikuwa wapi na nini kilipeleka Nyerere akasema hayo?
Kumbu kumbu zangu zipo dhaifu kidogo naomba msaada
Najua mumeanza jitihada za kuzua vituko kuikwepa hoja hiyo.
 
Kwanza naomba usiniwekee maneno mdomoni.

Pili, unaposema habari za Cecil Matola hazijulikani si kweli. Hazijulikani kwasababu hukutaka zijulikane.

Duhh! master of spinning Nguruvi3, hiki hapa kipande alichotajwa matola, sijaona hata sehemu moja Mohamed Said kuandika unavyozuwa wewe kuwe eti "hajulikani". Ni wapi hapo, hebu lioneshe jamvi. Haaifai kuzuwa kijana.

Tuanze na Cecil Matola.
Ukitaka kujua ushawishi wa Cecil Matola katika siasa za Dar es Salaam ya 1920s
inakubidi kwanza ujue nani walikuwa wakitawala mji.Kwa hakika si Cecil Matola na taarifa zake ni chache sana katika yale yaliyokuwa yakitendeka Dar es Salaam.Huyu Matola hakukaa sana katika uongozi wa AA kwa kuwa alikufa 1933.
Mohamed Said anasema, Cecil Matola "taarifa zake ni chache sana". Hayo uliyoandika wewe umeyatowa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Remote na Wickama mnaweza kusaidia kidogo naona jamvi limeingia baridi.

Mimi nilijizuia kabisa nikasema busara zinaniongoza nisimwage mtama.
Sijui yametokea wapi mungu akaleta neema zake watu wakafungulia njiwa kabla ya mtama.
Nimekuwa sina budi sasa, maana njiwa wanalia nje mimi nina mtama kwanini niufiche tena?

Niliahidi kuwa nikiumwaga mtama ni ule wa Dodoma una vumbi watu watakung'uta jamvi, hapatakalika!!

Nguruvi sijui kama naweza kukidhi swali lako.
Navyokumbuka, Nyerere alikuwa anarejea (refer) katika ibada alizofanyiwa wakati wa kupigania uhuru, ambazo ndani yake kulikuwa na utoaji makafara ya uchinjaji na kwenda makaburini na vitu kama hivyo. Desturi ambazo hivi sasa waislamu wenyewe kama hawa wa Answar Sunna hawataki kabisa hata kuzisikia. Nakumbuka hata kwenye masuala ya mapinduzi zanzibar (soma Kwaheri uhuru.....) kulikuwa tena na makafara ambayo paka walishonwa macho ili waarabu WASIONE kitu kabla ya mapinduzi. Na hayo hawaelekezwa na askofu wala walii. Ila wafanyaji walikuwa ni waislamu pia. Kuna paper moja tuliwahi iweka wazi wakati wa uzi wa Yericko ambapo baba mmoja nadhani ni kule Mwananyamala alikuwa na bango kuwa pale kwake ndipo mahali palipozaliwa TANU. Lakini pia ilikuja kuwa wazi kwamba viongozi wengi wa TANU walikuwa wakimtegemea bwana huyu kwa masuala ya matambiko na kama hayo. Hii piche-pache-puuuu ajabu huwa haitajwi sana. Ni yatima kiasi.

La maana ni kwamba;
1. Kuna mtu anachanganyika na watu wasio dini sawa na yeye kisha akakomaa nao katika ibada zao na wala haikumsumbua kwa sisi nadiriki kusema ni mtihani mgumu

2. Mimi napata picha kuwa hakuwa na dharau, kwa vile ibada hizo japo kama mkatoliki alikuwa anakwazika bado alishiriki hadi mwisho kwa lengo la kujenga umoja wa yeye na wazee waliompokea. Ni ajabu kuwa hapati pongezi juu ya tabia hii.

Sijui kama nimekujibu mkuu. wengine watajazia.
 
