Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Umeielewa post niliyokuwekea? na umeelewa kanisa lilihusika vipi kwenye hizo harakati na Waislaam walihusika vipi? Au ni bongolala?

Ngoja niyaweke maelezo yangu kirahisi zaidi huenda ukanielewa

Nimeuliza hivi dini ilihusikaje kwenye harakati za uhuru?
Zilihusika kama dini au kama Watanganyika wa kawaida tu ili wapate uhuru bila kuwa na malengo yoyote ya kidini?

Kama kuna Mkristo yoyote awe ni Askofu au Mchungaji,au kama kuna Muislam yoyote awe Shekhe au Imam aliyeshiriki harakati hizo alishirikije kama Muislam au kama Mtanganyika?

Kama alishiriki kama Mtanganyika tu sawa na ndipo ninauliza kwanini wale waliosahaulika wasemwe kwa dini zao na sio majina na Utaifa wao?

Kuandikwa mahali kuwa Wakristo au Waislam kudai uhuru haimaanishi kuwa walifanya hivyo kwa sababu ya dini zao au kwa malengo ya kidini

Walifanya hivyo kwa sababu ya Utanganyika wao tu na ham yao ya kuishi kwenye Tanganyika huru

Mfano mzuri ni suala la katiba,kuna watu mbalimbali wanaendesha harakati za kupata katiba mpya,na watu hao wana dini zao na pengine ni viongozi wa dini lakini hawafanyi hivyo kwa sababu ya dini zao bali kwa sababu wao ni Watanzania na wanahusika kwenye maisha yanayosimamiwa na katiba husika,litakuwa ni jambo la ajabu siku moja watu hawa waje kutambulika kwa dini zao na atokee mtu kuja kudai hawa watu watambulike kwa dini zao katika harakati wanazofanya leo

Kumbuka Mohamed Saidi amesema kuwa Waislam ndio waliopigania uhuru na Uislam ndio ilikuwa itikadi,hapa ndipo napata wasiwasi na maelezo yake!
 
Hapana! Nyerere katika hotuba yake kasema wazi wazi kuhusu hilo. Umesema kulikuwa na kisomo kama Tawasul(nakunukuu) mambo yalipokwama. Hilo halina tabu kabisa.

Nyerere katika ushuhuda wake aliwahi kusema '......mimi mkorofi kidogo na mambo hayo' tunajua alikuwa mkatoliki na hakuwahi kuwa mkorofi katika suala la dua, lakini kuna tukio alisema amekuwa mkorofi, ndipo nikauliza alikuwa mkorofi kwasababu gani?

Ndugu Wickama akaja na hoja zake kuhusu hilo. Akafunguka kuhusu makafara, matambiko n.k
Akaanisha sababu zake kwa mtazamo wake ambao ninakubaliana naye.

Swali linabaki kuwa je, hayo yalifanywa na Waislam? Je, kulikuwa na makundi ya Twasul na makundi ya matambiko? Hapo ndipo tunahitaji kufahamiana


Swali linabaki kuwa je, hayo yalifanywa na Waislam? Je, kulikuwa na makundi ya Twasul na makundi ya matambiko? Hapo ndipo tunahitaji kufahamiana[/FONT][/SIZE][/QUOTE]

Mr Nguruvi,
Ibada kama kufunga, na tawasul (dua), au hata dua za kuomba kupitia watu maarufu hazikumsumbua Nyerere kwa sababu hata wakatoliki wanazifanya kupitia kina Mama Maria na baadhi ya watakatifu wa kanisa lao (ni utaratibu wao). Lakini aliyo-eleza Julius ya kule Bagamoyo??? kama kuzika kondoo na vitu kama hivyo ndivyo vilimkwaza kwa vile catholics just don't do that. Haya masuala ya matambiko ni baadhi ya mambo yaliyowapandisha chat sana ndugu zetu wa Answar Sunna kwa vile wamesimama kuyapiga vita sana katika jamii za kiislamu. Nadiriki kusema kwa sasa yanaenda yakipungua sana kadri waislamu wanavyotenga mila hizi na shughuli nzima za dini. Wakati wa wakoloni na kina Julius si ajabu mambo haya yalikuwa ya kawaida. Mengine yalikuwa na mizizi asilia ya kikabila zaidi ya dini.

Lakini TO HIS CREDIT haikumvunjia urafiki wala mshikamano na wazee hawa. Yeye nadhani alipima NIA yao na kwamba walitumia the only resources they had, hizo dua. Nadhani Yeye aliona kupitia shughuli hizo bado watabaki wamoja.

Ndio maana ya kusema alikuwa pia ana adabu na ustahmilivu. Kumbuka huyu ana Masters degree ya kwanza kati ya wazalendo wa Kitanganyika, lakini angalia alivyojishusha mbele ya watu kama wazee hawa. No wonder alivuna.

Kumbuka suala la Tom Mboya wa Kenya walipokuwa na madhila huko kwao na akamjulisha Julius naye akaripoti kwa wazee hao hao, soma majibu yao. poor fellows walifanya ibada ya KUFUNGA. Nadhani ndipo Julius alikunywa maji mchana baada ya kubanwa na njaa. Look here, maji walimpa lakini wao walikomaa hadi jioni yake. Ndivyo walivyoishi.

Nguruvi et al... Swali ni hili, kilichowaletea uhuru waafrika anzia Ghana hadi South Sudan ni dini zao au Uzalendo wao? Maana kwa sasa tunasubiria nchi mpya huru zifuatazo; Dar-fur toka iliyobakia kama Sudan; Somaliland toka Somali ya sasa.

Hivi TANU ilipounga mkono juhudi za POLISARIO, PALESTINE, ni kwa sababu wale ni waislamu au ni kwa sababu wanataka kuwa huru? Majeshi ya Tanzania yamelaumiwa kumuondoa Idd Amin kwa kuhusishwa na masuala ya dini, Juzijuzi huko visiwa vya Ngazija??? yalifanya hayo hayo na kuirudisha serikali iliyokuwapo lakini NO lawama. Sasa yapo Eastern Congo. Mbona Hakuna lawama? au vile commander in chief sio Julius?

Kuna swali moja hatujaligusa kila tujadili. Upo ushahidi wa Julius kuwatafuta kina Sykes na TAA ili kufanya siasa za kumng'oa mkoloni tangu akiwa Makerere. Jee kuna ushahidi kuwa kanisa lilimlazimisha ajiunge na hawa waswahili kudai uhuru? au ilikuwa majaliwa yake binafsi?
 
