Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Muhammad SAW. Fanya adabu na heshima unapoandika jina la Muhammad SAW, nimeshakuona mara kadhaa unabadili liandikwavyo makusudi. Vipi? unaogopa, unatutafuta au ndio heshima ya "Uafrika kwanza" ilivyokufundisha?

Jifunzeni kwanza kuwa na heshima kwa wenzenu kisha muidai hiyo heshima!
 
Teh teh teh teh!

Al akhyi THE BIG SHOW wallahi hawa watu wengine maneno yao hayako makini! Mara hivi mara vile.

Sasa huenda akawa ni nguchiro mdoogo anatoa toa kichwa mi nikafungua mkoba wa AK47.
kumbe rungu tu linamtosha!

Walahi uislamu raha sana!
Tuko pamoja maalim.


Sawa,

Me napoviona hivo vijiti vya moyo huwa hadi nawaonea huruma,nadhani vitakuwa vinakita kweli kweli,

Wajifunze basi staha ili twende sawa
 
Kwahiyo kwako mtu akitaka sababu ya kucheka ni sawa na ameuliza maana ya kucheka?

There we go again,kafir tu huna kingine
Mtu akikuuliza kitu unaishia kumuita kafir

Hivi maana ya kafir ni nini?

Sijakuuliza kucheka ni kitu gani
Nimekuuliza kwanini mnacheka cheka

Ni sawa unaulizwa kazi ya damu ni mwilini mwa binadamu ni nini halafu wewe unasema sababu ya binadamu kuwa na mdomo,huoni kama hiyo ni tofauti?

Umeshindwa kulielewa swali dogo kama hilo unawezaje kuelewa mambo mengine unayoita "hoja za msingi"?

Hebu tuoneshe huo ujinga kijana

Na ukishindwa tutake radhi hapa hapa maana wewe ndio utakuwa ni mwehu maana mwehu yeye akiona mtu amevaa nguo anamuona mjinga

Inawezekana wewe nawe unapoyaona majibu ya msingi unayaona ni ya kijinga kama mwehu

Nipe tafsiri ya Allah kwa kiswahili!
Kisha uniambie Isa kwa kiswahili ni nini!

Ukishindwa tu utakuwa umeudanganya umma wa JF kuwa "hakuna kafir atakaeuliza swali kwa waislam na likakosa majibu/jibu" na itakubidi ututake radhi kwa mara nyingine

Walimu wa nini?
Maswali gani waliouliza yakakosa majibu?

Mmemsomesha nani?
Nyie shule zinawashinda halafu msomeshe mtu?
You must be kidding!

Nani asili ya haki?

Nishakuuliza tayari
Au huoni?

Huna jipya kijana na si lazima kila hoja uchangie,
Ndo maana nikakuambia tulia upate ilmu,

Maulizo yako yoote hapo juu ni ya kututoa katika mada husika, na nina wasiwasi kubwa kama bado wakumbuka mada ilikuwa nini,

Ndo maana nakuambia sasa tulia uwasikilize waalimu wanakufunza nini,
Na twawaomba mods huu uzi usifungwe kwani lengo lenu ninyi naona mwataka tutoa katika uhalisia wa mada nzima,

Fungua uzi hapo nikupe ufafanuzi wa hayo uyatakayo,

Huna ukijuacho si katika majibu wala maswali.
 
Ama la kushinda.
Siwezi kujisikia raha kupata ushindi JF.
Mohamed Said, unauonaje mnakasha unavyokwenda, unajisikiaje unaposoma hoja zinazotolewa na the pack ikiongozwa na kahtaan na wengineo...nina hakika zinakupa raha? Of course that was to be expected. At the end of the day we are all back to square, we all reap what we sow, huwezi kupanda mchicha ukavuna mchele hata mtu ukitukana toka unaamka asubuhi hadi unarudi kitandani usiku. And talking of matusi, wow! Kila nikipata muda kidogo naingia kuwasoma the pack na najifunza mengi kutoka kwao.
 
Last edited by a moderator:
Al Murid THE BIG SHOW,

Shukran kwa ku-break down/amplify hayo majambo kwa huyo Nguruvi3...

