Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Muhammad SAW. Fanya adabu na heshima unapoandika jina la Muhammad SAW, nimeshakuona mara kadhaa unabadili liandikwavyo makusudi. Vipi? unaogopa, unatutafuta au ndio heshima ya "Uafrika kwanza" ilivyokufundisha?

Jifunzeni kwanza kuwa na heshima kwa wenzenu kisha muidai hiyo heshima!
 


Sawa,

Me napoviona hivo vijiti vya moyo huwa hadi nawaonea huruma,nadhani vitakuwa vinakita kweli kweli,

Wajifunze basi staha ili twende sawa
 

Huna jipya kijana na si lazima kila hoja uchangie,
Ndo maana nikakuambia tulia upate ilmu,

Maulizo yako yoote hapo juu ni ya kututoa katika mada husika, na nina wasiwasi kubwa kama bado wakumbuka mada ilikuwa nini,

Ndo maana nakuambia sasa tulia uwasikilize waalimu wanakufunza nini,
Na twawaomba mods huu uzi usifungwe kwani lengo lenu ninyi naona mwataka tutoa katika uhalisia wa mada nzima,

Fungua uzi hapo nikupe ufafanuzi wa hayo uyatakayo,

Huna ukijuacho si katika majibu wala maswali.
 
Ama la kushinda.
Siwezi kujisikia raha kupata ushindi JF.
Mohamed Said, unauonaje mnakasha unavyokwenda, unajisikiaje unaposoma hoja zinazotolewa na the pack ikiongozwa na kahtaan na wengineo...nina hakika zinakupa raha? Of course that was to be expected. At the end of the day we are all back to square, we all reap what we sow, huwezi kupanda mchicha ukavuna mchele hata mtu ukitukana toka unaamka asubuhi hadi unarudi kitandani usiku. And talking of matusi, wow! Kila nikipata muda kidogo naingia kuwasoma the pack na najifunza mengi kutoka kwao.
 
Last edited by a moderator:


Vijana wa madrasa khabari zetu ni moto wa kuotea mbali na shughuli yetu ni pevu kweli kweli,

Kama kweli unataka kufanya mnakasha na mujadala wenye tija na uhalisia yakubid ujipange kisawa sawa,

Ayatollah Chamviga ni mipasho yake wallahi sijapata kuona,Nguruvi3 dawa yake ni kwena nae taratibu taratibu tuh,

Kuhusu vijiti vya moyo hilo namuachia Alwatan Kahtaan amalizane nae,yampasa kutambua kwamba tupo kwenye mnakasha wala hakuna chuki wala hakuna kutengeneza farki,atulie kwenye mstari alambe dawa kama walivyokuwa na nidham kwa yule babu wao wa loliondo...

Tupo pamoja Al akhiy Gombesugu,nakusoma sana kwa bayana zako,

POPOTE PALE ALIPO MOH SAID HUMU NDAN KWETU SISI TUNAFANYA NI MASKANI YETU,HATUBANDUKI LABDA ABANDUKE YEYE..,TUNAJIVUNIA NAE,TUNATAMBA NAE,NAJUA WANATUONEA DONGE KUWA NA NGULI LA HISTORIA KAMA HILI,TWAPATA BURDAN KWA KWELI ISIYO NA KIFANI
 

Umechanganyikiwa au umesahau ulichosema au huna majibu ya maswali yangu?

Si ni wewe mwenyewe uliniambia hakuna swali litakaloulizwa na kafir likakosa majibu?

Sasa mbona hakuna majibu?
 


Chambua kinachokufaa,angalia kwa umakini hoja zilizopo na mwelekeo wa lugha mbali mbali na sababu zilizopelekea kutokea kwa lugha hizo,

Naona unataka kuhamisha mada kwamba manufaa ya kile kinachozungumzwa na kujadiliwa kutoka kwenye mada kuu si chochote na si lolote isipokuwa ni farki,hilo unalisema wewe,

Ila wenye uelewa na maono ya mbali wanajua ukweli uko wapi,na upotofu uko wapi,hoja zipo nyingi sana na pia yapo mengi sana ya kujifunza
 

Umechanganya madesa kama tulivyokuwa twaita kule university, ukiachilia uongo wa madai yako mimi nikuulize swali rahisi je unaweza kuleta kipande chochote cha Aya au hadith kinachoonyesha huo ubaguzi katika uislamu? Mtu mzima umeshindwa kutofautisha waislamu na uislamu?. Ungekuwa muadilifu ungezungumza ubaguzi kwa mujibu wa uislamu na sio waislamu.
 
ndugu yangu Ritz hayo matusi si mazuri kwa baba wa taifa. Jadili kwa hekima na heshima.
Muacheni Nyerere apumzike,

Kama nyerere huko aliko kapunzika basi Mungu hayupo fair kabisa. Ukiachilia mbali ukafiri wake ambao ni tiketi tosha ya kuwa katika adhabu lakini mauaji aliyoyafanya kwa innocent pia yanatosha kumfanya awe katika adhabu mbele ya Mungu.
 
Last edited by a moderator:

Nakusoma sana ndugu yangu gombesugu.
 
sawa al akhiy..

Remote sijui huu upole umeupata wapi? Nizoea kusoma matusi ya dhahiri ukiutukana uislamu na waislamu hapa jamvini ila sikuhizi naona tofauti. Ooh! Ok nimekumbuka umeona madhara yake kwa chama chako ee? Kumbuka ukiutukana uislamu kiongozi na mpambe kama wewe wa chadema ndio unapokichafua chama chako. Keep it up.
 
Last edited by a moderator:

Al akhy nakusoma taratibu huku napata kahawa.
Ahsanta
 

Mkuu huyu jamaa ni panya anang'ata na kupuliza waarabu wanamuita "almunafikuna"
 
Last edited by a moderator:

Dr. kahtaan akhsante sana kwa daawa hii ya kumkaribisha Nguruvi3 katika nuru ya imani na uongofu na kuachana na giza la upotofu. Kama hatosikia daawa hii isikuumize hata Mtume SAW alifanyia daawa watu kama Abu Jahar, Abdul Mutwalib,Walid ibn Mughira na mwisho wakafa makafiri. Mpaka Mungu akamliwaza Mtume kwakumuambia usiumize nafsi kwani Mungu humuongoza ampendae. Sababu hizi humfanya mtu kuikataa haki pale inapomthibitikia 1. Ujinga, 2. Kiburi, 3. Khofu, 4. Kuzama ktk maaswi, 5. Husda, 6. Matamanio ya nafsi, 7. Kusuhubiana na marafiki wabaya, n.k kwahiyo huenda ikawa ni tatizo kwake endapo hatoikubali daawa ila usikate tamaa endelea kufanya daawa. Mungu humuongoza amtakae na kumpoteza amtakae.
 
Last edited by a moderator:
Umechanganyikiwa au umesahau ulichosema au huna majibu ya maswali yangu?

Si ni wewe mwenyewe uliniambia hakuna swali litakaloulizwa na kafir likakosa majibu?

Sasa mbona hakuna majibu?

Katika watapatapaji na wahanga njaa ndani ya kanisa weye hukosi,
Ulichokitaka na nilichokuomba ni vitu viwili katika umoja,
Sasa ili kufahamu uyatakayo nimekuambia utaharibu uzi na utatutoa katika mlengo,
Nimekuomba ufungue uzi hayo maulizo nikupe darsa, waleta conlusion, sishangai itakuwa ni katika maunzo ya hekaluni,

Sasa huoni nikuambiayo umetumwa kuharibu uzi nipo sawa?
Ulipotaka kuuweka huo mchanyato wako si pahala pake,

Nakupa mfano maana hata bwana Yesu alipenda kunena na watu wake kwa mifano, umenunua kiatu cha Tsh. 250,000/= na unatakaenda eti panda navyo kitandani ambapo pana shuka la Tsh. 15,000/=,
Weye kwa akili zako upo sawa?!
Sasa nakutaka nawe upange kila jambo sehemu stahiki,

Ama ndo hamnazo bin potelea mbali?

Mkatonta wewe naamini utakuwa umeelimika japo si dasturi yako,

Teh teh teh...!
 

Nakusomeni maikhwa kwa utuvu wa hali ya juu sana kwahizi bayana zenu.
 

The absurdity of your writings is widely open!
 


Umemjibu vema , taratibu ataelewa ....
 

Dah ulishamaliza kulla kitu hapa akhy maulaana dr kahtaan.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…