Last edited by a moderator:
Nadhani mwenye akili ya kitoto ni wewe mchafuzi wa mazingira!
Hebu tuassume wewe ni muungwana,hebu niambie ni nini maana ya kuchafua mazingira
Halafu niambie ni wapi hayo mazingira yamechafuliwa
Kuuliza kwako huto tuswali twa kejeli kaulize kule kwenye zile uzi za viruka njia!
Moja ya kanuni ya maumbile inasema kuwa zile tabia unazozipenda kuzifanya wewe mara nyingi unaziona kwa wenzako
Sasa hapa sijui ni nani alienzisha kejeli,au hujui hata maana ya kejeli?
Hapa nimekuonya mapema kabisa! Kuwa juu ya kuwa hili ni jukwaa huru basi kuna uzi zingine unatakiwa kuwa na adabu!
Nani kakuvika hayo mamlaka ya kuonya watu kwenye mada za wengine?
Au umejivuka mamlaka kama yule jamaa yenu alivyojivika yale yake?
Na sio kila unaeongea nae ana the same mentality kama wewe!
Kweli kabisa maana kuna wengine ni kama wametoroka mirembe vile,wanakurupukia post za watu bila kujua wameanzia wapi na kuanza kutoa kejeli tu!Wanaanza kujivika mamlaka ya kufikirika kutokana na matatizo yao ya akili
Hukuniskia ukaanza kuuliza maswali yako ya mstari mmoja!
Yule jamaa yenu amewaharibu sana
Aliwazuia kuuliza maswali kwa kuwa alikuwa anajua kuuliza maswali ndiko kunaleta majibu na kupata maendeleo ya kifikra na mwili pia
Kama hutaki maswali ondoka hapa maana hata lengo la JF kuwepo hujui!
Sasa kwa sababu mi nakufahamu wewe vizuri nimeamua nipanguse kabisa huu uchafu wako!
Umenikumbusha kichaa mmoja hapa mtaani
Yeye huamini kuoga ni kujichafua............!!!!!!!!!!!!!
Ili wanahusika hapa wakuone kuwa huna maana!
Wahusika wa nini?
La utaweka heshima ya thread! Be my guest!
Wa kwanza kuweka heshima ulitakiwa uwe wewe
Unarukia maelezo ya watu bila kufikiri na kutoa kejeli,hiyo ni heshima?
Au nyie watu mnaitafsiri kejeli kama heshima?
Au hujui hata maana ya heshima?
Lkn maswali ya kitoto peleka kanisani kwa wale wachungaji!
Kama kawaida yako,huwezi kuandika bila kulitaja kanisa na wachungaji,nini kinakukereketa?
Au unawaogopa?
Maana mwoga hujaribu kutumia kashfa na kejeli kwa anaemuogopa ili kupambana na hofu zilizoko ndani mwake!
Na ukiuza ukajibiwa NI WAJIBU KUTOA SHUKRANI!
Sio kila jibu ni sahihi
Unaweza kuulizwa kazi ya kongosho kwenye mwili wa binadamu ni nini ukajibu ni kusukuma damu
Utakuwa umejibu lakini sio jibu sahihi

Sasa utatoa shukrani kwa jibu kama hilo?
Au wewe kwako kila jibu ni sahihi?
SIO KUKAA KIMYA KAMA MWIZI WA KUKU!.
Uliwahi kuifanya nini hiyo kitu maana hata sijui kama mwizi wa kuku huwa ni mkimya
haya sema unachotaka kusema!
Tayari nimesha sema and you can't stop me!
I am watching you boy!!
Again,nani amekupa hiyo kazi?
Au umejipa kama ilivyo kawaida yenu?
 
Sheikh Chamviga, huyu ni shemeji yangu tuna muda tunafahamiana humu JF; sasa wamwelekeza ili asinitembelee ila akutembelee wewe? Sunna gani tena hiyo? kama unaishi Tanga ustadh unajua hiyo siyo desturi ya mji huu.

Ritz kweli huku ni kwao, lakini kubisha hodi ni desturi na adabu akifika nyumbani kwa mwenyeji yeyote, sasa tena vipi wamfundisha aingie majumba ya watu bila kubisha hodi?..... Subhanallah...Sheikh wangu vipi? Ritz!!!! hahahahah sina hamu.......Tuko pamoja.

Nani kakuambia Ritz tanga ni mgeni?
 
Last edited by a moderator:
Hebu tuassume wewe ni muungwana,hebu niambie ni nini maana ya kuchafua mazingira
Halafu niambie ni wapi hayo mazingira yamechafuliwa

Moja ya kanuni ya maumbile inasema kuwa zile tabia unazozipenda kuzifanya wewe mara nyingi unaziona kwa wenzako
Sasa hapa sijui ni nani alienzisha kejeli,au hujui hata maana ya kejeli?

Nani kakuvika hayo mamlaka ya kuonya watu kwenye mada za wengine?
Au umejivuka mamlaka kama yule jamaa yenu alivyojivika yale yake?

Kweli kabisa maana kuna wengine ni kama wametoroka mirembe vile,wanakurupukia post za watu bila kujua wameanzia wapi na kuanza kutoa kejeli tu!Wanaanza kujivika mamlaka ya kufikirika kutokana na matatizo yao ya akili

Yule jamaa yenu amewaharibu sana
Aliwazuia kuuliza maswali kwa kuwa alikuwa anajua kuuliza maswali ndiko kunaleta majibu na kupata maendeleo ya kifikra na mwili pia
Kama hutaki maswali ondoka hapa maana hata lengo la JF kuwepo hujui!

Umenikumbusha kichaa mmoja hapa mtaani
Yeye huamini kuoga ni kujichafua............!!!!!!!!!!!!!

Wahusika wa nini?

Wa kwanza kuweka heshima ulitakiwa uwe wewe
Unarukia maelezo ya watu bila kufikiri na kutoa kejeli,hiyo ni heshima?
Au nyie watu mnaitafsiri kejeli kama heshima?
Au hujui hata maana ya heshima?

Kama kawaida yako,huwezi kuandika bila kulitaja kanisa na wachungaji,nini kinakukereketa?
Au unawaogopa?
Maana mwoga hujaribu kutumia kashfa na kejeli kwa anaemuogopa ili kupambana na hofu zilizoko ndani mwake!

