Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle


Nimekusoma sana ndugu yangu Ritz. Huyo Wickama anataka kukukaribisha nyumbani kwako? Mbona viojo hivyo. Tanga ni kwako na nduguzo tupo huku anytime wewe ingia tu wala usipegehodi.
 
Last edited by a moderator:

Nguruvi,
Kama huyo Mohamed Said uliyemkusudia ni huyu Mohamed Said wa JF na Gerezani
kuwa alikuwa Bakwata napenda kukutaarifu kuwa sijapata.

Namshukuru Allah kwa neema hii na asinijalie kamwe.
 

Kwi kwi kwi dr. kahtaan nyundo tumekupa wewe gongea tu misumali.
 
Last edited by a moderator:

Ayatoola chamvinga unaweza kutusaidia kidogo

Kwi kwi kwi. Kwahiyo huko kuchinjiwa ndio mtama uliokuwa unashindwa kuumwaga kipindi chote hicho mpaka njiwa Ritz na kuku wangu wanapungukiwa na chakula? We unavioja si kidogo. Hivi unajua kuwa nyerere alikuwa mshirikina?
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh! Nguruvi3. haushi vituko acha mkwara mbuzi, vipi umeishakubali TANU iliundwa Barma?

Eti jamvi alikaliki hivi kuna mtu humu unaweza kumkimbiza teh teh teh!

Mwaga basi huo mtama wako njiwa wanataka kula, kila siku nakuambia dini yetu imetukataza kuwakimbia maadui ni haram.
 
Last edited by a moderator:

ngoja nikuitie ayatollah mzeee MS unaumbwa ujibu hoja hapo juu
 
Najua mumeanza jitihada za kuzua vituko kuikwepa hoja hiyo.
 
Kwanza naomba usiniwekee maneno mdomoni.

Pili, unaposema habari za Cecil Matola hazijulikani si kweli. Hazijulikani kwasababu hukutaka zijulikane.

Duhh! master of spinning Nguruvi3, hiki hapa kipande alichotajwa matola, sijaona hata sehemu moja Mohamed Said kuandika unavyozuwa wewe kuwe eti "hajulikani". Ni wapi hapo, hebu lioneshe jamvi. Haaifai kuzuwa kijana.

Mohamed Said anasema, Cecil Matola "taarifa zake ni chache sana". Hayo uliyoandika wewe umeyatowa wapi?
 
Last edited by a moderator:

Nguruvi sijui kama naweza kukidhi swali lako.
Navyokumbuka, Nyerere alikuwa anarejea (refer) katika ibada alizofanyiwa wakati wa kupigania uhuru, ambazo ndani yake kulikuwa na utoaji makafara ya uchinjaji na kwenda makaburini na vitu kama hivyo. Desturi ambazo hivi sasa waislamu wenyewe kama hawa wa Answar Sunna hawataki kabisa hata kuzisikia. Nakumbuka hata kwenye masuala ya mapinduzi zanzibar (soma Kwaheri uhuru.....) kulikuwa tena na makafara ambayo paka walishonwa macho ili waarabu WASIONE kitu kabla ya mapinduzi. Na hayo hawaelekezwa na askofu wala walii. Ila wafanyaji walikuwa ni waislamu pia. Kuna paper moja tuliwahi iweka wazi wakati wa uzi wa Yericko ambapo baba mmoja nadhani ni kule Mwananyamala alikuwa na bango kuwa pale kwake ndipo mahali palipozaliwa TANU. Lakini pia ilikuja kuwa wazi kwamba viongozi wengi wa TANU walikuwa wakimtegemea bwana huyu kwa masuala ya matambiko na kama hayo. Hii piche-pache-puuuu ajabu huwa haitajwi sana. Ni yatima kiasi.

La maana ni kwamba;
1. Kuna mtu anachanganyika na watu wasio dini sawa na yeye kisha akakomaa nao katika ibada zao na wala haikumsumbua kwa sisi nadiriki kusema ni mtihani mgumu

2. Mimi napata picha kuwa hakuwa na dharau, kwa vile ibada hizo japo kama mkatoliki alikuwa anakwazika bado alishiriki hadi mwisho kwa lengo la kujenga umoja wa yeye na wazee waliompokea. Ni ajabu kuwa hapati pongezi juu ya tabia hii.

Sijui kama nimekujibu mkuu. wengine watajazia.
 
Hili swali mtalifanyia kila mzaha na kejeli lakini nawahakikishieni lina ujumbe mzito sana.
 
Excellent! excellent!

Nitaongezea zaidi ili kuibua hoja niliyowahi kuitoa ambayo ilipokelewa kwa majibu ya kejeli na dharau.
Hata ilipojibiwa ilijibiwa kwa njia inayojichanganya. Tutaonyesha madhara ya ushabiki usiozingatia weledi.
Watu wanajifunga kamba.

Ninachotaka kusema ni ahsante sana

 
Nimekusoma sana ndugu yangu Ritz. Huyo Wickama anataka kukukaribisha nyumbani kwako? Mbona viojo hivyo. Tanga ni kwako na nduguzo tupo huku anytime wewe ingia tu wala usipegehodi.

Sheikh Chamviga, huyu ni shemeji yangu tuna muda tunafahamiana humu JF; sasa wamwelekeza ili asinitembelee ila akutembelee wewe? Sunna gani tena hiyo? kama unaishi Tanga ustadh unajua hiyo siyo desturi ya mji huu.

Ritz kweli huku ni kwao, lakini kubisha hodi ni desturi na adabu akifika nyumbani kwa mwenyeji yeyote, sasa tena vipi wamfundisha aingie majumba ya watu bila kubisha hodi?..... Subhanallah...Sheikh wangu vipi? Ritz!!!! hahahahah sina hamu.......Tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:

Kuhusu Dokta Kyaruzi, umeridhika na majibu uliyopewa na Mohamed Said, naona hilo hukuligusia kabisa baada ya hayo majibu na unakuja na viroja badala ya hoja.

Eeeeeehh Faiza weee cheka nnenepe mie, nikonde nna ...?
 
Awali kama unakumbuka tulisema sana humu JF hivi kinachofanya Kirinjiko au Mudio au Buhongwa Islamic seminaries wafaulu kitaifa ni NINI? hili swali wallah halijibiwi, na kwa bahati mbaya kila ukilibold basi Gombesugu unatu-koromea KWANINI?

Ndalichako.
 

Umeielewa post niliyokuwekea? na umeelewa kanisa lilihusika vipi kwenye hizo harakati na Waislaam walihusika vipi? Au ni bongolala?
 
Huyo ni muongo tu, hana lolote, wala usingempa faida ya kumjibu.

Nguruvi,
Kama huyo Mohamed Said uliyemkusudia ni huyu Mohamed Said wa JF na Gerezani
kuwa alikuwa Bakwata napenda kukutaarifu kuwa sijapata.

Namshukuru Allah kwa neema hii na asinijalie kamwe.
Nguruvi3 ulikuwa unadanganya barza! Huoni haya wala hujui vibaya?
 
Mkuu umejieleza vizuri sana, kinacho nishangaza mimi ni baadhi ya Wazalendo wenzetu kuchukulia kimzaa mzaa mambo ambayo yanaweza kabisa kusambalatisha Taifa letu - Katiba yetu inasema Serikali haina DINI, hapo hapo baadhi ya madhebu yanawekwa kwenye a hermitically sealed container wasifurukute - Serikali inafikia hatua ya ku-appoint viongozi wa dini!!! Ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kukubaliana na udikteita huu uliyo kubuhu - waislaam wakilalamika mnasema ni wabaya!!! Kama Serikali ya awamu ya kwanza iliweza kufanya vitu vya kukihuka haki za binadamu kwa kuingilia unnecessarily uendeshaji wa madhehebu hayo, mpaka Serikali inafikia kuchukua such drastic steps ili iwa-contain kwa nini tushangae anacho lalamikia MS, kusema kweli inaonekana wazi wazi kwamba operation hiyo haikuishia kuwachagulia viongozi wa dini tu, bali ilikwenda mbali zaidi kwa kufuta kutoka kwenye historia majina yanayo randana na dini yao, I have no doubt in my mind kwamba it was a well Organised scheme.Naona hapa baadhi ya Wazalendo wanatoa an impression kwamba MS anatetea Uislaam!! Hii si kweli na hilo wanalijua fika, MS anacho pigania hapa ni kuhusu kuandika historia ya kweli ya Taifa letu bila ya ku-arase majina ya wazalendo ambao Viongozi wetu walikuwa na bifu nao, na ukiangalia kwenye machapisho ya Mkuu MS utakuta ameweka majina ya wapiganaji wa dini zote mpaka ya wapagani, mbona suala zima liko wazi kabisa lakini members hilo hawalisemi. Watu wanazungumza mengi humu ya kupoteza lengo, lakini hakuna hata mmoja amawahi kuhoji ni kwa nini Serikali ya hawamu ya kwanza ilikuwa hell bent kusambaratisha organisations za kidini na za wafanyakazi zilizo play a big role kuwaodoa wakoloni wakishirikiana na chama cha TANU!! Sina shaka kwamba nguvu za makundi hayo yalionekana yatakuwa tishio kwa Serikali ya awamu ya kwanza siku za usoni - hii ndio ilikuwa sababu ya msingi ya Serikali kuanzisha BAKWATA na NUTA ili makundi ya awali yavunjwe nguvu - tuwe wakweli hapa. Naona ma-stalwart na mashabeki wa Serikali ya awamu ya kwanza wanajifanya kulisahau hilo na hawataki kuambiwa ukweli. Tukiwa wawazi tutalinusuru Taifa letu, kama Kambarage aliwahi kukili mwenyewe kwamba kuna baadhi ya vitu walifanya ambavyo vilikuwa havifahi - kwa nini wengi wetu tunakuwa na kigugumizi cha kukemea mambo ambayo haya tufahi, yanonekana wazi wazi yana kila dalili za kuvuruga Taifa letu - God forbid.Narudia kusema kwamba, tunacho sahau ni kwamba si rahisi kunyanyasa na kubeza beza kudi fulani la kidini 4ever, alafu mkategemea nyinyi mtabaki salama miaka yote - hilo amulioni!!! Ubishi bushi tu bila ya kutafakali mambo kiundani - hakuna anayejiuliza ni kitu gani kilifanya kundi la Boko-Haram kuhibuka North Nigeria au unafikiri Tanzania is an Island hawawezi kufanya kweli wakiamua - tunajitia ujuaji tu.JF ni barometer tosha ya kuonyesha mambo si shwali kidini-wise katika Taifa letu, jaribu kuangalia members wanavyo jibizana jibizana with emotions kuhusu mambo ya dini hata sehemu ambazo si mahali pake waitibukiza tu, kwa bahati mbaya sisi Wakristo ndio tunaongoza kubeza beza sana wenzetu, tunawasema mambo chungu mzima, kwani hata wakiswali mara elfu kumi kwa siku sisi inatuhusu nini - they know better wanacho kitaka katika maisha yao, Dini yao na Mungu wao.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…