Jambo jema sana. Kuna mahali alisomewa kisomo Nyerere akasema 'walichinja...mimi mkorofi korofi na mambo hayo' ilikuwa ni mambo gani? Hapa kidogo sikumpata Nyerere. Ilikuwa wapi na nini kilipeleka Nyerere akasema hayo?Kumbu kumbu zangu zipo dhaifu kidogo naomba msaada.
Hili swali mtalifanyia kila mzaha na kejeli lakini nawahakikishieni lina ujumbe mzito sana.
 
Nguruvi sijui kama naweza kukidhi swali lako.
Navyokumbuka, Nyerere alikuwa anarejea (refer) katika ibada alizofanyiwa wakati wa kupigania uhuru, ambazo ndani yake kulikuwa na utoaji makafara ya uchinjaji na kwenda makaburini na vitu kama hivyo. Desturi ambazo hivi sasa waislamu wenyewe kama hawa wa Answar Sunna hawataki kabisa hata kuzisikia. Nakumbuka hata kwenye masuala ya mapinduzi zanzibar (soma Kwaheri uhuru.....) kulikuwa tena na makafara ambayo paka walishonwa macho ili waarabu WASIONE kitu kabla ya mapinduzi. Na hayo hawaelekezwa na askofu wala walii. Ila wafanyaji walikuwa ni waislamu pia. Kuna paper moja tuliwahi iweka wazi wakati wa uzi wa Yericko ambapo baba mmoja nadhani ni kule Mwananyamala alikuwa na bango kuwa pale kwake ndipo mahali palipozaliwa TANU. Lakini pia ilikuja kuwa wazi kwamba viongozi wengi wa TANU walikuwa wakimtegemea bwana huyu kwa masuala ya matambiko na kama hayo. Hii piche-pache-puuuu ajabu huwa haitajwi sana. Ni yatima kiasi.

La maana ni kwamba;
1. Kuna mtu anachanganyika na watu wasio dini sawa na yeye kisha akakomaa nao katika ibada zao na wala haikumsumbua kwa sisi nadiriki kusema ni mtihani mgumu

2. Mimi napata picha kuwa hakuwa na dharau, kwa vile ibada hizo japo kama mkatoliki alikuwa anakwazika bado alishiriki hadi mwisho kwa lengo la kujenga umoja wa yeye na wazee waliompokea. Ni ajabu kuwa hapati pongezi juu ya tabia hii.

Sijui kama nimekujibu mkuu. wengine watajazia.
Excellent! excellent!

Nitaongezea zaidi ili kuibua hoja niliyowahi kuitoa ambayo ilipokelewa kwa majibu ya kejeli na dharau.
Hata ilipojibiwa ilijibiwa kwa njia inayojichanganya. Tutaonyesha madhara ya ushabiki usiozingatia weledi.
Watu wanajifunga kamba.

Ninachotaka kusema ni ahsante sana

 
Nimekusoma sana ndugu yangu Ritz. Huyo Wickama anataka kukukaribisha nyumbani kwako? Mbona viojo hivyo. Tanga ni kwako na nduguzo tupo huku anytime wewe ingia tu wala usipegehodi.

Sheikh Chamviga, huyu ni shemeji yangu tuna muda tunafahamiana humu JF; sasa wamwelekeza ili asinitembelee ila akutembelee wewe? Sunna gani tena hiyo? kama unaishi Tanga ustadh unajua hiyo siyo desturi ya mji huu.

Ritz kweli huku ni kwao, lakini kubisha hodi ni desturi na adabu akifika nyumbani kwa mwenyeji yeyote, sasa tena vipi wamfundisha aingie majumba ya watu bila kubisha hodi?..... Subhanallah...Sheikh wangu vipi? Ritz!!!! hahahahah sina hamu.......Tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mujibu wako! Kama ingekuwa yenyewe isingeweza kuwa na matundu kila mahali.
Historia gani usiyoweza kuitetea mwenyewe? Historia gani unayojifanyia quotation! please usichanganye neno historia na hisia.

Tuonyeshe wapi' wenye historia hiyo wanasema iandikwe kama ya kidini! tuonyeshe kama huna jibu kaa kimya usiharibu kizazi kwa uzushi. Zipo njia nyingi za kujikimu na muogope mwenyezi mungu.