Sio kila jibu ni sahihi
Unaweza kuulizwa kazi ya kongosho kwenye mwili wa binadamu ni nini ukajibu ni kusukuma damu
Utakuwa umejibu lakini sio jibu sahihi

Sasa utatoa shukrani kwa jibu kama hilo?
Au wewe kwako kila jibu ni sahihi?

Uliwahi kuifanya nini hiyo kitu maana hata sijui kama mwizi wa kuku huwa ni mkimya

Tayari nimesha sema and you can't stop me!

Again,nani amekupa hiyo kazi?
Au umejipa kama ilivyo kawaida yenu?

Mtoto wa kufikia kaanza kuandika povu lake!
Mnfnsssssss!
Unajua nyie wagalatia kinacho wasumbua ni kuanza siku na janaba!
Yesu kawafundisha muoge lkn hamtaki!
Sasa wewe mi nakushauri kaoge kwanza! Lbd akili itakaa sawa!
Tena usisahau kuoga josho kuu,
yaani JANABA!
au nikupe andiko? Manake nyie bila andiko lzm ligi!

Niombe andiko nikusaidie
 
Wickama na Nguruvi3 hoja ya 'DUA' na 'TAMBIKO' au hizo TAWASUL zilizokuwa zinafanywa na wazee hao wa kiislamu na mwl Nyerere mmesimama nayo lakini lengo lenu ni kutaka kuonyesha hawa wazee walikuwa wanapigania uhuru wa nchi yao kama wazalendo na sio waislamu. Ni vyema na hoja nzuri sana. Kwanza nikuelezeni jambo kuhusu hizo dua na tawasul, hizi ni miongoni mwa ibada tukufu za kiislamu ambazo zina 'utaratibu' wake katika ufanywaji kwa mujibu wa mafundisho ya imani ya kiislamu. TAMBIKO sio sehemu katika ibado ndani ya uislamu. Suala la pili kuhusu ufanywaji wa hizo dua, ima tawasul au tambiko na wazee hao wa kiislamu wakijimuisha na wakristo akiwamo Nyerere kwa ajili ya taifa lao walilokuwa wanapigania hii si hoja kuwa hao hawakuwa waislamu ila wazalendo bali walibakia na uislamu wao na uzalendo wao. Yaani walipigania uhuru wa taifa lao wao wakiongozwa na taratibu walizoziona wao ni za kiislamu kama dua, tawasul n.k ambazo naamini ndio kilichomchukiza nyerere ila hakuwa na la kufanya kwakuwa hakuwa na nguvu ila alikuwa akisubiria right time kuwafuta. Hoja ya msingi ambayo naamini mzee Mohamed Said imemsukuma mpaka kuandika historia sahihi ya ukombozi wa nchi hii ni kwakuwa waliopigania nchi yao wamesaulika tena kwa makusudi na kupewa appreciation wachache ambao mchango wao hata haukuwa kihivyo. Swali la msingi Ni kwanini historia ya taifa hili iwasahau mashujaa hawa kumbe wao walipigania taifa lao kiuzalendo? Kama haikuwa mipango dhabiti ya kuwadidimiza wao na jamii yao na chuki kwa sababu ya dini yao ilikuwa ni nini?. Na uhuru ulipopatikana ndipo akatekeleza malengo yake ikiwa ni pamoja na kuwaua, kuwafunga, kuwahamisha walewale waliokuwa wanamkarisha na kumsomea dua. Uhuru ulipopatikana alijitahidi kufuta kila kilichokuwa chema kwa waislamu ikiwa ni pamoja na kuunda BAKWATA na kuvunja taasisi iliyokuwapo n.k. Hiki ni kitendo kisichokubalika na kuvumilika. Watu wanapojitokeza kuzungumza ukweli na kukumbusha watanzania mashujaa ambao ndio waliongoza ukombozi wa taifa lao wanaitwa wadini kwanini>sababu maandishi yao yamejaa majina ya waislaam ambao walikuwa mashujaa wa uhuru.
 
Last edited by a moderator:
Ni kwanini kila unapoona nimechangia unapenda kuni-quote na kuleta kejeli?
Tena kejeli za kidini?

Kwanini hata usitumie akili yako ya kitoto kukagua kilichofanya niulize hilo swali?


Wewe jamaa,mbona uko defensive sana...hivi una matatizo yapi!?

Ahsanta.
 
Nimesema hili tuliache kwanza ili listuondoe katika mjadala wa dua za wazee wa kiislam ambazo umezipigia upatu. Naahidi kuwa baada ya hapo nitakuomba tuongelee la warsha na link kati yako. Kwasasa tuliache tafadhali ili tubaki na la dua za wazee.


Hakikisha unaweka pia na uthibitisho wenye kuthibitika kwa lolote lile utakaloamua kutuhumu watu wenye hishma zao!? Ok!?

Maana tumeshachoka kusikiza utumbo wako kila mara usiokua na kichwa wala miguu...huna hata moja ulijualo,unaruka mada/hoja kila sekunde na huna uthibitisho wowote uletao!

Je una weblinks,manuscripts/documents ambazo umeshawahi kuleta tangia uingie humu Jf pale unapotoa "tuhuma" zoote nzito juu ya watu wengi tu!?

Mara ya mwisho kwenye ule mnakasha mwingine ambao hatimae mlikimbia na kuomba/kulazimisha ufungwe,wewe na wafuasi wako/kikundi chako,pia mlijaribu kuleta madai yakuwa ati Sheikh Mohamed Said ni Member wa Muslim Brotherhood na alikua anafanza/wanafanza mipango ati "kuisilimisha" nchi ili iwe chini ya Islamic Sharia!?

Tulinasihi mno mthibitishe lilo na kuleta uthibitisho wa kitaaluma wenye kuthibitika...tulisubiria mno mpaka ule mnakasha ukafungwa na leo yakurubia takriban mwezi wa tano!?...kwa kifupi porojo zenu ni nyingi mno!

Acha hizo...watu tunazidi kukudharau!

Ahsanta.
 
Mujitahid CHAMVIGA, ule undugu wa ulimwengu mzima unaopatikana kwenye Uislam bila kuzingatia rangi, siasa, utaifa ndiyo unanifanya Tanga kuwe nyumbani.

Naona dalili za mkatoriki huyu Wickama anataka akukaribishe Tanga wakati nduguzo tupo huku, nimeogopea asijekulisha ile nyama haram. Wickama samahani nimeona sehemu umewataja taja sana ANSWAR SUNA samahani hawa ni kina nani na sifa zao ni zipi?
 
Last edited by a moderator:
wewe wasema!

mkuu dah!!!mambo mengine uwe unaziua kiana watu wanatusoma hapa

kwenye lingustics hilo neno halitambuliwi."good english" .hizo ni field za watu.Tunasema"standard english"

sio mimi.hapa unawapinga malingust hawa

NOAM CHOMSKEY

FERDINNARD DE SAUSSURE

CAMPBELL LYLE.

mbele za watu utaibika.

nimeanza kudought kiwango chako cha elimu.
 
Naona dalili za mkatoriki huyu Wickama anataka akukaribishe Tanga wakati nduguzo tupo huku, nimeogopea asijekulisha ile nyama haram. Wickama samahani nimeona sehemu umewataja taja sana ANSWAR SUNA samahani hawa ni kina nani na sifa zao ni zipi?

Chamviga; Kwa CONTENT na CONTEXT za msg yako umeshaniondolea sifa za kukujibu swali lako. Yaani umenirahisishia sana mambo. Usijitege kiurahisi. Tulia kwanza. Karibu kashata, au nazo haram?
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi sijui kama naweza kukidhi swali lako.
Navyokumbuka, Nyerere alikuwa anarejea (refer) katika ibada alizofanyiwa wakati wa kupigania uhuru, ambazo ndani yake kulikuwa na utoaji makafara ya uchinjaji na kwenda makaburini na vitu kama hivyo. Desturi ambazo hivi sasa waislamu wenyewe kama hawa wa Answar Sunna hawataki kabisa hata kuzisikia. Nakumbuka hata kwenye masuala ya mapinduzi zanzibar (soma Kwaheri uhuru.....) kulikuwa tena na makafara ambayo paka walishonwa macho ili waarabu WASIONE kitu kabla ya mapinduzi. Na hayo hawaelekezwa na askofu wala walii. Ila wafanyaji walikuwa ni waislamu pia. Kuna paper moja tuliwahi iweka wazi wakati wa uzi wa Yericko ambapo baba mmoja nadhani ni kule Mwananyamala alikuwa na bango kuwa pale kwake ndipo mahali palipozaliwa TANU. Lakini pia ilikuja kuwa wazi kwamba viongozi wengi wa TANU walikuwa wakimtegemea bwana huyu kwa masuala ya matambiko na kama hayo. Hii piche-pache-puuuu ajabu huwa haitajwi sana. Ni yatima kiasi.

La maana ni kwamba;
1. Kuna mtu anachanganyika na watu wasio dini sawa na yeye kisha akakomaa nao katika ibada zao na wala haikumsumbua kwa sisi nadiriki kusema ni mtihani mgumu

2. Mimi napata picha kuwa hakuwa na dharau, kwa vile ibada hizo japo kama mkatoliki alikuwa anakwazika bado alishiriki hadi mwisho kwa lengo la kujenga umoja wa yeye na wazee waliompokea. Ni ajabu kuwa hapati pongezi juu ya tabia hii.

Sijui kama nimekujibu mkuu. wengine watajazia.




Wickama,

Nimechungulia hiyo bayana yako kiduchu,nimeipenda nawe ni hodari wa kuandika.

Sikiza,nakhis hoja zenu au huo upambe ujaribu kumfanzia huyo Nguruvi3 hapa haitosaidia kitu asilan!

Kama kweli uko objective na unatumia ustaarabu,nafikri utaona jinsi huyo jamaa yako anavyojaribu kurukaruka huku akitoka nje ya mada,ku-twist maneno na kubadili mwelekeo au mintaaraf ya Mada kila apatapo upenyo!

Si unaona jinsi Sheikh Mohamed Said anavyomjibu na kumthibitishia yakuwa si kweli hizo tuhuma za yule Muhaya Dr Kyaruzi,pia si kweli zile tuhuma yakuwa ati Sheikh Mohamed Said yumo/alikuwamo Bakwata na mangine mangi mno.

Tatizo alonalo huyo Nguruvi3,nafikri pia ni tatizo la Wakristo wengi mno khasa watokao mabara/mikoani na kulazimisha wawe ati "Watoto wa mjini"...kwa hiyo utaona wengi wao wanaishia na story za vijiweni/myth na kujifanza ati wao wanawajua sana Waislam au khabar za ndani kabisa za Waislam/Bakwata!? Kwi! Kwi! Kwi!

Jinsi ulivyoandika hapo juu na labda wewe binafsi kujihisi umebainisha jambo,haina neno maana hiyo ndo opinion yako na upeo wako wa kufikiri ulipogotea...na pia naona huyo Nguruvi3 kafurahi kiduchu!

Ayatollah Chamviga kesha kudadavulia kiungwana na kwa kadri ya uwezo wake,ni jambo jema alofanza...lakini mimi naungana na hoja/kauli alotoa Maulana Dr Kahtaan,na nairejea kwa unyambulisho kiduchu hapa chini!

Hiyo unayojaribu/mnayolazimisha kuichambua ni Tawhid,which covers Islamic Theology,Jurisprudence,Philosophy,Sufism as well as Islamic understanding of natural science.

Lakini kutokana na school of thoughts,hicho kipengele/majambo mnayolazimisha sisi hapa kuzungumza/kujadili na nyinyi,ni Makrooh.

Hata hivyo kuna Maulamaa wengi pia wanaenda mbali na kuthibitisha/kuyakinisha yakuwa ni Haram,na sababu watoayao ni kwa kuwa nyinyi Wagalatia/Wakristo aka msioamini;basi kuna baadhi ya masuala yanapojadiliwa nyinyi mnaingia baina ya Najsi...kwa hiyo ham-qualify sisi kujadili baadhi ya mambo nanyi. Na hapo mfanowe ni hayo mnayolazimisha ati sisi kujadili/kulumbana nanyi!?

Yaani kwa kifupi,yawezekana vipi Najsi ikaweza/iruhusiwe kuchambua na kupembua ati kipi ni Halal na ipi ni Haram...au yupi ni Muislam na yupi si Muislam!?

Lakini kama bado mngalipenda kuendelea na hizi "harakati"/hoja zenu humu Jf,tafadhali uwanja ni mweupe fungueni thread nyingine na nina hakika ndugu zangu walobobea kwenye haya masuala mazito ya Iman yetu watakuja kukunyambueni kwa utuvu...yupo hapa kama muonavyo Ayatollah Chamviga na Maulana Dr kahtaan,najua hao waili tu wakutosheni!?

