Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

We kikojozi, toka umeanza kumwaga hayo mapovu yako ya kunuka! Hatujaona USHAHIDI HATA KIDUCHU WA KITU CHOCHOTE UNACHO ANDIKA!
Niemkwambia hapa sio kwenye rusha roho!
Kama umelewa damu ya bwana. Nakushauri ukakojoe ulale ( manake unaweza kujikojolea)!!
Pumba za namna hii peleka kule kwenye hayo maparokia ambayo huruhusiwi kuuliza maswali!
Hapa umegonga ukuta
Unataka ushahidi wa Mtume wenu alivyokuwa akifanya maasi? hahaha ni bora ukubali dini yenu si Safi ila kazi yenu ni kuitetea tu... kama mlivyoambiwa na mtume wenu.... ila Hamna kitu na wewe utaishia tu kutukana kwa kuniita kikojozi na chochote unachoweza.... Ushahidi upo alibaka na akaja kuwaoa hadi Vitoto vidogo na mke wake mmoja ni Myahudi hahahaha
 
Gombesugu,
Si kweli kuwa mimi simpendi Cecil Matola.

La hasha lakini Matola hana jambo la kusikika katika historia ya Tanganyika.

John Iliffe alihariri kitabu, ''Modern Tanzanians,'' ambamo mlikuwa na biography
za Watanganyika waliofanya makubwa katika Tanganyika.

Cecil Matola hakuwa mmoja wao.

Kulikuwa na mradi wa Oxford University Press, New York na Harvard ulioitwa
Dictionary of African Biographies (DAB) na mimi nashukuru nilishiriki kama mmoja
wa waandishi.

Jina la Matola halikuwapo.
Huu ndiyo ukweli.

Lakini ikiwa Mag3 analo la kusema kuhusu Matola ambalo wanahistoria limewapita
hii ni nafasi yake ya kuueleza ukumbi.

Akhsante shekh Mohamed said kwa uchambuzi wako makini ngoja tuwasuburi wengine tusikie wasemaje?
 
Kiboko nimemaanisha Fimbo ya kuwachapia nyie.... hapo umeonesha hasira zako tu ndio ukasema Nguchiro na umemfurahisha FaizaFoxy Hamna la kesemeshana na mimi nyie nyote jikusanyeni hata Mje na Masheikh wenu
Majigambo mengi unachokiandika wala akieleweki.

Muislam mmoja sawa sawa na makafiri mia.

Wewe unatosha kwa Dr. kahtaan peke yake.

Dr. kahtaan nakusoma huku nakula faludi.

Vita vya Badir...teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Sykes hakuwa Muislam alipoingia Tanganyika kutoka South Africa... ni Sawa tu na Muhammed Ali

Mlaleo,
Sykes Mbuwani alikuwa Muislam na alikuja na ndugu yake akiitwa Ali Kattini.
Huyu alikuwa kipofu.

Baadae aliridu Mozambique.

Ally Sykes mdogo wake Abdu alipewa jina la Ally kutokana na huyu babu yake
Ali Kattini.
 
Sina cha kumeza cha mmarekani.... hali halisi ndio ilivyo wataka nimeze kutoka kwako? woi...! nimejijibu mwenyewe kivipi? mbona mecca vurugu ni nyingi sana tu au huna access ya kuona mambo ya mecca nikuwekee? mecca ni sehemu ya vurugu tokea mtume wenu alipokuwepo na ndie alikuwa kinara na hili halipingiki kwani alikuwa akisema kwa jina la allah ambae si Mungu... kwani alishawahi kili.... na nyie mwafahamu na kila siku mnamuombea na kumswalia wakati yeye hakuwahi waswalia... hahahaha...

Joseph Kony anafanya kama uhalifu kama alioufanya mtume wenu kuua na kubaka Sheikh yeyote anafahamu haya...

Acha kabisa kusema propaganda zilizopitwa na wakati na kama ndio hivyo hivyo vitabu vya dini ndio vimepitwa na wakati kabisa ungesema kwanza
Mlaleo;
Kafiri wewe sisi hatushangai kabisa kwani kwa matusi hata sie twayajua kulikoni ninyi nalo mwalijua,

Asili ya maneno yote muyatumiayo twayajua sie na si kafiri kama wewe,

Sistaajabu kwa vijitusi vyako vya kipuuzi kama hivyo, huyo umtusiye alitusiwa mengi na hakuathirika nayo,

Hivyo basi weye si wa kwanza wala wa mwisho,

Huo moto mmeandaliwa watu kama weye na mfano wako,

Na ujue mwenyezi Mungu kauandaa si kwa ajili ya wanyama, ndege wala wadudu la hassha wakallaa, bali ni katika majini na watu wapuuzi, hivyo sina haja ya kuona kwamba umeleta jipya,

Sisi Waislaamu twasema baada ya upuuzi wako kuwa Ewe Mola wetu tumeyashuhudia maneno yako, twakuomba usijaalie katika sisi Waislaamu mmoja wetu akawa miongoni mwa watu kama huyu Kaafir Mlaleo.