Kuhusu Dokta Kyaruzi, umeridhika na majibu uliyopewa na Mohamed Said, naona hilo hukuligusia kabisa baada ya hayo majibu na unakuja na viroja badala ya hoja.

Eeeeeehh Faiza weee cheka nnenepe mie, nikonde nna ...?
 
Awali kama unakumbuka tulisema sana humu JF hivi kinachofanya Kirinjiko au Mudio au Buhongwa Islamic seminaries wafaulu kitaifa ni NINI? hili swali wallah halijibiwi, na kwa bahati mbaya kila ukilibold basi Gombesugu unatu-koromea KWANINI?

Ndalichako.
 
Mimi nilikuwa nauliza kama zilikuwa ni harakati za kidini,maana yake ni kuwa hazikuwa harakati za kudai uhuru wa Tanganyika bali za kudai haki za kidini zilizokuwa hazipo

Dini fulani itadaije uhuru wa nchi na itikadi ya kudai huo uhuru iwe ni ya dini husika?

Umeielewa post niliyokuwekea? na umeelewa kanisa lilihusika vipi kwenye hizo harakati na Waislaam walihusika vipi? Au ni bongolala?
 
Huyo ni muongo tu, hana lolote, wala usingempa faida ya kumjibu.

Nguruvi,
Kama huyo Mohamed Said uliyemkusudia ni huyu Mohamed Said wa JF na Gerezani
kuwa alikuwa Bakwata napenda kukutaarifu kuwa sijapata.

Namshukuru Allah kwa neema hii na asinijalie kamwe.
Nguruvi3 ulikuwa unadanganya barza! Huoni haya wala hujui vibaya?
 
Nguruvi3,Shukran sana,ama kwa hakika mimi naona hapo hujanifanyia rationalization,kwan nakuona waz waz unakiri ya kwamba BAKWATA ilianzishwa na nyerere kwa madhumuni ya kujilinda na mfumo ambao yeye alikuwa anahis unaweza kumuondoa madarakan,si ndiyo??shukran sana kwa kunifanyia CALCULUS iliyokwenda shule,,Nakujibu,'''Tatizo ni bakwata kama chombo,namna ya kuanzishwa kwake,lengo la kuanzishwa kwake,mfumo wa uendeshaji wake,nia na madhumuni yake kwa miaka ya baadae inayokuja ndan ya taifa hili ambazo kwa sasa matunda yake yameshaanza kuonekana,na hayo ni haya malumbano ya hoja baina yetu sisi na mihemko ya kitaharuki inayotukumba kwa sasa,KWA MAANA HIYO BASI NGURUVI3,UKAE UKITAMBUA KUWA JAMBO HILI NI NYETI SANA,NA LIMEGHARIM MFUMO WA MAISHA YA WENGI SANA,HASA LINAPOKUJA SUALA LA UMOJA WA KITAIFA,TAMBUA KWAMBA KWA UWEPO WA BAKWATA AMBAYO IMEASISIWA NA JULIUS KAMA ULIVYOKIRI HAPO JUU NI SABABU TOSHA YA KUKUTHIBITISHIA KUWA JULIUS PINDI WALE WAZEE WANAMPA IMAN NA KUMWEKA YEYE MBELE,KUMBE YEYE ALIKUWA KAMA NI CHUI ALIEVAA NGOZ YA KONDOO,LAKIN KIKO WAPI??YUKO WAPI??ALIDHAN ANGEISH MILELE??UKWELI WOTE SASA UKO WAZI NA HAKUNA MAREFU YASIYO KUWA NA NCHA NA HAKUNA SIRI NDAN YA DUNIA HII,MUNGU AMLAZE MAHALA PANAPO STAHILI JULIUS
Mkuu umejieleza vizuri sana, kinacho nishangaza mimi ni baadhi ya Wazalendo wenzetu kuchukulia kimzaa mzaa mambo ambayo yanaweza kabisa kusambalatisha Taifa letu - Katiba yetu inasema Serikali haina DINI, hapo hapo baadhi ya madhebu yanawekwa kwenye a hermitically sealed container wasifurukute - Serikali inafikia hatua ya ku-appoint viongozi wa dini!!! Ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kukubaliana na udikteita huu uliyo kubuhu - waislaam wakilalamika mnasema ni wabaya!!! Kama Serikali ya awamu ya kwanza iliweza kufanya vitu vya kukihuka haki za binadamu kwa kuingilia unnecessarily uendeshaji wa madhehebu hayo, mpaka Serikali inafikia kuchukua such drastic steps ili iwa-contain kwa nini tushangae anacho lalamikia MS, kusema kweli inaonekana wazi wazi kwamba operation hiyo haikuishia kuwachagulia viongozi wa dini tu, bali ilikwenda mbali zaidi kwa kufuta kutoka kwenye historia majina yanayo randana na dini yao, I have no doubt in my mind kwamba it was a well Organised scheme.Naona hapa baadhi ya Wazalendo wanatoa an impression kwamba MS anatetea Uislaam!! Hii si kweli na hilo wanalijua fika, MS anacho pigania hapa ni kuhusu kuandika historia ya kweli ya Taifa letu bila ya ku-arase majina ya wazalendo ambao Viongozi wetu walikuwa na bifu nao, na ukiangalia kwenye machapisho ya Mkuu MS utakuta ameweka majina ya wapiganaji wa dini zote mpaka ya wapagani, mbona suala zima liko wazi kabisa lakini members hilo hawalisemi. Watu wanazungumza mengi humu ya kupoteza lengo, lakini hakuna hata mmoja amawahi kuhoji ni kwa nini Serikali ya hawamu ya kwanza ilikuwa hell bent kusambaratisha organisations za kidini na za wafanyakazi zilizo play a big role kuwaodoa wakoloni wakishirikiana na chama cha TANU!! Sina shaka kwamba nguvu za makundi hayo yalionekana yatakuwa tishio kwa Serikali ya awamu ya kwanza siku za usoni - hii ndio ilikuwa sababu ya msingi ya Serikali kuanzisha BAKWATA na NUTA ili makundi ya awali yavunjwe nguvu - tuwe wakweli hapa. Naona ma-stalwart na mashabeki wa Serikali ya awamu ya kwanza wanajifanya kulisahau hilo na hawataki kuambiwa ukweli. Tukiwa wawazi tutalinusuru Taifa letu, kama Kambarage aliwahi kukili mwenyewe kwamba kuna baadhi ya vitu walifanya ambavyo vilikuwa havifahi - kwa nini wengi wetu tunakuwa na kigugumizi cha kukemea mambo ambayo haya tufahi, yanonekana wazi wazi yana kila dalili za kuvuruga Taifa letu - God forbid.Narudia kusema kwamba, tunacho sahau ni kwamba si rahisi kunyanyasa na kubeza beza kudi fulani la kidini 4ever, alafu mkategemea nyinyi mtabaki salama miaka yote - hilo amulioni!!! Ubishi bushi tu bila ya kutafakali mambo kiundani - hakuna anayejiuliza ni kitu gani kilifanya kundi la Boko-Haram kuhibuka North Nigeria au unafikiri Tanzania is an Island hawawezi kufanya kweli wakiamua - tunajitia ujuaji tu.JF ni barometer tosha ya kuonyesha mambo si shwali kidini-wise katika Taifa letu, jaribu kuangalia members wanavyo jibizana jibizana with emotions kuhusu mambo ya dini hata sehemu ambazo si mahali pake waitibukiza tu, kwa bahati mbaya sisi Wakristo ndio tunaongoza kubeza beza sana wenzetu, tunawasema mambo chungu mzima, kwani hata wakiswali mara elfu kumi kwa siku sisi inatuhusu nini - they know better wanacho kitaka katika maisha yao, Dini yao na Mungu wao.
 
Last edited by a moderator:
because you are a whiteman, isn't it?
83610082.jpg

don't attack me using my name . What if we use your photo how would you fill.are u a ninja?
 
Back
Top Bottom