Khalaf pia,mbona mnatupeleka nje ya mada wenzetu,kunani!?

Ina maana vishindo vyoote vile huo ndo ulokua "mtama" wenyewe wa huyo Nguruvi3!?

Jambo jingine la muhimu nakuzingatia;ni yakwamba pamoja na wewe kujaribu kulazimisha ati watu wampongeze yule Nyerere kwa kujiunga na Waislam kwenye ibada/Iman zao na kumuombea Mola,na ukajaribu kuonyesha ati kutokana na Ukatoliki wa Nyerere kwamba mambo fulani alikua "hafanyi"/"hayapendi"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Nilishawahi kukwambia kitambo yakuwa, japokua wewe unatokea Tarime/Mara...lakini huyo Nyerere mimi binafsi namjua uzuri mno kukushinda mara elfu! Sababu nakhis,labda Nyerere uliekua ukimjua wewe ni yule wa kwenye magazeti na Radio,au sio!?

Kwa kifupi Nyerere,kwao ushirikina/uchawi ni jadi/asili yao! Kwa hiyo toeni/acheni hizo myth zenu,ati ooh! Nyerere alikua Mkatoliki safi na hapendi mambo ya Sangoma!? kwi! Kwi! Kwi! Unamjua Nyerere wewe!?

Unajua kwanini Mama yake Mzazi Nyerere alipewa jina la Mugaye!?...unajua jina lake la kwanza!?

Unajua kisa cha huyo Bi Mugaye alichomfanzia Baba yake Mzazi Nyerere na mpaka kumuua!?

Unajua Julius Nyerere alikua na miaka mingapi wakati Mama yake anakutana na Mzee Burito Nyerere kwenye kikao cha pombe nyumbani kwa Sangoma/Mchawi mwingine ambaye ndie aliekua rafikiye Bi Mugaye...yaani Mchawi mwenziwe!

Unajua Kwanini Nyerere mpaka anakufa alikua hamjui Baba yake Mzazi!? Au bado mpaka leo mnaamini ile myth ya kukaririshwa yakuwa yule Mzee wa watu maskini Burito Nyerere ndo Baba yake Mzazi!? kwi! Kwi! Kwi!

Unajua kwanini Mama yake Nyerere aliwafanya misukule wanae mwenyewe!? Unamjua yule Mzee Kiboko...ndugu yake Julius Nyerere aliekua chizi wa kutupwa akiishi/akifungiwa ndani pale Ikulu!?...siku nadra alizokua akitolewa nje,alikua kazi yake kubwa kurusha mawe na kuvunja magari ya Serikali yetu!

Unajua kwanini Julius Nyerere kwa kushirikiana na Mama yake aliamua kuwatoa misukule/muhanga wanae mwenyewe kama vile kina Madaraka Nyerere na wengineo!?

Unajua ugomvi/matatizo ya miaka kadhaa baina ya Mama Maria na Family ya Julius Nyerere khasa Mama yake Nyerere ulianzia wapi!?... Sababu ni ushirikina/uchawi wa Nyerere mwenyewe na Mama yake na family yoote!

Si unaona sasa baada ya "Mwalimu" na Mama yake kufariki ile misukule inavyowatafuna wenyewe kwa wenyewe,si unajua family takriban yoote ya Nyerere ni machizi!?

Na hata wale mnaowaona wana akili kiduchu,lakini ni kwa muda fulani tu!

Unakumbuka siku Mama Maria yalipomshinda akaamua kusema ukweli woote/kutoa dukuduku lake na kutwangana na Julius Nyerere pale Ikulu,mbele ya Mama yake Nyerere...maskini Mama Maria alisahau yakuwa yule mwenzie pamoja na yakuwa alikua ni mumewe,mshirikina aliekubuhu na mzandiki, lakini pia alikua ni Rais wa nchi.

Kwa kifupi hiyo siku,Nyerere aka "Baba Wa Taifa" alipigwa vibaya sana na kubiringishwa vibaya mno na Mama Maria,na kwa kuwa Julius Nyerere alikua tayari na pombe kichwani...matokeo yake akaamuru Mama Maria akamatwe na kutupwa nje ya nyumba/Ikulu.

Hatimae Mama Maria maskini, alichukuliwa na Land Rover za FFU...na gaguro alikwenda kuvalia Morogoro mjini nyumbani kwa Mzee Athuman Kabongo! Kwi! Kwi! Kwi!

Kwa kifupi Nyerere alikua ndie kinara wa ushirikina katika Viongozi woote hapo...ukitaka mpaka majina ya Waganga/Wachawi aka Masangoma wake wengi, mpaka wa huko kwenu Musoma/Butiama nitakuwekea hapa hapa.

Kwa hivi sasa naanzia na Mzaramo Mzee Mbange na Mzee Barinkebera wa pale Kanyigo/Bukoba!....hawa Wazee ndo waliokua Masangoma wakubwa wa Nyerere,na mwenyewe alikua akiwaheshimu na kuwathamini ushauri wao wa aina yoyote kuliko hata ushauri wa Baraza lake mwenyewe loote la Mawaziri!? Kwi! Kwi! Kwi! Afrika Bana!

Khalaf,wewe na huyo Nguruvi3,mnakuja hapa ati kutuaminisha yakuwa huyo Nyerere wenu alikua ni "Saint" fulani hivi wa Kikatoliki!? Kwi! Kwi! Kwi!

Hizi khabar zoote nilizokwambia hapa,kama ingalikua yule Mtoto wa Nyerere aliyemo humu Jf,Uncle Andrew nae hajachizika,labda ningemwomba aje hapa uone ninavyozungumza nae na kumnyambua...japo najua kuna mangi hata nae hayafahamu maskini itakua ni kama vile kumuonea bure tu!

Nataraji kwa leo hapa si haba!?

Tafadhalini
,turejeeni kwenye mada kama ilivyo.

Ahsanta.
 
Waislam hawajachangia chochote uhuru wa Tanganyika zaidi ya Kunywa Kahawa tu na Ubishani usioisha.... ili kuwaamini na hili Watabisha



We Msabato!

It's amazing how so many of you are so ignorant to these irrefutable facts,yet you call yourselves educated!?

You are really miseducated into a thick fog of filthy delusional MfumoKristo.

What a grotesque nightmare our society is!

We are going to try and be positive and engage in critical thinking/meaningful discussion...here we are not going to push the negative.

But
,but we shall always remind ourselves of our elementary right to defend and repel any attack against our history and Iman aka interests.