Takriban yoote hapo mbona tulishawajibu na kuyajadili kwa kina kwenye posts kadhaa humu,lakini si unawajua dasturi yao...wakishaona mambo yamewazidi hujitia umaluuni wa kurejea kuuliza makhanatha yayo kwa yayo ili ku-divert hoja/mada mbadala au kuleta distraction na kujaza server/s humu Jf kwa utumbo ulojaa kashfa,tashtit...Chembilecho cha Ayatollah Chamviga mipasho ya kwenye kanga! Kwi! Kwi! Kwi!

Kwa kifupi huyo khabith wa kibondei Nguruvi3,ameadhirika na kujishusha mno kwenye mnakasha huu! Kwi! Kwi! Kwi!

Kama kweli angekua na japo maarifa ya kuazima alitakiwa atupe taula ulingoni,maana kwasasa nakhis hali yake ni taabani mno na kabaki wa kujikongoja tu maskini Nguruvi3!? Kwi! Kwi! Kwi!

Chezea Al DuktuuriSheikh Mohamed Said weye!?...si unaona yule punguani mwengine Mag3,hata pua yake anaogopa kutia humu,anamwacha kimada wake anaadhirika humu jamvini!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.


Vijana wa madrasa khabari zetu ni moto wa kuotea mbali na shughuli yetu ni pevu kweli kweli,

Kama kweli unataka kufanya mnakasha na mujadala wenye tija na uhalisia yakubid ujipange kisawa sawa,

Ayatollah Chamviga ni mipasho yake wallahi sijapata kuona,Nguruvi3 dawa yake ni kwena nae taratibu taratibu tuh,

Kuhusu vijiti vya moyo hilo namuachia Alwatan Kahtaan amalizane nae,yampasa kutambua kwamba tupo kwenye mnakasha wala hakuna chuki wala hakuna kutengeneza farki,atulie kwenye mstari alambe dawa kama walivyokuwa na nidham kwa yule babu wao wa loliondo...

Tupo pamoja Al akhiy Gombesugu,nakusoma sana kwa bayana zako,

POPOTE PALE ALIPO MOH SAID HUMU NDAN KWETU SISI TUNAFANYA NI MASKANI YETU,HATUBANDUKI LABDA ABANDUKE YEYE..,TUNAJIVUNIA NAE,TUNATAMBA NAE,NAJUA WANATUONEA DONGE KUWA NA NGULI LA HISTORIA KAMA HILI,TWAPATA BURDAN KWA KWELI ISIYO NA KIFANI
 
Huna jipya kijana na si lazima kila hoja uchangie,
Ndo maana nikakuambia tulia upate ilmu,

Maulizo yako yoote hapo juu ni ya kututoa katika mada husika, na nina wasiwasi kubwa kama bado wakumbuka mada ilikuwa nini,

Ndo maana nakuambia sasa tulia uwasikilize waalimu wanakufunza nini,
Na twawaomba mods huu uzi usifungwe kwani lengo lenu ninyi naona mwataka tutoa katika uhalisia wa mada nzima,

Fungua uzi hapo nikupe ufafanuzi wa hayo uyatakayo,

Huna ukijuacho si katika majibu wala maswali.

Umechanganyikiwa au umesahau ulichosema au huna majibu ya maswali yangu?

Si ni wewe mwenyewe uliniambia hakuna swali litakaloulizwa na kafir likakosa majibu?

Sasa mbona hakuna majibu?
 
Mohamed Said, unauonaje mnakasha unavyokwenda, unajisikiaje unaposoma hoja zinazotolewa na the pack ikiongozwa na kahtaan na wengineo...nina hakika zinakupa raha? Of course that was to be expected. At the end of the day we are all back to square, we all reap what we sow, huwezi kupanda mchicha ukavuna mchele hata mtu ukitukana toka unaamka asubuhi hadi unarudi kitandani usiku. And talking of matusi, wow! Kila nikipata muda kidogo naingia kuwasoma the pack na najifunza mengi kutoka kwao.


Chambua kinachokufaa,angalia kwa umakini hoja zilizopo na mwelekeo wa lugha mbali mbali na sababu zilizopelekea kutokea kwa lugha hizo,

Naona unataka kuhamisha mada kwamba manufaa ya kile kinachozungumzwa na kujadiliwa kutoka kwenye mada kuu si chochote na si lolote isipokuwa ni farki,hilo unalisema wewe,

Ila wenye uelewa na maono ya mbali wanajua ukweli uko wapi,na upotofu uko wapi,hoja zipo nyingi sana na pia yapo mengi sana ya kujifunza
 
Uislamu kunaubaguzi tena mbaya sana. Achana na hadisi za faizafoxy wewe angalia sasa hivi tu kunaubagu mbaya tena kati ya waislamu kwa waislam.
1. Angalia sudan tu walikuwa waarabu wanawaua waislamu weuisi. Na pale Khartoum utakuta waisla mweusi wanaishi sehemu mbovu.

2. Watu wanaofanya kazi uarabuni kama Kuwait Daktari Muislam Muarabu mkuwait alalipwa zaidi kuliko Daktari Muislam Mbantu.

3. Angalia hapo somalia wao wote waislamu lakini wanapigana miaka nenda rudi.

4 Al Qaida walikuwa wakitoaga pesa ya kuisaidia familia za wanaojilipua. Nawalikuwa wanawalipa hela ndogo watu weusi kuliko waarabu. Wala sio siri.

5. kilamtu anajua ugomvi wa sunni na shia. Wanalipuana kilasiku hapo Iraki. Tena kuona jinsi ilivyokua mbayaa we kawaangalie wairani huwa wanasiku wanamkumbukaga Ali alivyoteswa na waislamu wenzake kwakujitia bakora wenyewe kwenye migongo yao. Utakuta mibaba mizima inalia kwasababu ya uchungu wa mateso aliyopata Ali. Kitu kingine ambacho hata waislamu wengine hawajui nikwamba shia wanaamini Kuruani ilichakachuliwa ilikumuondoa ali kwenye kuruani kwasababu yeye ndie alitakiwa kumfuata mtume kwa ukubwa katita dini baada ya mtume kufa. Alafu watu wanatuambia kuruani haijaandikwa wakati shia wanasema imechakachuliwa

Umechanganya madesa kama tulivyokuwa twaita kule university, ukiachilia uongo wa madai yako mimi nikuulize swali rahisi je unaweza kuleta kipande chochote cha Aya au hadith kinachoonyesha huo ubaguzi katika uislamu? Mtu mzima umeshindwa kutofautisha waislamu na uislamu?. Ungekuwa muadilifu ungezungumza ubaguzi kwa mujibu wa uislamu na sio waislamu.
 
ndugu yangu Ritz hayo matusi si mazuri kwa baba wa taifa. Jadili kwa hekima na heshima.
Muacheni Nyerere apumzike,

Kama nyerere huko aliko kapunzika basi Mungu hayupo fair kabisa. Ukiachilia mbali ukafiri wake ambao ni tiketi tosha ya kuwa katika adhabu lakini mauaji aliyoyafanya kwa innocent pia yanatosha kumfanya awe katika adhabu mbele ya Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Shariff Ritz,

Salaam.

Yaani ndo kwanza natia maguu humu jamvini,naangua kicheko kwa jinsi bayana zenu "zilivyovuruga" hili jamvi! Kwi! Kwi! Kwi!

Huyo mnafiki Remote anayeeneza Islamophobia humu Jf takriban kila kwenye thread/s...ni uzuri mno hivyo ulimvyomjibu.

Huyo mpuuzi kweli,yaani wao kutukana Wazee Wetu matusi na kashfa za nguoni ndo wanaona sawa!?...embu kama yeye kweli ni muungwana na ana hishma japo ya kuazima mwambie achungulie kila post humu jamvini,aone ni vipi sisi hulazim kujibu hayo makhanatha yao!?

Wao kutukana Dini/Imani yetu,khasa Mtume wetu mtukufu na Alllah,ndo wanaona ati ni sawa!?

Na woote wamekaa kimya,wanachungulia wakirejea na kucheka...khalaf kwa akili zao mbovu ndo wanataraji ati nasi tukae kimya bila ya kujibu hayo makhantha yao na ku-protect dignity yetu!?

Kwa kifupi,mindhali wao wamefungulia hili sega la nyuki,sisi hatutorejea nyuma asilan!

Wao kama wanaona yakuwa yule khabith Nyerere ndo bora au wanamlinganisha na darja ya Mtume wetu mtukufu...hapa wamekosea njia!

Khalaf utaona anatokea mnafiki mwingine kama Wickama,Mkristo anaejifanza ati ni Muislam...yoote anayotukanwa Mtume wetu Mtukufu na Dini yetu,yeye huwa kimya kabisa,lakini anastaajabisha huyo mtu wa Tarime,ati akiguswa yule haramia wao Nyerere kiduchu tu...basi ati yule Wickama atajaribu "kuchambua" Quraan nzima na khadith za Mtume ili tu ku-justify makhanatha ya yule maluuni Nyerere!?

Nipa salaam zangu za dhati kwa woote khasa ndugu zetu hapa jamvini;Maulana Dr Kahtaan,Al Murid THE BIG SHOW,Hajjat Faizafoxy,Ulamaa Boko Haram,Mujtahid Wabara,Ayatollah Chamviga,Al Akhiy Polite,Al Akhiy Faby,Ustaadh Hassanalis,Al Habiby Al Tayeb na wengineo...waambia yakuwa khabar zao ni ndefu mno na bayana zao mubashar ni tamu mno ndo nazipitia hapa kiduchu! Kwi! Kwi! Kwi!

Nipa fursa nikwache kiduchu maana pana jamaa hapa nataka nimtohoe kwa majiti ya roho! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Nakusoma sana ndugu yangu gombesugu.
 
sawa al akhiy..

Remote sijui huu upole umeupata wapi? Nizoea kusoma matusi ya dhahiri ukiutukana uislamu na waislamu hapa jamvini ila sikuhizi naona tofauti. Ooh! Ok nimekumbuka umeona madhara yake kwa chama chako ee? Kumbuka ukiutukana uislamu kiongozi na mpambe kama wewe wa chadema ndio unapokichafua chama chako. Keep it up.
 
Last edited by a moderator:
Umechanganya madesa kama tulivyokuwa twaita kule university, ukiachilia uongo wa madai yako mimi nikuulize swali rahisi je unaweza kuleta kipande chochote cha Aya au hadith kinachoonyesha huo ubaguzi katika uislamu? Mtu mzima umeshindwa kutofautisha waislamu na uislamu?. Ungekuwa muadilifu ungezungumza ubaguzi kwa mujibu wa uislamu na sio waislamu.

Al akhy nakusoma taratibu huku napata kahawa.
Ahsanta
 
Remote sijui huu upole umeupata wapi? Nizoea kusoma matusi ya dhahiri ukiutukana uislamu na waislamu hapa jamvini ila sikuhizi naona tofauti. Ooh! Ok nimekumbuka umeona madhara yake kwa chama chako ee? Kumbuka ukiutukana uislamu kiongozi na mpambe kama wewe wa chadema ndio unapokichafua chama chako. Keep it up.

Mkuu huyu jamaa ni panya anang'ata na kupuliza waarabu wanamuita "almunafikuna"
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi. Amani ya mungu iwe juu yenu wote!
NAOMBA RADHI.

Mi nataka kutoka nje ya mada kidogo.

Unajua toka mwanzo bwana Nguruvi3 na mwenzake Mag3 wamekua wakipeenda sana kutumia maneno kama "inshallah" jazakallah" assalamu alaikum" na meengi ambayo kwa.watu wasio wajua unaweza kupumbaika Wakadhani hawa na WAISLAMU!
Kumbe maskini za mungu bado wako ktk ukafiri!
(Tafadhali msiseme ukafiri ni kashfa! La hasha! Hiki ni cheo)

Sasa mi ushauri wangu ni kuwa, kwa nini wasiingie jumla tu! Wakawa na wao ktk mufaizuun! Tena hasa huyu Nguruvi3 manake wabondei kumfundisha quraan ni kazi ya ziada lkn huyu anaonekana amekaa sana na wadigo! Zile lahja za kiislamu anazo tena kwa wingi tu!

Sasa mimi bwana Nguruvi3 nakukaribisha ktk UISLAMU bwana!

Huku kaka hakuna cha kubatizwa wala kunyweshwa sijui damu ya bwana wala ya mwana!

We ikifika ramadhani si unaona mwenyewe!? Mambo ni faluda. Mihamri. Vibibi, futari za nazi. Na mengi mengineyo!

Wachana na hayo ma kitimoto na uchafu mingine.
Au unasemaje?? Hata kama hujatiwa sunnah (hujatairi) unakaribishwa hivo hivo!
Tutakutahiri mbele ya safari.TENA BURE!
Na kama huna jiko! Basi nasema hadharani hapa kuwa gharama za harusi juu yangu.
Haya ofa hio utaikubali??

Dr. kahtaan akhsante sana kwa daawa hii ya kumkaribisha Nguruvi3 katika nuru ya imani na uongofu na kuachana na giza la upotofu. Kama hatosikia daawa hii isikuumize hata Mtume SAW alifanyia daawa watu kama Abu Jahar, Abdul Mutwalib,Walid ibn Mughira na mwisho wakafa makafiri. Mpaka Mungu akamliwaza Mtume kwakumuambia usiumize nafsi kwani Mungu humuongoza ampendae. Sababu hizi humfanya mtu kuikataa haki pale inapomthibitikia 1. Ujinga, 2. Kiburi, 3. Khofu, 4. Kuzama ktk maaswi, 5. Husda, 6. Matamanio ya nafsi, 7. Kusuhubiana na marafiki wabaya, n.k kwahiyo huenda ikawa ni tatizo kwake endapo hatoikubali daawa ila usikate tamaa endelea kufanya daawa. Mungu humuongoza amtakae na kumpoteza amtakae.
 
Last edited by a moderator:
Umechanganyikiwa au umesahau ulichosema au huna majibu ya maswali yangu?

Si ni wewe mwenyewe uliniambia hakuna swali litakaloulizwa na kafir likakosa majibu?

Sasa mbona hakuna majibu?

Katika watapatapaji na wahanga njaa ndani ya kanisa weye hukosi,
Ulichokitaka na nilichokuomba ni vitu viwili katika umoja,
Sasa ili kufahamu uyatakayo nimekuambia utaharibu uzi na utatutoa katika mlengo,
Nimekuomba ufungue uzi hayo maulizo nikupe darsa, waleta conlusion, sishangai itakuwa ni katika maunzo ya hekaluni,

Sasa huoni nikuambiayo umetumwa kuharibu uzi nipo sawa?
Ulipotaka kuuweka huo mchanyato wako si pahala pake,

Nakupa mfano maana hata bwana Yesu alipenda kunena na watu wake kwa mifano, umenunua kiatu cha Tsh. 250,000/= na unatakaenda eti panda navyo kitandani ambapo pana shuka la Tsh. 15,000/=,
Weye kwa akili zako upo sawa?!
Sasa nakutaka nawe upange kila jambo sehemu stahiki,

Ama ndo hamnazo bin potelea mbali?

Mkatonta wewe naamini utakuwa umeelimika japo si dasturi yako,

Teh teh teh...!
 
Vijana wa madrasa khabari zetu ni moto wa kuotea mbali na shughuli yetu ni pevu kweli kweli,

Kama kweli unataka kufanya mnakasha na mujadala wenye tija na uhalisia yakubid ujipange kisawa sawa,

Ayatollah Chamviga ni mipasho yake wallahi sijapata kuona,Nguruvi3 dawa yake ni kwena nae taratibu taratibu tuh,

Kuhusu vijiti vya moyo hilo namuachia Alwatan Kahtaan amalizane nae,yampasa kutambua kwamba tupo kwenye mnakasha wala hakuna chuki wala hakuna kutengeneza farki,atulie kwenye mstari alambe dawa kama walivyokuwa na nidham kwa yule babu wao wa loliondo...

Tupo pamoja Al akhiy Gombesugu,nakusoma sana kwa bayana zako,

POPOTE PALE ALIPO MOH SAID HUMU NDAN KWETU SISI TUNAFANYA NI MASKANI YETU,HATUBANDUKI LABDA ABANDUKE YEYE..,TUNAJIVUNIA NAE,TUNATAMBA NAE,NAJUA WANATUONEA DONGE KUWA NA NGULI LA HISTORIA KAMA HILI,TWAPATA BURDAN KWA KWELI ISIYO NA KIFANI

Nakusomeni maikhwa kwa utuvu wa hali ya juu sana kwahizi bayana zenu.
 
Katika watapatapaji na wahanga njaa ndani ya kanisa weye hukosi,
Ulichokitaka na nilichokuomba ni vitu viwili katika umoja,
Sasa ili kufahamu uyatakayo nimekuambia utaharibu uzi na utatutoa katika mlengo,
Nimekuomba ufungue uzi hayo maulizo nikupe darsa, waleta conlusion, sishangai itakuwa ni katika maunzo ya hekaluni,

Sasa huoni nikuambiayo umetumwa kuharibu uzi nipo sawa?
Ulipotaka kuuweka huo mchanyato wako si pahala pake,

Nakupa mfano maana hata bwana Yesu alipenda kunena na watu wake kwa mifano, umenunua kiatu cha Tsh. 250,000/= na unatakaenda eti panda navyo kitandani ambapo pana shuka la Tsh. 15,000/=,
Weye kwa akili zako upo sawa?!
Sasa nakutaka nawe upange kila jambo sehemu stahiki,

Ama ndo hamnazo bin potelea mbali?

Mkatonta wewe naamini utakuwa umeelimika japo si dasturi yako,

Teh teh teh...!

The absurdity of your writings is widely open!
 
Hata siasa ni dini, kama huijui maana ya dini inabidi kwanza uijue maana ya dini. Ngoja nikupe darsa dogo;

Dini ni njia na muongozo wa kupitia katika mfumo wa maisha ya kila siku, safari uliyokuwa nayo duniani hadidu rejea yake ndio dini yako, kwa hiyo kama wewe unaamini Uislaam ndio dini (njia yako), Kama unaamini Ukristo ndio dini (njia yako), kama Unaamini Upagani, Uhindi, Ubuddha, Mti, kenge, kondoo, panya, sayansi, katiba, basi hiyo unayoamini kuwa ni rejea yako ya mwisho ya kukuongoza katika uyafanyayo kila siku ndio dini (njia yako).

Hapa kinachoongelewa ni siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggle", au una usongo kwa kuwa unajuwa kuwa Kanisa halikuwemo katika "freedom struggle"?


Umemjibu vema , taratibu ataelewa ....
 
We nguchiro! Unapoongea maneno kama haya! Unatuwekea na ushahidi kidogo!
Midomo inayotoa mapovu ni miingi mno humu jf!
Stori zako zoote hapo juu. Nyingi tunaziskia kila siku kwenye magazeti ya kigalatia! Na nimesema mara chungu mbovu! WAARABU SIO WAWAKILISHI WA UISLAMU!!!!!
Mbona nyie wagalatia vichwa maji namna hii!???
KATIKA WAISLAMU BILIONI 2 NA ZAIDI,
WAARABU NI ASILIMIA 15% TU!!

SASA MBONA HUSEMI HIO ASLIMIA 85% ILIYOBAKI??

Kama wewe umekwenda shule Ungefahamu kuwa asilimia kubwa ya waislamu ni INDONESIA AMBAO WAKO ZAIDI YA MILIONI 200!!
sasa je unajua namna gani maisha ya waindonesia yalivyo?? Namna gani wanavyo thamini au kudharau weusi??
Mishahara yao na weusi ni sawa??
Wanakula chakula gani??
Hupendekea nini??

NA HAKIKA 100% HUJUI CHOCHOTE KUHUSU HAWA WATU!

NA SIO WEWE TU! KARIBU WAGALATIA WOTE HAWAJUI HATA NAMNA YA KUUTUKANA UISLAMU!

LEO HII KUJISAFISHA KWA KUFUATA ANDIKO LENU WENYEWE HAMJUI!
KWELI UTAJUA SUNNI NA SHIA NI KITU GANI??

Mimi kujaribu kukuelekeza wewe CattleRustler NINI MAANA YA SUNNI AU SHIA! NI SAWA NA KUMFUMDISHA MTOTO WA CHEKECHEA ALJEBRA!.

Sisi ukristo tunaufahamu kuliko nyie mnavyo ufahamu uislamu! Na hilo ndio tatizo kubwa mno!

Mnatujazia server hapa kwa utumbo mnao urudia kila siku!

Hebu ingia kwa huyo padri wenu anaitwa GOOGLE Mtafute kipya!

Kama umekosa kakojoe ulale!

Dah ulishamaliza kulla kitu hapa akhy maulaana dr kahtaan.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom