Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Mujitahid Wabara,

Al Jumaa Kareem!

Wallahi,mie hufuatilia kwa karibu mno hizi bayana zako,nakoshwa mno na hizo lahaja na istilahi utumiazo.

Sidhani kama huyo ujaribuye zungumza nae hata kama akufahamu unenani!? Kwi! Kwi!

Ni mughali kwa sasa kupata japo thuluthi ya wenye kuzungumza Kiswahili chenye ladha....lakini pia ndo twarejea kule kule kwa yule Nyerere,maana yeye ndo alotaifisha mpaka lugha yetu na ati kuifanza ni "Lugha ya Taifa"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kila nikusomapo nabubujikwa na machozi,maana wanikumbusha lafidh mwanana za Wazee Wetu maskini.

Napata khisia yakuwa wewe mwenzangu itakua lazim ni muungwana alokamilika wa ki-Mtang'ata!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta sana.
to be honest hata mimi nimecheka, ha ha ha ha.
uzi wangu mwaumwagia tindikali nyie, yaonesha ninyi watu wa visiwani mshaanza hayo mambo yenu ya kupita na vivespa na kurushia watu tindikali. mwaona lugha yenu bora, mwajiona waungwana sana ninyi.
inanshangaza mbona sku hizi mwaenda skuli kujifunza hicho kingereza, si mngekwenda skuli kujifunza zaidi hicho kimakunduchi chenu. hamwoni khaya nyie.kwanza nshawaambia hii mada haiwakhusu, yawakhusu watu wabara tu. ninyi mbakie hivohivo kusubiri waarabu waje waatwae.
 
Mag3

Umetuambia mkutano wa kwanza wa AA ulifanyika nyumbani kwa Cecil Matola, Dar es Salaam.

Kwa faida ya wanaukumbi unaweza kutuambia nyumba yake alikuwa mtaa/sehemu/maeneo gani hapo Kariakoo.

Tashukuru kama utanijibu hili tupate kujifunza.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la kurukia post na kujibu bila kufahamu hoja.

Wewe umesema hao marais siyo Wakirsto nimekuambia tufahamishe dini zao umerukia Al-Shabaab.
huu ndio nauita udhaif wenu, wanlazimisha niachane na mada ili nikujibu hoja isiyo na mashiko. fahamu unapotaja ukristo usihesabu masunagogi wala mahekalu, huwa tunahesabu maisha. ukristo ni maisha.
ni bora kuniambia TB joshua, kakobe, lusekelo, ni wakristo kuliko kunitajia jina la mtu lenye asili ya ukristo na kumwita mkristo. watu wanaishi kwa mila za kwao nyinyi mnawaita wakristo.
unataka kuhusisha vurugu za Congo,Rwanda ni za ukristo. your wrong!!!!!!! ila alshababu, boko haram its pretty obvious wale ni waislamu na wanatekeleza miongoni mwa nguzo za kiislamu za kuua.
 
Asante FaizaFoxy, mimi siye mwana historia na si mwandishi by profession na muda kusema kweli ni tatizo kubwa kwangu...hata hivyo kabla sijajibu swali lako ningependa ufahamu kuwa wengi wa vijana wasomi wa mwanzoni mwa miaka ya 1920 kuendelea walikuwa ni wahitimu wa shule maarufu iliyoitwa Kiungani kisiwani Zanzibar. Mwaka 1866 dhehebu la Kikristo, UMCA, lilinunua sehemu ya ardhi nje kidogo ya mji wa Zanzibar na kujenga hosteli kubwa katika juhudi zao za kuwapa hifadhi wahanga wa Utumwa. Baada ya miaka saba, 1873 walijenga Kanisa lao la kwanza mjini Zanzibar lililojulikana kama Christ Church Cathedral na kufungua kituo cha afya mwaka 1877 ambacho kiliweza kuwa hospitali kamili mwaka 1893.

UMCA ilianzisha shule Kiungani iliyojulikana kama St. Andrew’s College, U.M.C.A. lakini baadaye kwa sababu mbalimbali ilibidi wahamie bara kama inavyosimuliwa hapa;


Kwa nini nasimulia haya? Ni kwa sababu ukitaka kuwajua watu ambao ungeweza kuwaita "elite" wa mji wa Dar es Salaam kwa nyakati hizo, wasomi wa wakati huo wanachukua daraja la kwanza. Cecil Matola alikuwa ni moja wa alumni wa Kiungani na Mwalimu Mwandamizi katika shule ya serikali mjini Dar es Salaam. Wahitimu wa Kiungani walijulikana ndani na nje ya nchi na kulingana na simulizi za John Iliffe ambayo Mohamed Said anazinukuu kila mara, nanukuu; Cecil Matola was a senior African Teacher at the Dar es Salaam School which made him almost an ex officio leader of the capital's educated Africans. Nyakati hizo Ualimu ulikuwa ni profession yenye heshima kubwa katika jamii na haikuwa ajabu kwa mtu maarufu kama Cecil Matola kuchaguliwa kuwa Raisi wa kwanza African Association mwaka 1929.

African Association ilianzishwa kwa baraka za aliyekuwa Gavana wa Tanganyika David Cameron na mkutano wake wa kwanza ulifanyika nyumbani kwa Raisi wake muasisi Cecil Matola. Hii ilifanyika kwa sababu tatu; kwanza hapakuwepo na klabu ama nyumba iliyotosheleza kama ya Cecil Matola, pili hakuwepo mtu aliyeheshimika kama yeye na tatu Cecil Matola alikuwa Mtanganyika halisi, Myao. Mpaka anakuwa Raisi wa AA, alishafanya kazi sehemu mbali mbali ndani na nje ya Tanganyika na kukutana na wasomi mbalimbali wenye mawazo mapya. Sababu kuu ya Mohamed Said kutotaka kujua historia ya Cecil Matola ni kwamba inawaweka wazee wake mamluki wa Kimanyema, Kizulu na Kinubi pakavu. Watu mamluki waliopigana vita dhidi ya Watanganyika wakiwa upande wa Mkoloni eti ndio waongoze harakati dhidi ya mkoloni, wapi na wapi!

Chama cha kwanza kabisa cha wasomi na kilichowakutanisha Waafrika, wafanyakazi na wafanya biashara, kilianzishwa mjini Tanga na Mtanganyika wa kwanza mhitimu wa Kiungani Zanzibar aliyekuwa na cheo cha juu kabisa serikalini mwaka 1922, Martin Kayamba. Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said katika kuhangaikia namna ya kuwakweza wazee wake ambao hawakuwa na uwezo wala sifa za kiuongozi amejikita sana katika kuwachafua wengine. Ikumbukwe maraisi wa AA, TAA na baadaye TANU walikuwa ndio wenyeviti na watendaji wakuu wa hivyo vyama lakini kwa Mohamed Said, maraisi hawa hawakuwa chochote na sifa zote anawapa eti makatibu. Cecil Matola alikuwa ni Raisi muasisi na Mtendaji Mkuu wa AA hadi anafariki katika mazingira yasiyoeleweka wakati huo tayari AA wana nyumba ambayo kiwanja chake walipewa na Gavana David Cameron mtaa wa New Street.

Kusema kweli kukosekana kwetu wengine kwenye huu mjadala kunatokana na kukosa muda lakini nina hakika tupo wengi wenye historia inayopingana na hizi hadithi za mtaani za Mohamed Said...a fellow so obsessed with hatred, so bent on distorting facts and so bent on sowing seeds of discord he will stop at nothing till he accomplishes his evil plans but thank God, that chance he wont get, not on our watch...we wont allow him or his stooges/cronies. Mohamed Said hawezi hata kusema ni lini Mzee Kleist Sykes aliuacha Ukristo na kuingia Uislaam, hawezi kusema lini Chief Kidaha Makwaia aliuacha Uislaam na kuingia Ukatoliki na hawezi kuacha kuonesha chuki yake kwa msomi Martin Kayamba mjukuu wa Chifu Kimweri Zanyumbai Mfalme wa Wakilindi waliowatawala Wasambaa na makabila mengi ya Tanga hata kabla ya Wajerumani.

Kwa leo yatosha FaizaFoxy, ni muda tu unakosekana...

Sasa ni kipi hapo cha Cecil Matola ulichokiandika kipya? naona beti zako zote ni upambe lakini zinazomuhusu Matola ni mistari isiyozidi minne.

Isitoshe, ulivyoandika wewe huko juu na kile kipande ulichokinukuu ni vitu tofauti, ngoja nikuwekee utunyambulie zaidi, tukuamini wewe au uliyemnukuu?

Hii yako wewe:
Mwaka 1866 dhehebu la Kikristo, UMCA, lilinunua sehemu ya ardhi nje kidogo ya mji wa Zanzibar na kujenga hosteli kubwa katika juhudi zao za kuwapa hifadhi wahanga wa Utumwa.

Hii uliyoinukuu:
quote_icon.png
By Minakischool.blogspot.com
Since 1869 the Anglican Missionaries established St. Andrew’s College at Kiungani, Zanzibar for the main purpose of getting Christian converts by 1920 they had failed completely. The church had failed in getting converts and students to join their school.When the first world war broke out in 1914 there were a total of 80 students at kiungani of which 9 were came from Zanzibar and 71 from Mainland. The war broke during the holiday so all 71 students from the main land failed to return to school so only 9 student remained. This failure forced the missionaries to consider closing the school in Zanzibar and moving it to the mainland where most of the students originated. Official opening of the school St Andrews College, Minaki was conducted by the colonial governor, Sir Dolnald Cameron on 5th December 1925.

Tumuamini nani hapo? wewe au Minaki?
 
Huo Uislam umeutoa wapi? hebu nielezee kwanza au kamuulize Sheikh wako wewe ni Shia,Ismailia,Bohora au Sunni na ujue hayo madhehebu hayakai chungu kimoja kama wajiona wewe ndie utakaenda Mbinguni jitambue kwanza upo Dhehebu gani na lipi lipo Sawa.... wacha kujidanganya utapotea Moto ni kwa ajili yako Shetani ndie mkuu wenu na anawachanganya huku akiwafanya mjione mpo sawa... wewe hapo ulipo kwa mema gani uliyofanya yakupeleke peponi? au wadhania hao walioandika vitabu unavyojifanya unaviamini wameandika kimasikhara tu kama unavyoona wewe? Tenda Mema tupu na uache ujinga.... kwa kuona wengine si sawa... nadhani ungezaliwa Mchina sijui ungekuwa wa dini za huko? usije ukajidangaya kisa wajiona u muislam ... Sheria za Kiislam kuna mambo unayoyafanya yanakutoa kabisa katika uislam.... kamuulize Sheikh wako.... anayajua hayo... Pole Sana mtu wa jehanamu ... Kajipange fresh uje... me nishachoka wacha nikapumzike Tukijaaliwa kesho

Kwa maswali yako hayo ya kukwepa silaha zangu nakuomba kwa staha na uungwana kati ya haya mawili moja ulitekeleze,

1: fungua uzi au
2: tumia tito 3:9 ufanye kuwa ndo jibu sahihi

Kama pana jengine naomba twendelee hadi tupate kilichofichwa.
 
Haki na dhulma ni vitu viwili tofauti na vinaweza kuthibitishwa

Kama ni kweli kuna mahali kuna haki ungeniambia nami nikajionea
Wewe kutokujibu ni ishara ya kujistukia na hujiamini
Kama unajiamini niambie huko kwenye haki ni wapi

Halafu kukufuru ni kitu gani?

Qur'an 2:6 - 7
2:6 to top

2_6.png
Sahih International
Indeed, those who disbelieve - it is all the same for them whether you warn them or do not warn them - they will not believe.

2:7 to top

2_7.png
Sahih International
Allah has set a seal upon their hearts and upon their hearing, and over their vision is a veil. And for them is a great punishment.
 
Sasa ni kipi hapo cha Cecil Matola ulichokiandika kipya? naona beti zako zote ni upambe lakini zinazomuhusu Matola ni mistari isiyozidi minne.

Isitoshe, ulivyoandika wewe huko juu na kile kipande ulichokinukuu ni vitu tofauti, ngoja nikuwekee utunyambulie zaidi, tukuamini wewe au uliyemnukuu?

Hii yako wewe:


Hii uliyoinukuu:


Tumuamini nani hapo? wewe au Minaki?
Kuna tofauti gani kati ya maandishi yangu na ya Minaki.. FaizaFoxy, wewe si ligi yangu, mwalimu wako Mohamed Said ndiye huyo huyo ninayempa dozi.
 
Last edited by a moderator:
Jibu wewe ni Shia ,Ismailia, Sunni au Bohara.... au ndio hujijui upo pande zipi? Ritz msaidie mwenzio au na wewe Hujijui... Sheikh Hemed Jalala yeye ni Shia... Nyie ni dhehebu lipi? au ndio umeshikwa then wataka kwenda pepo?

Kwa kiwango ulicho nacho nasikitika sana kwamba huna ruhusa ya kujadili bahari hiyo,

Hivi ati ndani ya biblia weye uliambulia kufahamu kitu gani?

Teh teh teh....!
Usinikimbie, nadhani ili twende sawa yafaa sasa tuanzie hapo,
 
Last edited by a moderator:
Asante FaizaFoxy, mimi siye mwana historia na si mwandishi by profession na muda kusema kweli ni tatizo kubwa kwangu...hata hivyo kabla sijajibu swali lako ningependa ufahamu kuwa wengi wa vijana wasomi wa mwanzoni mwa miaka ya 1920 kuendelea walikuwa ni wahitimu wa shule maarufu iliyoitwa Kiungani kisiwani Zanzibar. Mwaka 1866 dhehebu la Kikristo, UMCA, lilinunua sehemu ya ardhi nje kidogo ya mji wa Zanzibar na kujenga hosteli kubwa katika juhudi zao za kuwapa hifadhi wahanga wa Utumwa. Baada ya miaka saba, 1873 walijenga Kanisa lao la kwanza mjini Zanzibar lililojulikana kama Christ Church Cathedral na kufungua kituo cha afya mwaka 1877 ambacho kiliweza kuwa hospitali kamili mwaka 1893.

UMCA ilianzisha shule Kiungani iliyojulikana kama St. Andrew's College, U.M.C.A. lakini baadaye kwa sababu mbalimbali ilibidi wahamie bara kama inavyosimuliwa hapa;


Kwa nini nasimulia haya? Ni kwa sababu ukitaka kuwajua watu ambao ungeweza kuwaita "elite" wa mji wa Dar es Salaam kwa nyakati hizo, wasomi wa wakati huo wanachukua daraja la kwanza. Cecil Matola alikuwa ni moja wa alumni wa Kiungani na Mwalimu Mwandamizi katika shule ya serikali mjini Dar es Salaam. Wahitimu wa Kiungani walijulikana ndani na nje ya nchi na kulingana na simulizi za John Iliffe ambayo Mohamed Said anazinukuu kila mara, nanukuu; Cecil Matola was a senior African Teacher at the Dar es Salaam School which made him almost an ex officio leader of the capital's educated Africans. Nyakati hizo Ualimu ulikuwa ni profession yenye heshima kubwa katika jamii na haikuwa ajabu kwa mtu maarufu kama Cecil Matola kuchaguliwa kuwa Raisi wa kwanza African Association mwaka 1929.

African Association ilianzishwa kwa baraka za aliyekuwa Gavana wa Tanganyika David Cameron na mkutano wake wa kwanza ulifanyika nyumbani kwa Raisi wake muasisi Cecil Matola. Hii ilifanyika kwa sababu tatu; kwanza hapakuwepo na klabu ama nyumba iliyotosheleza kama ya Cecil Matola, pili hakuwepo mtu aliyeheshimika kama yeye na tatu Cecil Matola alikuwa Mtanganyika halisi, Myao. Mpaka anakuwa Raisi wa AA, alishafanya kazi sehemu mbali mbali ndani na nje ya Tanganyika na kukutana na wasomi mbalimbali wenye mawazo mapya. Sababu kuu ya Mohamed Said kutotaka kujua historia ya Cecil Matola ni kwamba inawaweka wazee wake mamluki wa Kimanyema, Kizulu na Kinubi pakavu. Watu mamluki waliopigana vita dhidi ya Watanganyika wakiwa upande wa Mkoloni eti ndio waongoze harakati dhidi ya mkoloni, wapi na wapi!

Chama cha kwanza kabisa cha wasomi na kilichowakutanisha Waafrika, wafanyakazi na wafanya biashara, kilianzishwa mjini Tanga na Mtanganyika wa kwanza mhitimu wa Kiungani Zanzibar aliyekuwa na cheo cha juu kabisa serikalini mwaka 1922, Martin Kayamba. Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said katika kuhangaikia namna ya kuwakweza wazee wake ambao hawakuwa na uwezo wala sifa za kiuongozi amejikita sana katika kuwachafua wengine. Ikumbukwe maraisi wa AA, TAA na baadaye TANU walikuwa ndio wenyeviti na watendaji wakuu wa hivyo vyama lakini kwa Mohamed Said, maraisi hawa hawakuwa chochote na sifa zote anawapa eti makatibu. Cecil Matola alikuwa ni Raisi muasisi na Mtendaji Mkuu wa AA hadi anafariki katika mazingira yasiyoeleweka wakati huo tayari AA wana nyumba ambayo kiwanja chake walipewa na Gavana David Cameron mtaa wa New Street.

Kusema kweli kukosekana kwetu wengine kwenye huu mjadala kunatokana na kukosa muda lakini nina hakika tupo wengi wenye historia inayopingana na hizi hadithi za mtaani za Mohamed Said...a fellow so obsessed with hatred, so bent on distorting facts and so bent on sowing seeds of discord he will stop at nothing till he accomplishes his evil plans but thank God, that chance he wont get, not on our watch...we wont allow him or his stooges/cronies. Mohamed Said hawezi hata kusema ni lini Mzee Kleist Sykes aliuacha Ukristo na kuingia Uislaam, hawezi kusema lini Chief Kidaha Makwaia aliuacha Uislaam na kuingia Ukatoliki na hawezi kuacha kuonesha chuki yake kwa msomi Martin Kayamba mjukuu wa Chifu Kimweri Zanyumbai Mfalme wa Wakilindi waliowatawala Wasambaa na makabila mengi ya Tanga hata kabla ya Wajerumani.

Kwa leo yatosha FaizaFoxy, ni muda tu unakosekana...

Mag3,
Ukiwa unataka kumpambanisha Cecil Matola na babu zangu haitakuwa haki.

Cecil Matola hakujaaliwa umri mrefu alikufa mwaka 1933 kwa hiyo hakufanya
mengi ukilinganisha na babu zangu.

Lakini mbona umemtaja Matola peke yake.
Vipi kuhusu Mdachi Shariff na Nichodemus Ubwe?

Lipo bandiko hapa JF katika kirago hiki hiki kuhusu Kleist Sykes kama nilivyoandika
katika mradi wa Oxford na Harvard.

Angalia mchango wa Kleist ambao ulikuja kuchukuliwa na wanae pale yeye alipokufa
mwaka 1949.

Kleist wanae wawili ni waasisi wa TANU.

Unataka nikupe habari za Martin Kayamba?

Kwenye kitabu, ''Modern Tanzanians,'' Iliffe katika kuwajulisha wasomaji wake Martin
Kayamba ni nani kamueleza kwa njia ya mfano tena katika ufunguzi kama kibaraka wa
Waingereza.

Sasa soma hapo chini usikie wenzake walikuwa wanamuonaje.

Katika kitabu changu hivi ndivyo nilivyomuandika Martin Kayamba:

''In a cruel and cynical obituary on the death of Martin Kayamba,[1] Fiah lamented
that Africans did not benefit from Kayamba's education nor from his post as a clerk to
Assistant Chief Secretary.'' [2]

Yapo mengi ningependa uyajue kuhusu Martin Kayamba.
Endela kunisoma hapa nilivyoweleza Martin Kayamba katika kitabu changu:

''There was a very big difference between the Tanganyika Territory Civil Servants' Association
(TTACA), founded in 1922 by Martin Kayamba, and the Dockworkers' Union, both in leadership
and in direction.

TTACA was a harmless genuine welfare association, free from any conflict with the colonial
administration.

It was ‘a club for clerks and teachers, with newspapers and a football team, encouraged by
the government.'' [1]

Bado sijamalizana na wewe Bwana Mag3.

Ukitaka kustarehe na Martin Kayamba soma kitabu chake, ''The Autobiography of Martin Kayamba,
''The Story of Martin Kayamba Mdumi, MBE, of the Bondei Tribe,'' katika Margery Perham, (ed)
Ten Africans, pp.175-272 uone jinsi babu yako anavyolamba viatu vya Waingereza.

Ukishasoma kitabu hiki rudi hapa jamvini nakusubiri.

Martin Kayamba mjukuu wa Chief Kimweri.
Kimweri alikuwa Muislam.

Ludwig Krapf alipofika kwa Chief Kimweri 1848 kamkuta Kimweri kastaarabika kavaa kanzu na kilemba yuko
katika mahakama yake anahukumu anajua kusoma na kuandika Kiarabu.

Hakuwa peke yake akijua kuandika.

Wanae na Waislam wengine Vuga na katika utawala wake wote walikuwa wameelimika.
Hasad ilimsonga roho Krapf.

Alikuja kwenye ''dark continent'' kakuta mengine kabisa.
Uislam umeenea na watu wanajua kusoma na kuandika msingi wa kujifunza kusoma ni madras.

Wakoloni walipoichukua Tanganyika kitu cha kwanza ilikuwa kupiga marufuku hati za Kiarabu.
Kingine kilichofuata ni kuwaritadisha akina Martin Kayamba.

Kayamba akawa Mzungu hata kumshinda Mwingereza mwenyewe.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa Kleist Abdallah Sykes alizaliwa Muislam na kazikwa Kisutu Makaburi
ya Waislam.

Nitakuongezea kuhusu Chief Kidaha.
Aliyeritadi kuingia Ukristo si yeye peke yake.

Mdogo wake Hussein vilevile aliritadi.
Na hawa wote mimi nimeowaona.

Hussein alikuwa rafiki wa mmoja wa baba zangu.
Chief Kidaha aliritadi mwaka 1945.

Ukitaka kisa hiki sema nitakiweka hapa jamvini.

Nakunja jamvi kwa bashraf hii hapo chini.

Kama mwenye chuki na Martin Kayamba si mimi bali ni John Iliffe aliyemwita Kibaraka.

Mwenye chuki ni Erika Fiah aliyemwita kibaraka wa Waingereza tena kwenye taazia na kusema kuwa
kazi kubwa aliyoimudu Martin Kayamba ni kufuga kuku Muheza baada ya kustaafu kazi.

[1] Iliffe, ‘Tanzania Under British Rule' in B.A. Ogot and J. Kieran (Eds) Zamani:
A Survey of East African History
, East African Publishing House, 1968 p. 22 quoted in
African Studies Working Paper No. 8, April, 1979, by G.W. Reeves.



[1] See Iliffe, ‘The Spokesman: Martin Kayamba' in Iliffe (Ed), Modern Tanzanians,
op. cit. pp. 66-94.

[2] Kwetu, 29 June, 1940.
 
FaizaFoxy,

Naona unashabikia mapungufu ya mkristo mmoja moja badala ya kuangalia fundamental za dini. mimi ulinitisha kwamba nakisea jina la Muhammad nikaomba rathi na sio kwa kukuogopa bali kwa kutambua nyie nduguzetu hamkawii kutoka na jambia kumkata mtu asiejua hata kinachoendelea. pia nilikuwa nataka kurudi kwenye kitu nachokipinga sana ambacho ni uongo weni kuwa dini yenu ya usilamu ni yaamani wakati duniani kote kunawaka moto sasa hivi kwasababu waisilamu wanauna wenyewe kwa wenyewe na kuuua watu wa dini nyingine.

Unasherehekea mapungufu ya wakristo kwa kua namakanisa ya hajabu wakatibadala ya kuona hilo kama ni dalili ya uhuru katika ukristo. ingekuwa ni muislam kaanzisha msikiti wake unaoruusu vitu vya vituko ambavyo waisla wanaamini mngesha enda kukata watu mapanga. nakusema vitu vya vituko vipo kivingi tu. kwa mfano kwenye hadith ambazo Aisha mke wa Muhammad ananukuliwa akisema Muhammad alimlazimisha mke wa amnyonyeshe jibaba zima ambaye ni mtumwa wake ili mmewake asiwe na wivu wakiwa nyumbani na mtumwa wake bila kuzaa maushung. maana nyingine hata wewe kama unavaaa maushungi kama profile picture yako inavyoonyesha unaruhusiwa kuwa titi mibaba inayokuzunguka ili usizae maushungi yako kichani. na inasemeka Aisha mke wa Muhammad alikuwa akinyonyesha wanaume mtaani kama njia ya kupata wanaume. na nikupe reference maana shehe/dr. ubwabwa kahtaan anaziulizaga

kasome
Sahih Muslim
Book 008, Number 3424 - 3428
Imam Malik’s Muwatta
Book 30, Number 30.1.8' Book 30, Number 30.2.12, Book 30, Number 30.2.13, Book 30, Number 30.2.14
wewe ka google tu "Aisha Adult breast feeding" utaona story kibao

sasa ngoja turudi kwenye fundamental za dini yenu ya uislamu nilikuuliza kuwa Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Je Nikweli?

naona wote mnaogopa kujibu swali kwa sababu wote munaogopana kwasababu wenyewe waislamu munamajibu tofauti. na mukitofautiana mnapigana mapanga. ilila mukijibu kihalali mtakuta ni kweli nyie waisamu mulianza kuuana wenyewe kwa wenyewe tokea Muhammad alipokufa. hata shia wanasema Muhammad aliuwawa na wakezake wawili(Aisha na ) pamoja na Abubakari na Omary ambao walimridhi Muhammad na ushaidi angalia link ya sheikh Yaser Al-Habib (Who killed the prophet Mohammad? - YouTube)

na kuna mtu mwingine tena ni sunni aliongelea hii issue Dr. Shabir Ally doctor wa kweli sio kama Dr. Ubwabwa Kahtaan .
Aliongelea mpaka issue ya kuchakachua kuruani (Why the Sunni-Shia Split? - Dr. Shabir Ally - YouTube)

kwa ujumla nyie niwagomvi. na umenza kuuana siku nyingi sana na musitudanganye dini yenu ni ya amani. Mtu kama Abubakar munamuona kama nimtu mkubwa wenye dini yenu amemuua Muhammad mwenyewe alafu akaja akamuua Mke wa Ali tena akiwa na mimba sijui mna alalisha vipi.

Acheni kushabikia mapungufu ya Dini nyingine wakati hampendi kuongelea mapungufu ya dini yenu wenyewe. uislamu unaitaji uwazi na reformation kama ukristo ulivyo. alafu mnalalamika hampewi credit kwajinsi mlivyo changia kupata uhuru. Inawezekana kwa sababu tu mulikuwa wengi huku coast hata mikutano ya TAA mlikua mkipiga mguu tu kufika. Mbona sijawasikia kama mlipigana vita na mjerumani wakati yale ndio yalikuwa mapambano kweli kweli. Sio wakati wa muingereza ambapo ilikuwa ni siasa zaidi. Afazali ukabila kuliko Udini
thank you mkuu, i wish kahtaan na Faiza foxy wameziona hizi bayana. swadakta , cattle rustler.
xina cha kuongeza hapa.
 
Kuna tofauti gani kati ya maandishi yangu na ya Minaki.. FaizaFoxy, wewe si ligi yangu, mwalimu wako Mohamed Said ndiye huyo huyo ninayempa dozi.

Wewe kwangu ni kinyaganrakata tu, unajidai kuna tofauti gani wakati zi wazi kabisa!

Unatafuta pakutokea. Hupapati kwangu.

Wewe umeandika "katika juhudi zao za kuwapa hifadhi wahanga wa Utumwa."
Minaki wameandika"the main purpose of getting Christian converts by 1920 they had failed completely."

Bado huoni tofauti? amma kweli wewe ni mwenye macho lakini hayaoni.

Na huyo Matola ndio umemaliza Historia yake? amma kweli.
 
huu ndio nauita udhaif wenu, wanlazimisha niachane na mada ili nikujibu hoja isiyo na mashiko. fahamu unapotaja ukristo usihesabu masunagogi wala mahekalu, huwa tunahesabu maisha. ukristo ni maisha.
ni bora kuniambia TB joshua, kakobe, lusekelo, ni wakristo kuliko kunitajia jina la mtu lenye asili ya ukristo na kumwita mkristo. watu wanaishi kwa mila za kwao nyinyi mnawaita wakristo.
unataka kuhusisha vurugu za Congo,Rwanda ni za ukristo. your wrong!!!!!!! ila alshababu, boko haram its pretty obvious wale ni waislamu na wanatekeleza miongoni mwa nguzo za kiislamu za kuua.
Unaona sasa unavyokurupuka kunijibu, mie nilikuwa nampa mfano mwenzako aliyekuwa anaeleza matatizo ya waarabu ndiyo Uislam.

Nikampa mfano wa hao marais nikamwambia unyama wanaofanya hauwezi kunasibisha na dini yao.

Wewe kwa sababu ya kubishana ukakurupuka na habari za Al-Shabaab.
 
Unaona sasa unavyokurupuka kunijibu, mie nilikuwa nampa mfano mwenzako aliyekuwa anaeleza matatizo ya waarabu ndiyo Uislam.

Nikampa mfano wa hao marais nikamwambia unyama wanaofanya hauwezi kunasibisha na dini yao.

Wewe kwa sababu ya kubishana ukakurupuka na habari za Al-Shabaab.
mkuu namuunga mkono huyo aliyekueleza matatizo ya waarabu, simply because waarabu wanatawala za udini(i.e. nchi za kiislamu), tofauti na sisi wa huku kwetu tuko secular.
 
mkuu namuunga mkono huyo aliyekueleza matatizo ya waarabu, simply because waarabu wanatawala za udini(i.e. nchi za kiislamu), tofauti na sisi wa huku kwetu tuko secular.
Tawala za udini kama zipi? Halafu (nchi za kiislam) zipi?
 
imani ya kweli utaijua tu kwa matendo yao.
 
Wewe kwangu ni kinyaganrakata tu, unajidai kuna tofauti gani wakati zi wazi kabisa!

Unatafuta pakutokea. Hupapati kwangu.

Wewe umeandika "katika juhudi zao za kuwapa hifadhi wahanga wa Utumwa."
Minaki wameandika"the main purpose of getting Christian converts by 1920 they had failed completely."
Bado huoni tofauti? amma kweli wewe ni mwenye macho lakini hayaoni.
Na huyo Matola ndio umemaliza Historia yake? amma kweli.
Ha ha haa FaizaFoxy, unanchekesha. Baada ya kuwahifadhi wahanga wa utumwa social services zilihitajika kama elimu dunia, afya na elimu dini, upo?
FaizaFoxy said:
Chaka Zulu = Sheikh Zulu. Ulikuwa unalijuwa hilo?
Ha ha haa, yale yale ya Mohamed Said, hadithi za mitaani. Yuko pacha wake anaitwa Al Mansour wa the Islamic Propagation Center International (IPCI) aliyewahi kutoa madai kama haya haya lakini akapewa dozi kutoka kwa Mzulu mwenyewe;

His grasp of history is abysmal. The novel concept that Shaka was a Muslim is so unheard of and unsubstantiated that one can only stand and shake one’s head in amazement. His view that Islam created the greatest civilizations in history is fairly unique...

Al-Mansour’s claim to have built the pyramids of Egypt seems rather presumptious when Islam was only founded at 622 AD, and the pyramids were constructed thousands of years before that.

As for Muslims discovering America before Columbus, one wonders why their “superior civilization” did not develop it before the “backward Christians” arrived. Perhaps Al-Mansour has access to some original sources of history not yet considered by historians?
Na mimi naongezea...perhaps Mohamed Said has access to some original sources of history not yet considered by historians? Ha ha haa...!
 
Tawala za udini kama zipi? Halafu (nchi za kiislam) zipi?
ritz kwanza hiyo avatar yako inavyontisha!!!!!!!!!!ningeomba turudi kwenye uzi, kwani hata nikikupa evidence najua mwishowe utatukana tu, kama ilivyoada kwenye imani yenu. wengi wenu humu mnaongoza kwa lugha za ukali na matuxi ya rejareja. jua kwamba nyinyi ukweli hampendi na hamna pa kujificha pia. hata mada hizi zenye chuki mnaleta huku ili kuendelea kujifunza namna ya kuwashawishi watu huko kwenye nyumba zenu za kuswalia, watakapo wahoji validity ya hoja zenu. hoja zenu nyingi zinapokea bash xana na mwishowe mnaanza kutukana na kuchukia. uwezi tenganisha vita na uislamu, nenda popote duniani utalijua hili.
 
Back
Top Bottom