Our goal is the empowerment of Muslims,that they can be equally recognised and appreciated in their own society.

Until that day when our Nation would arise from ignorance and have the courage and consciousness to recognise that it's our historical responsibility collectively to speak up against decades of injustices under MfumoKristo.

When we maintain the silence,we are collaborating with the evil MfumoKristo and its followers/defenders in strangling the voices of Wazee Wetu!

And by keeping their sacrifices,struggle and oppression buried in the pit of forgetfulness;we are agreeing with Nyerere and his evil MfumoKristo that they were beasts of burden not worthy of being heard!?

In a very real sense,in your dereliction of duty that springs from your miseducated ignorance,you have all been walking on the graves of Wazee Wetu with great contempt!

Perhaps now you will realise the silence is complicity...

Writtings/work of Sheikh Mohamed Said is necessary and we need more of it!

Ahsanta.
 
Zaidi ya yote lipo swali linalosimama daima bila jibu, wako wapi wanafunzi wa Nyerere?
 
Waislam hawajachangia chochote uhuru wa Tanganyika zaidi ya Kunywa Kahawa tu na Ubishani usioisha.... ili kuwaamini na hili Watabisha

Hivi vikojozi vingine hupenda kutoa vichwa kama mjusi kafiri halafu vikapotea jumla!
Teh teh teh
Sasa we nguchiro haitoshi hawa nguchiro wengine waliomo humu kutuchafulia mazingira! Na wewe unaongezeka!
Amma watoto wa mtaani nuksi!

Yaani na hasira zoote ulizo nazo umeona kunywa kahawa tu ndio kasfa peke yake!
Teh teh teh teh!
We una dalili zote za kuwa mfanyakazi wa ndani wa muislamu!
Na kila wakija wageni bosi wako anakwambi! Wee Mlaleo! Halafu unaitikia LABBEIKA SAIDI YANGU!
halafu anakwambi! Pika kahawa haraka! Himari wahed! Kudadeki mmoja we!

Unatoka mbio kama umeona popobawa!

Kwa hio lzm kahawa uichukie!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Hivi vikojozi vingine hupenda kutoa vichwa kama mjusi kafiri halafu vikapotea jumla!
Teh teh teh
Sasa we nguchiro haitoshi hawa nguchiro wengine waliomo humu kutuchafulia mazingira! Na wewe unaongezeka!
Amma watoto wa mtaani nuksi!

Yaani na hasira zoote ulizo nazo umeona kunywa kahawa tu ndio kasfa peke yake!
Teh teh teh teh!
We una dalili zote za kuwa mfanyakazi wa ndani wa muislamu!
Na kila wakija wageni bosi wako anakwambi! Wee Mlaleo! Halafu unaitikia LABBEIKA SAIDI YANGU!
halafu anakwambi! Pika kahawa haraka! Himari wahed! Kudadeki mmoja we!

Unatoka mbio kama umeona popobawa!

Kwa hio lzm kahawa uichukie!

Teh teh teh teh!




Maulana Dr Kahtaan,

Asalaam Alaykum,Al Akhiy.

Wallahi,nilipokua sijakuona hapa jamvini,tayari nilishaanza kupata unyonge...maana leo sijacheka tangia asubuhi! Kwi! Kwi! Kwi!

Naona Ayatollah Chamviga katoa amri lile rungu letu ukabidhiwe wewe,maana Shariff Ritz yeye ana huruma kiduchu...lakini si unajua tukicheza na Mbwa tukitaingia nao misikitini!? Kwi! Kwi! Kwi!

Nimecheka mpaka basi...kumbe yule Mlajana ni housegirl wa Muislam!? Kqi! Kwi! Kwi!

Ndo maana,tangia siku ya mwanzo hapa jamvini kaja na kashfa,hasira na matusi mangi mno!? Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Nguruvi3,

Huo "mtama" wako uko wapi jamaa yangu!?

Mimi tangia jana sijaenda kabisa kibaruani....yaani shughuli zangu zoote nafanzia hapa hapa nyumbani kusubiria huo "mtama" wako hapa na bado sijauona!?

Kwa taarifa yako nami nina gunia zima la "uwele" hapa...nasubiria umwage tu huo "mtama" wako na mimi niangushe hili "gunia la uwele" hapa jamvini,khalaf tuwaache njiwa wa Shariff Ritz na Wanajamvi wapembue wenyewe!

Ahsanta.
 
Wickama;7622434]Swali linabaki kuwa je, hayo yalifanywa na Waislam? Je, kulikuwa na makundi ya Twasul na makundi ya matambiko? Hapo ndipo tunahitaji kufahamiana
Mr Nguruvi,
Ibada kama kufunga, na tawasul (dua), au hata dua za kuomba kupitia watu maarufu hazikumsumbua Nyerere kwa sababu hata wakatoliki wanazifanya kupitia kina Mama Maria na baadhi ya watakatifu wa kanisa lao (ni utaratibu wao). Lakini aliyo-eleza Julius ya kule Bagamoyo??? kama kuzika kondoo na vitu kama hivyo ndivyo vilimkwaza kwa vile catholics just don't do that. Haya masuala ya matambiko ni baadhi ya mambo yaliyowapandisha chat sana ndugu zetu wa Answar Sunna kwa vile wamesimama kuyapiga vita sana katika jamii za kiislamu. Nadiriki kusema kwa sasa yanaenda yakipungua sana kadri waislamu wanavyotenga mila hizi na shughuli nzima za dini. Wakati wa wakoloni na kina Julius si ajabu mambo haya yalikuwa ya kawaida. Mengine yalikuwa na mizizi asilia ya kikabila zaidi ya dini.

Lakini TO HIS CREDIT haikumvunjia urafiki wala mshikamano na wazee hawa. Yeye nadhani alipima NIA yao na kwamba walitumia the only resources they had, hizo dua. Nadhani Yeye aliona kupitia shughuli hizo bado watabaki wamoja.

Ndio maana ya kusema alikuwa pia ana adabu na ustahmilivu. Kumbuka huyu ana Masters degree ya kwanza kati ya wazalendo wa Kitanganyika, lakini angalia alivyojishusha mbele ya watu kama wazee hawa. No wonder alivuna.

Kumbuka suala la Tom Mboya wa Kenya walipokuwa na madhila huko kwao na akamjulisha Julius naye akaripoti kwa wazee hao hao, soma majibu yao. poor fellows walifanya ibada ya KUFUNGA. Nadhani ndipo Julius alikunywa maji mchana baada ya kubanwa na njaa. Look here, maji walimpa lakini wao walikomaa hadi jioni yake. Ndivyo walivyoishi.

Nguruvi et al... Swali ni hili, kilichowaletea uhuru waafrika anzia Ghana hadi South Sudan ni dini zao au Uzalendo wao? Maana kwa sasa tunasubiria nchi mpya huru zifuatazo; Dar-fur toka iliyobakia kama Sudan; Somaliland toka Somali ya sasa.

Hivi TANU ilipounga mkono juhudi za POLISARIO, PALESTINE, ni kwa sababu wale ni waislamu au ni kwa sababu wanataka kuwa huru? Majeshi ya Tanzania yamelaumiwa kumuondoa Idd Amin kwa kuhusishwa na masuala ya dini, Juzijuzi huko visiwa vya Ngazija??? yalifanya hayo hayo na kuirudisha serikali iliyokuwapo lakini NO lawama. Sasa yapo Eastern Congo. Mbona Hakuna lawama? au vile commander in chief sio Julius?

Kuna swali moja hatujaligusa kila tujadili. Upo ushahidi wa Julius kuwatafuta kina Sykes na TAA ili kufanya siasa za kumng'oa mkoloni tangu akiwa Makerere. Jee kuna ushahidi kuwa kanisa lilimlazimisha ajiunge na hawa waswahili kudai uhuru? au ilikuwa majaliwa yake binafsi?
chamvinga FYI.
Nilitaka kukujibu post yako uliyo to address mimi na Wickama, majibu haya ni mujarabu sitairejea. Jibu ni hilo hapo juu.

Napenda nikueleze kuwa wazee walifanya kila jambo kuleta ukombozi.
Tatizo lililomkwaza Nyerere si dua eti ni mkatoliki, hapana alikuwa na wazee hawa muda tena waksioma dua kila mara.

Kilichomkwaza Nyerere kwa imani yake ni matambiko ambayo kwa lugha unayoweza kuielewa wewe na wenzako mnaita ''SHIRIKI'. Makafara si sehemu ya Uislam tena wa hao anaosema Wickama

Sasa shiriki imekatazwa kiislam kwahiyo kuna point muhimu sana hapa kuwa uhuru haukupiganiwa na kila asliyekuwa na jina la Hussein kama Mwislam. Tatizo lenu ni kuangalia majina na kuhitimisha. Upungufu huu unatokana na mapenzi hovyo badala ya fikra. Unaweza kuitwa Paulo ukawa mwislam Safi, unaweza kuitwa SAlkureish ukawa dhalim mkubwa.

Majina ni ID si imani, lakini uelewe mdogo na finyu ni tatizo kubwa sana kwa wa mtaani na wasomi. Ni fact naieleza bila kusita. Uelewa wa kukariri bila kufikiri ni tatizo kubwa

Niliuliza swali hili hiko nyuma likapewa dharau sana na mmoja akasema wote walikuwa Waislam.
Sasa inapofika wakati wa matambiko mnaanza kuwakana na kuwabagua.
Halafu wakati wa lawama kwa Nyerere wanarudi kundini kama waislam ili kujenga dhana ya wingi.

Nyerere hakuwabagua hawa wazee, msichotaka kusema ni kuwa yeye alianza kubaguliwa kwanza na akina Mashado na Amir akaamua kukomaa na wazee wake wa TANU. Hicho ndicho kilikuwa chanzo cha AMNUT.

Kundi hilo la ubaguzi AMNUT liliposhindwa likajiingiza katika EAMWS na kuifanya chaka.
Hicho ndicho chanzo cha kuundwa Bakwata. Kwahiyo huwezi kusema Nyerere alifanya ABDC bila kueleza ukweli kuwa yeye ni mhanga wa Ubaguzi wa akina Mashado na Amir, na ushahidi wa AMNUT na mengine yaiyofuata. Propaganda za kuficha ukweli ni kwenda kinyume cha Uislam unaosisitiza ukweli(Nisahihishwe)

Hoja muhimu hapa ni kama alivyosema Wickama kuwa uzalendo ndio uliongoza mapambano.
Katika wazalendo walikuwepo wenye imani tofauti kama Uislam, Ukristo, wasiaoamini, Wapagani na Watu wa Matambiko.

Huwezi kusema kuna wazee walisoma Tawasul halafu ukanyamaza kusema kuhusu Matambaiko.
Wakati wa kujenga wingi unachukua wa matambiko na unaowataka na kusema wote ni wako ''waislam'.
Kama unakubali wote ni wako basi lazima ujiulize kama Shiriki ni sehemu ya Uislam.

Mohamed Said anongelea dua hawaelezi ukweli kuwa kulikuwa na 'shiriki'kwa mujibu wa neno la kiislam au Tambiko kwa lugha ya kiswahili. Nyerere alikuwa honesty na kusimama mbele ya kipaza sauti na kusema yalifanywa haya akiwepo ingawa alikuwa mkorofi lakini anakiri yalifanyika.

Nyerere ni tofauti na hawa wanosema Tawasul na kuficha ukweli kuwa kulikuwa na matambiko halafu wansema wameandika siku nyinyi.Wanafiki si watu wema kuanadamana nao.

Nilisema huko nyuma kuwa kuna mambo mazito tunaongozwa na busara, nadhani Chamvinga na wenzako mnaona jinsi ambavyo ni wepesi wa kurukia hoja wakati hamjui background, mnaandika bila kuangalia side mirror.

Tunachokisema hapa ni testimony kutoka kwenu wenyewe kuwa UHURU si jitihada za kundi ni jitihada za Wazalendo na kila mbinu na silaha ilitumika. Tunawashukuru wazee wote bila ubaguzi.

Msijaribu kuongea na kufikia mahali watu wakashindwa kuelewa kama mnauelewa(weledi) na kile mnachokitetea au mnachokiamini. Huwezi kuwa na Uislam na Shiriki halafu ukachagua masaa ya makundi hao, wapi unataka uwe na kundi gani na wakati gani. Acheni kuita watu majina machafu, tazameni nafsi zenu kwanza!

 
Wickama na Nguruvi3 hoja ya 'DUA' na 'TAMBIKO' au hizo TAWASUL zilizokuwa zinafanywa na wazee hao wa kiislamu na mwl Nyerere mmesimama nayo lakini lengo lenu ni kutaka kuonyesha hawa wazee walikuwa wanapigania uhuru wa nchi yao kama wazalendo na sio waislamu. Ni vyema na hoja nzuri sana. Kwanza nikuelezeni jambo kuhusu hizo dua na tawasul, hizi ni miongoni mwa ibada tukufu za kiislamu ambazo zina 'utaratibu' wake katika ufanywaji kwa mujibu wa mafundisho ya imani ya kiislamu. TAMBIKO sio sehemu katika ibado ndani ya uislamu. Suala la pili kuhusu ufanywaji wa hizo dua, ima tawasul au tambiko na wazee hao wa kiislamu wakijimuisha na wakristo akiwamo Nyerere kwa ajili ya taifa lao walilokuwa wanapigania hii si hoja kuwa hao hawakuwa waislamu ila wazalendo bali walibakia na uislamu wao na uzalendo wao. Yaani walipigania uhuru wa taifa lao wao wakiongozwa na taratibu walizoziona wao ni za kiislamu kama dua, tawasul n.k ambazo naamini ndio kilichomchukiza nyerere ila hakuwa na la kufanya kwakuwa hakuwa na nguvu ila alikuwa akisubiria right time kuwafuta. Hoja ya msingi ambayo naamini mzee Mohamed Said imemsukuma mpaka kuandika historia sahihi ya ukombozi wa nchi hii ni kwakuwa waliopigania nchi yao wamesaulika tena kwa makusudi na kupewa appreciation wachache ambao mchango wao hata haukuwa kihivyo. Swali la msingi Ni kwanini historia ya taifa hili iwasahau mashujaa hawa kumbe wao walipigania taifa lao kiuzalendo? Kama haikuwa mipango dhabiti ya kuwadidimiza wao na jamii yao na chuki kwa sababu ya dini yao ilikuwa ni nini?. Na uhuru ulipopatikana ndipo akatekeleza malengo yake ikiwa ni pamoja na kuwaua, kuwafunga, kuwahamisha walewale waliokuwa wanamkarisha na kumsomea dua. Uhuru ulipopatikana alijitahidi kufuta kila kilichokuwa chema kwa waislamu ikiwa ni pamoja na kuunda BAKWATA na kuvunja taasisi iliyokuwapo n.k. Hiki ni kitendo kisichokubalika na kuvumilika. Watu wanapojitokeza kuzungumza ukweli na kukumbusha watanzania mashujaa ambao ndio waliongoza ukombozi wa taifa lao wanaitwa wadini kwanini>sababu maandishi yao yamejaa majina ya waislaam ambao walikuwa mashujaa wa uhuru.


Chamviga; Awali ya yote hii uliyoiandika ni mwanzo mzuri wa kuelimashana. Ni nzuri sana. Usipoteze sana heshima na murua wako kunitusi kama mtu nayetaka kumlisha swahiba yako fulani NYAMA HARAM. Tumia nishati yako kwenye mambo stahiki na yenye tija kama hili.

1. Kweli hawa walichangia kile walichojaliwa kuwa nacho. Hii ilikuwa mali (Nyerere akikirimiwa hadi masokoni), imani (ndio maana akaacha kazi ya pesa nyingi akiamini yuko na watu wenye neno thabiti) na hali yaani kama hizo dua na kadhalika. Umesema kweli.

2. Wazee hawa walimfanyia dua na heshima stahiki Julius kama uislamu unavyowaagiza kwa kiasi chao kama waislamu. Maelezo yako ya Tawasul ni safi kabisa na ni darsa zuri kwa wengi. YAWEZEKANA pia nyumbani kwa wanaTANU WASIO Waislamu (wakina Rupia, Mareale, Wazee wa Mbeya, Iringa nk) Julius aliombewa kwa namna wanavyojuwa wao majumbani mwao. Hatujui na hatukatai.

Panaposumbua ni kama ifuatavyo. Tafadhali changieni mawazo;
a; Chifu Mareale ni miongoni mwa wafadhili wakubwa sana wa Julius kipindi hicho pia, Jee ni sawa kusema mchango wa Mareale (na wengine kama yeye) ndio mchango wa madhehebu yao ya dini?
b; John Rupia alikuwa maarufu na alitoa mchango mkubwa sana ndani ya TANU, itakuwa sawa kusema michango ya John Rupia ndio michango stahiki ya dini na dhehebu la mzee Rupia?
c; Jenerali Marwa ni Miongoni mwa makamanda walioongoza mapambano dhidi ya Idd Amin, Jee ni sawa tukasema huu ndio mchango wa dhehebu lake au wa wakurya katika kuikomboa Kagera?
d; Bibi Titi Mohammed, na kina Tewa Said walipanda kwenye majukwaa kupambana na mkoloni. Jee ni kwa sababu ni waislamu au kwa sababu walikuwa wazalendo walioitaka Tanganyika huru?
e; Upinzani mkali sana wa kura tatu (uamuzi wa busara-tabora) ulitoka kanda ya ziwa tena ukawapambanisha Nyerere na Bhoke Munanka. Sasa huyu Munanka alipinga kura tatu akiwa kama Mkurya, Mkiristo? Na mbona waliotoka kule kuunda AMNUT sio yeye?

Ama kuhusu kauli yako ya viongozi wa kiislamu kuwekwa magerezani baada ya uhuru ni jambo la kusikitisha. Mimi sizijui sababu kwa sababu hawa walikuwa ni watu wa karibu na Julius wakati wa mapambano. Tafuta paper ya Dr Issa Ziddy...... EAMWS. Utapata hint.

Chamviga, Nyerere alikuwa mkali. Mimi natokea Mara. Ndugu zetu kibao waliishia kizuizini tena kwa miaka kibao kwa sababu ya pombe ya gongo. Ni bahati tuu kwamba mahabusu hawa wengi hawakuwa hata na dini au basi tuseme sio waislamu.

Hayo maandishi ya MS yanayo niche yake. Yana wasomaji wake na hata vyuo husika, sioni tatizo lake. Ni juu ya wizara husika, shule huru na vyuo kuangalia wanahitaji nini kwa lengo gani.

Ama hoja yako kuhusu Bakwata, mimi sina undani wa masuala haya ya Bakwata. Na wala sijui kama lazima uifuate Bakwata. Nachojua kwa sasa ni kama Super market. Taasisi Kibao. Kama Bakwata wanakuboa, tafuta Taasisi (Dar, Moro etc) inayokidhi moyo wako dumu huko. Vipi ujipe maradhi ya bure!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom