Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Wapi katajwa Mohamed Said? Badala yake nimeeleza 'tumeelekeza..' nikimaanisha sisi. please acheni spinning.

Ulipotaja 'kupata kipato kupitia machapisho yao' ni kina nani hao kama hukumkusudia huyu mzee ambaye ndie aliyeandika historia ya wazee wetu? Kuna sehemu hapo juu umesema sisi tunajadili FRUSTRATION za Mohamedi said kama sio dharau na dhihaka ulikusudia nini?
 
Kuna kitu kinaitwa Paranoia( heavily influenced by anxiety or fear, fear of unknown n.k ) samahani kukuingiza anga kama hizo.

Wewe ni miongoni mwa watu wenye paranoia. Yaani kuandika machapisho basi ishakuwa Mohamed Said kwasababu yeye ndiye anaandika machapisho pekee duniani. Nimeeleza wazi kabisa 'Sisi tumeelekeza' nimeonyesha wamiliki wa sentensi ni sisi. Jamani labda tuongee Kiyemi au kiyunani maana hili linashangaza.

Kuhusu Frustration za Mohamed Said ni kweli Mohamed anazo hasa akiangalia kuwa historia haijaandikwa kama anavyojua yeye. Hata mimi ningekuwa na frustration! Fikiria Mshume amemlisha Nyerere na familia yake na kumpa pesa za kununua kitoweo ili asiende kuomba mboga, leo familia yake haijulikani hivi hiyo haitoshi kuleta frustration kweli!
 

Al.murad CHAMVIGA huyu kijana Nguruvi3 amekuwa akirusha rusha kashfa kama wale kina dada wa uswahilini! Kavaa kanga moja halafu natoa kichwa dirishani, anasema ovyo akiulizwa anasema "kwani umeskia nimetaja jina mie" mnikome babu ee!!

Kijana anaonekana amekulia kama sio kigogo! Basi tandika mikoroshoni pale!

Manake kule kuna wanafiki kama siafu!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:

Kahtaan na Halmashauri...Akina Nguruvi, Shariff Ritz, Gombesugu, Barubaru, Faiza Foxy na wengineo
nimeweka uzi mwingine Jukwaa la Siasa ''Wako Wapi Mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika?''

Hili swali linahitaji jibu.
 
Uliowataja hawatakuja huko kwasabab wamekaa kidini dini.they can't see outside the box.
 

Salaam Sheikh Mohamed Said,

Wallahi nimefurahi kusoma hiko kisa cha Bi. Mluguru

Kwa hakika ni kisa kilojaa hikma na mafunzo ndani yake!

Allah akupe umri mrefu na akuepushe na wale wote wasio kutakia mema!

Muda wangu haunitoshi kwa sasa, lakini na ahidi kurejea na kuandika kila nitakapo jaaliwa!

Inshallah Mwenyezi Mungu atulipe sote kwa yaliyo mema!
 
Last edited by a moderator:
Uliowataja hawatakuja huko kwasabab wamekaa kidini dini.they can't see outside the box.

Sokwe,
Haya mambo halazimishwi mtu.
Ni mambo ya khiyari na khiyari hushinda utumwa.

Hulipendi jambo basi wala hakuna ugomvi.

Hatokuja askari kukugongea mlango usiku kukuuliza
kwa nini hukuja barzani.
 

Tayeb,
Ahsante na Amin.

Bi. Mluguru alikuwa shoga wa bibi yangu mzaa baba Bi. Zena biti Farijala.
Mama wa Kimanyema.

First generation Manyema aliyezaliwa Tanganyika kutokea Belgian Congo.
Nimepokea mengi kutoka kwake.

Huwezi kuamini favourite singer wake alikuwa Harry Belafonte kwa sababu
aliona movie yake ''Island in the Sun.''

Hii ilikuwa katika 1950s.

Mimi katika maneno ya Bi Mluguru ninayoyahifadhi na kuyaenzi ni maneno
aliyosema ilipomfikia taarifa kuwa kuna upasi baina ya wanae Abdu, Ali na
Nyerere...hawasemezani kwa kheri tena baada ya kwishapatikana uhuru.

Hili tuliwekee siku yake.
 
Sioni tofauti ya hii thread na ya hiyo nyingine alioifungua isipokuwa tu, hii inalenga waislamu na ile nyingine ni ya wote, it's too sad. Wanasema ukitaka kuwa moto kuwa moto, lakini huwezi kuwa moto na baridi pia. Sina ugomvi na mtu ila napenda kuwa na mawazo yasioegemea upande wowote ndio msingi wa kujenga ustawi wa jamii yoyote.
 
Hiyo ndiyo tofauti.
 
If that's the case then you don't have conscious mind, and I'm done here.
 
Hapana kahtaan mkubwa, tukizungumzia wapigania uhuru basi tusiweke matabaka otherwise tunajenga chuki na ubaguzi kitu ambacho naona sio kizuri, nchi yetu Ina matatizo mengi sana, tunachekwa mkubwa kwa sisi tunaoishi nje, ninavyowaona mnakashifiana kwasabab tu ya Imani zenu inakatisha tamaa ndio naona ninyamaze kwani mijadala yenye milengo ya kidini huwa sishiriki, we are all one nation, brother and sister wakoloni wamefanikiwa sana kutugawa. na hatuwezi kuona nje ya hapo, ndio maana nawapenda wajapan hawataki kusikia habari za dini, mungu wao ni vichwa vyao.
 

Sawa Mzee MS,
Hebu tupumue kidogo. Utamu wa mnakasha ni kuulizana hata ambiguities. Huoni kama kuna a missing link? Walimnunulia baiskeli, mboga, kumpisha malazi, kumfundisha mavazi rasmi (kaptula-NO). What about cigarettes? Iam curious kujua ni wazee gani walikuwa staunch friends wa Julius lakini pia walikuwa smokers!!!! Haiwezekani kwamba kijiwe chote cha hawa wazee hakukuwa na smokers!!!! We know Julius was a confirmed smoker.

Tafadhali sheikh.
 

Hivi wewe Wickama nimekufuatilia post zako zote Unajifanya muungwana kumbe wapi wewe ni Sawa na panya unang'ata na kupuliza!
 

Wickama,
Haya yote ya baiskeli nk. nk. unataka nikujibu mimi?

Kwa nini nikujibu mimi?
Mie ni chanzo cha taarifa hizo au lipo jingine?
 

Sheikh Chamviga; Hili ni suala la Mtizamo. Katika threads zilizotangulia tulishawahi kumuuliza mzee MS kuwa jee huoni kuwa kusimulia mbele ya hadhara nani alikuwa anampa Julius kitu kama chakula, malazi, nk ili kujenga hoja kuwa hakurudisha fadhila kwa familia stahiki wakati hukumpokea wewe ni katika tabia ambazo hata imani yako ya dini hairuhusu? majibu yake hayakuleta suluhu. Alisema ilikuwa lazima yaandikwe hayo ili historia iwe kamili.

Sasa elewa mzee MS ana haki ya mtizamo wake. Kwa kigezo hicho pia mtu mwingine ana haki ya kuiona tabia ya Mzee MS (sustained focus of ridicule and blame on a dead person for own misfortunes) kama tunda la FRUSTRATION. Hapo ndipo Nguruvi kaelekea.
 
sokwe mjadala huu hauna lengo la udini kwa maana ya kubagua! La hasha.
Lengo la uzi huu ni kujaribu kuwapa haki sawa Wale MASHUJAA WOTE WALIFANIKISHA KUTULETEA UHURU KTK NCHI YETU!

Suala ni moja hapa!

Unapoongelea pirika za kupigania uhuru basi HUNA BUDI KUYATAJA MAKANISA NA MISKITI KTK HISTORIA HII.
Na hili linatokana na harakati hizo kufanywa na watu waliokuwa na imani hizo na pirika hizo kupitia ktk miskiti na makanisa!
Tatizo ni kwamba historia halisi IMEBATILISHWA!
Na kilicho batilisha historia hio ni mfumo mmoja unaotutafuna hapa TZ ULITWAO "MFUMO KRISTO"!
Hakuna ubaya wwt kutaja wapiganiaji wa uhuru wetu kuwa walikuwa ni waislamu au wakristo au wapagani!
Ubaya unakuja pale ambapo utataja imani hizi ili kuonyesha kuwa IMANI YAKO BORA KULIKO NYINGI KTK KUPIGANIA UHURU HUO!!
NA NDICHO ALICHO KIFANYA NYERERE!
Na kama umefuatilia mnakasha huu. Maalim Mohamed Said anajaribu kuuelezea ummah ya kuwa SI WAGALATIA PEKE YAO NDI9 WALIOSHIRIKI KTK PIRIKA HIZO!
LA HASHA! Na WAISLAMU PIA WALIKUWEMO LKN MFUMO KRISTO CHINI YA NYERERE UNAJARIBU KUMUONYESHA NYERERE PEKE YAKE KUWA NDIO SHUJAA!

Na utaona kuwa kuna wenye elimu ndogo wapo humu kuugeuza huu uzi kuwa ni wa kidini na SIO UZI UNAOTAKA KUONYESHA HISTORIA HALISI!

I will give you an example:-
We all know that "GURKAS" MOST OF THEM ARE BUDIST.
Why when there was a demonstration in london regards the "GURKAS" who fought alongside british army since second world war TO BE RECORGNISED,

NOBODY SAYS THAT WAS A RELIGIOUS DEMONSTRATION?

How come today when someone decided to show that MUSLIMS DECERVE TO BE RECORGNISED IN TANZANIAN FREEDOM HISTORIES THAT PEOPLE LIKE YOURSELF THINGS "ITS RELIGIOUS BASED THREAD?? WHY??

The only way I can conclude here is PEOPLE ARE JELOUS!

JELOUS OF KNOWING THAT MUSLIMS DID ENDEED PLAY A BIG PART IN TO THE STRUGLE TOWARDS OUR INDEPENDENCE.

Hakuna mtu kasema waislamu ni mahodari kuliko wagalatia!

Au ni wao tu ndio walioshiriki peke yao!
Historia iandikwe kwa haki!

Thats all brother!
And when that happen, we can all chill and relax and may be you guys can drink that dodoma wine and we can have our sharbati and faluda as always!

Teh teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:

Teh teh teh teh!

We kiumbe wa ajabu sana!

Hizi kebehi zako unazipamba kwa mbweebwe kama unyago wa kidigo! ukidhani watu hawakusomi lengo lako!.

Nadhani paranoia ni wewe ambae unapata taabu sana kila ukiona waislamu wamechangia KWA SANA kukufanya mtu kama wewe kuweza kuwa huru na kuwakashifu na kuushabikia mfumo kristo!
Na yalaiti ungekuwa na uwezo ungepiga marfuku kabisa historia hii ISIONEKANE HADHARANI!
But alhamdulillah, we have people like Mohamed Said who works tirelessly to show the world what is behind the curtains of MFUMO KRISTO!
AND WE LOVE HIM FOR THAT!

You knock yourself out now!
But the truth is out now.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…