Aamiin aamiin.
 

FaizaFoxy,


Naona unashabikia mapungufu ya mkristo mmoja moja badala ya kuangalia fundamental za dini. mimi ulinitisha kwa typo kwenye jina la Muhammad nikaomba rathi na sio kwa kukuogopa bali kwa kutambua nyie nduguzetu hamkawii kutoka na jambia kumkata mtu innocent asiejua hata kinachoendelea. pia nilikuwa nataka kurudi kwenye kitu nachokipinga sana ambacho ni uongo weni kuwa dini yenu ya usilamu ni yaamani wakati duniani kote kunawaka moto sasa hivi kwasababu waisilamu wanauna wenyewe kwa wenyewe na kuuua watu wa dini nyingine.


Unasherehekea mapungufu ya wakristo kwa kuwa na makanisa ya hajabu wakati badala ya kuona hilo kama ni dalili ya uhuru katika ukristo. ingekuwa ni muislam kaanzisha msikiti wake unaoruusu vitu vya vituko ambavyo waislam wanaamini mngeshaenda kukata watu mapanga. nakusema vitu vya vituko vipo kivingi tu. kwa mfano kwenye hadith ambazo Aisha mke wa Muhammad ananukuliwa akisema Muhammad alimlazimisha mke wa mtu anyonyeshe jibaba zima ambaye ni mtumwa wake ili mmewake asiwe na wivu wakiwa nyumbani na mtumwa wake bila kuvaa maushungi. maana nyingine hata wewe kama unavaaa maushungi kama profile picture yako inavyoonyesha unaruhusiwa kuwapa titi mibaba inayokuzunguka ili usivae maushungi yako kichwani. na inasemeka Aisha mke wa Muhammad alikuwa akinyonyesha wanaume mtaani kama njia ya kupata wanaume. na nikupe reference maana shehe /dr. ubwabwa kahtaan anaziulizaga hizi reference


kasome
Sahih Muslim
Book 008, Number 3424 - 3428
Imam Malik's Muwatta
Book 30, Number 30.1.8' , Number 30.2.12, Number 30.2.13, Number 30.2.14
wewe ka google tu "Aisha Adult breast feeding" utaona story kibao


sasa ngoja turudi kwenye fundamental za dini yenu ya uislamu nilikuuliza kuwa Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Je Nikweli?


naona wote mnaogopa kujibu swali kwa sababu wote munaogopana kwasababu wenyewe waislamu munamajibu tofauti. na mukitofautiana mnapigana mapanga. ila mukinijibu kihalali mtakuta ni kweli nyie waisamu mulianza kuuana wenyewe kwa wenyewe tokea Muhammad alipokufa. hata shia wanasema Muhammad aliuwawa na wakezake wawili(Aisha na Hafsa) pamoja na Abubakari(baba yake Aisha) na Omary(baba yake Hafsa) ambao walimridhi Muhammad na ushaidi angalia link ya sheikh Yaser Al-Habib (http://www.youtube.com/watch?v=W_BTRdxEJaE)


na kuna mtu mwingine tena ni sunni aliongelea hii issue Dr. Shabir Ally doctor wa kweli sio kama Dr. Ubwabwa Kahtaan .
Aliongelea mpaka issue ya kuchakachua kuruani (http://www.youtube.com/watch?v=A17mWGd2qZ8)


kwa ujumla nyie niwagomvi. na mumenza kuuana siku nyingi sana na musitudanganye dini yenu ni ya amani. Mtu kama Abubakar munamuona kama ni mtu mkubwa wenye dini yenu alimuua Muhammad mwenyewe alafu akaja akamuua Mke wa Ali(mtoto wa Muhammad ) tena akiwa na mimba alafu sijui mnaalalisha vipi jamaa kuwa bado nimuimu kwenye dini yenu.


Acheni kushabikia mapungufu ya Dini nyingine wakati hampendi kuongelea mapungufu ya dini yenu wenyewe. uislamu unaitaji reformation na uwazi kama ukristo ulivyopitia reformation na ina uwazi sasa. alafu mnalalamika hampewi credit kwajinsi mlivyo changia kupata uhuru. Inawezekana kwa sababu tu mulikuwa wengi huku coast hata mikutano ya TAA mlikua mkipiga mguu tu kufika. Mbona sijawasikia kama mlipigana vita na mjerumani wakati yale ndio yalikuwa mapambano kweli kweli. Sio wakati wa muingereza ambapo ilikuwa ni siasa zaidi. Afazali ukabila kuliko Udini


cc Kahtaan,ritz
 
Sykes hakuwa Muislam alipoingia Tanganyika kutoka South Africa... ni Sawa tu na Muhammed Ali
JF siyo sehemu ya porojo wewe unaokota maneno mitaa unaleta JF bila ushahidi.

Hujui ukoo wa Sykes Mbuwane, Kleist Sykes, Affande Plantan hawa wote hawajawahi kuwa Wakisto.
 
JF siyo sehemu ya porojo wewe unaokota maneno mitaa unaleta JF bila ushahidi.

Hujui ukoo wa Sykes Mbuwane, Kleist Sykes, Affande Plantan hawa wote hawajawahi kuwa Wakisto.
Kama Porojo kuhusu kutokea South Africa unakubali walipotoka huko South kulikuwa hakuna hicho kidudu kiitwacho Islam
 
FaizaFoxy,

Naona unashabikia mapungufu ya mkristo mmoja moja badala ya kuangalia fundamental za dini. mimi ulinitisha kwamba nakisea jina la Muhammad nikaomba rathi na sio kwa kukuogopa bali kwa kutambua nyie nduguzetu hamkawii kutoka na jambia kumkata mtu asiejua hata kinachoendelea. pia nilikuwa nataka kurudi kwenye kitu nachokipinga sana ambacho ni uongo weni kuwa dini yenu ya usilamu ni yaamani wakati duniani kote kunawaka moto sasa hivi kwasababu waisilamu wanauna wenyewe kwa wenyewe na kuuua watu wa dini nyingine.

Unasherehekea mapungufu ya wakristo kwa kua namakanisa ya hajabu wakatibadala ya kuona hilo kama ni dalili ya uhuru katika ukristo. ingekuwa ni muislam kaanzisha msikiti wake unaoruusu vitu vya vituko ambavyo waisla wanaamini mngesha enda kukata watu mapanga. nakusema vitu vya vituko vipo kivingi tu. kwa mfano kwenye hadith ambazo Aisha mke wa Muhammad ananukuliwa akisema Muhammad alimlazimisha mke wa amnyonyeshe jibaba zima ambaye ni mtumwa wake ili mmewake asiwe na wivu wakiwa nyumbani na mtumwa wake bila kuzaa maushung. maana nyingine hata wewe kama unavaaa maushungi kama profile picture yako inavyoonyesha unaruhusiwa kuwa titi mibaba inayokuzunguka ili usizae maushungi yako kichani. na inasemeka Aisha mke wa Muhammad alikuwa akinyonyesha wanaume mtaani kama njia ya kupata wanaume. na nikupe reference maana shehe/dr. ubwabwa kahtaan anaziulizaga

kasome
Sahih Muslim
Book 008, Number 3424 - 3428
Imam Maliks Muwatta
Book 30, Number 30.1.8' Book 30, Number 30.2.12, Book 30, Number 30.2.13, Book 30, Number 30.2.14
wewe ka google tu "Aisha Adult breast feeding" utaona story kibao

sasa ngoja turudi kwenye fundamental za dini yenu ya uislamu nilikuuliza kuwa Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Je Nikweli?

naona wote mnaogopa kujibu swali kwa sababu wote munaogopana kwasababu wenyewe waislamu munamajibu tofauti. na mukitofautiana mnapigana mapanga. ilila mukijibu kihalali mtakuta ni kweli nyie waisamu mulianza kuuana wenyewe kwa wenyewe tokea Muhammad alipokufa. hata shia wanasema Muhammad aliuwawa na wakezake wawili(Aisha na ) pamoja na Abubakari na Omary ambao walimridhi Muhammad na ushaidi angalia link ya sheikh Yaser Al-Habib (Who killed the prophet Mohammad? - YouTube)

na kuna mtu mwingine tena ni sunni aliongelea hii issue Dr. Shabir Ally doctor wa kweli sio kama Dr. Ubwabwa Kahtaan .
Aliongelea mpaka issue ya kuchakachua kuruani (Why the Sunni-Shia Split? - Dr. Shabir Ally - YouTube)

kwa ujumla nyie niwagomvi. na umenza kuuana siku nyingi sana na musitudanganye dini yenu ni ya amani. Mtu kama Abubakar munamuona kama nimtu mkubwa wenye dini yenu amemuua Muhammad mwenyewe alafu akaja akamuua Mke wa Ali tena akiwa na mimba sijui mna alalisha vipi.

Acheni kushabikia mapungufu ya Dini nyingine wakati hampendi kuongelea mapungufu ya dini yenu wenyewe. uislamu unaitaji uwazi na reformation kama ukristo ulivyo. alafu mnalalamika hampewi credit kwajinsi mlivyo changia kupata uhuru. Inawezekana kwa sababu tu mulikuwa wengi huku coast hata mikutano ya TAA mlikua mkipiga mguu tu kufika. Mbona sijawasikia kama mlipigana vita na mjerumani wakati yale ndio yalikuwa mapambano kweli kweli. Sio wakati wa muingereza ambapo ilikuwa ni siasa zaidi. Afazali ukabila kuliko Udini
Huu ndiyo ushahidi ulisema jana utakuja nao kuhusu Shia na Sunna.

Naomba utufahamishe kwa faida ya wanajamvi Abubakar, ndiyo alimuua Mtume Mohammad?
 
Mlaleo;
Kafiri wewe sisi hatushangai kabisa kwani kwa matusi hata sie twayajua kulikoni ninyi nalo mwalijua,

Asili ya maneno yote muyatumiayo twayajua sie na si kafiri kama wewe,

Sistaajabu kwa vijitusi vyako vya kipuuzi kama hivyo, huyo umtusiye alitusiwa mengi na hakuathirika nayo,

Hivyo basi weye si wa kwanza wala wa mwisho,

Huo moto mmeandaliwa watu kama weye na mfano wako,

Na ujue mwenyezi Mungu kauandaa si kwa ajili ya wanyama, ndege wala wadudu la hassha wakallaa, bali ni katika majini na watu wapuuzi, hivyo sina haja ya kuona kwamba umeleta jipya,

Sisi Waislaamu twasema baada ya upuuzi wako kuwa Ewe Mola wetu tumeyashuhudia maneno yako, twakuomba usijaalie katika sisi Waislaamu mmoja wetu akawa miongoni mwa watu kama huyu Kaafir Mlaleo.

Aamiin aamiin.
Huo Uislam umeutoa wapi? hebu nielezee kwanza au kamuulize Sheikh wako wewe ni Shia,Ismailia,Bohora au Sunni na ujue hayo madhehebu hayakai chungu kimoja kama wajiona wewe ndie utakaenda Mbinguni jitambue kwanza upo Dhehebu gani na lipi lipo Sawa.... wacha kujidanganya utapotea Moto ni kwa ajili yako Shetani ndie mkuu wenu na anawachanganya huku akiwafanya mjione mpo sawa... wewe hapo ulipo kwa mema gani uliyofanya yakupeleke peponi? au wadhania hao walioandika vitabu unavyojifanya unaviamini wameandika kimasikhara tu kama unavyoona wewe? Tenda Mema tupu na uache ujinga.... kwa kuona wengine si sawa... nadhani ungezaliwa Mchina sijui ungekuwa wa dini za huko? usije ukajidangaya kisa wajiona u muislam ... Sheria za Kiislam kuna mambo unayoyafanya yanakutoa kabisa katika uislam.... kamuulize Sheikh wako.... anayajua hayo... Pole Sana mtu wa jehanamu ... Kajipange fresh uje... me nishachoka wacha nikapumzike Tukijaaliwa kesho
 
FaizaFoxy,

Naona unashabikia mapungufu ya mkristo mmoja moja badala ya kuangalia fundamental za dini. mimi ulinitisha kwamba nakisea jina la Muhammad nikaomba rathi na sio kwa kukuogopa bali kwa kutambua nyie nduguzetu hamkawii kutoka na jambia kumkata mtu asiejua hata kinachoendelea. pia nilikuwa nataka kurudi kwenye kitu nachokipinga sana ambacho ni uongo weni kuwa dini yenu ya usilamu ni yaamani wakati duniani kote kunawaka moto sasa hivi kwasababu waisilamu wanauna wenyewe kwa wenyewe na kuuua watu wa dini nyingine.

Unasherehekea mapungufu ya wakristo kwa kua namakanisa ya hajabu wakatibadala ya kuona hilo kama ni dalili ya uhuru katika ukristo. ingekuwa ni muislam kaanzisha msikiti wake unaoruusu vitu vya vituko ambavyo waisla wanaamini mngesha enda kukata watu mapanga. nakusema vitu vya vituko vipo kivingi tu. kwa mfano kwenye hadith ambazo Aisha mke wa Muhammad ananukuliwa akisema Muhammad alimlazimisha mke wa amnyonyeshe jibaba zima ambaye ni mtumwa wake ili mmewake asiwe na wivu wakiwa nyumbani na mtumwa wake bila kuzaa maushung. maana nyingine hata wewe kama unavaaa maushungi kama profile picture yako inavyoonyesha unaruhusiwa kuwa titi mibaba inayokuzunguka ili usizae maushungi yako kichani. na inasemeka Aisha mke wa Muhammad alikuwa akinyonyesha wanaume mtaani kama njia ya kupata wanaume. na nikupe reference maana shehe/dr. ubwabwa kahtaan anaziulizaga

kasome
Sahih Muslim
Book 008, Number 3424 - 3428
Imam Malik’s Muwatta
Book 30, Number 30.1.8' Book 30, Number 30.2.12, Book 30, Number 30.2.13, Book 30, Number 30.2.14
wewe ka google tu "Aisha Adult breast feeding" utaona story kibao

sasa ngoja turudi kwenye fundamental za dini yenu ya uislamu nilikuuliza kuwa Shia wana amini Ali ndiye alikuwa anatakiwa kumridhi muhamadi alipokufa. Tena Ali ndie alie alieandikwa kwenye kuruani zaidi. Ila watu walichakachua kuruani kufuta umuimu Ali. Je Nikweli?

naona wote mnaogopa kujibu swali kwa sababu wote munaogopana kwasababu wenyewe waislamu munamajibu tofauti. na mukitofautiana mnapigana mapanga. ilila mukijibu kihalali mtakuta ni kweli nyie waisamu mulianza kuuana wenyewe kwa wenyewe tokea Muhammad alipokufa. hata shia wanasema Muhammad aliuwawa na wakezake wawili(Aisha na ) pamoja na Abubakari na Omary ambao walimridhi Muhammad na ushaidi angalia link ya sheikh Yaser Al-Habib (Who killed the prophet Mohammad? - YouTube)

na kuna mtu mwingine tena ni sunni aliongelea hii issue Dr. Shabir Ally doctor wa kweli sio kama Dr. Ubwabwa Kahtaan .
Aliongelea mpaka issue ya kuchakachua kuruani (Why the Sunni-Shia Split? - Dr. Shabir Ally - YouTube)

kwa ujumla nyie niwagomvi. na umenza kuuana siku nyingi sana na musitudanganye dini yenu ni ya amani. Mtu kama Abubakar munamuona kama nimtu mkubwa wenye dini yenu amemuua Muhammad mwenyewe alafu akaja akamuua Mke wa Ali tena akiwa na mimba sijui mna alalisha vipi.

Acheni kushabikia mapungufu ya Dini nyingine wakati hampendi kuongelea mapungufu ya dini yenu wenyewe. uislamu unaitaji uwazi na reformation kama ukristo ulivyo. alafu mnalalamika hampewi credit kwajinsi mlivyo changia kupata uhuru. Inawezekana kwa sababu tu mulikuwa wengi huku coast hata mikutano ya TAA mlikua mkipiga mguu tu kufika. Mbona sijawasikia kama mlipigana vita na mjerumani wakati yale ndio yalikuwa mapambano kweli kweli. Sio wakati wa muingereza ambapo ilikuwa ni siasa zaidi. Afazali ukabila kuliko Udini

HEBU ---- MSTAARABU KIDOGO WEWE KAFIR TWAOMBA UFUNGUE UZI MWINGINE WENYE KICHWA CHA HABARI UISLAMU JE NI DINI YA AMANI AU USUNI NA USHIA TUTAKUJA KUKUPA MAELEZO MAZURI TU NAOMBA USICHAFUE HUU UZI NI HISTORIA YA WAPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA SIO FARK ZA SUNI AU SHIA. Please kama ni mstaarabu fanzahivyo otherwise hapa hautopata ukitakacho si kwakuwa hatujui ila kwakuwa si mahala pake. Narudia kuwa mstaarabu.
 
Maalim Mohamed Said, naomba mualiko huu kwa Mag3 niusambaze pia kwa Nguruvi3, Yericko Nyerere, Mzee Mwanakijiji na wenzao wote, mjumuike mtupatie historia ya Cecil Matola zaidi ya tuijuayo kutoka kwa Maalim Mohamed Said.

Thanks in advance.
Asante FaizaFoxy, mimi siye mwana historia na si mwandishi by profession na muda kusema kweli ni tatizo kubwa kwangu...hata hivyo kabla sijajibu swali lako ningependa ufahamu kuwa wengi wa vijana wasomi wa mwanzoni mwa miaka ya 1920 kuendelea walikuwa ni wahitimu wa shule maarufu iliyoitwa Kiungani kisiwani Zanzibar. Mwaka 1866 dhehebu la Kikristo, UMCA, lilinunua sehemu ya ardhi nje kidogo ya mji wa Zanzibar na kujenga hosteli kubwa katika juhudi zao za kuwapa hifadhi wahanga wa Utumwa. Baada ya miaka saba, 1873 walijenga Kanisa lao la kwanza mjini Zanzibar lililojulikana kama Christ Church Cathedral na kufungua kituo cha afya mwaka 1877 ambacho kiliweza kuwa hospitali kamili mwaka 1893.

UMCA ilianzisha shule Kiungani iliyojulikana kama St. Andrew's College, U.M.C.A. lakini baadaye kwa sababu mbalimbali ilibidi wahamie bara kama inavyosimuliwa hapa;
Minakischool.blogspot.com said:
Since 1869 the Anglican Missionaries established St. Andrew's College at Kiungani, Zanzibar for the main purpose of getting Christian converts by 1920 they had failed completely. The church had failed in getting converts and students to join their school.When the first world war broke out in 1914 there were a total of 80 students at kiungani of which 9 were came from Zanzibar and 71 from Mainland. The war broke during the holiday so all 71 students from the main land failed to return to school so only 9 student remained. This failure forced the missionaries to consider closing the school in Zanzibar and moving it to the mainland where most of the students originated. Official opening of the school St Andrews College, Minaki was conducted by the colonial governor, Sir Dolnald Cameron on 5th December 1925.

Kwa nini nasimulia haya? Ni kwa sababu ukitaka kuwajua watu ambao ungeweza kuwaita "elite" wa mji wa Dar es Salaam kwa nyakati hizo, wasomi wa wakati huo wanachukua daraja la kwanza. Cecil Matola alikuwa ni moja wa alumni wa Kiungani na Mwalimu Mwandamizi katika shule ya serikali mjini Dar es Salaam. Wahitimu wa Kiungani walijulikana ndani na nje ya nchi na kulingana na simulizi za John Iliffe ambayo Mohamed Said anazinukuu kila mara, nanukuu; Cecil Matola was a senior African Teacher at the Dar es Salaam School which made him almost an ex officio leader of the capital's educated Africans. Nyakati hizo Ualimu ulikuwa ni profession yenye heshima kubwa katika jamii na haikuwa ajabu kwa mtu maarufu kama Cecil Matola kuchaguliwa kuwa Raisi wa kwanza African Association mwaka 1929.

African Association ilianzishwa kwa baraka za aliyekuwa Gavana wa Tanganyika David Cameron na mkutano wake wa kwanza ulifanyika nyumbani kwa Raisi wake muasisi Cecil Matola. Hii ilifanyika kwa sababu tatu; kwanza hapakuwepo na klabu ama nyumba iliyotosheleza kama ya Cecil Matola, pili hakuwepo mtu aliyeheshimika kama yeye na tatu Cecil Matola alikuwa Mtanganyika halisi, Myao. Mpaka anakuwa Raisi wa AA, alishafanya kazi sehemu mbali mbali ndani na nje ya Tanganyika na kukutana na wasomi mbalimbali wenye mawazo mapya. Sababu kuu ya Mohamed Said kutotaka kujua historia ya Cecil Matola ni kwamba inawaweka wazee wake mamluki wa Kimanyema, Kizulu na Kinubi pakavu. Watu mamluki waliopigana vita dhidi ya Watanganyika wakiwa upande wa Mkoloni eti ndio waongoze harakati dhidi ya mkoloni, wapi na wapi!

Chama cha kwanza kabisa cha wasomi na kilichowakutanisha Waafrika, wafanyakazi na wafanya biashara, kilianzishwa mjini Tanga na Mtanganyika wa kwanza mhitimu wa Kiungani Zanzibar aliyekuwa na cheo cha juu kabisa serikalini mwaka 1922, Martin Kayamba. Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said katika kuhangaikia namna ya kuwakweza wazee wake ambao hawakuwa na uwezo wala sifa za kiuongozi amejikita sana katika kuwachafua wengine. Ikumbukwe maraisi wa AA, TAA na baadaye TANU walikuwa ndio wenyeviti na watendaji wakuu wa hivyo vyama lakini kwa Mohamed Said, maraisi hawa hawakuwa chochote na sifa zote anawapa eti makatibu. Cecil Matola alikuwa ni Raisi muasisi na Mtendaji Mkuu wa AA hadi anafariki katika mazingira yasiyoeleweka wakati huo tayari AA wana nyumba ambayo kiwanja chake walipewa na Gavana David Cameron mtaa wa New Street.

Kusema kweli kukosekana kwetu wengine kwenye huu mjadala kunatokana na kukosa muda lakini nina hakika tupo wengi wenye historia inayopingana na hizi hadithi za mtaani za Mohamed Said...a fellow so obsessed with hatred, so bent on distorting facts and so bent on sowing seeds of discord he will stop at nothing till he accomplishes his evil plans but thank God, that chance he wont get, not on our watch...we wont allow him or his stooges/cronies. Mohamed Said hawezi hata kusema ni lini Mzee Kleist Sykes aliuacha Ukristo na kuingia Uislaam, hawezi kusema lini Chief Kidaha Makwaia aliuacha Uislaam na kuingia Ukatoliki na hawezi kuacha kuonesha chuki yake kwa msomi Martin Kayamba mjukuu wa Chifu Kimweri Zanyumbai Mfalme wa Wakilindi waliowatawala Wasambaa na makabila mengi ya Tanga hata kabla ya Wajerumani.

Kwa leo yatosha FaizaFoxy, ni muda tu unakosekana...

CC: Nguruvi3
 
Kama Porojo kuhusu kutokea South Africa unakubali walipotoka huko South kulikuwa hakuna hicho kidudu kiitwacho Islam

Mlaleo,
Mimi ningependa sana tukazungumza yale ambayo yataelimisha.

Sykes Mbuwane alitokea Kwa Likunyi, Imhambane Mozambique.
Hebu fanya utafiti lau kidogo ujue Uislam uliingia lini Mozambique.

Jibu lako lipo hapo.

Ramadhani Mashado Plantan alikuja Tanganyika kutoka Mozambique
mwaka 1905 akiwa mtoto wa miaka 5.

Umeliona jina lake.

Na hapa Dar es Salaam alikuwa na kaka zake mmoja wao akiitwa Schneider
Abdillah Plantan.

Hawa walikuwa Waislam na walikuwa wanachama wa Al Jamiatul Islamiyya fi
Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).

Huyu Schneider ndiyo alikuja kuwa katibu wa Daawat Islamiyya (Wito kwa
Waislam) chini ya Mwenyekiti Mufti Sheikh Hassan bin Amir.
 
Mlaleo,
Sykes Mbuwani alikuwa Muislam na alikuja na ndugu yake akiitwa Ali Kattini.
Huyu alikuwa kipofu.

Baadae aliridu Mozambique.

Ally Sykes mdogo wake Abdu alipewa jina la Ally kutokana na huyu babu yake
Ali Kattini.
Habari kamili ulituambia walitokea South Africa na si Msumbiji... South Africa na uislam wapi na wapi hata hilo Jina tu halifanani na uislam Sykes
 
Huo Uislam umeutoa wapi? hebu nielezee kwanza au kamuulize Sheikh wako wewe ni Shia,Ismailia,Bohora au Sunni na ujue hayo madhehebu hayakai chungu kimoja kama wajiona wewe ndie utakaenda Mbinguni jitambue kwanza upo Dhehebu gani na lipi lipo Sawa.... wacha kujidanganya utapotea Moto ni kwa ajili yako Shetani ndie mkuu wenu na anawachanganya huku akiwafanya mjione mpo sawa... wewe hapo ulipo kwa mema gani uliyofanya yakupeleke peponi? au wadhania hao walioandika vitabu unavyojifanya unaviamini wameandika kimasikhara tu kama unavyoona wewe? Tenda Mema tupu na uache ujinga.... kwa kuona wengine si sawa... nadhani ungezaliwa Mchina sijui ungekuwa wa dini za huko? usije ukajidangaya kisa wajiona u muislam ... Sheria za Kiislam kuna mambo unayoyafanya yanakutoa kabisa katika uislam.... kamuulize Sheikh wako.... anayajua hayo... Pole Sana mtu wa jehanamu ... Kajipange fresh uje... me nishachoka wacha nikapumzike Tukijaaliwa kesho

Sasa hapo ndo umenena kitu gani au ndi umetumia lugha mpya?

Teh teh teh...!
Tatizo la mfumo huna jipya hata thuluthi, yaani nikuulize ulizo langu ati nawe ujibu!

Thubutu, utanijibu baada ya siku kadhaa, baada ya kupata ubabaishaji kwa wapotofu wenzio
 
Kama Porojo kuhusu kutokea South Africa unakubali walipotoka huko South kulikuwa hakuna hicho kidudu kiitwacho Islam
Kama umekuja kubisha hakuna tatizo mimi siku zote huwa napenda kuja na ushahidi sababu kuna watu wanasoma huu mnakasha wapate vitu vipya.

Uislam umeingia South Africa mwaka 1652.

Historia ya Sykes ipo wazi imeandikwa pale Chuo Kikuu Cha Dar es Saalam mwaka 1968 na mtoto wa Adulwahid Sykes, Aisha Daisy Sykes.

Au tafuta kitabu cha John Iliffe "A Modern History of Tanganyika"

Nadhani wasomaji wamepata faida.
 
Majigambo mengi unachokiandika wala akieleweki.

Muislam mmoja sawa sawa na makafiri mia.

Wewe unatosha kwa Dr. kahtaan peke yake.

Dr. kahtaan nakusoma huku nakula faludi.

Vita vya Badir...teh teh teh
Nilichoandika mimi au wewe kipi hakieleweki hebu itisha wachunguzi wapime.... wewe si ulishaacha Pombe wewe eeh au ndio umeanza tena Viroba lager..
 
Sasa hapo ndo umenena kitu gani au ndi umetumia lugha mpya?

Teh teh teh...!
Tatizo la mfumo huna jipya hata thuluthi, yaani nikuulize ulizo langu ati nawe ujibu!

Thubutu, utanijibu baada ya siku kadhaa, baada ya kupata ubabaishaji kwa wapotofu wenzio

Jibu wewe ni Shia ,Ismailia, Sunni au Bohara.... au ndio hujijui upo pande zipi? Ritz msaidie mwenzio au na wewe Hujijui... Sheikh Hemed Jalala yeye ni Shia... Nyie ni dhehebu lipi? au ndio umeshikwa then wataka kwenda pepo?
 
Last edited by a moderator:
Kama umekuja kubisha hakuna tatizo mimi siku zote huwa napenda kuja na ushahidi sababu kuna watu wanasoma huu mnakasha wapate vitu vipya.

Uislam umeingia South Africa mwaka 1652.

Historia ya Sykes ipo wazi imeandikwa pale Chuo Kikuu Cha Dar es Saalam mwaka 1968 na mtoto wa Adulwahid Sykes, Aisha Daisy Sykes.

Au tafuta kitabu cha John Iliffe "A Modern History of Tanganyika"

Nadhani wasomaji wamepata faida.
Kama uislam uliingia South Africa miaka hiyo kulikuwa na maustaadhi wenye majina Sykes? Waingereza au Waarab? au ndio yale mambo ya Sheikh John
 
HEBU ---- MSTAARABU KIDOGO WEWE KAFIR TWAOMBA UFUNGUE UZI MWINGINE WENYE KICHWA CHA HABARI UISLAMU JE NI DINI YA AMANI AU USUNI NA USHIA TUTAKUJA KUKUPA MAELEZO MAZURI TU NAOMBA USICHAFUE HUU UZI NI HISTORIA YA WAPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA SIO FARK ZA SUNI AU SHIA. Please kama ni mstaarabu fanzahivyo otherwise hapa hautopata ukitakacho si kwakuwa hatujui ila kwakuwa si mahala pake. Narudia kuwa mstaarabu.

Punguza asira. Mimi nilikuwa nawageni wangu wa maana nyumbani. Nikwa nataka niwawekee bongoflava kweye TV. Siunajua TV za sikuizi Unaweza cheza miziki ya youtube. Tatizo nili search bongo flava ila katika playlist nikakuta wislamu wanaoubiri kwakubishana nakujifanya wanajua bibilia. Ikabidi nianze kujitete kwawageni kuhusu mambo ya waislamu wa siasa kali badala ya kuongelea mziki wa bongo flava. Mkuki kwa ngurue kwa binadamu mchungu
 
Back
Top Bottom